Sukuma Stories

99. Yang’wa Kamundi

Collected by: Don Sybertz,

With special thanks to Rev Joe Healey  (African proverbs,Sayings and stories)

Yaliho ndimu imo ndoni yitanagwa Kabundi. Indimu yiniyo bhalibhitogilwe noi abhanhu. Indimu yiniyo yali na miso matale na gaza.

Lushigu lumo agatung’wana na munhu agamuja, “Nywani kabundi nibhuli amiso gako galigaza?” Kabundi agashosha, “Bana bhebhee! Amiso gane galigaza kulwa nguno ya linyanza lwa pwani!”

Munhu umo agabhuja, “Ehe, oshiga koi ukunuko pwani na gulibhona ilinyanza?” Kabundi agayomba, yaya. Nadinashiga ukunuko pwani nulu nadinadula gulibhona ilinyanza! Aliyo abho bhamala gushiga ipwani, bhalihaya giki ilinyanza ligabhalaluchaga amiso abhanhu.

Kiswahili: Ya Kamundi

Kulikuwapo na mnyama mmoja mdogo, aliitwa Kabundi. Mnyama huyu alipendwa mno na watu. Mnyama huyo alikuwa na macho makubwa na mekundu.

Siku moja alikutana na mtu akamwuliza., “Rafiki Kabundi kwa nini macho yako ni mekundu?” Bwana wee! Macho yangu ni mekundu kwa sababu ya bahari huko pwani! Akamuuliza tena, “Je, umewahi kufika huko pwani na kuiona bahari?”

Kabundi alikana, hapana. Sijafika huko pwani wala sijawahi kuiona bahari! Lakini wale waliopata kwenda pwani, wanasema kuwa, bahari huwafanya watu kuwa na macho mekundu.

wildlife-

ENGLISH: OF KAMUNDI (IDEAS OF A SMALL KIND OF ANIMAL).

 There was one little animal called Kamundi (an animal with big eyes). This animal was very loved by people. The animal had big and red eyes.

One day he met a man and asked, “Friend Kamundi, why are your eyes red?” Alas! My eyes are red because of the sea on the beach! He asked again, “Have you ever been to the beach and seen the sea?”

The Kamundi denied saying “ I have neither been to the beach, nor have I seen one. But those who went to the beach say, that the sea makes people have red eyes.”

 

 

98. Ntemi Ludoviko

Collected by: Don Sybertz,

With special thanks to Rev Joe Healey  (African proverbs,Sayings and stories)

Ludoviko oli Ntemi o Bhufaransa Ng’waka 1214. Umayu okwe olinawikomeja bho gunlela jizunya abhize Ntemi ng’wela (Ntakatifu).

Ntemi Ludoviko na nke okwe bhali na bhana ikumi na umo. Bhuli lushigu imhimbi obhitanaga umu chumba jakwe na gubhashauli bhabhize na gunhamya Mulungu (widoha kuli Mulungu).

Ojaga bhuli lushigu gujusalila mumisa ya dilu. Olina guzunya gutale ahigulwa ya ubhuliho bho ng’wa Yesu Kristo umu Sakramenti ya Ekaristi nhakatifu.

Lushugu lumo bhadugu bhamukaya yakwe bhagansanga na gung’wila bho golecha gukumya gutale giki u Yesu Kristo agiyolecha kuli nene ng’winikili umu Ekaristi, bhagang’wikumbilija wize wangu wangu gunhola Sebha.

Aliyo yalinduhu nguno ya gunibhona unene bho miso gakwe, aliyo itoshije du ugunibhona bho miso ga guzunya. Agatogwa giki ibhize giko kuabho bhadina mhona aliyo bhalinzunya.

Kiswahili: Mtemi Ludoviko

Ludoviko alikuwa Mtemi wa Ufaransa Mwaka 1214. Mama yake alifanya bidii ya kumlea kikristo ili awe Mtemi Mtakatifu. Mtemi Ludoviko na mke wake walikuwa na watoto kumi na moja.

Kila siku jioni aliwaita chumbani kwake na kuwashauri wawe na uchaji wa Mungu. Kila siku bila kukosa pia alishiriki ibada ya Misa Takatifu. Alikuwa na imani kubwa kuhusu uwepo wa Yesu Kristo katika sakramenti ya Ekaristi.

Siku moja jamaa katika familia yake walimjia na kumwambia kwa mshangao mkubwa kwamba, Yesu Kristo, mimi mwenyewe alijionyesha katika Ekarsti wakamsihi aje upesi kumtazama Bwana.

