Justina

843. ONIFUMAGA UMU MISO.

Akahayile kenako, kalolile bhudumi bho gundebha munhu ubho gunhola bho miso. Umunhu ulu utung’wana na ng’wiye uyo adumanaga aliyo uweyi andebhile, agayombaga giki, “onifumaga umu miso.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adatumamaga imilimo iyo adayidulile, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhalekelaga bhiye uguitumama imilimo iyo ikilanijije, ubhudula bhokwe, kunguno ya widohya bhokwe, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandika matwajo mingi umubhutumami bhokwe bhunubho, kunguno ya guidilila chiza imilimo iyo ayidulile, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agaduma ugunmana ung’wuye umu miso gakwe, kunguno nuweyi adaitumamaga imilimo iyo adaimanile, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “onifumaga umu miso.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na widohya bho guyitumama imilimo iyo bhayidebhile na gubhalekela bhangi abho bhayidebhile, iyo bhadayimanile abhoyi, umukikalile kabho, kigiki bhadule gupandika sabho ningi ja gujibheja chiza ikaya jabho.

Marko 10: 17-21.

KISWAHILI: UMENITOKA MACHONI.

Msemo huo, huangalia ushindwaji wa kumfahamu mtu kwa kumwangalia kwa macho. Mtu akikutana na mwenzake ambaye hushindwa kumfahamu ambaye yeye anamfahamu, humwambia kwamba, “umenitoka machoni.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hazitekeleza kazi zile ambazo hazifahamu, katika maisha yake. Mtu huyo, huwaachia wenzake wanaozifahamu zile kazi asizozifahamu ili wao wazifanye, katika maisha yake, kwa sababu ya unyenyekuvu wake. Yeye hupata mafanikio mengi katika utekelezaji wa majukumu yake, kwa sababu ya kuzitumia nguvu zake kwenye kazi anazozielewa vizuri, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeshindwa kumfahamu kwa macho yake yule waliyekutana naye, kwa sababu naye huwa hayatekelezi majukumu yale ambayo hayafahamu, katika maisha yake. Ndiyo maana husema kwamba, “umenitoka machoni.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na unyenyekevu wa kuyatekeleza majukumu yale ambayo wanayafahamu, na kuwaachia wenzao wanaoyahafahamu yale wasiyoyafahamu wao, katika maisha yao, ili waweze kupata mali nyingi za kutosha kuziendeleza vizuri familia zao.

Marko 10: 17-21.

eyes thinking

girl--

ENGLISH: YOU HAVE GONE OUT OF MY EYES.

This saying looks at a situation of failing to recognize someone on the way to somewhere. Such situation takes place when people who knew each other meet on the way, but one of them fail to remember the other.  The one who does not remember the other says, “you have gone out of my eyes.”

This saying is applied to a man who does not perform tasks which he does not know in his life. This man leaves to his acquaintances that have knowledge on what seems to be unfamiliar tasks to him, so that they can perform them well, because of his humility. He achieves great success in fulfilling his responsibilities, because of applying his energies to the work which he understands well in life.

This man resembles the one who failed to recognize someone whom he/she met, because he also does not perform the duties which he is not aware of them in life. That is why he says, “you have gone out of my eyes.”

This saying teaches people on how to be humble enough to carry out their tasks which they know, and leave to others who understand what they do not discern in their lives, so that they can have enough properties for developping their families.

Mark 10: 17-21.

842. GULUTA LISO.

Akahayile kenako, kalolile bhuluti bho liso bho gulola mpaga kule. Umunhu ulu ujilola ginhu ijo jilikule mumho olitaga liso. Umunhu ng’wunuyo, agajibhonaga iginhu ginijo bho kule mpaga ojidebha chiza. Hunagwene agikalaga atogilwe ugujimana ijikolo bho, “guluta liso.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agaidetaga chiza tamu imilimo yakwe, na oyitumama, umukikalile kakwe. Umunhu ng’winuyo, agitaga bhukengeji bho milimo yakwe yiniyo, haho atali uguyandya uguyitumama, kunguno ahayile aidebhe chiza. Uweyi agapandikaga sabho ningi umu milimo yakwe, kunguno ya gwita bhukengeji bhunubho ubho bhugang’winhaga wasa bho guitumama chiza milimo iyo ayidebhile chiza, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agaluta liso lyakwe mpaga ujibhona ginhu ijo jili kule, kunguno nuweyi agayidetaga tamu imilimo yakwe, na oyitumama, umukikalile kakwe. Uweyi agabhalangaga na bhiye inzila ja guideta chiza imilimo yabho, haho bhatali uguitumama, kugiki bhadule  gupandika sabho ningi, umu bhutumami bho milimo yabho. Hunagwene agabhawilaga abhanhu bhayidete tamu imilimo yabho bho, “guluta liso.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guyideta chiza tamu imilimo yabho bho guyitilila bhukengeji haho bhatali uguitumama, kugiki bhadule gupandika sabho ningi umu bhutumami bho milimo yabho yiniyo.

