Folklore

1373. JIDASHIMEJIJE ING’HINGI.

Olihoyi munhu uyo aginhiwa nimo go gusimbila ng’hingi ja gusengela numba. Umunhu ng’wunuyo agajisimbila ing’hingi jinijo ugabhigwilija abho bhang’winha unimo gunuyo igiki omalaga ugugutumama. Aho bhiza ugugulingula unimo gokwe bhubhona giki jidashimejiwe ugusimbilwa ing’hingi jinijo kunguno bhajidimaga jayugwa duhu. Hunagwene abhagayomba giki, “jidashimejije ing’hingi.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alingokolo ugutumama imilimo ya aha kaya yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo atogilwe gwikala wigashaga duhu nulu lyashigaga ilikanza ilya gutumama milimo yakwe kunguno ya bhugokolo bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi aligikala ukoyiwa ni koye lya bhuhab’i bho gubhiza na nduhu jikolo aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya bhugokolo bhokwe bhunubho ubho gwikala wigashije ahikanza lya gutumama milimo yakwe, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo adajishimejije ing’hingi ugujisimbila, kunguno nuwei alingokolo ugutumama imilimo ya kaya yakwe, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “jidashimejije ing’hingi.”

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gwihanda gutumama milimo yabho chiza bho bhuleka bhugokolo bho gutumama milimo kugiki bhadule gupandika sabho jagubhambilija ugujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Mithali 10:4.

Mithali 13:7-8.

Mithali 19:4.

KISWAHILI: NGUZO HAZIKUCHIMBIWA KWA KINA KIREFU.

Alikuwepo mtu aliyepewa kazi ya kuchimbia nzuzo za kujengea nyumba. Mtu huyo, alizichimbia nguzo hizo akaenda kuwataarifu wale waliompatia kazi hiyo kuwa ameimaliza. Walipofika kuikagua kazi yake wale waliompatia kazi hiyo waligundua kuwa nguzo hizo hazikuchimbiwa vizuri kwa sababu kila walipozigusa kidogo zilianguka. Ndiyo maana walisema kwamba, “nguzo hazikuchimbiwa kwa kina kirefu.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mvivu wa kufanya kazi kwenye familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo hushinda akiwa amekaa tu hata wakati wa kufanya kazi kwa sababu ya uvivu wake huo, maishani mwake. Yeye husumbulia na tatizo la umakini wa kutokuwa na kitu katika familia yake kwa sababu ya uvivu wake huo wa kushinda amekaa hata wakati wa kufanya kazi, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeshindwa kuitekeleza vizuri kazi ya kuchimbia nguzo aliyopewa, kwa sababu naye ana uvivu wa kutokufanya kazi zake mpaga anasumbuliwa na tatizo la umaskini wa kutokuwa na kitu katika familia yake, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba “nguzo hazikuchimbiwa kwa kina kirefu.”

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao bila ya kuzembea katika kuyatekeleza majukumu yao, ili waweze kupata mali za kuwasaidia katika kuziendelea vizuri familia zao, maishani mwao.

Mithali 10:4.

Mithali 13:7-8.

Mithali 19:4.

ENGLISH: THE PILLARS WERE NOT DUG DEEP.

There was a man who was given a task of digging foundations for a house. Such man dug pillars and went to inform those who had given him that task that he had finished. When they arrived to inspect his work, those who had given him the task discovered that those pillars were not dug properly because every time they fell after touching them. That is why they said, “The pillars were not dug deep.”

This proverb is equaled to a person who is lazy to work in his family, in his life. Such person wins by just sitting down even when working because of his laziness, in his life. He suffers from the difficult of not having anything in his family because of his laziness of sitting down without working in his life.

This person is like the one who failed to properly carry out the task of digging a pillar given to him, because he is also lazy in doing his work until he is troubled by the problem of poverty of having nothing in his family, in his life. That is why people say to him that “the pillars were not dug deep.”

This proverb teaches people about working hard enough to do their jobs without being lazy in carrying out their responsibilities, so that they can obtain much wealth enough to help them in decent development of their families in their lives.

Proverbs 10:4.