Lakini hakuwa na haja ya kuniona mimi kwa macho yake, lakini inatosha tu kuniona kwa macho ya imani. Alipendelea kuwa na wale ambao hawajaona bali wanasadiki.

living-nativitycross-

ENGLISH: CHIEF LUDOVICK.

Ludovic was the French king  in 1214. His mother made a great effort to raise him in a christian way so that he could become a Holy King. King Ludovic and his wife had eleven children.

Every evening, he called them to his bedroom and advised them to have a godly attitude. He participated in the Sacred Mass every day without missing. He had great faith in the presence of Jesus Christ in the Eucharist.

One day the relatives in his family came to him and told him in amazement that Jesus Christ himself  had appeared in the Eucharist and asked him to come quickly to see the Lord.

However, he did not need to see Jesus with his flesh eyes, but ewith  spiritual ones for Jesus himself preferred to be with those who have not seen but believe.

97. Bhasumba Na Shetani

Collected by: Don Sybertz,

With special thanks to Rev Joe Healey  (African proverbs,Sayings and stories)

Bhaliho bhasumba bhadatu  abho bhagigwa habhali ja ng’wa shetani bhudachiwa noi. Bhagiyangula kuja gujunchobha bhamulage. Aho bhashiga bhunsanga bhung’wila, “Lelo duligubhulaga.”

Ushetani agashosha, “Sawa, aliyo tamu diyeje na soda.” Umo wing’we agadenhele Soda.” Aho atali uguja ugujugula isoda, ushetani ng’wunuyo agabholekaja abhasumba bhenabho lunasi na dhahabhu, ubhawila, “Ulu ng’wunileka ugunibhulaga nagung’winha isabho jiniji.”

Halafu unsumba uumo agaja gujugula soda. Umunzila unsumba ng’wunuyo agandya guiganika umo alajipandikile isabho jinijo. Abhona igubhelela ugutuula simu umu soda jinijo, kugiki pye abho bhalamale gujing’wa na gucha, agudula gusola isabho jinijo, lunasi ni dhahabhu.

Bhasi, agita chiniko. Gashi ukunuma abhiye bhenabho bhizunilijaga giki, ung’wunuyo uyo ojaga gujugula soda, ulu oshoga abhulagwe kugiki abhoi abhabhili bhadule gugabhana isabho jinijo. Aho obhinha du isoda unsumba ng’wunuyo agabhulagwa. Aho bhamulaga bhagang’wa isoda jinijo.

 

Kiswahili: Vijana Na Shetani

Walikuwepo vijana watatu waliosikia habari za Shetani wakachukizwa. Wakaamua kwenda kumtafuta wamuue. Walipofika wakamkuta na kumwambia, “Leo tunakuua.”

“Sawa, lakini kwanza tuburudike na soda.” Mmoja wenu atuletee soda.” Kabla ya kwenda kununua soda, yule shetani aliwaonesha vijana wale almasi na dhahabu, akawaambia,  “Mkiacha kuniua nitawapa mali hii.”

Halafu kijana mmoja akaondoka kwenda kununua soda. Njiani yule kijana alifikiria jinsi ya kupata mali ile. Akaona itafaa kuweka sumu katika zile soda, ili wote baada ya kuzinywa na kufa, ataweza kumiliki  ile almasi na dhahabu. Basi akafanya hivyo.

Kumbe kule nyuma wale wenzake wakakubaliana kuwa yule aliyekwenda kununua soda, atakaporudi auwawe ili wao wawili waweze kugawana ile mali. Mara tu yule kijana alipowapatia soda, aliuawa. Baada ya kumwua, wakanywa zile soda.

business-men-werewolf

ENGLISH: YOUTH AND THE DEVIL

There were three young people who heard about Satan, and they hated it. They decided to go look for him and kill him. When they arrived, they found him and said, “Today we will kill you.”

“Well, but first let us have some soda.” Let one of you bring us soda.”Before going to buy soda, the devil showed the young people diamond and gold and said, “If you  don’t kill me I will give you this wealth.”

Then a young man went out to buy soda. On the way the young man thought about getting the wealth. He found it necessary to put poison in the soda, so that after they all drink and die, he would be able to possess the diamond and gold. So he did.

In the meanwhile, his colleagues agreed that they should kill the one who went to buy the soda when he returned so that they could share the property. As soon as the boy gave them soda, he was killed. After they killed him, they drank the soda and died too.

