Justina

819. BHUNONU BHO CHAYI SUKARI.

Ichayi jilijing’wiwa ijo jigatumilaga na bhanhu bhingi. Aliyo lulu, ichayi yiniyo ulu idina sukari idabhizaga na bhunonu. Iyoyi mpaga igaditilagwa sukari naya nona lulu. Hunagwene abhahu bhagayombaga giki, “bhunonu bho chayi sukari.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhadililaga chiza abhanhu bho gulola bhumunhu bhobho, idi bho gulola mahanga gabho duhu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alina nhungwa ja wiza ijo jigang’wambilijaga ugubhitilia mito ga wiza abhiye, kunguno aidebhile isolobho  ya bhu munhu bhobho. Uweyi agapandikaga matwajo mingi umumilimo yakwe, kunguno ya gubhiza na wambilijiwa bho bhanhu bhingi abho bhatogilwe ugwikala nag’hwe, akahaya yakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni sukari iyo iganonhyaga chayi, kunguno nu weyi alina nhungwa ja wiza ijo jigabhudililaga ubhumunhu bho bhiye, umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “bhunonu bho chayi sukari.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na nhungwa ja wiza ija gubhambilija abhichabho bho gulola bhu munhu bhobho, kugiki bhadule gupandika mtwajo mingi, umubhutumami bho milimo yabho, shigu jose.

Mathayo 12:32-35.

KISWAHILI: UTAMU WA CHAI SUKARI.

Chai ni kinyaji ambacho watu wengi hukinywa. Lakini basi, chai hiyo, kama haijatiwa sukari huwa haiwi tamu. Yenyewe mpaka iwekewe sukari ndipo ipate utamu wake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “utamu wa chai sukari.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwajali vizuri watu kwa kuangalia utu wao, badala ya kuangalia sura zao tu, katika maisha yake. Mtu huyo, ana tabia njema ambayo humsaidia katika kutenda matendo mema, kwa wenzake, kwa sababu ya yeye kuwa na ufahamu juu ya utu wa watu wake hao. Yeye hupata mafanikio mengi katika utekelezaji wa majukumu yake, kwa sababu ya kupata msaada kutoka kwa watu wengi wanapenda kuishi naye, kwenye familia yake hiyo.

Mtu huyo, hufanana na sukari ambayo huleta utamu kwenye chai, kwa sababu naye anayo tabia njema ambayo humwezesha kuujali utu wa wenzake, katika maisha yake. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “utamu wa chai sukari.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema ya kuwasaidia wenzao, kwa kuuangalia utu wao bila kujali sura zao, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika utekelezaji wa majukumu yao, siku zote.

Mathayo 12:32-35.

ethiopia-tea

africa-tea

drink-

ENGLISH: THE SWEETNESS OF TEA IS SUGAR.

Tea is a beverage that most people drink. But then, if it is not added sugar, it is not sweet. It gets its sweetness when sugar is added to it. That is why people say, “the sweetness of tea is sugar.”

This proverb is likened to a man who cares deeply about people by looking at their personalities, rather than just their appearance in life. Such person has a good attitude that helps him in doing good deeds to others, because of him being aware of the dignity of them. He finds great success in fulfilling his responsibilities, because of the support of many people who like to live with him, in his family.

This person is like some sugar that brings sweetness to the tea, because he also has a good attitude that enables him to take care of his colleagues’ dignities in his society. That is why he tells people that, “the sweetness of tea is sugar.”

This proverb instills in people an idea on how to be good at helping others, by looking at their personalities regardless of their appearance, so that they can be more successful, in carrying out their daily responsibilities in their societies.

Matthew 12: 32-35.

818. ULULIMI LUGUBISHE KULWA JILIWA IDI BHO MIHAYO.

Ulusumo lunulo, lulolile lulimi na katumamile kalo. Ululimi lunulo, ulu lupya jiliwa jisebhu, nulu minzi masebhu, lugasadyaga. Aliyo lulu, uloyi nulu munhu uyomba mamihayo bho ululimu lokwe ayo gali mabhi, lugasadyaga. Gashinaga lulu, ili hambohambo ugusatya ulu wapyaga jiliwa gukila ugusatya bho mihayo iyo waombaga. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ululimu lugubishe kulwa jiliwa idi bho mihayo.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo, agalutumamilaga chiza ululimi lokwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agiganikaga tamu imhayo iyi ili ni kujo iyo idulile gubhalela chiza abhanhu bhakwe, naoyiyomba, kunguno adebhiye isolobho ya gulutumila chiza ululimi lokwe lunulo.

