legacy

1183. LUHUNI LELO OHAJA.

Olihoyi munhu uyo witanagwa Luhuni umuchalo jilebhe. Umunhu ng’wunuyo, olina kajile ka wib’i bho jikolo ja bhanhu kunguno ya bhugokolo bho gutumama milimo yakwe chiza. Uweyi bhibhaga jikolo ja bhanhu nhangala ningi bho nduhu uguding’wa. Aliyo lulu, lushigu lumo agading’wa aho aliib’a ijikolo ja bhanhu jinijo. Hunagwene abhanhu bhangang’wila giki, “Luhuni lelo ohaja.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina jilangu ja gubhitila mihayo ya bhubhi abhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhitilaga miito ga bhubhi abhiye bhenabho bho gwibhisa kugiki adizubhonwa, kunguno ya jilangu jakwe jinijo. Uweyi agapandikaga makoye gaguding’wa na gulipishiwa majikolo mingi, kunguno ya gubhitila mihayo ya bhubhi abhiye bhenabho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu Luhuni uyo wibhaga jikolo ja bhanhu mpaga nose uding’wa na bhinikili jikolo jinijo, kunguno nuweyi agabhitilaga mihayo ya bhubhi abhiye mpaga nose oding’wa na gulipishiwa majikolo mingi, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “Luhuni lelo ohaja.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja gwita mihayo ya bhubhi umukikalile kabho, kugiki bhadule gutumama milimo ya gupandikila sabho jabho chiza, umuwikaji bhobho.

Kutoka 20:15-17.

KISWAHILI: LUHUNI LEO AMEKWAMA.

Alikuwepo mtu mmoja aliyeitwa Luhuni katika kijiji fulani. Mtu huyo alikuwa na tabia ya wizi wa vitu vya watu kwa sababu ya uvivu wake wa kufanya kazi zake vizuri. Yeye alikuwa akiiba vitu vya watu hao mara nyingi bila kushikwa. Lakini siku moja alikamatwa alipokuwa akiiba mali hizo za watu. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “Luhuni leo amekwama.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana tamaa ya kuwatendea matendo maovu wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, alizoea kuwatendea wenzake matendo hayo maovu kwa kujificha ili asionekane, kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya. Yeye alipata matatizo ya kukamatwa na kupewa adhabu ya kulipa mali nyingi, kwa sababu ya kuwatendea wenzake matendo hayo maovu, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule Luhuni aliyekuwa akiwaiibia watu mali zao mpaka mwishowe alikamatwa, kwa sababu naye huwatendea wenzake matendo maovu mpaka mwishowe anakamatwa na kupewa adhabu ya kulipa mali nyingi, katika maisha yake. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “Luhuni leo amekwama.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuwatendea wenzao matendo maovu katika maisha yao, ili waweze kufanya kazi za kuwapatia mali zao vizuri, maishani mwao.

Kutoka 20:15-17.

ENGLISH: LUHUNI HAS STUCK TODAY.

There was a man named Luhuni in a certain village. He had a habit of stealing people’s things because of his laziness in doing his work properly. He used to steal things from those people many times without getting caught. But one day he was caught while he was stealing people’s property. That is why people told him that, “Luhuni has stuck today.”

This saying is equaled to a person who has the desire to do evil deeds to his colleagues, in his life. Such person used to do these evil deeds to his equals by hiding so that he would not be seen, because of his evil behavior. He had troubles of being arrested and given punishment of paying a lot of money, because of doing those evil deeds to his colleagues, in his life.

This person resembles to Luhuni who used to steal people’s property until he was finally caught, because he also does evil things to his fellows until he is finally caught and given punishment of paying a lot of money, in his life. That is why people told him that, “Luhuni has stuck today.”

This saying teaches people to stop the habit of doing wicked things to their companions in their lives, so that they can work enough to get their wealth well, in their lives.

Exodus 20:15-17.

operation-80124__480

1182. NASHOLWA BHINGI.

Olihoyi munhu uyo obhambilija gutumama milimo abhiye umuchalo cha Ng’watuju. Umunhu ng’wunuyo, otumamaga nabho gwingila diyu mpaga mhindi kunguno ya lisungu lyakwe ukubhoyi. Aliyo lulu, abhanhu bhenabho, bhamanaga bhundahahija duhu ulu obhambilija chiniko, kunguno ya bhujidalumba bhobho. Hunagwene umunhu ng’wunuyo agayomba giki, “nasholwa bhingi.”

