Ulusumo lunulo, lulolile mbina na mimbo gajo. Imbina jinijo jigabhinagwa na bhanhu ukunhu bhalimba mimbo ayo gajilanijije najo. Aliyo lulu, bhuli ng’wimbi agikalaga alidebhi ilyimbo lya gubhinila umumbina yiniyo, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “bhuli mbina yili na lyimbo lyayo.”
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo akadebhile akatumamile ka bhuli nimo uyo agagutumama, umukikallile kakwe. Umunhu ng’wunyo, akamanile agakashokeje ka bhuli mhayo uyo aliwilwa na bhiye umumahoya gakwe. Uweyi agabhalangaga abhanhu bhakwe inzila ja gubhiza ni kujo lya gutumila mihayo ikujo umumahoya gabho, bho kikalile kakwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ng’wimbi o mbina uyo wimbaga lyimbo lya mbina yiniyo, kunguno nuweyi akadebhile akatumamile ka bhuli nimo, umukikalille kakwe. Hunagwene abhanhu agabhawilaga giki, “bhuli mbina yili na lyimbo lyayo.”
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo lya gudebha mihayo ya guhoya na bhichabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele nabho, umuwikaji bhobho.
Mathayo 12:1-2.
KISWAHILI: KILA NGOMA INA WIMBO WAKE.
Methali hiyo, huangalia ngoma na nyimbo zake. Ngoma hizo huchezwa huku watu wakiwa wanaimba nyimbo zinazoendana nazo. Lakini basi, kwenye kila ngoma mwimbaji wake huwa anaufahamu wimbo wa kuichezea hiyo ngoma, katika maisha yake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kila ngoma ina wimbo wake.”
Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye anafahamu namna ya kuyatekeleza vizuri majukumu yake, katika maisha yake. Mtu huyo, anafahamu neno lenye busara itakiwayo kuwajibu watu anaoongea nao katika maongezi yake. Yeye huwafundisha pia wenzake namna hiyo ya kuwa na hekima ya kutumia maneno yenye busara katika maisha yao, kwa kupitia maisha yake.
Mtu huyo, hufanana na mwimbaji aliyeuelewa kuumba wimbo wa ngoma yake aliyokuwa akiicheza, kwa sababu naye anafahamu namna ya kuyatekeleza vizuri majukuma yake, katika maisha yake. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “kila ngoma ina wimbo wake.”
Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na hekima ya kutumia maneyo yenye busara katika kuyaelewa vizuri majukumu yao, maishani mwao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, siku zote.
Mathayo 12:1-2.