795. GUYOMBA GWIJUKULA GUHUMULA GWIJIKA.

Ulusumo lunulo, luhoyelile higulya ya wijukuji bho ng’wa munhu na wijiki bhokwe. Bhalihoyi bhanhu bhabhili abho bhikalaga muchalo jilebhe. Abhanhu bhenabho, bhagamala ijiliwa jagulya.

Uumo agaja gujulanda habhuzenganwa aliyomba, “naliomba munigunane jiliwa nagalye nagucha na nzala kunguno natubhaga noyi.” Abhazengangwa bhakwe bhagang’wila, “solaga lulu jiji aha ugalye.” Umunhu ng’wunuyo, agapila ugucha na nzala kunguno ya guyomba bho gulomba jiliwa kubhiye.  Uweyi agijukula bho gulomba jiliwa jinijo kubhiye bhenabho.

Aliyo lulu, ung’wiye oduka ahumulile duhu alukunhu inzala ilinabhula, nose agananuka bho gucha na nzala. Umunhu ng’wunuyo, agabhiza wijika weyi bho guhumula gokwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “guyomba gwijukula guhumula gwijika.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agapandikaga makoye obhabhile wangu abhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, ijinagugemela, ulu usada agayombaga kubhiye kunguno adebhile igiki bhadulile gung’wambilija bho gunchala kusitali. Uweyi agagamalaga wangu amakoye gakwe kunguno ya gubhawila abhiye abho bhagang’wambilijaga haho gatali ugugula, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agapila nzala bho gulomba jiliwa habhuzenganwa bhokwe, kunguno nuweyi agalombaga wambilijiwa kubhiye, ulu opandikaga makoye. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “guyomba gwijukula guhumula gwijika.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gugamala wangu amakoye gabho bho gulomba wambilijiwa kubhichabho, kugiki bhadule gutumama milimo yabho mhola, umuwikaji bhobho.

Luka 18:1-5.

Mathayo 11:28.

KISWAHILI: KUONGEA KUJIFUFUA, KUNYAMAZA KUJIZIKA.

Methali hiyo, huongelea juu ya kujifufua kwa mtu na kujizika kwake. Walikuwepo watu wawili katika kijiji fulani. Watu hao walimaliza chakula wakawa katika hatari ya kufa.

Mmoja alienda kuomba msaada kwa jirani zake akisema, “naomba munisaidie chakula nikale nitakufa kwa njaa, kwa sababu najisikia njaa sana.” Majirani zake walimwambia, “chukula hiki hapa ukale.” Mtu yule alijiponya kufa kwa njaa kwa sababu ya kuomba chakula kwa wenzake. Yeye akawa amejifufua kwa kuomba chakula hicho kutoka kwa wenzake hao.

Lakini, yule mwingine alibaki kimya tu huku akiumizwa na nzaa ile, mwishowe alipoteza maisha yake kwa kukosa chakula. Mtu huyo, akawa amejizika mwenyewe kwa kukaa kimya wakati ana tatizo kubwa linaloweza kutatuliwa kwa kuwashirikisha wenzake. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “kuongea kujifufua, kunyamaza kujizika.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hupata matatizo na kuwashirikisha wenzake mapema, katika maisha yake. Mtu huyo, kwa mfano, akiugua, huwaambia wenzake kwa sababu anafahamu kwamba, wale wanaweza kumsaidia kwa kumpeleka hospitalini mapema. Yeye hupata utatuzi wa matatizo yake mapema kwa sababu ya kuwashirikisha wenzake, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyepona kufa kwa njaa kwa kuomba chakula kutoka kwa wenzake, kwa sababu naye akipata matatizo, huomba msaada unaoweza kumsaidia kutoka kwa wenzake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kuongea kujifufua, kunyamaza kujizika.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuyamaliza mapema matatizo yao kwa kuomba msaada kutoka kwa wenzao, ili waweze kuendelea kuyatekeleza majukumu yao salama, maishani mwao.

Luka 18:1-5.

Mathayo 11:28.

people-talking1

people-talking

talking

ENGLISH: TO SPEAK OUT IS TO RESURRECT ONESELF TO REMAIN SILENT IS TO BURY ONESELF.

This proverb speaks of a person’s resurrection and burial. There were two people in a certain village. These men finished food and were in danger of dying.

One of them went to ask for help from his neighbors, saying, “Please help me to eat otherwise I will starve to death, because I am so hungry.” Her neighbors told her, “Take this and eat it here.” The man saved himself from starvation by begging for food from his companions. He became self-reliant by asking for food from his companions.

However, the other man remained silent while he was hurt by the hunger, eventually lost his life for lack of food. The man became obsessed with keeping quiet when he had a serious problem that could be solved by involving his colleagues. That is why the people said, “to speak out is to resurrect oneself to remain silent is to bury oneself.”

This proverb is compared to a person who gets into trouble and shares it with others early in life. This person, for example, when he or she is sick, tells his or her colleagues because he or she knows that those are the ones who can help him or her by taking him or her early to hospital. He finds a solution to his problems early because of an involvement of his colleagues in looking for solutions to various tribulations in life.

This person is like the one who survived a starvation by begging for food from his fellows, because when he gets into trouble, he also asks for help from his fellows. That is why people say to him, “to speak out is to resurrect oneself to remain silent is to bury oneself.”

This proverb instills in people an idea on how to solve their problems early by asking for help from their neighbors, so that they can continue carrying out their daily responsibilities safely in their lives.

Luke 18: 1-5.

Matthew 11:28.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.