Proverbs 13:7-8.

Proverbs 19:4.

1334. GOLEMELAGA HITIMA.

Olihoyi munhu uyo agigwa mhayo ntale uyo gugaminya umunholo yakwe. Umunhu ng’wunuyo, aho ogwigwa umhayo gunuyo agandya guchola bhanhu bho gubhawila kugiki bhadule gung’wambilija umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhayomba giki, “golemelaga hitima.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhawilaga bhiye bhang’wambilija ulu opandikaga milimo mitale, nulu mihayo mitale, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agacholaga wambilijiwa kubhiye wangu ulu opandikaga mihayo iyo igaibhunaga imholo yakwe, nulu ulu opandikaga milimo mitale iyo ijikilile nguzu jakwe, kugiki adule uguimala wangu kunguno ya gwikala gokwe chiza na bhiye umuwikaji bhokwe. Uweyi agagamala wangu amakoye ga ha kaya yakwe pye ni milimo yakwe yiniyo, kunguno ya gwanguha kulomba wambilijiwa hayo itale ugunemela, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agigwa mihayo iyo igaiminya inholo yakwe ubhawila bhiye wangu, kunguno nuweyi agacholaga wambilijiwa kubhiye ulu opandigaka makoye matale nulu nimo ntale uyo gujikilile inguzu jakwe, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “golemelaga hitima.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guchola bhanhu bhagubhambilija wangu ulu bhapandikaga makoye matale nulu milimo mitale iyo ijikilile inguzu jabho, kugiki bhadule gwambilija wangu hayo bhatali ugukeleja, umuwikaji bhobho.

Mathayo 18:15-16.

KISWAHILI: LIMEKATALIA ININI.

Alikuwepo mtu yule ambaye alisikia neno kubwa ambalo liliumiza moyo wake, Mtu huyo alipolisikia neno hilo alianza kutafuta watu wa kuwashirikisha ili aweze kupata utatuzi wa tatizo hilo mapema. Ndiyo maana alisema kwamba, “limekatalia inini.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwashirikisha wenzake ili kupata msaada kila anapopata tatizo kubwa au kazi kubwa inayozidi uwezo wake, katika maisha yake. Mtu huyo, hutafuta msaada kutoka kwa wenzake mapema kila anapokumbwa na tatizo linalomzidi nguvu, au anapopata kazi kubwa inayohitaji msaada kutoka kwa wenzake, kwa sababu ya umakini wake wa kuishi vizuri na watu, maishani mwake. Yeye huyamaliza mapema matatizo yanayoikumba familia yake, pamoja na kazi zinazidi uwezo wake kwa sababu ya kuwashirikisha wenzake mapema kabla hajachelewa kuomba msaada huo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyesikia tatizo kubwa akawashirikisha wenzake mapema, kwa sababu naye hutafuta msaada kutoka kwa wenzake mapema kila anapopata tatizo au kazi kubwa inayozidi uwezo wake, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “limekatalia inini.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kutafuta watu wa kuwasaidia mapema wanapopata tatizo kubwa au kazi inayozidi uwezo wao ili waweze kupata utatuzi wake mapema kabla hawajachele, maishani mwao.

Mathayo 18:15-16.

madagascar-4601287_1280

ENGLISH: IT HAS JAMMED IN THE LIVER.

There was a man who heard a miserable word that hurt his heart. After hearing such word, he started looking for people to share it with so that he could find a solution to it as soon as possible. That is why he said, “It has jammed in the liver.”

This saying is related to a person who shares it with his colleagues to get help whenever he encounters a huge delinquent or a huge task that is beyond his ability, in his life. Such person seeks support from his colleagues early whenever he encounters a problem that is beyond his ability, or when he gets a huge task that requires relief from his colleagues, because of his single-mindedness on living well with people, in his life. He ends hitches that beset his family early, as well as tasks that are beyond his ability because of sharing it with his colleagues early before it is too late to ask for that aid, in his life.

This person is similar to the one who heard a big problem and shared it with his colleagues early, because he also seeks help from his colleagues early whenever he encounters a problem or a huge task that is beyond his ability, in his life. That is why he says, “It has jammed in the liver.”

