Fr. Zakaria Kashinje

800. MABHANGILI GAGULABHA NA KUBHELELA ABHAMANILILE.

Amabhangili gali matendele ga bhubheleji ayo agazwalaga munhu bho bhutogwa bhokwe. Amatendele genayo, gaganmelejaga noyi ung’winikili ogo, kunguno agamanilile. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “mabhangili gagulabha na kubhelela abhamanilile.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo abhudebhile ubhubheleji bho jikolo ijo alinajo, ung’winikili ojo, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alinikujo lya gujilang’hana chiza ijikolo ja bhiye umunzengo gokwe. Uweyi agabhalangaga abhanhu bhakwe igiki, iginhu jakwe umunhu jili jawiza noyi ukuli weyi ng’winikili.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agabhelela bho guzwala matendele gagulabha, kunguno nuweyi abhudebhile ubhubheleji bho jiko ijo alinajo umunhu, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “mabhangili gagulabha na kubhelela abhamanilile.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kuleka gwikumbwa ginhu ja bhangi, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwilang’hanija chiza isabho jabho, umuwikaji bhobho.

Marko 9:43-50.

Mathayo 18:8-9.

KISWAHILI: BANGILI HUNG’AA NA KUPENDEZA KWA WALE WALIOZIZOEA.

Mabangili ni mapambo fulani yanayovaliwa na mtu kwa upendo wake mwenyewe kwa lengo la kupendeza. Mabangili hayo, humpendeza sana yule mwenye nayo, kwa sababu ameyazoea. Ndiyo maana watu husema kwamba, “bangili hung’aa na kupendeza kwa wale waliozizoea.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule anayeelewa uzuri wa vitu vyake anavyovitumia, katika maisha yake. Mtu huyo, huheshimu pia vitu kwa wenzake na kuvitunza vizuri, kwa sababu ya uwezo wake huo wa kuthamini mali za wanakijiji wenzake. Yeye huwafundisha pia watu wake namna ya kuvithamini vitu vyao wenyewe.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyependeza kwa kuvaa mabangili yang’aayo, kwa sababu naye huthamini vitu vyake ana vile anavyovitumia mwenye navyo, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “bangili hung’aa na kupendeza kwa wale waliozizoea.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha kutamani vitu vya wengine, katika maisha yao, ili waweze kutunziana vizuri mali zao, maishani mwao.

Marko 9:43-50.

Mathayo 18:8-9.

african ring3

african ring2

african ring1

 

ENGLISH: BRACELETS ARE SHINING AND PLEASING TO THOSE WHO ARE ACCUSTOMED TO WEARING THEM.

Bracelets are certain ornaments which are worn by a person for his/her own interest for the purpose of good-looking. These bracelets normally please the wearer, because they are used to them. That is why people say, “Bracelets are shining and pleasing to those who are accustomed to wearing them.”

This proverb is compared to a person who understands the beauty of things which he/she uses in daily life. This person also respects properties of others and takes good care of them, because of having an ability to value even those of his/her fellow villagers. He/she also teaches others on how to value their own things.

This person is like the one who is comfortable with wearing shiny bracelets, because he or she also values ​​his or her possessions and uses them in his or her life. That is why people say to him/her, “Bracelets are shining and pleasing to those who are accustomed to wearing them.”

This proverb imparts in people an idea to stop demanding things of others in their lives, so that they can take good care of their possessions in their daily lives.

Mark 9: 43-50.

Matthew 18: 8-9.

 

799. SHILE YA MHAMBA KWIMALA NG’WENEYO.

Ulusumo lunulo, lwingilile kuli munhu uyo agagopa jiliwa ijo agajishosha aho ojipandika. Ijililwa jinijo, hi mhamba iyo agagopa aho omala ijiliwa jakwe.  Ishile hu ngopo gokwe uyo agagushosha aho ojipandika ijiliwa jinijo kunguno adebhile igiki adakililwe agushowe weyi uyo ugugopa. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “shile ya mhamba kwimala ng’weneyo.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina witegeleja bho gushosha ijo agagopaga kubhiye ulu omala ugujipandika, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alintungilija kunguno agitaka ya nhana bho gushosha ukubhiye ijo ojigopa gitumo ogopela. Uweyi agabhalangaga abhanhu bhakwe inzila ja gwikala chiza na bhanhu bho kikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agashosha ukubhiye ijiliwa ijo agajigopa, kunguno nuweyi alina bhutengeke bho gushosha ukubhiye ijo agagopaga, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “shile ya mhamba kwimala ng’weneyo.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutogwa bho gwigunana chiza, umukikalile kabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Luka 11:5-8.

