Justina

809. NZOKA NGODELA BHALI.

Ulusumo lunulo, lwingila ku nzoka iyo yalumaga ndimu jacha, muchalo jilebhe. Inzoka yiniyo, yalumaga ng’ombe, mbuli, ng’holo na ndimu ja mumapolu, ijo bhajilyaga abho bhajisangaga jichile.

Iyoyi yajilumaga yajileka, kunguno yalidadulile ugujilya. Inyama jinijo, jaliyagwa na mashimu kihamo na bhanhu abho bhajibhonaga. Hunagwene abhanhu bhenabho, bhagiitana giki, “nzoka ngodela bhali.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo, okoyakoya ugujipandika isabho ijo adajilyaga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agigulambijaga gutumama milimo yakwe gwingine dilu mpaga mhindi, kunguno ya gubhadilila chiza abho agabhalang’hanaga, aha kaya yakwe. Aliyo lulu, uweyi adajitumamilaga isabho ijo agajipandikaga jinijo, kunguno ya kubhambilija abhanhu bhakwe, umuwikaji bhokwe. Isabho jinijo, jigasomishisha bhanhu bhangi, na kubhagulila jiliwa kugiki bhadule gwikala na bhuyegi.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni nzoka iyo yabhulagaga ndimu ijo bhalilyaga bhangi, kunguno nu weyi agakoyakoyaga ugujipandika isabho ijo adajilyagwa iki agabhalekelaga bhangi bhajilya, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “nzoka ngodela bhali.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhambilija bhichabho abho bhali na makoye, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala na bhuyegi, umukaya jabho.

Isaya 53:4-7.

Wakolosai 1: 24.

Yohana 3:14-17.

KISWAHILI: NYOKA MGONGEA WALAJI.

Methali hiyo, ilitokea kwenye nyoka aliyekuwa akiwaua wanyama kwa kuwauma. Nyoka huyo, aliwauma ng’ombe, mbuzi, kondoo na wanyama poli ambao nyama zao zililiwa na wale waliowakuta wanyama hao wakiwa wamekufa.

Yeye alikuwa akiwauma na kuwaacha kwa sababu alikuwa hali. Nyama hizo zililiwa na wadudu pamoja na binadamu walioziona. Ndiyo maana watu hao, walimwita kwamba ni “nyoka mgongea walaji.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huhangaika kuitafuta mali asiyoila, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi kuanzia asubuhi hadi jioni, kwa sababu ya kuwajali wale anaowatunza, katika familia yake. Lakini basi, yeye huwa hazitumii mali hizo anazozipata, kwa sababu ya kuwasaidia watu wake, maishani mwake. Mali hizo, husomesha watu wengine na kuwanunulia chakula ili waweze kuishi kwa furaha.

Mtu huyo, hufanana na yule nyoka aliyeua wanyama walioliwa na wengine, kwa sababu naye huwatafutia wengine mali zake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwita mtu huyo kuwa ni “nyoka mgongea walaji.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwasaidia wenzao walioko kwenye matatizo mbalimbali, maishani mwao, ili waweze kuishi kwa furaha katika familia zao.

Isaya 53:4-7.

Wakolosai 1: 24.

Yohana 3:14-17.

african snake

snake-

snake-1

ENGLISH: A SNAKE THAT KILLS FOR EATERS.

This proverb came from a serpent that killed animals by biting them. It bit cows, goats, sheep and wild animals whose meat was eaten by those who found the animals dead.

It was biting and leaving them because it was not eating them. The meat was eaten by insects as well as by humans who saw it. That is why people called it “a snake that kills for eaters.”

This proverb is likened to a man who struggles to obtain riches which he does not eat, in his life. Such person strives to work from morning till evening, out of concern for those in his care who live in his family. But then, he does not use the resources which he earns, for the benefit of his people, in his life. These properties, in turn, educate other people and buy them food so that they can live happily ever after.

This person is like the serpent that killed animals that were eaten by others, because he also seeks out his own possessions, in his own life. That is why people call that person “a snake that kills for eaters.”

This proverb teaches people on how to help others who are in trouble, in their lives, so that they can live happily in their families.

Isaiah 53: 4-7.

Colossians 1:24.

John 3: 14-17.

808. IGOLOLA BHASIGANI.

Olihayi munhu uyo olatogilwe gubhasiga abhiye bho guyomba mihayo ya bhulomolomo. Lushugu lumo agayomba mihayo ya bhulongo kuli ntale o chalo jacho. Untale obho ng’wunuyo, agang’witana umunhu ng’wunuyo kihamo nabho obhayombaga shibhi, kugiki abhumage ubhung’hana.

