Fr. Zakaria Kashinje

768. LUPI LWA NG’WITOGWI LUDAMINYAGA.

Bhalihoyi bhanhu abho bhalibhitogilwe, umukikalile kabho. Aliyo lulu, abhanhu bhenabho, nhangala ningi bhikalaga bhagwitulaga mapi. Amappi gabho galigadabhaminyaga kunguno ya witogwi bhobho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “Lupi lwa ng’witogwi ludaminyaga.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagikalaga bhitogilwe akahaya yabho. Abhanhu bhenabho, bhadadilaga ugwilekeja ulu bhidumaga, kunguno ya wiyumilija bhobho ubho wikala kihamo. Abhoyi bhagatumamaga kihamo imilimo yabho, kunguno ya witogwi bhobho bhunubho, umukikalile kabho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga na bhitogwi abho bhagilekejaga wangu ulu bhidumaga, kunguno na bhoyi bhagilekejaga ulubhidumaga na gwiyumilija gutumama milimo yabho kihamo, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “Lupi lwa ng’witogwi ludaminyaga.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na witogwi bho gwilekeja wangu ulu bhidumaga, umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gwiyumilija uguitumama chiza milimo iyagujibhegeja ikaya jabho.

Mithali 3:11-12.

Ayubu 5:17-20.

Waebrania 12:5-6.

KISWAHILI: KOFI LA MPENZI HALIUMIZI.

Walikuwepo watu ambao walikuwa wanapendana sana. Lakini basi watu hao walikuwa wapigana makofi mara kwa mara. Makofi yao yalikuwa hayawaumizi, kwa sababu ya upendo wao walio nao kwa kila mmoja. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kofi la mpenzi haliumizi.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa watu wale wanaoishi kwa upendo, kwenye familia yao. Watu hao, hupatana mapema wanapokosana, kwa sababu ya uvumilivu wao wa kuishi pamoja. Wao hutekeleja makukumu yao, kwa ushirikiano wa pamoja, kwa sababu ya upendo walionao, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wapenzi wanaosameheana mapema kila wanapokosana, kwa sababu nao husameheana na kuvumiliana katika utekelezaji wa majukumu yao, maishani mwao. Ndiyo maana, watu huwaambia kwamba, “kofi la mpenzi haliumizi.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na upendo wa kusameheana mapema wanapokoseana, maishani mwao, ili waweze kuvumiliana pamoja katika ushirikianao wao ya kuyatekeleza vizuri majukumu ya kuziendeleza familia zao.

Mithali 3:11-12.

Ayubu 5:17-20.

Waebrania 12:5-6.

ENGLISH: A LOVER’S SLAP NEVER HURTS.

There were people who were very much in love for each other. But they were constantly clapping each other in their daily lives. Their applause did not hurt them, because of their love for each other. That is why people say, “a lover’s slap never hurts.”

This proverb is compared to people who love each other in their family. These people get along early even when they quarrel, because of their patience which is strong enough to live together. They carry out their duties, by having mutual co-operations, because of the love they have for each other in their lives.

These people are like lovers who forgave each other early in their lives after quarreling, because they also forgive and tolerate each other in the discharge of their responsibilities, in their lives. That is why people tell them, “a lover’s slap never hurts.”

This proverb teaches people to have a genuine love that can enable them to forgive each other as soon as they have wronged each other, in their lives, so that they can tolerate each other in their co-operations for fulfilling their daily responsibilities enough to develop their families.

Proverbs 3: 11-12.

Job 5: 17-20.

Hebrews 12: 5-6.

