Fr. Zakaria Kashinje

805. KANIGO KA NG’HABHI KAGANGOYA NSABHI.

Bhalihoyi bhanhu bhabhili abho bhikalaga muchalo jilebhe, uungi ilinsabhi, alu ungi alinhabhi. Unhabhi olina kanigo ako akagatuula hasi. Unsabhi akagadalahija akanigo kenako, aliyomga, “kihendyage akanigo kako nabhite.”

Unhabi agashosha, “kabhuchage duhu ukatuule lwande.” Unsabhi ng’wunyuyo, agagema ugukabhucha akanigo kenako ukaduma nulu kugasegeja. Uweyi agacha soni noyi aho oguduma ugugubhucha unigo gunuyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “kanigo ka ng’habhi kagangoya nsabhi.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agipondaga soni bho guyidahahija imilimo ya bhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adaidebhile isolobho ya milimo ya bhiye yiniyo, kunguno ya libhengwe lwakwe linilo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agipondaga soni weyi ng’winikili kunguno ya guyidalaha imilimo ya bhiye bhenabho, aliyo adabhudebhile ubhudamu bhoyo.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nsabhi uyo agaguduma ugugubhucha unigo go nhabhi uyo oliogudalahija, kunguno nuweyi agaidalahaga imilimo ya bhiye iyo adaidulile nulu uguyitumama. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “kanigo ka ng’habhi kagangoya nsabhi.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo ukumilimo ya bhichabho, kugiki bhadule gutumama milimo yabho chiza, umuwikaji bhobho.

Mathayo 6:1-4.

KISWAHILI: KIFURUSHI CHA MASKINI KILIMUADHIRI TAJIRI.

Walikuwepo watu wawili walioishi kwenye kijiji fulani, mmoja alikuwa tajiri, na mwingine maskini. Yule maskini alikuwa na kifurushi chake ambacho alikiweka chini. Tajiri akakidharau kifurushi hicho akisema, “kipishe kifurushi chako nipite.”

Yule maskini alimjibu, “kiinue tu ukiweke pembeni.” Tajiri huyo, alijaribu kukiinua kile kifurushi akakishindwa hata kukitikisa. Yeye aliona aibu sana aliposhindwa kukiinua hicho kifurushi. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “kifurushi cha maskini kilimuadhiri tajiri.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujiaibisha mwenyewe kwa kuzidharau kazi za wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa hazielewi thamani na faida za kazi za wenzake, kwa sababu ya dharau yake hiyo, maishani mwake. Yeye huendelea kujiaibisha mwenyewe kwa kuumbuka baada kushindwa kuzitekeleza kazi hizo za wenzake, alizozidharau kabla ya kuzitekeleza ili aufahamu ugumu wake.

Mtu huyo, hufanana na tajiri aliyeshindwa kukiinua kifurushi cha maskini alichokidharau, kwa sababu naye huzidharau kazi za wenzake, ambazo hata haziwezi kuzitekeleza. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kifurushi cha maskini kilimuadhiri tajiri.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na hekima ya kuthamini kazi za wenzao, katika maisha yao, ili waweze kuyatekeleza vizuri majukumu yao, maishani mwao.

Mathayo 6:1-4.

kanigo

kanigo1

ENGLISH: A POOR MAN’S BAG ASHAMED THE RICH.

There were two people who lived in a certain village. One was a rich one while the other was a poor who had his own package which he put down. The rich man scoffed at the package, saying, “Pick up your package and let me pass.”

The poor man replied, “Just lift it up and put it aside.” The rich man, however, tried to lift the parcel and could not even shake it. He was very embarrassed when he failed to pick up the package. That is why people told him that “a poor man’s bag ashamed the rich.”

This proverb is likened to a man who humiliates himself by despising the work of his fellows, in his life. This man does not understand the value and benefits of the work of his colleagues, because of his contempt in his life. He continues to humiliate himself by being miserable after failing to carry tasks of his colleagues, which he despised before doing them enough to understand their difficulties.

This person is like the rich man who failed to pick up the poor man’s package, because he also despises the work of his fellows, which he cannot even perform. That is why people say to him, “a poor man’s bag ashamed the rich.”

This proverb teaches people on the wisdom of valuing the works of others in their lives, so that they can fulfill well their daily responsibilities in their societies.

Matthew 6: 1-4.