Abho ong’wila abhuyomba ubhung’wana, habhutaongi bho bhanhu bhenabho, agamanyika igiki ayombaga bhulomolomo. Hunagwene abhanhu bhagang’witana untale o chalo jinijo giki, “igolola bhasigani.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhatongelaga abhanhu bho gufuada bhung’hana, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agitaga bhukengeji bho mihayo iyo agiyigwaga, kugiki abhudebhe ubhung’hana bhoyo. Uweyi agabhotogelaga chiza abhanhu bhakwe, kunguno ya gubhutogwa na guwikalana ubhung’hana bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ntongeji uo chalo uyo agabhudebha ubhung’hana bho gubhalumanya abhanhu bhakwe, kunguno nu weyi agabhatongelaga chiza abhanhu bho gubhufuada ubhung’hana bhunubho, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “igolola bhasigani.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhatongela chiza abhichabho bho guwikalana ubhung’hana, kugiki bhadule gwikala bho mholele nabho, umuwikaji bhobho.

Yohana 8:6-9.

Luka 19:7-10.

Yohana 16:8.

KISWAHILI: KINYOSHA WASENGENYAJI.

Alikuwepo mtu mmoja ambaye alipenda kuwasengenya wenzake kwa kusema uongo. Siku moja alisema maneno ya uongo kwa kiongozi wa kijiji chao. Kiongozi huyo, alimwita yule mtu pamoja na wale aliowasengenya kwa kusema uongo ili aufahamu ukweli wake.

Alipomwambia auseme ukweli mbele ya wale watu aliowasema vibaya, yule mtu alibainika kwamba, ni muongo. Ndiyo maana watu walimuita yule kiongozi kwamba ni “kinyosha wasengenyaji.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwaongoza watu kwa kuufuata ukweli, katika maisha yake. Mtu huyo, huyafanyia utafiti maneno yale anayoyasikia ili aweze kuufahamu ukweli wake. Yeye hufanikiwa kuwaongoza vizuri watu wake, kwa sababu ya kuupenda ukweli huo na kuuishi, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule kiongozi wa kijiji aliyeufahamu ukweli kwa kuwaweka pamoja watu wake, kwa sababu naye huwaongoza watu wake kwa kuufuata vizuri ukweli huo, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwita kwamba ni “kinyosha wasengenyaji.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwaongoza wenzao kwa kuufuata vizuri ukweli, katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao hao, maishani mwao.

Yohana 8:6-9.

Luka 19:7-10.

Yohana 16:8.

culture

papua

zulu-kingdom

ENGLISH: THE GOSSIPERS’ DISCIPLINER.

There was a man who liked to gossip about his fellows. One day he uttered false words to the leader of their village. The leader called the man and those who had slandered him to tell him the truth.

After being asked to do so, in front of the people he became ashamed, then the leader realized that he was a liar. That is why the people called such leader, “the gossipers’ discipliner.”

This saying is compared to the person who guides people by following the truth in his/her area. Such person researches the words which he/she hears them for understanding the truth. This person succeeds in directing people enough to know the truth in their lives, because of having true love to them.

This person is like the village leader who knew the truth by bringing his people together, because he also leads his people by following the truth well, in their daily lives. That is why people refer to him/her as “the gossipers’ discipliner.”

This saying instills in people an idea on how to guide their people by following the truth in their lives, so that they can live in peace with their family members in daily lives.

John 8: 6-9.

Luke 19: 7-10.

John 16: 8.

807. NG’WILIGULIGU ALINA MIHAYO MINGI.

Akahayile kenako, kingilile kuli munhu uyo aling’wiliguligu umukigelele kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alina mili uyo gwiligile kunguno ya gubyalwa chene.  Uweyi agikalaga uyomba mihayo mingi iyo igabayanjaga abhiye kunguno ya gulomba wambilijiwa, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ng’wiliguligu alina mihayo mingi.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina nhungwa ja bhubhi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agitaga miito ga bhubhi ayo gagabhayanjaga abhiye, kunguno ya nhungwa jakwe ija bhubhi jinijo, umukikalile kakwe. Uweyi agadumaga uguyilela chiza ikaya yakwe kunguno ya kikalile kakwe akabhubhi kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu ng’wiliguligu uo mihayo mingi, kunguno nuweyi, alina nhungwa ja bhubhi ijo jigabhayanjaga abhanhu bhakwe, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ng’wiliguligu alina mihayo mingi.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja bhubhi, umukikalile kakwe, kugiki bhadule gubhalela chiza abhanhu bhabho, umuwikaji bhobho.

Ufunuo 3:15-16.

Mathayo 21:28-31.

KISWAHILI: ALIYEPINDAPINDA ANA MANENO MENGI.