767. MINO GAPE KUDI MOYO.

Akahayile kenako, kalolile bhupe bho mino ga ng’wa munhu. Abhanhu abho bhalimona umunhu ng’wunuyo bhagagalolelaga amino agape genayo. Ulu bhagabhona bhagagalenganijaga nu moyo go ng’wa munhu uyo alina bhuyegi nabhiye, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’witanaga giki, “mino gape kudi moyo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina moyo go gwikala chiza na bhanhu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alina bhutogwa bho nhana ukubhunhu. Uweyi agatumamaga milimo yakwe bho moyo gope, kugiki adule gupandika jikolo ja kutumamila na gubhambilija abhiye abho bhali na makoye.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuo mino gape guti moyo, kunguho nuweyi aina moyo gope, ugo gwikala chiza na bhanhu. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “mino gape kudi moyo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na moyo go bhutogwa bho gwikala na bhanhu chiza, umukikalile kabho, kugiki bhadule gutumama milimo yabho bho mholele. Igelelilwe abhadebhe igiki, ubhiza bho ng’wa munhu bhuli mu moyo gokwe.

Mathayo 7:15-19.

1 Yohana 4:1-3.

KISWAHILI: MENO MEUPE KAMA MOYO.

Msemo huo, waangalia weupe wa meno ya mtu. Watu wanaokutakana naye mtu huyo huyaona Meno yake hayo meupe. Wanapoyaona huyalinganisha na moyo wa mtu anayeishi vizuri na watu. Ndiyo maana watu hao humwita kwamba ni “Meno meupe kama moyo.”

Msemo huyo hulinganishwa kwa mtu yule aliye na moyo wa kuishi vizuri na watu, katika maisha yake. Mtu huyo, ana upendo wa kweli kwa watu anaoishi nao. Yeye hufanya kazi zake kwa kushirikiana vizuri na wenzake ili aweze kupata mafanikio ya kutumia yeye na kuwasaidia wahitaji.

Mtu huyo, hufanana na yule aliye na meno meupe kama moyo, kwa sababu naye ana moyo wenye upendo wa kuishi vizuri na watu, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwita kwamba ni “Meno meupe kama moyo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa wenye moyo wa upendo wa kuishi vizuri na wenzao, katika maisha yao, ili waweze kuyatekeleza majukumu yao kwa amani maishani mwao. Yafaa waelewe pia kwamba uzuri wa mtu uko kwenye moyo wake.

Mathayo 7:15-19.

1 Yohana 4:1-3.

white teeth

african-girl

laugh

ENGLISH: WITH TEETH AS PURE AS THE HEART.

The above saying looks at the whiteness of one’s teeth. People who meet such a person see his/her white teeth. When they see them, they compare them to the heart of a person who lives well with others in their societies. That is why they say, “with teeth as pure as the heart.”

This saying is applied to the person who lives well with people in the daily life. Such person, in turn, has genuine love to the people around him/her. He/she does his/her job by cooperating well with others so that they can together find success in using their talents for helping those who in great need.

This person is like the one who has white teeth like a heart; because he also has a loving heart enough to live well with people, in life. That is why people call him/her the “with teeth as pure as the heart.”

This saying teaches people about having a loving heart for living well with their societal members, in their lives, so that they can peacefully carry out their responsibilities in their lives. They should also understand that a person’s beauty is in his/her heart.

Matthew 7: 15-19.

1 John 4: 1-3.

766. GUMILA IGUHA UDALAGANILE NA MILO.

Ulusumo lunulo, lulolile munhu uyo alimila iguha aliyo lulu umilo gokwe adagubhegelejije chiza. Olihoyi munhu uyo olyaga nyama kihamo na maguha gajo. Ohayimanila onigwa iguha aha milo gokwe kunguno oliadajibhegelejije chiza ijimilo jakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agabhiza uduuma ugulya kunguno ya gumila iguha bho nduhu ugulagana chiza nu milo gokwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki idichiza, “gumila iguha udalaganile na milo.

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga nimo uyo adina bhudula nago, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adibhegelejaga chiza haho atale ugugwandya unimo gokwe. Adaimalaga imilimo yake kunguno ya gukija guidilila chiza, umukikalile kakwe. Uweyi agapandikaga makoye ga gugayiwa ijiliwa, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agamilaga iguha bho nduhu ugujibhegeleja chiza ijimilo jakwe, kunguno nuweyi agatumamaga milimo bho nduhu ugwibhegeleja chiza, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, idichiza “gumila iguha udalaganile na milo.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gudilila milimo yabho bho gwibhegeleja chiza haho bhatali uguyandya uguitumama, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Luka 14:28-30.