Akahayile kenako, kagalengajiyagwa kuli munhu uyo agitaga mihayo yawiza ukunhu bhalinduhilija abhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agitaga miito gawiza gagubhambilija abhanhu abho bhali na makoye kunguno ya bhutungilija na bhutogwa bhokwe ukubhiye bhenabho, abho bhagamaga bhunduhilija duhu. Uweyi agiyumilijaga gwita mihayo ya wiza ukubhiye bho nduhu ugubhadegeleka abho bhagandarahijaga, kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo obhambilijaga gutumama milimo yabho abho bhandahahilija, kunguno nuweyi agitaga miito gawiza ukubhiye, bho nduhu ugubhadegeleka abho bhaganshukilijaga, umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga giki, “nasholwa bhingi.”

Akahahile kenako kalanga bhanhu higulya ya gwiyumilija gwita miito ga wiza bho nduhu kubhadegeleka abho bhagabhaduhilijaga, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Isaya 53:1-4.

Mathayo 27:35-43.

Yohana 8:4=31-47.

KISWAHILI: NIMEFYONZWA WENGI.

Alikuwepo mtu aliyekuwa akiwasaidia wenzake katika kijiji cha Ng’watuju. Mtu huyo, aliwasaida wenzake hao kufanya kazi zao kuanzia asubuhi hadi jioni kwa sababu ya huruma yake kwao. Lakini watu hao, walikuwa wakimdharau tu kila anapowasaidia hivyo kwa sababu ya kukosa shukrani kwao. Ndiyo maana mtu huyo alisema kwamba, “nimefyonzwa wengi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutenda matendo mema huku wenzake wakimdharau, katika maisha yake. Mtu huyo, hutenda matendo ya kuwasaidia watu walioko kwenye matatizo kwa sababu ya uaminifu na upendo wake kwao watu hao ambao humdharua tu. Yeye huvumilia kuendelea kutenda mema kwa wenzake hao bila kuwajali wale wanaomdharau, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa akiwasaidia watu waliokuwa wakimdharau, kwa sababu naye hutenda matendo mema kwa wenzake bila kuwajali wale wanaomdharau, katika maisha yake. Ndiyo maana huwaambia kwamba, “nimefyonzwa wengi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuvumilia kutenda mema bila kuwasikiliza wale wanaowadharau, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Isaya 53:1-4.

Mathayo 27:35-43.

Yohana 8:4=31-47.

ENGLISH: I HAVE BEEN ABSORBED BY MANY.

There was a man who was helping his colleagues in a village of Ng’watuju. Such man helped them in doing their works from morning to evening because of his compassion for them. But those people were just disrespecting him every time he helped them like that because of their lack of gratitude. That is why he said that, “I have been absorbed by many.”

This saying is equated to a person who does good deeds to his people while they despise him, in his life. Such person helps people who are in trouble because of his loyalty and love for those people who just despise him. He endures to continue doing good deeds to his colleagues regardless of those who despise him, in his life.

This person is similar to the one who used to help people who despised him, because he also does good deeds to his colleagues without caring about those who despise him, in his life. That is why he tells them that, “I have been absorbed by many.”

This saying teaches people about persevering to do good deeds without listening to those who despise them, so that they can get a lot of success in their lives.

Isaiah 53:1-4.

Matthew 27:35-43.

John 8:4=31-47.

woman-6529392__480

1181. NADI OGWIKANISILWA UNENE.

Bhalihoyi bhanhu abho bhagiduma umuchalo ja Ng’watuma. Abhanhu bhenabho bhagidumila lubhimbi lo malale gabho mpaga bhandya guidukagula kunguno ya bhupelani bhobho bhunubho. Umo obho agolecha igiki uweyi adakangilwe na josejose na giki ali nduhu uguhewa. Hunagwene agayomba giki, “nadi ogwikanisilwa unene.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agapelanaga wangu mpaga oyuyomba mamihayo ayo gadina solobho, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga ubhakalihila sagala abhanhu bha ha kaya yakwe, kunguno ya bhukali bhokwe bhunubho. Uweyi agayibalasanyaga ikaya yakwe mpaga osaga bhung’wene kunguno ya bhupelanu bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhagayogela lilale mpaga bhuyidukagula sagala, kunguno nuweyi agapenaga wangu mpaga oyubhadukagula sagala abhanhu bhakwe, umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga giki, “nadi ogwikanisilwa unene.”

Akahahile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka bhupelanu bho gubhadukagula sagala abhichabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 18:21-22.

1Samweli 17:42-46.

1Wakorintho 15:55, na 57.

KISWAHILI: MIMI SIO WA KULETEWA MAJIGAMBO.