Isolobho jinijo, jili kihamo na gubhalumanya abhanhu bhakwe kugiki bhadule gwikala bho witogwi, umukikalile kabho. Uweyi agadebhile amakoye gaguyomba mihayo ya bhubhi, guti kuyomba majiduki ayo gagalisanyaga bhanhu mpaga bhabhulaga kaya jabho. Hunagwene agabhalangaga abhanhu kugiki bhatumile chiza indimi jabho, bho gubhawila giki, “ululimu lugubishe kulwa jiliwa idi bho mihayo.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gujitumila chiza indimi jabho, bho guyomba mihayo ikujo umumahoya gabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

1 Yohana 1:6.

KISWAHILI: ULIMI UKUCHOME KWA CHAKULA SIO KWA MANENO.

Methali hiyo, huangalia ulimu na matumizi yake. Ulimi huo ukiungua chakula cha moto, au maji ya moto, huuma. Lakini pia, mtu akiongea maneno mabaya kwa kuutumia ulimi huo, huuma.

Kumbe basi, ni afadhali kuuma kwa kuunguzwa na chakula cha moto au maji ya moto, kuliko kuumizwa kwa maneno uliyoyangea kwa kutumia ulimi huo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “ulimi ukuchome kwa chakula sio kwa maneno.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huutumia vizuri ulimi wake anapoongea na wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, hufikiria kwanza maneyo yenye hekima yanayoweza kuwalea vizuri watu wake, ndipo anayatumia wakati wa kuongea nao, kwa sababu anafahamu faida za maneno hayo, na hasara za kutumia maneno yasiyo na hekima, katika maisha yake.

Faida hizo, ni pamoja na kuwaunganisha watu wake kiasi cha kutosha kuwawezesha kuishi kwa upendo, katika familia zao. Yeye anazifahamu pia hasara za kuongea maneno mabaya kupitia ulimi wake ambazo ni pamoja na kuwagombanisha watu wake, na kusambalatisha miji au familia zao. Ndiyo maana huwafundisha watu juu ya kuzitumia vizuri ndimi zao, kwa kuwaambia kwamba, “ulimi ukuchome kwa chakula sio kwa maneno.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuzitumia vizuri ndimi zao, kwa kuongea maneyo yenye hekima wanapoongea na wenzao katika maisha yao, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

1 Yohana 1:6.

kitchen-

child3

smile

 

 

817. MAKOYE GAGAMANYICHAGA BHUMUNHU.

Amakoye jili jigemelo ja ng’wa munhu ijo jigolecha umo agiyumiligijaga, umukikalile kakwe. Ijigemelo jinijo jigolechaga matwajo gakwe umunhu ng’wunuyo ayo gagamanyichaga igiki alinshikanu, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “makoye gagamanyichaga bhumunhu.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agolechaga bhushikanu bho gwiyumilija ulu opandikaga mayange, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agolechaga wigulambija bhutale ubho bhugang’wambilija ugugamala wangu amakoye ayo alinago. Uweyi agadulaga uguginja amakoye gakwe genayo, nu gubhambilija abhiye abho bhali na mayange, kunguno ya wiyumilija bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Akahayile kenako, kagikolaga nu munhu uyo alina bhushikanu bho gwiyumilija gugamala wangu amakoye gakwe, kunguno nuweyi ali na wiyumilija bho gugamala wangu amakoye ayo alinago, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “makoye gagamanyichaga bhumunhu.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bho gubhambilija abhanhu bhabho ugugamala wangu amakoye gabho, kugiki bhadule gubhulang’hana chiza ubhumunhu bhobho, umuwikaji bhobho.

Yohane 4:1-2.

KISWAHILI: SHIDA HUDHIHIRISHA UTU.