KISWAHILI: KUMEZA MFUPA HUKUAHIDIANA NA KOLOMEO.

Methali hiyo yaangalia mtu aliyekuwa anameza mfupa bila kuliandaa vizuri kolomeo lake. Alikuwepo mtu mmoja ambaye alikuwa anakula nyama pamoja na mifupa yake. Alishitukia amekwamiwa na mfupa huo kwenye koo lake, kwa sababu  ya kutokuliandaa vizuri kolomeo lake.

Mtu huyo alishindwa kuendelea kula kwa sababu ya kumeza mfupa bila kuliandaa vizuri kolomeo lake. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba siyo vizuri, “kumeza mfupa hukuahidina na kolomeo.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi asizo na uwezo nazo, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa hajiandai kabla ya kufanya kazi hizo. Ndiyo maana, huwa hazimalizi kazi zake kwa sababu ya kutokuzijali vizuri, katika maisha yake. Yeye hupata matatizo mengi yakiwemo yale ya kuishiwa chakula katika familia yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyemeza mfupa bila kuliandaa vizuri kolomeo lake, katika maisha yake, kwa sababu yeye hufanya kazi zake bila ya kujiandaa vizuri. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, siyo vizuri, “kumeza mfupa hukuahidina na kolomeo.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuzijali kazi zao kwa kujiandaa vizuri kabla ya kuanza kuzitekeleza, ili waweze kupata maendeleo mengi, maishani mwao.

Luka 14:28-30.

bones eating1

bones eating2

ENGLISH: TO SWALLOW BONES WITHOUT HAVING AN AGREEMENT WITH AN ESOPHAGUS (TO DO SOMETHING WITHOUT WEIGHING THE PROS AND CONS).

The overhead proverb looks at a person who swallowed a bone without properly preparing his/her throat. There was a man who was eating meat with bones. He was shocked to find that the bone was stuck in his throat, because he had not properly prepared his esophagus.

Such man could not continue to eat because he felt pain in his esophagus. That is why people told him that it was not good, “to swallow bones without having an agreement with an esophagus.”

This proverb is compared to the person who performs incompetent tasks in his life. Such person does not have good preparations before performing his/her works. That is why he/she does not finish his works because lacking the required preparations before doing them. He/she suffers from many problems, including malnutrition in his family.

This person is like the one who swallowed a bone without properly preparing his throat, in his life, because he does his job without having good preparations. That is why people tell him that, it is not good, “to swallow bones without having an agreement with an esophagus.”

This proverb imparts in people an ideo on how to take care of their works by preparing well before they start doing them, so that they can get a lot of progress, in their lives.

Luke 14: 28-30.

765. LIWELELO LIDAMEGELAGWA.

Imbuki ya lusumo lunulo, ingilile kumahoya ga bhanhu abho bhali ha mayange ga gumarikilwa na ng’wichabho.  Umo obho agayomba, “umpati ozumalikaga bhujiku!” abhiye bhubhuja, “oyusadaga kiyi iki iyigolo olimpanga?” Uweyi agabhashokeja, “Agandya guyusada na ulemelwa mpaga nose ugamazulika.” Abhoyi bhuyomba “Uwelelo agasolaga munhu osehose uyo utogwa wei.” Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “Liwelelo lidamegelagwa.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhabhudebhile ubhutale bho ng’wa Welelo, umuwikaji bhobho. Abhanhu bhenabho, bhagatumamaga milimo yabho bho guwisanya bhudula bhokwe Uwelelo, kunguno bhanzunije weyi Uyo agabhalanghanijaga bhupanga bhobho. Abhoyi bhang’wisanije Weyi, umukikalile kabho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga na bhanhu abho bhali ha mayange abho bhagadebha igiki, Iliwelelo ligasolaga munhu oseose, kunguno na bhoyi bhang’wisanije Welelo umukikalile kabho. Bhagabhalangaga na bhichabho ugunkuja na gung’wisanya Welelo, kunguno Uweyi adulile gunsola munhu oseose uyo untogwa weyi. Hunagwene bhagabhawilaga abhanhu bhabho giki, “Liwelelo lidamegelagwa.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gunzunya Welelo bho gubhudebha na guwisanya ubhutale bhokwe, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwilunguja ulubhapandikaga mayange, umuwikaji bhobho. Uguzunya gunuyo gugubhapandikila bhupanga ubho bhudashilaga.

