Akahayile kenako, kingilile kuli munhu uyo aling’wiliguligu umukigelele kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alina mili uyo gwiligile kunguno ya gubyalwa chene. Uweyi agikalaga uyomba mihayo mingi iyo igabayanjaga abhiye kunguno ya gulomba wambilijiwa, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ng’wiliguligu alina mihayo mingi.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina nhungwa ja bhubhi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agitaga miito ga bhubhi ayo gagabhayanjaga abhiye, kunguno ya nhungwa jakwe ija bhubhi jinijo, umukikalile kakwe. Uweyi agadumaga uguyilela chiza ikaya yakwe kunguno ya kikalile kakwe akabhubhi kenako.
Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu ng’wiliguligu uo mihayo mingi, kunguno nuweyi, alina nhungwa ja bhubhi ijo jigabhayanjaga abhanhu bhakwe, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ng’wiliguligu alina mihayo mingi.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja bhubhi, umukikalile kakwe, kugiki bhadule gubhalela chiza abhanhu bhabho, umuwikaji bhobho.
Ufunuo 3:15-16.
Mathayo 21:28-31.
KISWAHILI: ALIYEPINDAPINDA ANA MANENO MENGI.
Msemo huo, ulitokea kwa mtu aliyepindapinda katika muonekano wake. Mtu huyo, ana mwili uliopindika kwa sababu ya kuzaliwa kwake akiwa na ulemavu huo. Yeye huwa anaongea maneno mengi ambayo huwasumbua wenzake kwa sababu ya kuomba masaada kwao. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “aliyepindapinda ana maneno mengi.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana tabia mbaya, katika maisha yake. Mtu huyo, hutenda matendo maovu ambayo huwahangaisha wenzake, kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya, katika maisha yake. Yeye hushindwa kuilea katika maadiri mema familia yake kwa sababu ya maisha yake hayo.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyepindapinda mwenye maneno mengi, kwa sababu naye ana tabia mbaya ambayo huwasumbua watu wake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “aliyepindapinda ana maneno mengi.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia mbaya, kwa kujijengea tabia njema, katika maisha yao, ili waweze kuwalea vyema watu wao, maishani mwao.
Ufunuo 3:15-16.
Mathayo 21:28-31.
ENGLISH: A CROOKED MAN’S MOUTH IS FULL OF WORDS.
This saying came from a man who was twisted in his appearance. He has a deformed body because of his birth defect. He often uttered many words that irritated his colleagues because of asking help from them. That is why people say to him, “a crooked man’s mouth is full of words.”
This saying is likened to a person who has bad habits in life. Such person commits a vicious act that disturbs others because of ungodly conduct in life. He/she fails to raise his family in good morals because of such lifestyle.
This person is like the bent over person who had many words, because he/she also has a bad attitude that bothers others in everyday life. That is why people say to him/her, “a crooked man’s mouth is full of words.”
This saying imparts in people an idea of stopping bad habits, by building good conducts with others in their lives, so that they can morally raise their people in their societies.
Revelation 3: 15-16.
Matthew 21: 28-31.
The “Related” feature is most interesting, that is, similar proverbs.
LikeLike