Olihoyi munhu uyo wigalulaga bho gutumila wiyab’i bhutale. Nzenganwa okwe agamuja, “nibhuli ugusiminzaga ugambalile chiniko?” Uweyi agashosha, “nagutumilaga wiyabhi bhone.” Unzenganwa okwe agashosha, “ulu ubhutumila shib’i uwiyabhi bhoko bhunubho ugupandika makoye, umukikalile kako.” Uweyi agashosha, “nene ng’wenuyu nalya wiyab’i.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhutumilaga shib’i uwiyab’i bhokwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agiyagalulaga bho gubhaluhya abhiye kunguno ya libhengwe lyakwe ubhuyi. Uweyi agidumaga na bhiye kunguno ya wiyagaluji bhokwe bhunubho, ubho bhugenhaga makoye ukubhanhu bhakwe, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo olyaga wiyabhi bho gusiminza agimbalile, umukikalile kakwe, kunguno nu weyi agiyagalulaga mpaga obhenhela makoye obhiye, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “nene ng’wenuyu nalya wiyab’i.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo lya gubhutumia chiza uwiyab’i bhobho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.
Mwanzo 3:1-16.
Yohana 8:31-36.
KISWAHILI: MIMI HUYU NIMEKULA UHURU.
Alikuwepo mtu mmoja aliyeishi kwa kutumia uhuru mkubwa. Jirani yake alimuuliza, “kwa nini unatembea kwa kujipanga hivyo?” Yeye alijibu, “nautumia uhuru wangu.” Jirani yake akajibu, “ukiutumia vibaya uhuru wako utapata matatizo katika maisha yako.” Yeye alijibu, “mimi huyu nimekula uhuru.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huutumia vibaya uhuru wake, katika maisha yake. Mtu huyo, hufurahia kwa kuwatesa wenzake kwa sababu ya dharau yake kwao. Yeye hukosana na wenzake kwa sababu ya kuutumia vibaya huo uhuru wake, unaoleta matatizo kwa watu wake hao, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyekula uhuru wake kwa kutembea kwa majigambo, katika maisha yake, kwa sababu naye huutumia vibaya uhuru wake mpaka unaleta matatizo kwa wenzake, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “mimi huyu nimekula uhuru.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na busara ya kuutumia vizuri uhuru wao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.
Mwanzo 3:1-16.
Yohana 8:31-36.
ENGLISH: I HAVE EATEN FREEDOM.
There was one man who lived by enjoying great freedom. His neighbor asked him, “Why are you walking all the way?” He replied, “I exercise my freedom.” His neighbor replied, “If you abuse your freedom you will have problems in your life.” He replied, “I have eaten freedom.”
This saying is compared to a person who abuses his freedom, in his life. This man, however, rejoices in torturing his fellow men because of his contempt for them. He quarrels with his colleagues because he abuses his freedom, which causes him problems to his people, in his life.
This person is like the one who ate his freedom by walking proudly, in his life, because he also abuses his freedom by causing problems to his fellows, in his life. That is why he says that, “I have eaten freedom.”
This saying teaches people on how to be wise enough to make the best use of their freedom, so that they can live in peace with each other, in their lives.
Genesis 3: 1-16.
John 8: 31-36.