804. UNTWE IPOLU.

Ulusumo lunulo, lulolile ntwe na mingi iyo ibhungilwe moyi. Umuntwe go ng’wa munhu jilihoyi mbisila ningi guti numo lili ilipolu ilitale, kunguno nalyo ligabhungaga mingi moyi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “untwe ipolu.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhadalahaga abhanhu abho bhahumulile, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhadalahaga abhanhu bhenabho abho bhahumulile, kunguno adamanile iyo bhaliiganika, umukikalile kabho. Uweyi agabhonaga soni noyi ulu oigwa mihayo ya wiza iyo bhagaiyombaga abhanhu abho agabhadalahaga bhenabho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ung’wunuyo, agikolaga nuyo adadebhile mingi iyo ili muntwe go ng’wa munhu, kunguno nuweyi agabhadalahaga abhanhu abho bhahumulile, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “untwe ipolu.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya guleka gubhadalaga abhichabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho.

Mathayo 6:6.

KISWAHILI: KICHWA NI POLI.

Methali hiyo, huangalia kichwa na wingi wa yale yaliyomo ndani yake. Kichwani mwa mtu kuna mengi yaliyofichika mle kama vile poli kubwa lilivyo na vitu vingi ndani yake, kwa sababu nalo huwa na vitu vingi sana vilivyofichika. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kichwa ni poli.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwadharau watu ambao wako kimya, katika maisha yake. Mtu huyo, huwadharau watu hao ambao wako kimya, kwa sababu hajui yale wanayoyafikiria, katika maisha yake. Yeye huona aibu sana anaposikia maneno mazuri wanayoyaongea watu hao ambao aliwadharaua kabla ya kuwasikiliza kwanza ili afahamu mawazo yao.

Mtu huyo, hufanana na yule ambaye hakuyaelewa yale mengi yaliyomo kichwani mwa mtu, kwa sababu naye huwadharau watu walioko kimya, katika maisha yake bila kuwasikiliza kwanza. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kichwa ni poli.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia za kuwadharau wenzao, katika maisha yao, ili waweze kupata mafanikio mengi katika utekelezaji wa majukumu yao, maishani mwao.

Mathayo 6:6.

HEAD2

 

HEAD3

ENGLISH:  THE HEAD IS A FOREST (A PERSON’S HEAD IS LIKE A FOREST).

This proverb looks at the head of person and what it contains. In it, there are as many hidden things as there are in a big forest with a lot of things in it, because it also has a lot of hidden things. That is why people say, “the head is a forest (a person’s head is like a forest).”

This proverb is likened to a man who despises people who are silent in life. This person, in turn, despises them because he does not know what they are thinking in their heads. He feels very ashamed when he hears the wise words which are spoken by those whom he despised before first listening to them so that he could understand their thoughts.

This person is like the one who did not understand much of what is in a person’s head, because he also despises people who are silent, in his life without first listening to them. That is why people say to him, “the head is a forest (a person’s head is like a forest).”

This proverb teaches people about giving up the habit of despising others, in their societies, so that they can find more success in fulfilling their daily responsibilities in their families.

Matthew 6: 6.

 

 

803. IJIGWILILE MUMABHU JITASHILAGA UGUFULWA.

Iginhu ulu jugwila mumabhu jigakulikaga noyi. Ung’winikili ojo iginhu jinijo agajisolaga wandya gujingija amabhu genayo bho gugafula. Umunhu ng’wunuyo, agishokelaga mara hingi ugujifula iginhu jakwe jinijo, kugiki aginje  pye amabhu genayo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ijigwilile mumabhu jitashilaga ugufulwa.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agamanaga ushokela gwita miito ga bhubhi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agolechaga nhungwa ja bhubhi kunguno ya miito gakwe genayo ayo gadigawiza. Uweyi adebhile igiki, inhungwa jakwe jinijo jidijawiza kunguno jigang’wenhelejaga gubyedwa na bhiye. Giko lulu, agikomeja ugujileka inhungwa jinijo bho gulomba bhulekejiwa ukubhiye abho agabhahulilaga, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni ginhu ijo jigagwila mumabhu genjiwa bho gufulwa amabhu genayo, kunguno nuweyi agahubhaga olomba bhulekejiwa ukubhiye abho abhahubhilaga, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “ijigwilile mumabhu jitashilaga ugufulwa.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya guleka nhungwa ja gushokela gwita miito ga bhubhi, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Luka 13:1-5.

Luka 15:17-19.

KISWAHILI: KIANGUKACHO MAJIVUNI HAKIISHI KUPULIZWA.

Kitu kikiangukia kwenye majivu huchafuka sana. Mwenye kitu hicho hukiokota na kuanza kukiondolea majivu hayo, kwa  kukipuliza. Mtu huyo, hurudia kukipuliza mara nyingi kitu chake hicho, ili ayaondoe majivu hayo yote. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kiangukacho majivuni hakiishi kupulizwa.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa anarudia kutenda maovu, katika maisha yake. Mtu huyo huonesha tabia mbaya kwa kutenda matendo maovu. Yeye anaelewa kwamba, tabia yake hiyo mbaya humpelekea kudharauliwa na wenzake. Hivyo basi, huwa na anajitahidi kuomba msamaha kwa wenzake aliowakosea, katika maisha yake.