KISWAHILI: MUNGU HAMEGEWI.

Chanzo cha methali hilo, kilianzia kwenye maongezi ya watu waliokuwepo kwenye matatizo ya kufiwa na mwezao. Mmoja wao alisema, “fulani amefariki usiku!” Wenzake wakauliza, “alikuwa na anaumwa nini kwa sababu jana alikuwa mzima?” Aliwajibu, “alianza kuumwa usiku na kuzidiwa mpaka akafariki.” Wenzake walisema, “Mungu humchukua mtu yeyote anayemtaka.” Ndiyo maana watu husema kwamba, “Mungu hamegewi.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa watu wale wanaofuhamu na kuuamini ukuu ya Mungu, katika maisha yao. Watu hao, hutekeleza majukumu yao kwa kutegemea uwezo wake Mungu, kwa sababu wanamwamini Yeye Yule awalindiaye uhai wao. Wao humtumaini na kumtegemea Yeye, katika maisha yao.

Watu hao, hufanana na wale waliokuwepo kwenye matatizo ya kufiwa na mwenzao, walioulewa uwezo wa Mungu wa kumchukua mtu yeyote amtakaye, kwa sababu nao humwamini Mungu kwa kumtegemea Yeye, katika maisha  yao. Wao huwafundisha pia wenzao kumtukuza na kumgetemea Mungu kwa sababu Yeye aweza kumchukua mtu yeyote amtakaye. Ndiyo maana huwaambia watu wao kuwa, “Mungu hamegewi.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kumwamini Mungu kwa kuuelewa na kuutegemea ukuu wake, katika maisha yao, ili waweze kufarijiana wanapoondokewa na wapendwa wao, maishani mwao. Imani hiyo, itawapatia uzima wa milele.

1 Samweli 16:7.

Kumbukumbu la Torati 10: 17.

Matendo ya Mitume 10: 34-35.

Warumi 2: 10-11.

Yakobo 9:31.

IMG_20200820_152442_2

IMG_20200820_152830_1

IMG_20200820_135009_6

ENGLISH: GOD IS NEVER GIVEN A SHARE IN ANYTHING.

The origin of the overhead proverb is from a conversation of people who were at group of bereavement. One of them said, “Someone died at night!” His colleagues asked, “What was wrong with him because he was well yesterday?” He replied, “He began to get sick at night and to be overwhelmed until he passed away.” his colleagues said, “god takes anyone whom he wants.” that is why people say, “God is never given a share in anything.”

This proverb is compared to people who understand and believe in the greatness of God, in their lives. These people, in turn, carry out their responsibilities by basing on God’s ability and will, because they believe in Him who protects their lives. They trust and rely on Him, in their lives.

These people are like those who trusted in God during the time of losing their loved one, because they too trust in God by relying on Him, in their lives. They also teach their societal members on how to glorify and trust in God because He can take anyone whom He wants. That is why they tell their people, “God is never given a share in anything.”

This proverb teaches people to trust in God by understanding and relying on His greatness, in their lives, so that they can comfort each other when they lose their loved ones, in their lives. That faith, in turn, will lead them to an everlasting life.

1 Samuel 16: 7.

Deuteronomy 10:17.

Acts 10: 34-35.