Walikuwepo watu waliozozana kwenye kijiji cha Mwatuma. Watu hao, walizozania mpaka wa mashamba yao mpaka wakaanza kutukanana kwa sababu ya hasira zao. Mmoja wao alionesha kwamba yeye hatishwi na yeyote wala hashindwi. Ndiyo maana alisema kwamba, “mimi sio wa kuletewa majigambo.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hukasirika haraka mpaka anaongea maneno yasiyo na faida, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa anawakaripia hovyo watu walioko kwenye familia yake, kwa sababu ya hasira zake hiyo. Yeye huwasambaratisha watu anaoishi nao kwenye familia yake, mpaka anabaki yeye peke yake, kwa sababu ya hasira zake hizo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na wale waliozozania mpaka wa mashamba yao, mpaka wakaanza kutukanana hovyo, kwa sababu naye hukasirika haraka mpaka anaanza kuwatukana hovyo watu walioko kwenye familia yake, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye huwaambia watu hao kwamba, “mimi sio wa kuletewa majigambo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha hasira za kuwatukana hovyo wenzao, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Mathayo 18:21-22.

1Samweli 17:42-46.

1Wakorintho 15:55, na 57.

ENGLISH: I AM NOT ONE TO BE BOASTED ABOUT.

There were people who quarreled in a village of Mwatuma. Those people argued about the border of their fields until they started insulting each other because of their anger. One of them showed that he is not threatened by anyone and does not fail. That is why he said that, “I am not one to be boasted about.”

This saying is equaled to a person who gets angry quickly until he speaks useless words in his life. Such person scolds the people in his family carelessly, because of his anger. He despises the people who stay with him in his family, until he remains alone, because of his anger.

This person resembles to those who quarreled over the border of their fields, until they started insulting each other carelessly, because he also gets angry quickly until he starts insulting people in his family. That is why he tells those people that, “I am not one to be boasted about.”

This saying, instils in people an idea of stopping anger of insulting their fellows, so that they can raise well their families, in their lives.

Matthew 18:21-22.

1 Samuel 17:42-46.

1 Corinthians 15:55, and 57.

paddy-4229734__480

1180. ULINOGELA JIB’ELE.

Olihoyi munhu uyo agalima lishamba lya bhulubha bihi na nzila. Umunhu ng’wunuyo, ulimaga gwingila diyu mpaga mhindi kunguno ya bhukamu bhokwe bhunubho. Aliyo lulu, uweyi lyashigaga likanza uyulima hado hado kunguno ya bhunoge bho bhugugutumama likanza lilihu unimo gokwe gunuyo. Hunagwene abhanhu abho bhabhitaga aha nzila yiniyo, bhagang’wila giki, “ulinogela jib’ele.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agiyumilijaga gutumama nimo ndamu mpaga ogumala chiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikomejaga kutumama milimo yakwe bho gwingila diyu mpaga mhindi kunguno aidebhile isolobho ya milimo yakwe yiniyo, aha shigu ijahabhutongi. Uweyi agapandikaga majikolo mingi noyi aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya wiyumilija bhokwe ubho gutumama nimo mpaga ogumala chiza, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nimi obhulubha uyo olimaga gwingila diyu mpaga mhindi, kunguno nuweyi agigulambijaga gutumama milimo yakwe bho gwingila diyu mpaga oimala chiza, umukikalile kakwe. Hunagwene bhanhu bhagang’wilaga giki, “ulinogela jib’ele.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gutumama milimo yabho bho gwiyumilija mpaga bhayimala chiza, kugiki bhadule gupandika majikolo mingi, umuwikaji bhobho.

Luka 13:22-24.

Mathayo 10:16-23.

Mathayo 19:27-29.

KISWAHILI: UNACHOKA KWA FAIDA.

Alikuwepo mtu aliyelima shamba la pamba karibu na njia. Mtu huyo, alikuwa akilima shambani mwake humo kuanzia asubuhi hadi jioni. Lakini ulifika wakati, akawa analima pole pole kwa sababu ya uchovu wa kufanya kazi yake hiyo kwa muda mrefu. Ndiyo maana watu waliokuwa wakipita kwenye njia hiyo, walimwambia kwamba, “unachoka kwa faida.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvumilia kufanya kazi ngumu mpaka anaimaliza, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi zake kuanzia asubuhi hadi jioni kwa sababu anazielewa faida za kazi hizo, katika siku za mbeleni. Yeye hupata mali yenye thamani ya kuwa na vitu vingi sana kwenye familia yake, kwa sababu ya uvumilivu wake huo wa kufanya kazi mpaka anaimaliza vizuri, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mkulima wa pamba aliyelima kuanzia asubuhi hadi jioni, kwa sababu naye hujibidisha kufanya kazi zake kwa uvumilivu kuanzia asubuhi hadi anazimaliza vizuri, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “unachoka kwa faida.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kufanya kazi zao kwa uvumilivu mpaga wanazimaliza vizuri, ili waweze kupata mafanikio ya kuwa na mali nyingi, maishani mwao.

Luka 13:22-24.

Mathayo 10:16-23.

Mathayo 19:27-29.