Methali hiyo, hufanana na kitu kilichoangukia kwenye majivu kikasafishwa kwa kupulizwa, kwa sababu naye huwakosea wenzake na kuwaomba msamaha, maishani mwake. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “kiangukacho majivuni hakiishi kupulizwa.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia ya kurudia kutenda maovu, katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Luka 13:1-5.

Luka 15:17-19.

food with ashes

eating

eating2

ENGLISH: WHAT FALLS ON ASHES DOES NOT STOP TO BE BLOWN AWAY (IT COSTS MUCH TO MAKE CLEAN SOMETHING THAT WAS TAINTED).

When something falls on ashes becomes very dirty. The owner of it picks it up and begins to remove the ashes by blowing them away. This person, on the other hand, repeatedly blows the object for removing all the ashes. That is why people say that “what falls on ashes does not stop to be blown away (it costs much to make clean something that was tainted).”

This proverb is compared to a person who repeatedly commits evil deeds in life. Such person shows evil attitudes by doing them. He/she understands that his/her evil habits have led to the point of being despised by others. Therefore, he/she often tries to apologize to them for those evils in life.

This person is like something that fell on ashes and was cleansed by blowing, because he/she also offends others by doing evils and apologizes to them in daily life. That is why he/she tells people that “what falls on ashes does not stop to be blown away (it costs much to make clean something that was tainted).”

This proverb imparts in people an idea of stopping evil deeds which they repeat in their lives, so that they can live in peace with each other, in their daily lives.

Luke 13: 1-5.

Luke 15: 17-19.

 

802. HAHO UDINIBHULAGA INONI UTIZUBHACHA UMOTO.

Ulusumo lunulo, lulolile bhulingi bho noni bho bhanigini. Abhanigini bhagalingaga noni ja gocha kugiki bhalye. Aliyo lulu, bhagalingaga tamu mpaga bhayibhulaga inoni na bhapemba umoto go gokecha. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “haho udinibhulaga inoni utizubhacha umoto.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agitaga bhukengeji bho milimo yakwe mpaga yamanyika chiza, haho atali ugwiyandya uguitumama, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agigulambijaga ugugumanyicha unimo gokwe bho gugwitila bhukengeji bhutale mpaka ogudebha chiza na ogwandya ugugutumama, umukikalile kakwe. Uweyi agapandikaga matwajo mingi, umubhutumami bhokwe kunguno ya gutumama milimo iyo imanyikile, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga na bhanigini abho bhabhulagaga tamu inoni na bhapemba umoto gogokecha, kunguno nu weyi agitaga bhukengeji bho milimo yakwe mpaga yamanyika chiza, na wandya utuitumama, umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “haho udinibhulaga inoni udizupemba umoto.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya guitila bhukengeji imilimo yabho mpaga bhayidebha chiza, huna bhandya uguitumama, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya yabho, umuwikaji bhobho.

Luka 14:28-29.

KISWAHILI: KABLA HUJAMUUA NDEGE USIWASHE MOTO.

Methali hiyo, huangalia uwindaji wa ndege unaofanywa na watoto. Watoto huwa wanawinda ndege kwa ajili ya kuchoma ili wale. Lakini basi, watoto hao, huwinda kwanza mpaga wanampata ndege wanayemuwinda ndipo wanawasha moto wa kumchomea. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kabla hujamuua ndege usiwashe moto.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya utafiki wa kazi zake kwanza, kabla hajazianza kuzitekeleza, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya utafiti wa kumwezesha kuzifahamu vizuri kazi kwa sababu anataka kupata undani wa mahitaji ya kazi hizo. Yeye hufanikiwa kupata maendeleo mengi yanayotokana na kupata mavuno mengi ya kazi hizo, kwa sababu ya kufanya kazi anazozifahamu, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na watoto waliowinda ndege mpaga wakampata ndipo wakawasha moto wa kumchomea, kwa sababu naye hufanya utafiki wa kumwezesha kuzielewa vizuri kazi zake, ndipo anaanza kuzitekeleza, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “kabla hujamuua ndege usiwashe moto.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuzifanyia utafiti wa kuwawezesha kuzielewa vizuri kazi zao, ndipo waanze kuzitekeleza, katika maisha yao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Luka 14:28-29.

bird

bird1

bird3

ENGLISH: BEFORE YOU KILL A BIRD, DO NOT LIGHT FIRE (DO NOT COUNT YOUR EGGS BEFORE THEY ARE HATCHED).