Shida ni jaribu la mwanadamu ambalo huueleza uvumilivu wake katika mahangaiko ya maisha. Jaribu hilo, huonesha matunda ya mtu huyo ambayo huonesha ukomavu alizo nao katika kuvumilia mahangaiko yake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “shida hudhihirisha utu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huonesha hali ya uvumilivu mkubwa katika kuyatatua matatizo yake, maishani mwake. Mtu huyo, hujibidisha kutafuta njia za kuyamaliza matatizo yake kwa uvumilivu mkubwa. Yeye huweza kuyaondoa au kuyamaliza mapema matatizo yanayomkumba, na kuwasaidia pia wenzake walioko kwenye matatizo ili waweze kuondokana nayo, kwa sababu ya uvumilivu mkubwa alio nao, maishani mwake.

Msemo huo, hufanana na mtu yule aliye na uvumilivu wa kuyatatua matatizo yake mapema, kwa sababu naye, anao uvumilivu huo, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “shida hudhihirisha utu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuwasaidia katika kuyamaliza mapema matatizo yao, ili waweze kuulinda vizuri utu wao, maishani mwao.

Yohane 4:1-2.

africa1

injecting

taking madicine

ENGLISH: PROBLEMS MAKE ONE’S CHARACTER KNOWN.

Adversity is a human trial that describes his/her perseverance in anxieties of life. Such test, in turn, reflects person’s fruits, which also reflects his maturity in enduring his anxieties. That is why people say that, “problems make one’s character known.”

This saying is compared to a man who shows great patience in solving his problems in life. This person strives to find ways for solving his problems with great patience. He manages eradicate them that beset him. He can help those who are struggling to solve their problems, because of his great patience in eradicating them.

This man is similar to the person who has patience in solving his problems, because he, too, has that patience in his life. That is why people say to him that, “problems make one’s character known.”

The saying teaches people on how to be patient enough to help others solve their problems early, so that they can better protect their personality in their societies.

John 4: 1-2.

816. DIMAGA LUSHU ULYE NYAMA.

Imbuki ya kahayile kenako, ihoyelile munhu uyo agayelaga na lushu lokwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agalutumamilaga ulushu lwokwe nululo, bho guchembela ginhu iyo alajibhone uko alisiminzila. Uweyi ulu ushiga aho jiliho nyama adukoya uguichemba inyama yiniyo na guilya, kunguno alinajo ijitumamilo jakwe.

Aliyo lulu, umunhu uyo adina lushu, ulu usanga nyama aguduma ugupandika nulu kanofu, ulu adalombile gubhiye, kunguno adayelaga higiki, bho gwikala na jitumamilo jakwe, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “dimaga lushu ulye nyama.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga higiki bho gujiyelana ijitumamilo jakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga wibhegelejije chiza ijinabhutumami bho milimo yakwe ni jinagubhambilija abho bhali makoye, kunguno ya kujikalana makanza gose ijitumamilo jakwe.  Uweyi agapandikaga matwajo mingi umubhutumami bho milimo yakwe, kunguno ya gwikala higiki bho gujikalana chiza ijitumamilo jakwe jinijo.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agikalaga higiki bho guyela na lushu lokwe, kunguno nuweyi agikalaga higiki bho gujikalana chiza ijitumamilo jakwe, umukikalile kakwe. Uweyi agabhalangaga abhanhu bhakwe nzila ja gwikala higiki bho gujikalana chiza ijitumamilo jabho. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “dimaga lushu ulye nyama.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwikala higiki bho gujikalana chiza ijitumamilo jabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Mathayo 25:10-13.

KISWAHILI: SHIKA KISU ULE NYAMA.

Chanzo cha msemo huo, chamongelea mtu ambaye hutembea na kisu chake, katika maisha yake. Mtu huyo, hukitumia kisu chake hicho, kwa kukatia kitu chochote anacho kiona kule atembeleako. Yeye akikuta nyama hatahangaika kuikata na kuila kwa sababu anacho kitendea kazi chake.