Msemo huo, ulitokea kwa mtu aliyepindapinda katika muonekano wake. Mtu huyo, ana mwili uliopindika kwa sababu ya kuzaliwa kwake akiwa na ulemavu huo. Yeye huwa anaongea maneno mengi ambayo huwasumbua wenzake kwa sababu ya kuomba masaada kwao. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “aliyepindapinda ana maneno mengi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana tabia mbaya, katika maisha yake. Mtu huyo, hutenda matendo maovu ambayo huwahangaisha wenzake, kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya, katika maisha yake. Yeye hushindwa kuilea katika maadiri mema familia yake kwa sababu ya maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyepindapinda mwenye maneno mengi, kwa sababu naye ana tabia mbaya ambayo huwasumbua watu wake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “aliyepindapinda ana maneno mengi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia mbaya, kwa kujijengea tabia njema, katika maisha yao, ili waweze kuwalea vyema watu wao, maishani mwao.

Ufunuo 3:15-16.

Mathayo 21:28-31.

bad behavior

behaving

isege6

ENGLISH: A CROOKED MAN’S MOUTH IS FULL OF WORDS.

This saying came from a man who was twisted in his appearance. He has a deformed body because of his birth defect. He often uttered many words that irritated his colleagues because of asking help from them. That is why people say to him, “a crooked man’s mouth is full of words.”

This saying is likened to a person who has bad habits in life. Such person commits a vicious act that disturbs others because of ungodly conduct in life. He/she fails to raise his family in good morals because of such lifestyle.

This person is like the bent over person who had many words, because he/she also has a bad attitude that bothers others in everyday life. That is why people say to him/her, “a crooked man’s mouth is full of words.”

This saying imparts in people an idea of stopping bad habits, by building good conducts with others in their lives, so that they can morally raise their people in their societies.

Revelation 3: 15-16.

Matthew 21: 28-31.

806. BHULI MBINA YILI NA LYIMBO LYAYO.

Ulusumo lunulo, lulolile mbina na mimbo gajo. Imbina jinijo jigabhinagwa na bhanhu ukunhu bhalimba mimbo ayo gajilanijije najo. Aliyo lulu, bhuli ng’wimbi agikalaga alidebhi ilyimbo lya gubhinila umumbina yiniyo, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “bhuli mbina yili na lyimbo lyayo.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo akadebhile akatumamile ka bhuli nimo uyo agagutumama, umukikallile kakwe. Umunhu ng’wunyo, akamanile agakashokeje ka bhuli mhayo uyo aliwilwa na bhiye umumahoya gakwe. Uweyi agabhalangaga abhanhu bhakwe inzila ja gubhiza ni kujo lya gutumila mihayo ikujo umumahoya gabho, bho kikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ng’wimbi o mbina uyo wimbaga lyimbo lya mbina yiniyo, kunguno nuweyi akadebhile akatumamile ka bhuli nimo, umukikalille kakwe. Hunagwene abhanhu agabhawilaga giki, “bhuli mbina yili na lyimbo lyayo.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo lya gudebha mihayo ya guhoya na bhichabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele nabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 12:1-2.

KISWAHILI: KILA NGOMA INA  WIMBO WAKE.

Methali hiyo, huangalia ngoma na nyimbo zake. Ngoma hizo huchezwa huku watu wakiwa wanaimba nyimbo zinazoendana nazo. Lakini basi, kwenye kila ngoma mwimbaji wake huwa anaufahamu wimbo wa kuichezea hiyo ngoma, katika maisha yake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kila ngoma ina wimbo wake.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye anafahamu namna ya kuyatekeleza vizuri majukumu yake, katika maisha yake. Mtu huyo, anafahamu neno lenye busara itakiwayo kuwajibu watu anaoongea nao katika maongezi yake. Yeye huwafundisha pia wenzake namna hiyo ya kuwa na hekima ya kutumia maneno yenye busara katika maisha yao, kwa kupitia maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na mwimbaji aliyeuelewa kuumba wimbo wa ngoma yake aliyokuwa akiicheza, kwa sababu naye anafahamu namna ya kuyatekeleza vizuri majukuma yake, katika maisha yake. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “kila ngoma ina wimbo wake.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na hekima ya kutumia maneyo yenye busara katika kuyaelewa vizuri majukumu yao, maishani mwao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, siku zote.

Mathayo 12:1-2.

africa-dance

papua-dance

south-africa dance

ENGLISH: EVERY DANCE HAS ITS OWN SONG.

This proverb looks at a way of singing in each dance. Dances are performed while people sing relevant accompanying songs. But then, in every dance the singer knows the song for playing that dance in life time. That is why people say, “Every dance has its own song.”