KISWAHILI: MKOPO WA CHAKULA HUMALIZA MWENYEWE.

Methali hiyo, ilianzia kwa mtu aliyekopa chakula kwa mwenzake ambacho alikirudisha baada ya kukipata. Chakula hicho, ni mkopo aliouchukua mtu yule baada ya yeye kuishiwa chakula, ambao anatakiwa kuurudisha yeye mwenyewe, kama alivyouchukua. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mkopo wa chakula humaliza mwenyewe.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye anauaminifu wa kurudisha kile alichokopa kwa wenzake mara anapokipata, katika maisha yake. Mtu huyo, ni mwaminifu na mkweli kwa sababu ya umakini wake wa kurudisha kwa wakati unaotakiwa kama alivyouchukua mkopo huo kwa wenzake. Yeye huwafundisha watu wake namna ya kuishi vizuri na wenzake hao kwa njia ya maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyerudisha kwa wenzake chakula alichokopa, kwa sababu naye ana uaminifu huo wa kurudisha kwa wenzake kile alichokopa, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mkopo wa chakula humaliza mwenyewe.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na upendo wa kusaidiana vizuri katika maisha yao, ili waweze kupata mafanikio mengi zaidi, maishani mwao.

Luka 11:5-8.

carrying

carrying1

carrying food

ENGLISH: FOOD LOAN IS REPAID BY THE LOANER.

This proverb originated from a man who borrowed food from a colleague who returned it after getting it. This food is a loan that the man took out after he ran out of food, which he has to repay himself, as he took it. That is why people say, “Food loan is repaid by the loaner.”

This proverb is likened to a man who is honest enough to pay back what he owes to his colleagues as soon as he gets it, in his life. He is an honest one and truthful because of his seriousness in repaying back on time, what he took as a loan from his colleagues. He teaches his people on how to live well with others through his life.

This person is like the one who gave back to his colleagues the food he borrowed, because he also has the same honesty of giving back to his colleagues what he borrowed, in his life. That is why people say to him, “Food loan is repaid by the loaner.”

This proverb teaches people on how to help each other well in their lives, so that they can have more success, in their lives.

Luke 11: 5-8.

798. NG’HELA YA KUMANGALA ITAPUGUTAGWA.

Ubhusika ulu bhubhitwa ilele ahikanza bhulihola bhudapyaga. Unimi o ngunda gunuyo, agahawiyagwa giki okelaga, kunguno adadulaga ugupandika josejose, umungunda gokwe gunuyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ng’hela ya kumangala itapugutagwa.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo onanhala, nulu uyo ogiguluha adinabyala ng’wana, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agasunduhalaga noyi, kunguno ya gwikumbwa gupandika bhana, umukikalile kakwe. Uweyi agikalaga bho wiyumilija na bhutale, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agakela bhusiga bhokwe ubho bhugabhitwa ilele ahikanza lya guhola, kunguno nu weyi, onanhala nulu ogiguluha, adabyalile, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ng’hela ya kumangala itapugutagwa.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bho gugamala chiza amakoye ayo bhalinago, umukikalile kabho, kugiki bhadule kupandika bhuyegi, umuwikaji bhobho.

Marko 11:12-14.

Yohana 15:1-2.

KISWAHILI: KUTOCHANUA MASUKE HUONDOA UWEZEKANO KUPANDA.

Mtama ukipigwa ukungu wakati wa kuchanua, hukosa matunda ya kuvunwa kwa sababu ya kukosekana kwa mtama huo. Mkulima wa shamba hilo, hukosa mavuno, kwa sababu ya kukosa kupata chochote, kutoka kwenye shamba hilo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kutochanua masuke huondoa uwezekano wa kupanda.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye amefikia umri wa uzee bila kuzaa, katika maisha yake. Mtu huyo, huhudhunika sana, kwa sababu ya kukosa bahati ya kupata watoto, katika maisha yake. Yeye huishi kwa uvumilifu mkubwa kutokana na tatizo hilo kuendelea kumsumbua, maishani mwake.

Methali hiyo, hulinganana na yule aliyekosa mtama kutokana shamba late kupigwa ukungu wakati wa mtama kuchanua, kwa sababu naye amezeeka bila kuzaa, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kutochanua masuke huondoa uwezekano wa kupanda.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuwawezesha kuyatatua matatizo walio nayo, katika maisha yao, ili waweze kupata furaha, maishani mwao.

