1183. LUHUNI LELO OHAJA.

Olihoyi munhu uyo witanagwa Luhuni umuchalo jilebhe. Umunhu ng’wunuyo, olina kajile ka wib’i bho jikolo ja bhanhu kunguno ya bhugokolo bho gutumama milimo yakwe chiza. Uweyi bhibhaga jikolo ja bhanhu nhangala ningi bho nduhu uguding’wa. Aliyo lulu, lushigu lumo agading’wa aho aliib’a ijikolo ja bhanhu jinijo. Hunagwene abhanhu bhangang’wila giki, “Luhuni lelo ohaja.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina jilangu ja gubhitila mihayo ya bhubhi abhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhitilaga miito ga bhubhi abhiye bhenabho bho gwibhisa kugiki adizubhonwa, kunguno ya jilangu jakwe jinijo. Uweyi agapandikaga makoye gaguding’wa na gulipishiwa majikolo mingi, kunguno ya gubhitila mihayo ya bhubhi abhiye bhenabho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu Luhuni uyo wibhaga jikolo ja bhanhu mpaga nose uding’wa na bhinikili jikolo jinijo, kunguno nuweyi agabhitilaga mihayo ya bhubhi abhiye mpaga nose oding’wa na gulipishiwa majikolo mingi, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “Luhuni lelo ohaja.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja gwita mihayo ya bhubhi umukikalile kabho, kugiki bhadule gutumama milimo ya gupandikila sabho jabho chiza, umuwikaji bhobho.

Kutoka 20:15-17.

KISWAHILI: LUHUNI LEO AMEKWAMA.

Alikuwepo mtu mmoja aliyeitwa Luhuni katika kijiji fulani. Mtu huyo alikuwa na tabia ya wizi wa vitu vya watu kwa sababu ya uvivu wake wa kufanya kazi zake vizuri. Yeye alikuwa akiiba vitu vya watu hao mara nyingi bila kushikwa. Lakini siku moja alikamatwa alipokuwa akiiba mali hizo za watu. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “Luhuni leo amekwama.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana tamaa ya kuwatendea matendo maovu wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, alizoea kuwatendea wenzake matendo hayo maovu kwa kujificha ili asionekane, kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya. Yeye alipata matatizo ya kukamatwa na kupewa adhabu ya kulipa mali nyingi, kwa sababu ya kuwatendea wenzake matendo hayo maovu, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule Luhuni aliyekuwa akiwaiibia watu mali zao mpaka mwishowe alikamatwa, kwa sababu naye huwatendea wenzake matendo maovu mpaka mwishowe anakamatwa na kupewa adhabu ya kulipa mali nyingi, katika maisha yake. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “Luhuni leo amekwama.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuwatendea wenzao matendo maovu katika maisha yao, ili waweze kufanya kazi za kuwapatia mali zao vizuri, maishani mwao.

Kutoka 20:15-17.

operation-80124__480

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.