Mathayo 5:25-29.

Yohana 8:1-11.

Matendo ya mitume 5:34-39.

KISWAHILI: KUTUPA JICHO.

Msemo huo, huangalia utupaji bho jicho kwa kuangalia kitu kwa mbali. Mtu akikiangalia kitu kwa mbali hivyo, ndiyo kusema kwamba, ametupa jicho. Mtu huyo, hukiona kwa mbali kitu hicho na kukielewa. Ndiyo maana huwa anapenda kufahamu vitu kwa “kutupa jicho.” 

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa anaifikiria kwanza kazi anayotaka kuifanya, ndipo anayitekeleza, katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya utafiti wa kazi zake kabla ya kuanza kuzitekeleza, kwa sababu anataka kuzielewa vizuri. Yeye hufanikiwa kupata mali nyingi kwenye kazi zake hizo, kwa sababu ya kuzifanyia utafiti huo ambao humpa nafasi ya kuyatekeleza vizuri majukumu anayoyaelewa, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule ambaye alitupa jicho lake akaviona vitu vile vilivyokua mbali, kwa sababu naye huzifanyia utafiti kazi zake kwanza ndipo anazitekeleza, katika maisha yake. Yeye huwafundisha wenzake njia za kuzifikiria vizuri kazi zao, kabla hawajazitekeleza, ili waweze kupata mali nyingi, katika utekelezaji wa majukumu yao. Ndiyo maana huwa anawaambia watu wazifanyie utafiti kazi zao kwa “kutupa jicho.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuzifanyia utafiti vizuri kazi kabla ya kuzitekeleza, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika utekelezaji wa majukumu wao.

Mathayo 5:25-29.

Yohana 8:1-11.

Matendo ya mitume 5:34-39.

joseph-

african-child--

portrait-

ENGLISH: TO THROW AN EYE (EYES ARE ALWAYS INQUISITIVE).

This saying looks at an event of somebody who looks at something from a distance. If a person manages to know what he/she see from such a distance, he/she is considered to have thrown an eye. Such person understands that which he/she has seen from that distance. That is why people like “to throw an eye (eyes are always inquisitive).”

This saying is compared to a person who thinks first about the work which he/she wants to do, enough to understand and do it well in life. Such person does research on his or her works before embarking on them, because he or she wants to understand them better. He/She manages to make a lot of successes in life because of that research that gives Him/her an opportunity to fulfill daily responsibilities in life.

This person like the one who cast his/his eyes by looking at something from a distance, and  saw the things that were far off, because he/she researched the works first before doing them enough to understand and fulfil them in life. He/she teaches others on how to think carefully about their works, before they fulfil them, so that they can get more wealth, in their daily duties. That is why he/she often tells people that before starting their works, they have “to throw an eye (eyes are always inquisitive).”

This saying imparts in people an idea on how to do their research well before implementing their ideas in their daily works, so that they can be more successful in fulfilling their responsibilities.

Matthew 5: 25-29.

John 8: 1-11.

Acts 5: 34-39.

841. YISE BHA MAKOYE.

Olihoyi munhu uyo ozwanjiwagwa na makoye aha kaya yakwe. Amakoye genayo, galigadashilaga aha ng’wakwe henaho, kunguno ulu olimala ilimo ligela lingi. Umunhu ng’wunuyo, kihamo ni kaya yakwe, nose bhagagwa ng’holo, umukikalile kabho, kunguno ya gwikala mumakoye bho makanza malihu. Hunagwene bhagayombaga giki, “yise bha makoye.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali bhahabhi, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagabhizaga na jiliwa jigehu noyi aha kaya yabho, kunguno ya kupandika jiliwa jigehu jinijo umubhutumami bho milimo yabho. Abhoyi bhagalyaga jiliwa ja gumana bhilombejeja mumakaya ga bhangi, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga nuyo wikalaga agukoyiyagwa na makoye abha kaya yakwe, kunguno na bhoyi bhagakoyiyagwa na makoye ga gugayiwa jiliwa, umukikalile kabho. Hunagwene bhagayombaga giki, “yise bha makoye.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho bho nguzu, umukikalile kabho, kugiki bhadule gupandika matwajo ga gubhingija makoye ga nzala, umu kaya jabho.