Marko 11:12-14.

Yohana 15:1-2.

millet7

millet6

 ENGLISH: WHEN  PLANTS  DO  NOT  GIVE  OUT  FLOWERS  MEAN  ANOTHER  SEASON OF  PLANTING  MAY  NOT  COME.

When the sorghum/millet is mistaken during germination, it loses its fruit to harvest due to the lack of required flowers. The farmer of that field misses harvest, because of the inability to get anything, from it. That is why people tell him that, “when  plants  do  not  give  out  flowers  mean  another  season of  planting  may  not  come.”

This proverb is compared to a person who has reached an age of infertility in his/her lifetime. Such person becomes sad, because of a lack of children, in life. He/she lives with great patience as the problem continues to haunt him/her, throughout the life.

This person is similar to the one who misses the sorghum/millet due to one’s field being foggy when the sorghum/millet blossoms, because he/she too is barren and childless, in his/her lifetime. That is why people tell him/her that, “when  plants  do  not  give  out  flowers  mean  another  season of  planting  may  not  come.”

This proverb instills in people an idea of having patience that is strong enough to enable them solve their daily problems, so that they can find happiness, in their lives.

Mark 11: 12-14.

John 15: 1-2.

 

797. DIMA NZOKA UDIZUDIMA JIKOLO JA BHANGI.

Ulusumo lululo, lulolile bhuhambohambo bho gudima nzoka gukila ugudima ijikolo ja bhangi. Ubhudimi bho nzoka bhugikalaga niyange lya gulung’wa ni  nzoka yiniyo, kunguno inzoka iningi jigikalaga na bhusungu.

Aliyo lulu, ugudima ijikolo ja bhangi gugabhizaga niyange itale kukila ugwidima nzoka, kunguno undimi adulile guding’wa na gutulwa mpaga ucha. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “dima nzoka udizudima jikolo ja bhangi.”

Ulusumo lunulo, lugalenaganijiyagwa kuli munhu uyo agamanaga usola jikolo ja bhangi bho nduhu uguzunilijiwa, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agitanagwa nsambo kunguno agabhib’ilaga abhiye ijikolo jabho. Uweyi adamanile igiki agiyenhelejaga kupandika makoye ayo galikihayo na guding’wa utulwa mpaga ucha.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agogoha gudima nzoka bho gusola jikolo ja bhangi wiyenheleja gutulwa mpaga ucha, kunguno nu weyi agibhaga jikolo ja bhangi abho bhadulile gundina na kumulaga. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “dima nzoka udizudima jikolo ja bhangi.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja bhusambo, umukikalile kabho, kugiki bhadule gubhulang’hana chiza ubhupanda bhobho, uwikaji bhobho.

Mambo ya Walawi 19:11-13.

1Wathesalonike 4:6.

KISWAHILI: SHIKA NYOKA USISHIKE VITU VYA WENGINE.

Methali hiyo, huangalia urahisi wa kushika nyoka kuliko kushika vitu vya wengine. Ushikaji huo wa nyoka huwa ni wa hatari sana kwa sababu ya uwepo wa nyoka wengi wenye sumu ya kuweza kuua mtu.

Lakini kushika vitu vya wengine huwa ni kitendo cha hatari kubwa zaidi ya kushika nyoka kwa sababu akikamatwa huyo aliyeshika vitu hivyo aweza kupigwa hadi kufa. Ndiyo maana watu husema kwamba, “shika nyoka usishike vitu vya wengine.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa anachukua vitu vya wengine bila ya kuruhusiwa, katika maisha yake. Mtu huyo, huitwa mwizi kwa sababu ya kuwaibia wengine vitu vyao. Yeye huwa haelewi kwamba, kwa kitendo hicho, hujiletea matatizo mbalimbali yakiwemo yale ya kukamatwa na kupigwa hadi kufa.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeokopa kushika nyoka, kwa kudiriki kushika vitu vya wengine, kwa sababu naye huiba vitu vya wengine wanaoweza kumkamata na kumuua. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “shika nyoka usishike vitu vya wengine.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya wizi katika maisha yao, ili waweze kuulinda vizuri uhai wao, maishani mwao.

Mambo ya Walawi 19:11-13.

1Wathesalonike 4:6.

snake catching

snake catching1

snake catching2

ENGLISH: CATCH SNAKE DO NOT SNATCH OTHERS’ THINGS.