ENGLISH: YOU ARE GETTING TIRED FOR PROFITS

There was a man who cultivated a cotton field near a pathway. Such man was farming in his field from morning to evening. But when the time came, he was slowly plowing because of the fatigue of doing his work for a long time. That is why the people who were passing by that way, told him that, “you are getting tired for profits.”

This proverb is compared to the person who endures doing hard work until he finishes it, in his life. Such person tries to do his work from morning to evening because he understands the benefits of such work in the future. He gets a valuable asset enough to have many things in his family, because of his patience of working until he finishes it well, in his life.

This person is similar to the cotton farmer who cultivated from morning to evening, because he also has to do his work patiently from morning until he finishes it well, in his life. That is why people tell him that, “you are getting tired for profits.”

This proverb, teaches people about doing their works with patience until they finish them well, so that they can get the success of having a lot of wealth in their lives.

Luke 13:22-24.

Matthew 10:16-23.

Matthew 19:27-29.

farmer-5353778__480

1179. BHUSOGA WIKOB’A, MUNDA B’UB’OLE.

Ulusumo lunulo, lulolile wiza bho hanze ya ginhu na bhubhi bho mugati yajo. Olihoyi munhu uyo agagubhona nyembe gusoga gete mpaka wiyangula gugutona kugiki agulye kunguno ya wiza bho hanze yago bhunubho. Aho ugukubhula igiki wandye ugugulya ugubhona giki gubholile gashinaga umugati yago. Hunagwene agayomba giki, “bhusoga wikob’a, munda b’ub’ole.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali ni hanga lya wiza aliyo amiito gakwe gali gabhub’i, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agiyolechaga guti owiza ubho gunhola aliyo agiganikaga miganiko mab’i umunholo yakwe, kunguno ya miito gakwe aga bhub’i genabho. Uweyi agenhelejaga bhanhu gwikenya aha kaya yakwe, kunguno ya miito gakwe aga bhub’i genayo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nyembe uyo goli gusoga ihanze aliyo gubholile umugati yago, kunguno nuweyi ali ni hanga lya wiza aliyo amiito gakwe gali ga bhub’i, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “bhusoga wikob’a, munda b’ub’ole.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya guleka kajile kagwita yabhub’i bho gwita miito gawiza bhuli makanza, kugiki bhadule gwikala bho mholele, umukaya jabho.

Mathayo 7:15-17.

Luka 6:43-45.

Mathayo 23:27-28.

KISWAHILI: UZURI WA NGOZI, TUMBONI UOZO.

Methali hiyo, huangalia uzuri wa nje ya kitu fulani na ubaya uliyopo ndani yake. Alikuwepo mtu ambaye aliliona embe zuri sana mpaka akaamua kulichuma ili alile kwa sababu ya uzuri wake huo wa nje. Alipolimenya embe hilo, aligundua kwamba, kumbe lilikuwa limeoza ndani yake. Ndiyo maana alisema kwamba, “uzuri wa ngozi, tumboni uozo.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana sura nzuri lakini matendo yake ni maovu, katika maisha yake. Mtu huyo, hujionesha kwa nje kuwa ni mzuri, lakini hufikiria mawazo mabaya katika moyo wake, kwa sababu ya matendo yake hayo maovu. Yeye hugombanisha watu walioko kwenye familia yake, kwa sababu ya matendo yake hayo maovu, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na lile embe lililoonekana zuri kwa nje, lakini ndani yake lilikuwa limeoza, kwa sababu naye ana sura nzuri, lakini matendo yake ni maovu, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “uzuri wa ngozi, tumboni uozo.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha mwenendo wa kutenda maovu, kwa kutenda mema, ili waweze kuishi kwa amani, maishani mwao.

Mathayo 7:15-17.

Luka 6:43-45.

Mathayo 23:27-28.

ENGLISH: BEAUTY OF THE SKIN, ROT IN THE STOMACH.

This proverb looks at the beauty which is outside of something and an ugliness of an inside of it. There was a man who saw a mango that was so beautiful that he decided to pick it to eat because of its external beauty. When he peeled it, he realized that it was rotten inside. That is why he said that, “beauty of the skin, rot in the stomach.”

This proverb is related to a person who has a good appearance but his actions are evil in his life. Such person shows himself to be good on the outside, but thinks evil thoughts in his heart, because of his wicked deeds. He quarrels the people in his family, because of his evil deeds, in his life.

This person is like a mango that looked good on the outside, but inside it was rotten, because he also shows a good face, but his actions are evil, in his life. That is why people tell him that, “beauty of the skin, rot in the stomach.”

This proverb imparts in people an idea of stopping doing evil by doing good, so that they can peacefully live with their societal members in lives.

Matthew 7:15-17.

Luke 6:43-45.

Matthew 23:27-28.

mango-1218147__480