Ikale aho bhadinamana ugwilagula imbiji, abhanhu abhambiji bhatulagwa lwande, kunguno ya gogoha gubhalekaja abhangi. Kuyiniyo lulu, abhanhu bhenabho nulu agazumalika, abhangi bhogohaga ugujubhajika. Ulu munhu uja kujubhajika na umanyika chine, otulagwa lwande. Hunagwene abhanhu bhagiwilaga giki, “yiniyo yaponya bhabhiji.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhuchaga ginhu jibholile, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adadebhile ugugulang’hana chiza umili gokwe, kunguno ya gugulekanija mumakoye ga gupandika bhusatu. Uweyi agikalaga ukoyiwa na sata ja mbika ningi, kunguno ya gubhucha ginhu ijo jigikalaga na madudu kunguno ya bhubhozu bhojo.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agaponya bhabhiji ukumuka kunguno nuweyi agakumukaga bho gubhucha ginhu ijo jibholile, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagiwilaga giki, “yiniyo yaponya bhabhiji.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuyilang’hana chiza imimili yabho, bho gwiganika na gwita miito ga wiza, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala chiza na bhichabho, shigu jose.
Marko 7:14-23.
KISWAHILI: HUYO AMEZIKA WAKOMA.
Hapo zamani, wakati watu hawajagundua matibabu ya ukoma, watu wenye ugonjwa huo walitengwa mbali na jamii. Kwa hiyo basi, watu hao hata wakifariki wengine waliogopa kwenda kuwazika. Mtu akijulikana kwamba alienda kuwazika alitengwa naye ili asiwaambukize wengine. Ndiyo maana watu waliambiana kwamba, “huyo amezika wakoma.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huchukua vitu vilivyooza katika maisha yake. Mtu huyo, huwa haelewi namna ya kuitunza vizuri afya ya mwili wake kutokana namna yake ya kuitelekeza kwa kugusa vitu vyenye wadudu. Yeye huutelekeza mwili wake huo kwa kuuweka katika mazingira ya kupata magonjwa ya aina mbalimbali kwa sababu ya wadudu anaowashika kwenye vitu hivyo vilivyooza.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyetengwa na watu baada kujulikana kwamba alienda kuwazika wakoma, wakiogopa kuambukizwa naye, kwa sababu naye huyahatarisha maisha yake kwa kuchukua vitu vilivyooza katika maisha yake. Ndiyo maana watu huambiana juu yake kwamba, “huyo amezika wakoma.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuilinda vizuri miili yao, kwa kufikiri na kutenda matenda mema, katika maisha yao, ili waweze kuishi vizuri na wenzao, siku zote.
Marko 7:14-23.
ENGLISH: THAT ONE HAS BURIED LEPERS.
In the past, when people had no knowledge of the cure of leprosy, people with such disease were excluded from their societies. Therefore, even when these people died, some were afraid to go to bury them. A person who was known to have gone to the funeral was isolated from their societal members so that he could not infect others. That is why people said to one another, “that one has buried lepers.”
This saying is likened to a person who picks up rotten things in his life. This person does not understand how to take good care of his or her body due to the way he or she abandons it by touching insects. He abandons his body by exposing it to various insects because of the parasites which he catches on the decaying materials.
This person is like the one who was separated from the people after it was known that he went to bury lepers, fearing that he infecte others, because he also endangers his life by taking the rotten things in his life. That is why people say to one another, “that one has buried lepers.”
This saying teaches people on how to properly protect their bodies by preventing them from being infected by various diseases in their lives, so that they can live happly with their societal members all the time.
Mark 7: 14-23.