Romans 2: 10-11.

James 9:31.

764. NHUNGO IGAGAYIWA NKILA KULWA GULALA.

Imbuki ya lusumo lunulo, ingilile kubhulaji bho nhungo ubho bhugenheleja gugaiwa nkila. Inhungo yiniyo, igabhizaga ndimu iyo ili na tulo ninge noyi. Itulo jinijo jigayenheleja gugayiwa unkila kunguno ya gulala goyo mpaka yugakeleja ugumisha. Aho yamisha yusanga abhichayo bhaisolaga pye iyose, iyoyi yigagayiwa. Ubhulagi bhunubho bhugenheleja nose indimu yiniyo, yugaiwa unkila. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “nhungo igagayiwa nkila kulwa gulala.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa na munhu uyo alingokolo ugutumama imilimo yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga alalile nulu welaga ubhujibu, kunguno agadumaga uguyitumama imilimo yakwe. Uweyi ilikanza ilya gutumama imilimo agikalaga alalile iki umili gokwe gunhebhile kunguno ya bhugokolo bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni nhungo iyo igagayiwa nkila kunguno ya gulala goyo, kunguno nuweyi agagayiyagwa ijiliwa kunguno ya tulo jakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “nhungo igagayiwa nkila kulwa gulala.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya guleka bhugokolo bho gutumama milimo umukikalile kabho, kugiki bhadule gwigulambija gutumama milimo yabho iyo idulile gubhenhela matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

KISWAHILI: FUNGO ALIUKOSA MKIA KWA KULALA.

Chanzo cha methali hiyo, kilianzia kwenye ulalaji wa Fungo uliomsababishia kukosa mkia. Fungo ni mnyama mwenye usingizi mwingi sana. Usingizi huo ulimpelekea kukosa mkia kwa sababu ya kulala kwake mpaka akachelewa kuamka. Alipoamka alikuta wenzake wameichukua mikia yote, yeye akakosa. Ulalaji wake huo wenye usingizi mzito ulisababisha akose mkia. Ndiyo maana watu husema kwamba, “Fungo aliukosa mkia kwa kulala.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mvivu kufanya kazi, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa anautumia muda wake kwa kulala hata kama kumekucha. Hali hiyo humpelekea kushindwa kufanya kazi na kukosa chakula mara kwa mara katika familia yake. Yeye huutumia muda wa kufanya kazi kwa kulala tu, kwa vile mwili wake humzidi kwa sababu ya uzembe wake.

Mtu huyo, hufanana na yule Fungo aliyekosa mkia kwa sababu ya kulala kwake, kwa sababu naye hukosa chakula na mahitaji mengine kwa sababu ya uvivu wake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “Fungo aliukosa mkia kwa kulala.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha uzembe wa kufanya kazi katika maisha yao, ili waweze kuongeza bidii za kufanya kazi ziwezazo kuwaletea maendeleo maishani mwao.

marmot-1

marmot-fungo

ENGLISH: A CIVET CAT MISSED A TAIL BECAUSE OF SLEEPING.

The above proverb started from a sleep of a marmot which caused it to miss a tail. A Marmot is a very sleepy animal. Its sleep caused it to blunder the tail because of sleeping until late waking up. When he woke up he found its companions had taken all tails. Its deep sleep caused it to stay without tail. That is why people say, “a Civet cat missed a tail because of sleeping.”

This proverb is compared to a person who is lazy, in life. Such person spends most of his or her time by sleeping even when it is getting late. Such situation led him or her to arrive late in the working areas.  He stays without having enough food to feed his/her family members because of spending most of his working time just for sleeping. His/her body overloads him/her because of such laziness.

Such person is like the Marmot that missed the tail because of its sleep, because he/she also lacks food and other necessities because of his/her laziness. That is why people say to that person that, “a Civet cat missed a tail because of sleeping.”

This proverb teaches people about stopping laziness during the working time in their lives, so that they can become hard workers enough to get progress in their families.