Mathayo 14:34-36.

Mathayo 5:3-9.

KISWAHILI: SISI WA MATATIZO.

Alikuwepo mtu ambaye alikuwa akisumbuliwa na matatizo kwenye familia yake. Matatizo hayo, yalikuwa hayaishi kwenye familia hiyo, kwa sababu yalikuwa yakifuatana moja baada ya jingine. Mtu huyo, pamoja na familia yake, mwishowe walifikia hali ya kukata tamaa, katika maisha yao, kwa sababu ya kusumbuliwa na matatizo hayo, kwa muda mrefu. Ndiyo maana huwa wanasema kwamba, “sisi wa matatizo.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao ni maskini, katika maisha yao. Watu hao, huwa wana chakula kidogo kwa sababu ya kupata hicho kidogo kwenye kazi zao. Wao huwa wanakula chakula cha kuombaomba kwenye familia za wenzao, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na yule aliyeishi kwa kusumbuliwa na matatizo kwenye familia yake, kwa sababu nao huwa wanasumbuliwa na matatizo hayo ya kukosa chakula, katika maisha yao. Ndiyo maana huwa wanasema kwamba, “sisi wa matattizo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao kwa nguvu, katika maisha yao, ili waweze kupata mafanikio ya kuwaondolea tatizo la njaa, kwenye familia zao.

Mathayo 14:34-36.

Mathayo 5:3-9.

people--

homeless-

old-

ENGLISH: WE ARE OF PROBLEMS (Problems are part of human nature).

There was a man who was suffering from various problems in his family. These problems existed in his family one after the other. He along with his family eventually came to a state of despair in life, because of suffering from those problems for a long time. That is why they said, “We are of problems (problems are part of human nature).”

This saying is compared to people who are poor in their lives. These people tend to have less food because they get less of it at work. They often eat food which they beg from other families in their daily lives.

These people are like the man who lived with various problems in his family, because they also suffer from these problems of malnutrition in their families. That is why they often say, “we are of problems (problems are part of human nature).”

This saying instills in people an idea on how to work hard in their daily lives, so that they can be successful in eliminating hunger from their families.

Matthew 14: 34-36.

Matthew 5: 3-9.

840. NADIDUJIJE.

Akahayile kenako, kalolile bhukuji bho ng’wa munhu nhebhe. Ubhukuji bhunubho bhugabhizaga bho namhala, nulu ngikulu uyo omala inguzu jakwe ija guitumama imilimo yakwe bho weyi ng’winikili. Unkuji ng’wunuyo, agikalaga bho gwambilijiwa na bhiye abho bhatali najo inguzu jabho. Hunagwene agayombaga giki, “nadidujije.”

Akahayile kenako, kagalenagnijiyagwa kuli munhu uyo adadulile ugwikala bho nduhu gwambilijiwa na bhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adidulije kunguno ya bhusatu, nulu jika josejose ijo jiganemejaga uguitumama imilimo yakwe, umukikalile kakwe. Uweyi agikalaga bho gukoyakoya ugupandika ijiliwa ni jizwalo jakwe, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu namhala, nulu ngikulu uyo agikalaga bho gwambilijiwa na bhiye, kunguno nuweyi agikalaga bho gwambilijiwa na bhiye chiniko, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “nadidujije.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bho gubhambilija ugugamala wangu amakoye gabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho bhuyeji, shigu jose.

Mathayo 14:34-36.

Mathayo 5:3-9.

KISWAHILI: SIJIWEZI.

Msemo huo, huangalia kukua kwa mtu fulani. Kukua huko ni ile hali ya kufikia uzeeni kwenye hatua ambayo mtu hukosa nguvu za kujitegemea mwenyewe. Mzee huyo, huwa anaishi kwa kusaidiwa na wenzake ambao bado wanazo nguvu hizo. Ndiyo maana huwa anasema kwamba, “sijiwezi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hawezi kuishi bila kusaidiwa na wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa hawezi kujitegemea kwa sababu ya ugonjwa, au kilema fulani ambacho humzuia kuyatekeleza majukumu yake, katika maisha yake. Yeye huwa anaishi kwa kuhangaika katika kupata chakula, na mavazi yake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na mzee yule aliyeishiwa nguvu za kumwezesha kujitegemea mwenyewe, kwa sababu naye huwa anaishi kwa kusaidiwa na wenzake, katika maisha yake. Ndiyo maana huwa anasema kwamba, “sijiwezi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuwasaidia katika kuyatatua matatizo yao, maishani mwao, ili waweze kuishi kwa furani siku zote.

Mathayo 14:34-36.