Lakini basi, mtu yule ambaye hana kisu akituta nyama atashindwa kupata hata mnofu mdogo, kwa sababu ya kutokujiweka tayari, katika maisha yake. Ndiyo  maana watu humwambia kwamba, “shika kisu ule nyama.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa amejiweka tayari kwa kutembea akiwa na kitendea kazi chake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa amejiandaa katika utekelezaji wa majukumu yake, yakiwemo yale ya kuwasaidia watu walioko kwenye matatizo, kwa sababu ya kuwa nacho muda wote kitendea kazi chake hicho. Yeye hupata mafanikio mengi katika utendaji wake wa kazi kwa sababu ya kujiweka tayari kwa kutendea akiwa na kitendea kazi chake hicho.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa tayari kwa kutembea akiwa na kisu chake kokote alikoenda, kwa sababu naye huwa yuko tayari kwa kutembea akiwa na kitendea kazi chake hicho, katika maisha yake. Yeye huwafundisha pia watu wake namna ya kuwa na vitendea kazi vyao popote wanapoenda. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “shika kisu ule nyama.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujiweka tayari muda wote kwa kutembea wakiwa na vitendea kazi vyao, katika maisha yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Mathayo 25:10-13.

cut-meat-

meat-

 ENGLISH: GET HOLD OF A KNIFE AND EAT MEAT.

The cradle of the above saying speaks of a man who walks with a knife in life. This man was using his knife to cut anything which he saw on his way. If he found meat, he would not bother to cut it and eat because he had a tool cutting it.

But then, the man who does not have a knife will not be able to get even a little meat, because of his unpreparedness in his life. That is why people say to him that, “get hold of a knife and eat meat.”

This saying is compared to a person who is prepared enough to walk with a tool in life. This person carries out his or her responsibilities, including helping those who are in need, because of being prepared. He/she achieves great success in daily works because of his/her willingness to use his/her tool whenever it is needed.

This person is like the one who walked with his knife wherever he went, because he walks with his tool in his life. He also teaches his people on how to be with their tools wherever they go. That is why he tells them that “get hold of a knife and eat meat.”

This saying teaches people on how to be prepared all the time by walking with their tools, in their lives, so that they can have more success in their societies.

Matthew 25: 10-13.

815. UMHAYO UNG’WIZA GUDADUTAGA BHINGI.

Ulusumo lunulo, lulolile bhudamu bho gubokelwa bho mhayo uyo guligowiza, umukikalile ka bhabhu. Aliyohi ng’walimu umo uyo agabhabhilinga bhanhu bha munzengo, kugiki wize abhawile mhayo go gubhasomisha abhana bhabho. Aho bhiza aha lugiko abhanhu bhenabho, agabhawila, “bhachalagi bhagasome abhana bhing’we, kugiki bhize bhadule gung’wambilija aha shigu ja ha bhutongi.”

Nhamhala umo agashosha, “dududula gubhalecha abhana bhise milimo ya gudima mitugo kunguno ya kusoma.” Ung’walimu ng’winuyo agashosha, “unimo go gusoma gulina solobho nhale gukila ugudima imitugo, kunguno ubhusomi bhugalangaga mingi iyo ilikihamo nu gujipandika imitugo na gujilang’hana chiza.”

Aho obhalomela chene ung’walimu ng’wunuyo, bhagehu bhabho bhagazunya ugubhasomisha abhana bhobho. Abhana bhenabho, bhagasoma mpaga bhubhiza matongeji bhatale bha si yabho. Hunabhandya bhanhu bhingi ugubhasomisha abhanha bhabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “umhayo ung’wiza gudadutaga bhingi.”

Ulusumo lunulo, lugenganijiyagwa kuli munhu uyo agiyumilijaga kubhalanga mihayo ya ng’hana abhiye mpaga bhayidebha, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, abhudebhile ubhudamu bho guzunyiwa bho mhayo ugong’hana  na bhanhu abho bhaligwigwa lukangala lo gwandya. Hunagwene uweyi agikomeja gugushokela mara hingi umhayo gunuyo, mpaga bhadula gugwelewa chiza, abhanhu bhakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ng’walimu uyo agabhalanga bhanhu solobho ya gubhasomisha abhana bhabho, kunguno nuweyi agiyumilijaga ugubhatongela abhiye imihayo ya ng’hana, mpaga bhayidebha chiza, umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “umhayo ung’wiza gudadutaga bhingi.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwiyumilija guidimilila mihayo ya wiza, bho gubhalanga abhichabho imihayo yiniyo, kugiki bhadule kupandika bhatongeji bhawiza, umuwikaji bhobho.