This saying instills in individuals a clue of seeking support early when they encounter an enormous difficult or a task that is beyond their ability so that they can find a solution early before it is too late, in their lives.

Matthew 18:15-16.

1316. ISATA NGESE YA MU MILI.

Ingese gali maswa mingi ayo gali mungunda go ng’wa munhu. Amaswa genayo gagajilemeja ijiliwa ugupya kunguno ya kujimaja aminzi. Ung’winikili ngunda gunuyo agagudilila ungunda gokwe bho guilimila ingese yiniyo kunguno igajizonjaga ijiliwa gitumo gugasongelaga umili go ng’wa munhu uyo alisata. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “isata ngese ya mu muli.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agagudililaga chiza umu mili gokwe ulu alisata, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, aganguhaga kuja kusitali ulu alisata ogaping’wa na gwinhiwa bhugota bho gudula guipija isata yakwe yiniyo, kunguno ya witegeleja bho gugudilila chiza umili gokwe gunuyo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapilaga wangu ulu osata kunguno ya gugudilila chiza chiniko umili gokwe, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agagudilila chiza ungunda gokwe bho guilimila ingese mpaga upandika jiliwa aha kaya yakwe, kunguno nuweyi agagudilila chiza umili gokwe ulu alisata bho guja kusitali ogapandika bhugota bho gudula gumpija wangu, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “isata ngese ya mu muli.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho guidilila chiza imimili yabho ulu bhalisata, kugiki bhadule gupila wangu na gwikala bho bhuyegi umukaya jabho.

Marko 10: 46-49

KISWAHILI: UGONJWA PALIZI YA MWILI.

Palizi ni uwepo wa majani mengi ndani ya shamba la mtu. Majani hayo huyazuia mazao kuzaa kwa sababu ya kuyamalizia maji. Mwenye shamba hilo hujitahidi huyapalilia mazao yake kwa kuyakata majani hayo kwa sababu yenyewe huyasonga mazao yake kama vile ugonjwa unavyoukosesha raha mwili mwa mtu anayeumwa. Ndiyo maana watu husema kwamba, “ugojwa palizi ya mwili.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huujali vizuri mwili wake anapougua, katika maisha yake. Mtu huyo, huwahi kwenda hospitalini kwenda kupata vipimo na dawa za kuweza kumponyesha haraka, kwa sababu ya umakini wake huo wa kuujali vizuri mwili wake, maishani mwake. Yeye hupona haraka anapougua kwa sababu ya kuujali vizuri hivyo mwili wake huo kwa kuuwahisha hospitalini kila anapougua, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyelijali vizuri shamba lake kwa kulipalilia palizi mpaka akapata mazao kwenye familia yake, kwa sababu naye huujali vizuri mwili wake kwa kuuwahisha hospalini anapougua kwenda kupata vipimo na dawa za kumsaidia kupona haraka, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “ugojwa palizi ya mwili.”

Msemo huo, hufundisna watu juu ya kuwa na umakini wa kuijali miili yao kwa kuiwahisha hopitalini kila wanapougua, ili waweze kupona haraka na kuishi kwa furaha maishani mwao.

Marko 10: 46-49.

 

ENGLISH: SICKNESS A WEED OF THE BODY.

Weed is an unwanted leave in a person’s field. This leave prevents crops from producing yields because they drain water. The owner of the field strives to weed his crops by cutting these leaves because they themselves suffocate his crops just as a disease makes the body of a sick person uncomfortable. That is why people say, “Sickness a weed of the body.”

This saying is matched to a person who takes good care of his body when he is sick in life. This person sometimes goes to the hospital for getting medicines which can heal him quickly, because of his courtesy for taking good care of his body in his life. He recovers quickly when he is sick because he takes good care of his body by going to the hospital every time when he is sick in his life.

This person is like the one who took good care of his field by weeding it until it yielded crops for his family, because he also takes good care of his body by going to the hospital when he is sick for geting medicines which can help him to recover quickly in his life. That is why he says that, “Sickness a weed of the body.”