Mathayo 5:3-9.

elderly-

old-

elder-

ENGLISH: I AM INCAPABLE.

This saying looks at the growth of a person. Growing up is the process of reaching old age at a time when a person lacks self-reliance in life. The old person lives with the help of others who still have that power. That is why this person often says, “I am incapable.”

This saying is likened to the person who cannot live without the help of others in life. Such person is not able to stand on his/her own because of an illness, or disability that prevents him/her from fulfilling the responsibilities in life. He/She lives by hardly getting food, and clothes in life.

This person is like the old person who had lost the ability to be self-supporting in life, because he/she too lives with the help of others in life. He/she does not depend on him/herself.  That is why he/she often says, “I am incapable.”

This saying teaches people on how to be patient enough to help each other in solving their problems in lives, so that they can live happily in their societies.

Matthew 14: 34-36.

Matthew 5: 3-9.

 

 

839. GWIMA BHO GUNENEKEJA.

Akahayile kenako, kingilile kuwimiji bho gutumila gugulu gumo. Uwimiji bhunubho, bhudi bho gwisendamija hanhu, kunguno bhudi bho magulu abhili. Ubhoyi bhudi bho gwima higiki, kunguno bhuli bho gugulu gumo duhu uyo gudadulile ugugubhucha umili ngima kulikanza lilihu. Hunagwene abhanhu bhagawitanaga giki, “gwima bho gunenekeja.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adimaga higiki bho gubhutumila chiza ubhudula ubho alinabho, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adagatumilaga chiza amasala gakwe ni nzugu ijo alinajo ijinagwiyenhela maendeleo aha kaya yakwe, kunguno ya gusendamila gwambilija na bhangi, umuwikaji bhokwe. Uweyi agadumaga uyibheja chiza ikaya yakwe, kunguno ya gukija ugujitumila chiza inguzu jakwe, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo oliwimila bho gugulu gumo, kunguno nuweyi adabhutumilaga chiza ubhudula bhokwe ijinagwima higiki, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki atogilwe, “gwima bho gunenekeja.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwima higiki bho gujitumamila chiza pye inguzu jabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwimila bho magulu abhili, ijinagujibheja chiza ikaya jabho.

Marko 1:46-52.

KISWAHILI: KUSIMAMA KWA KUNING’INIA.

Msemo huo, ulitokea kwenye usimamaji wa kutumia mguu mmoja. Usimamaji huo, siyo wa kuegemea kwenye kitu chochote, kwa sababu hautumii miguu miwili. Wenyewe siyo wa kuwa imara kwa sababu ni wa kutumia mguu mmoja ambao hauwezi kuubeba mwili mzima kwa muda mrefu. Ndiyo maana watu huuita kwamba, ni “kusimama kwa kuning’inia.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hautumii vizuri uwezo wake wote, kwa kujitegemea, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa hazitumii vizuri akili zake wala uwezo alionao katika kujiletea maendeleo kwenye familia yake, kwa sababu ya kujijengea tabia ya kuwategemea wengine, maishani mwake.  Yeye hushindwa kuindeleza vizuri familia, kwa sababu ya kutokutumia vizuri nguvu zake, katika utekelezaji wa majukumu yake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyesimama kwa kutumia mguu mmoja, kwa sababu naye huwa hautumii vyema uwezo wake katika kujiletea maendeleo, kwenye familia yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, anapenda “kusimama kwa kuning’inia.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuutumia uwezo wao wote, na akili zao katika kuyatekeleza vyema majukumu yao, maishani mwao, ili waweze kusimama kwa miguu miwili katika kuziendeleza vyema familia zao.

Marko 1:46-52.

masai-1

river-trading-

standing-

ENGLISH: TO STAND UNSTEADILY.

This saying came from one-legged way of standing of somebody. Such a standing is not dependent on anything, because it does not use two legs. It is not strong enough to support the body because it is of one leg that cannot carry the whole body for a long time. That is why people call it, “to stand unsteadily.”

This saying is applied to a person who does not make good use of all his/her abilities, independently in life. Such person does not make good use of his or her intelligence or ability to bring about development in his or her family, because he or she builds a habit of relying on others in his or her life. He/she fails to properly develop the family, because of misusing power, in fulfilling his/her daily duties in life.

This person is like the one who stood on one leg, because he/she also does not make good use of his/her ability enough to bring about development to the family. That is why people tell him/her that he/she has “to stand unsteadily.”

The saying imparts in people an idea on how to use their full potentials and their minds in fulfilling their responsibilities in their lives, so that they can stand on their own two feet in taking caring of their families.

Mark 1: 46-52