This proverb focuses at an ease way of catching snakes rather than grabbing things of others. These snake bites are very dangerous because of the presence of many venomous snakes that can kill a person.

But snatching belongings of others is a far more dangerous act than catching snakes because if one is caught doing so can be beaten to death. That is why people say, “catch snake do not snatch others’ things.”

This proverb is compared to a person who tends to take other people’s belongings without permission, in life. This person is called a thief because he robbed others of their belongings. He does not understand that, in doing so, he inflicts various hardships on himself, including arrest and beatings to death.

This person is like the one who is afraid of catching a snake, by daring to grab the things of others, because he also steals the things of others who can catch and kill him. That is why people say to him, “catch snake do not snatch others’ things.”

This proverb imparts in people an idea of stopping a habit of theft in their lives, so that they can better protect their lives, in their societies.

Leviticus 19: 11-13.

1Thessalonians 4: 6.

796. YENIYO YAPONYA BHABHIJI.

Ikale aho bhadinamana ugwilagula imbiji, abhanhu abhambiji bhatulagwa lwande, kunguno ya gogoha gubhalekaja abhangi. Kuyiniyo lulu, abhanhu bhenabho nulu agazumalika, abhangi bhogohaga ugujubhajika. Ulu munhu uja kujubhajika na umanyika chine, otulagwa lwande.  Hunagwene abhanhu bhagiwilaga giki, “yiniyo yaponya bhabhiji.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhuchaga ginhu jibholile, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adadebhile ugugulang’hana chiza umili gokwe, kunguno ya gugulekanija mumakoye ga gupandika bhusatu.  Uweyi agikalaga ukoyiwa na sata ja mbika ningi, kunguno ya gubhucha ginhu ijo jigikalaga na madudu kunguno ya bhubhozu bhojo.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agaponya bhabhiji ukumuka kunguno nuweyi agakumukaga bho gubhucha ginhu ijo jibholile, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagiwilaga giki, “yiniyo yaponya bhabhiji.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuyilang’hana chiza imimili yabho, bho gwiganika na gwita miito ga wiza, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala chiza na bhichabho, shigu jose.

Marko 7:14-23.

KISWAHILI: HUYO AMEZIKA WAKOMA.

Hapo zamani, wakati watu hawajagundua matibabu ya ukoma, watu wenye ugonjwa huo walitengwa mbali na jamii. Kwa hiyo basi, watu hao hata wakifariki wengine waliogopa kwenda kuwazika. Mtu akijulikana kwamba alienda kuwazika alitengwa naye ili asiwaambukize wengine. Ndiyo maana watu waliambiana kwamba, “huyo amezika wakoma.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huchukua vitu vilivyooza katika maisha yake. Mtu huyo, huwa haelewi namna ya kuitunza vizuri afya ya mwili wake kutokana namna yake ya kuitelekeza kwa kugusa vitu vyenye wadudu. Yeye huutelekeza mwili wake huo kwa kuuweka katika mazingira ya kupata magonjwa ya aina mbalimbali kwa sababu ya wadudu anaowashika kwenye vitu hivyo vilivyooza.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyetengwa na watu baada kujulikana kwamba alienda kuwazika wakoma, wakiogopa kuambukizwa naye, kwa sababu naye huyahatarisha maisha yake kwa kuchukua vitu vilivyooza katika maisha yake. Ndiyo maana watu huambiana juu yake kwamba, “huyo amezika wakoma.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuilinda vizuri miili yao, kwa kufikiri na kutenda matenda mema, katika maisha yao, ili waweze kuishi vizuri na wenzao, siku zote.

Marko 7:14-23.

african-1

african2

ENGLISH: THAT ONE HAS BURIED LEPERS.

In the past, when people had no knowledge of the cure of leprosy, people with such disease were excluded from their societies. Therefore, even when these people died, some were afraid to go to bury them. A person who was known to have gone to the funeral was isolated from their societal members so that he could not infect others. That is why people said to one another, “that one has buried lepers.”

This saying is likened to a person who picks up rotten things in his life. This person does not understand how to take good care of his or her body due to the way he or she abandons it by touching insects. He abandons his body by exposing it to various insects because of the parasites which he catches on the decaying materials.

This person is like the one who was separated from the people after it was known that he went to bury lepers, fearing that he infecte others, because he also endangers his life by taking the rotten things in his life. That is why people say to one another, “that one has buried lepers.”

This saying teaches people on how to properly protect their bodies by preventing them from being infected by various diseases in their lives, so that they can live happly with their societal members all the time.

Mark 7: 14-23.