This saying teaches people to be careful enough to take care of their bodies by going to the hospital whenever they are sick, so that they can recover quickly and live happily in their lives.

Mark 10: 46-49.

 

working-4465967_1280

gardening-2518377_1280

sadness-1783794_1280

1194. NASHOKA GUB’INILA NG’WANG’HILILI.

Olihoyi munhu uyo olinyalali o ntala gungi. Umunhu ng’wunuyo, agagalucha untala uyubhinila kuntala go ng’wa Ng’hilili kunguno ya kuchola kupandika solobho nhale umuntala gunuyo. Hunagwene agayomba giki, “nashoka gub’inila Ng’wang’hilili.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agachagulaga nimo uyo guli na solobho nhale ukuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agitaga bhukengeji bho gugudebha chiza unimo uyo gudulile gung’wenhela solobho nhale ubhutumami bhokwe na guguchagula kunguno atogilwe kupandika matwajo mingi, umubhutumami bhokwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe kunguno ya kuchagula milimo ya wiza, umubhutumami bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agashoka gub’inila ng’wang’hilili, kunguno nuweyi agachakulaga milimo iyo idulile kung’wenhela solobho nhale umubhutumami bhobho. Hunagwene agayombaga giki, “nashoka gub’inila ng’wa Ng’hilili.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuchagula milimo ya gudula gubhenhela solobho nhale umubhutumami bhobho, kugiki bhadule gupandika sabho ningi, umuwikaji bhobho.

Luka 14:25-27.

Mathayo 3:1.

Ufunuo 3:19-22.

KISWAHILI: NIMERUDI KUCHEZEA KWA NG’HILILI.

Alikuwepo mtu aliyekuwa mchezaji wa kundi fulani la ngoma. Mtu huyo, alibadilisha mawazo yake akaamua kuchelezea ngoma hizo kwenye kundi la Ng’hilili, kwa sababu ya kutaka kupata faida kubwa kwenye kundi hilo. Ndiyo maana alisema kwamba, “nimerudi kuchezea kwa Ng’hilili.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huchagua kazi yenye faida kubwa katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya utafiti wa kumwezesha kuzifahamu na kuzichagua kazi hizo, kwa sababu ya kutaka kupata mafanikio makubwa katika kazi zake. Yeye hupata mafanikio makubwa katika familia yake, kwa sababu ya kuchagua kazi za kuweza kumletea faida kubwa, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyerudi kwa Ng’hilili, kwa sababu naye huchakua kazi ziwezazo kumletea faida kubwa katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “nimerudi kuchezea kwa Ng’hilili.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuchagua kazi za kuweza kuwaletea mafanikio makubwa katika utumishi wao, ili waweze kupata faida kubwa, maishani mwao.

Luka 14:25-27.

Mathayo 3:1.

Ufunuo 3:19-22.

 

ENGLISH: I HAVE RETURNED TO PLAY TO NG’HILILI.

There was a man who was a dancer in a certain dance group. He changed his mind and decided to explain the dances to the Ng’hilili group, because he wanted to make a big profit from the group. That is why he said that, “I have returned to play to Ng’hilili.”

This saying is equated to a person who chooses a job that is very profitable in his life. Such person does research that is good enough to enable him understand and choose the best jobs, because he wants to achieve great success in his works. He achieves great success in his family, because of choosing jobs that can bring him great profits, in his life.

This person is similar to the one who returned to Ng’hilili, because he also takes jobs that can bring him great profits in his life. That is why he says that, “I have returned to play to Ng’hilili.”

This saying imparts in people an idea about choosing jobs that can bring them great successes in their services, so that they can get great benefits, in their lives.

Luke 14:25-27.

Matthew 3:1.

Revelation 3:19-22.

 

dance-5935800__480

1007. OBHASOLA ABHANAMHALA BHAKWE.

Akahayile kenako, kalolile munhu uyo agikalaga na bhabyaji bhakwe aha kaya yakwe. Olihoyi munhu umo uyo witanagwa kalyango uyo wikalaga mujiji ja Ng’watuju. Umunhu ng’wunuyo agabhasola abhabyaji bhakwe uyikala nabho kunguno akajile kaji munhu ulu ukula agabhizaga adidujije. Unkuji ng’wunuyo, agisanyaga gwambilijiwa na bhasumba kulwa nguno ya bhunamhala bhokwe.