This proverb is likened to a man who knows how to carry out his duties well in his life. Such person knows wises word for answering people who speaks with him in every day conversation. He also teaches his colleagues on how to be wise enough to use wise words in their lives.

This person is like the singer who understood the song of each dance that he/she was playing, because he also knows how to properly perform his duties in life time. That is why this person tells people that, “every dance has its own song.”

This proverb teaches people on how to be wise enough to use sage words in understanding their responsibilities, in their lives, so that they can always live in peace with one another,.

Matthew 12: 1-2.

805. KANIGO KA NG’HABHI KAGANGOYA NSABHI.

Bhalihoyi bhanhu bhabhili abho bhikalaga muchalo jilebhe, uungi ilinsabhi, alu ungi alinhabhi. Unhabhi olina kanigo ako akagatuula hasi. Unsabhi akagadalahija akanigo kenako, aliyomga, “kihendyage akanigo kako nabhite.”

Unhabi agashosha, “kabhuchage duhu ukatuule lwande.” Unsabhi ng’wunyuyo, agagema ugukabhucha akanigo kenako ukaduma nulu kugasegeja. Uweyi agacha soni noyi aho oguduma ugugubhucha unigo gunuyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “kanigo ka ng’habhi kagangoya nsabhi.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agipondaga soni bho guyidahahija imilimo ya bhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adaidebhile isolobho ya milimo ya bhiye yiniyo, kunguno ya libhengwe lwakwe linilo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agipondaga soni weyi ng’winikili kunguno ya guyidalaha imilimo ya bhiye bhenabho, aliyo adabhudebhile ubhudamu bhoyo.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nsabhi uyo agaguduma ugugubhucha unigo go nhabhi uyo oliogudalahija, kunguno nuweyi agaidalahaga imilimo ya bhiye iyo adaidulile nulu uguyitumama. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “kanigo ka ng’habhi kagangoya nsabhi.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo ukumilimo ya bhichabho, kugiki bhadule gutumama milimo yabho chiza, umuwikaji bhobho.

Mathayo 6:1-4.

KISWAHILI: KIFURUSHI CHA MASKINI KILIMUADHIRI TAJIRI.

Walikuwepo watu wawili walioishi kwenye kijiji fulani, mmoja alikuwa tajiri, na mwingine maskini. Yule maskini alikuwa na kifurushi chake ambacho alikiweka chini. Tajiri akakidharau kifurushi hicho akisema, “kipishe kifurushi chako nipite.”

Yule maskini alimjibu, “kiinue tu ukiweke pembeni.” Tajiri huyo, alijaribu kukiinua kile kifurushi akakishindwa hata kukitikisa. Yeye aliona aibu sana aliposhindwa kukiinua hicho kifurushi. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “kifurushi cha maskini kilimuadhiri tajiri.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujiaibisha mwenyewe kwa kuzidharau kazi za wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa hazielewi thamani na faida za kazi za wenzake, kwa sababu ya dharau yake hiyo, maishani mwake. Yeye huendelea kujiaibisha mwenyewe kwa kuumbuka baada kushindwa kuzitekeleza kazi hizo za wenzake, alizozidharau kabla ya kuzitekeleza ili aufahamu ugumu wake.

Mtu huyo, hufanana na tajiri aliyeshindwa kukiinua kifurushi cha maskini alichokidharau, kwa sababu naye huzidharau kazi za wenzake, ambazo hata haziwezi kuzitekeleza. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kifurushi cha maskini kilimuadhiri tajiri.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na hekima ya kuthamini kazi za wenzao, katika maisha yao, ili waweze kuyatekeleza vizuri majukumu yao, maishani mwao.

Mathayo 6:1-4.

kanigo

kanigo1

ENGLISH: A POOR MAN’S BAG ASHAMED THE RICH.

There were two people who lived in a certain village. One was a rich one while the other was a poor who had his own package which he put down. The rich man scoffed at the package, saying, “Pick up your package and let me pass.”

The poor man replied, “Just lift it up and put it aside.” The rich man, however, tried to lift the parcel and could not even shake it. He was very embarrassed when he failed to pick up the package. That is why people told him that “a poor man’s bag ashamed the rich.”

This proverb is likened to a man who humiliates himself by despising the work of his fellows, in his life. This man does not understand the value and benefits of the work of his colleagues, because of his contempt in his life. He continues to humiliate himself by being miserable after failing to carry tasks of his colleagues, which he despised before doing them enough to understand their difficulties.

This person is like the rich man who failed to pick up the poor man’s package, because he also despises the work of his fellows, which he cannot even perform. That is why people say to him, “a poor man’s bag ashamed the rich.”

This proverb teaches people on the wisdom of valuing the works of others in their lives, so that they can fulfill well their daily responsibilities in their societies.

Matthew 6: 1-4.