This proverb focuses on an activity of bird-hunting that is done by children. Children often hunt birds for roasting in order to eat. They first hunt until they kill a bird then they light fire for burning it. That is why people say, “Before you kill a bird, do not light fire.”

This proverb is likened to a man who first researches his works, before dong them in his life. He strives to do research that is good enough to enable him understand the work because he wants to find out requirements of those jobs. He succeeds in making many advances from fruits of his labor, because of doing the work that he knows best in his life.

This man is like the children who hunted birds then they set fire, because he also did research on his works for understanding his works before doing them in his life. That is why he tells people that, “Before you kill a bird, do not light fire.”

This proverb teaches people on how to do research enough to enable them understand their works, and then start implementing them in their lives, so that they can develop their families in their societies.

Luke 14: 28-29.

801. NEB’ULEB’U ATUGAYIWA LUSHIKU LOKWE.

Uneb’uleb’u alimunhu uyo agatumamaga milimo yakwe hado hado. Umunhu ng’wunuyo, agabhizaga na jikolo jigehu, umukikalile kakwe kunguno ya katumamile kakwe. Uweyi agikalaga apinihalile noyi kunguno ya gubhiza na jiliwa jigehu, ahakaya yakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “neb’uleb’u atugayiwa lushigu lokwe.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina wiyumilija bho gutumama milimo yakwe kihamo nu gupandika matwajo magehu adayoyaga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikomejaga gutumama milimo bhuli lushigu bho gwingila dilu mpaga mhindi. Uweyi adalekaga uguja ukumilimo yakwe, mumo agakelela bhuli ng’waka.

Ulusumo lunulo, lugikolaga nu neb’uleb’u uyo opandikaga jikolo jigehu,  kunguno nang’hwe agapandikaga jiliwa jigehu aliyo adabhinzikaga moyo, umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “neb’uleb’u atugayiwa lushigu lokwe.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwikomeja gutumama milimo yabho bho wiyumilija bhutale, umukikalile kabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Marko 10:21.

Luka 12: 23.

Luka 16:22-23.

KISWAHILI: HOHEHAHE HAKOSI SIKU YAKE.

Hohehahe ni mtu yule ambaye hufanya kazi zake pole pole. Mtu huyo, mara nyingi huwa na vitu vichache katika maisha yake kwa sababu ya utendaji wake huo. Yeye huwa katika hali ya masikitiko maishani mwake, kwa sababu ya kuwa na chakula kidogo. Ndiyo maana watu humtia moyo kwa kumwambia kwamba, “hohehahe hakosi siku yake.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mwenye uvumilivu wa kuyatekeleza majukumu yake bila kuyaacha pamoja na kupata mafanikio kidogo, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi kila siku, kuanzia asubuhi hadi jioni. Yeye haachi kwenda kwenye kazi zake hizo hata kama atapata mavuno kidogo kila mwaka.

Methali hiyo, hufanana na hohehahe aliyeendelea kufanya kazi pamoja na kupata mavuno kidogo, kwa sababu naye ana uvumilivu huo wa kuendelea kuyatekeleza majukumu yake kwa bidii hata anapokosa mavuno kwenye kazi zake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “hohehahe hakosi siku yake.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuendelea kuyatekeleza majukumu yao kwa uvumilivu mkubwa katika maisha yao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Marko 10:21.

Luka 12: 23.

Luka 16:22-23.

working2

working

ENGLISH: A LAZY  MAN  HAS  ALSO  HIS  DAY  WHERE HE  FEELS  READY  TO  WORK.

A lazy one is the person who does his/her work slowly. He/she often has few things in life because of such slow working which leads to a life of sadness, because of having little food. That is why people encourage him/her by saying, “a lazy  man  has  also  his  day  where he  feels  ready  to  work.”

This proverb is likened to a man who is patient with his duties without neglecting them in spite of having little success in life. This person, on the other hand, works hard every day, from morning till evening. He does not stop going to those jobs even if he gets a little harvest each year.

This person is similar to the lazy one who continued to work in spite of earning little, because he also has strong patience enough to continue diligently fulfilling his duties even when he lacks harvest from his works in life. That is why people tell him that “a lazy  man  has  also  his  day  where he  feels  ready  to  work.”

This proverb instills in people an idea on how to continue fulfilling their daily responsibilities with great patience in their lives, so that they can better develop their families in their societies.

Mark 10:21.

Luke 12:23.

Luke 16: 22-23.