Gashinaga lulu igelelilwe aileke ikaya yakwe na guja gujuzenga uko ali ng’wana uyo agang’wambilijaga. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki “obhasola abhanamhala bhakwe.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhalanhanaga chiza abhabyaji bhakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhinhaga jiliwa, jizwalo na numba ya gulala abhabyaji bhakwe bhenabho kunguno ya likujo lwakwe ukubhoyi. Uweyi agabhambilija chiza mpaga bhinga kuwelelo, kunguno ya bhutogwa bhokwe ukubhabyaji bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu Kalyango uyo agabhasola abhabyaji bhakwe mpaga ha ng’wakwe, kunguno nuweyi agabhambilijaga chiza abhabyaji bhakwe, mpaga binga kuwelelo, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “obhasola abhanamhala bhakwe.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo na bhulumbi ukubhabyaji bhabho bho gubhalab’ila chiza, kugiki bhadule kupandika mbango ja gwikala chiza, umuwelelo.

Kutoka 20:12.

Yohana 19:26-27.

1Timotheo 5:1-8.

1Timotheo 5:17.

Warumi 13:1.

 

KISWAHILI: AMEWACHUKUA WAZEE WAKE.

Msemo huo, huangalia mtu anayeishi na wazazi wake nyumbani kwake. Alikuwepo mtu aliyeitwa Kalyango aliyekuwa akiishi kwenye kijiji cha Mwatuju. Mtu huyo, aliwachukua wazazi wake akawa anaishi nao nyumbani kwake kwa sababu kiubinadamu mtu akizeeke huwa hajiwezi. Mzee huyo, hutegemea kusaidiwa na watoto wake kwa sababu ya uzee wake huo.

Kumbe basi, inafaa mzee huyo aiache familia yake na kwenda kuishi kwa mwanae anayemsaidia, katika maisha yake. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “amewachukua wazee wake.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwatunza vizuri wazazi wake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwapatia wazazi wake hao, chakula, nguo na nyumba ya kulala kwa sababu ya heshima aliyo nayo kwao. Yeye huwatunza vizuri wazazi wake hao mpaka kifo chao, kwa sababu ya upendo alionao kwao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na Kalyango aliyewatunza wazazi wake kwa kuwachukua kuishi nao nyumbani kwake, kwa sababu naye huwatunza vizuri wazazi wake hadi kifo chao. Ndiyo maana watu walisema juu yake kwamba, “amewachukua wazee wake.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na heshima na shukrani kwa wazazi wao kwa kuwatunza vizuri, ili waweze kupata Baraka za kuishi vizuri, duniani.

Kutoka 20:12.

Yohana 19:26-27.

1Timotheo 5:1-8.

1Timotheo 5:17.

Warumi 13:1.

ENGLISH: HE HAS TAKEN HIS ELDERS.

This saying looks at a man who lives with his parents in his house. He was named Kalyango who lived in the village of Mwatuju. He took his parents and lived with them in his house because when human beings grow old they become enable to depend on themselves. The old ones, in turn, rely on the help of their children because of their old age.

Therefore, the old man should leave his family and go to stay with his son who can help him, in his life. That is why the people said, “He has taken his elders.”

This saying is applied to the person who takes good care of his or her parents, throughout his or her life. Such man, provides his parents with food, clothing, and shelter because of the respect that he has for them. He takes good care of his parents until their death, because of the true love that he has for them, in his life.

This man is like Kalyango who took care of his parents by taking them to live with them in his house, because he also took good care of his parents until their death. That is why the people said of him that “He has taken his elders.”

This saying teaches people about having respect and gratitude for their parents by taking good care of them, so that they can receive Blessings of living well on earth, in their lives.

Exodus 20:12.

John 19: 26-27

1 Timothy 5: 1-8.

1 Timothy 5:17.

Romans 13: 1.

senior-citizens-1429012__480