Marko 16:9-13.

KISWAHILI: NENO JEMA HALIWAVUTII WENGI.

Methali hiyo, huangalia ugumu wa neno jema kupokelewa na watu, katika maisha yao. Alikuwepo mwalimu mmoja ambaye aliitisha mkutano wa wanakijiji ili awaeleze juu ya umuhimu wa kuwasomisha watoto wao. Walipofika kwenye mkutano huo, aliwaambia, “wapelekeni shule watoto wenu wakasome ili waweze kuja kuwasaidia kwenye siku za mbeleni.”

Mzee mmoja alijibu, “hatuwezi kuachisha kazi za kuchunga mifugo watoto wetu kwa sababu ya kusoma.” Mwalimu huyo alijibu, “kazi ya kusoma ni kubwa kuliko kuchunga mifugo, kwa sababu elimu hufundisha mengi, ambayo ni pamoja na namna ya kuipata mifugo hiyo, na njia za kuitunza vizuri.”

Mwalimu alipowaeleza hivyo, bhadhi yao hao wanakijiji walikubali kuwapeleka watoto wao shuleni. Watoto hao, walifaulu hadi wakafikia hatua ya kuwa viongozi wakubwa nchi yao.  Wanakijiji walipoona hivyo, wengi wao walianza kuwasomesha watoto wao. Ndiyo maana watu husema kwamba, “neno jema haliwavutii wengi.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvumilia katika kuwafundisha watu wake ukweli wa kitu chema kitakachoweza kuwasaidia, hadi wanakielewa vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, anauelewa ugumu wa kupokelewa kwa kitu chema, kwa wale wanaokisikia kwa mara ya kwanza. Yeye huendelea kukirudia kitu hicho kwa watu hao, mpaka wanakielewa vizuri, kiasi cha kutosha kufaidika nacho, maishani mwao.

Mtu huyo, hufanana na yule mwalimu aliyewaelimisha wanakijiji wake juu ya kuwasomesha watoto wao, hadi wakamwelewa, kwa sababu naye huvulimia katika kuwaelimisha watu juu ya ukweli wa kitu chema kiwezacho kuwasaidia katika maisha yao. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “neno jema haliwavutii wengi.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kutosha katika kuwaelimisha wenzao, juu ya kitu chema kiwezacho kuwasaidia, katika maisha yao, ili waweze kupata viongozi bora, maishani mwao.

Marko 16:9-13.

people-class

farmer3

ENGLISH: THE GOOD WORD DOES NOT ATTRACT MANY.

This proverb looks at a difficulty of people to receive a good word in their lives. There was a teacher who convened a village meeting to explain about an importance of educating their children. When they arrived at the meeting, he told them, “Send your children to school so that they can come and help you in the future.”

An elder one replied, “We cannot stop our children from the work of herding because of studying.” The teacher replied, “The task of studying is bigger than that of herding livestock, because education teaches a lot, which includes how to get livestock, and how to take good care of them.”

When the teacher told them so, the villagers agreed to send their children to school. Their children succeeded until they reached the point of becoming leaders of their country. Seeing this, many of the villagers allowed their children to go to schools. That is why people say that “good word does not attract many.”

This proverb is likened to a man who perseveres in teaching his people the truth of something which is good that will help them, until they understand it well, in his life. This person understands a difficulty of receiving something which is good, to those who hear it for the first time. He keeps on repeating the same thing to them, until they understand it well enough to benefit from it in their lives.

This man is like the teacher who taught the villagers to educate their children by allowing them to go to school, until they understood him, because he also perseveres in educating people about the truth of something which is good that can help them in their lives. That is why he tells people that “the good word does not attract many.”

This proverb teaches people about being patient enough to educate others, on something which is good that can help them in their future lives, so that they can find good leaders in their societies.

Mark 16: 9-13.