96. Namhala Maduhu Na Padri

Collected by: Don Sybertz,

With special thanks to Rev Joe Healey  (African proverbs,Sayings and stories)

Namhala umo lina lwakwe Maduhu agita bhunwani na Padri nnebhe. Padri ng’wunuyo omalaga unyelela. Lushigu lumo, umaduhu agang’wila upadri, “Nzugu nagolekeje umulungu one,” Padri agazunya.

Maduhu agantongela u Padri mpaga mulugutu lo ng’ombe jakwe. Aho bhashiga, Maduhu agang’wila u Padri, “Ubhebhe Padri usage nu Mulungu oko, nu nene nasage na mulungu one. Ing’ombe iji nu mulungu one. Najisanije jiniji du. Naduhayaga ginhu jingi. Amambo gako aga dini bhuli bhubuli.”

Maduhu agazumalika musi. Ni ngholo yakwe yugimila habhutongi bho ng’wa Mulungu. Bhanhu bhingi bhagaja aha bhujikwa bhokwe. Aho bhoshila ubhujikwa bhokwe, abhadugu bhakwe bhagasola pye ing’ombe jakwe (yaani mulungu okwe) na bhakima bhakwe.

 

Kiswahili: Mzee Maduhu Na Padri

Mzee mmoja jina lake Maduhu alifanya urafiki na padri fulani. Padri huyo alikuwa akimtembelea mara kwa mara. Siku moja, Maduhu  alimwambia padri, “Njoo, nikuoneshe Mungu wangu,” Padri  alikubali.

Maduhu alimwongoza Padri hadi kwenye zizi la ng’ombe wake. Walipofika, Maduhu alimwambia Padri, “Wewe Padri ubaki na Mungu wako, na mimi nibaki na Mugu wangu. Ng’ombe hawa ni Mungu wangu. Ninawategemea hawa tu. Sitaki kitu kingine. Mambo yako ya dini kwangu ni upuuzi mtupu.”

Baadae, Maduhu alifariki dunia. Na roho yake ikasimama mbele ya hukumu ya Mungu. Watu wengi walihudhuria mazishi yake. Baada ya mazishi, ndugu zake waliwachukua ng’ombe wote (yaani mungu wake) na wake zake wote.

priest-fisherman-

 

ENGLISH: MADUHU AND THE PRIEST

One old mannamed Maduhu made friendship with a certain priest. The priest was visiting him regularly. One day, Maduhu said to the priest, “Come, so that I show you my God.” The priest agreed.

Maduhu led the priest to his cowshed. When they arrived, Maduhu said to the Priest, “You, Priest , will remain with your God, and I will be with my god. These cattle are my god. I only depend on them. I don’t want anything else. Your religious affairs are nothing but nonsense.”

Later, Maduhu died. And his spirit stood before the judgment of God. Many people attended his funeral. After the funeral, his brothers took all the cattle (his god) and all his wives.

95. Kulwa, Dotto Nu Shija

Collected by: Don Sybertz,

With special thanks to Rev Joe Healey  (African proverbs,Sayings and stories)

Oliho namhala umo uyo olina bhana bhadatu: bhamabhasa Kulwa na Dotto, na jipanda mabhasa, lina lwakwe Shija. Abhana bhanabho bhali na wikaji bho wiza nubhabha obho. Ubhabha obho oli nsabhi noi. Lushigu lumo, ubhabha agabhawila abhana bhakwe, “Ihaha aying’we ng’wakulaga ng’wabhizaga bhanhu bhatale. Nalimulomba muchole bhakima bha gutola. Ukulwa wandye.”

Ukulwa agaligwa ililagilo lwa ng’wa bhabha okwe, uja kiya ya kule. Ukunuko agampandika nkima nsoga. Utunga bhulunja nanghwe, na ushoka kaya. Agang’winha ubhabha okwe amafumilo ga lugendo lokwe. Ubhabha agayega na gunumbilija noi u Kulwa.

Nalupuna ludima lo ng’wa Dotto. Agaja kiya aguncholaga nkima oguntola. Agaduja ugumpandika unkima unsoga, bhizunilija nanghwe, na bhutunga bhulunja.

UDotto aho oshoga kaya na gulomela giki okindaga ugunpandika unkima, ubhabha agamuja, “Ehe, Dotto onpandikilaga hei unkima ng’wunuyo?” Dotto agashosha, “Kiya ya kule,” “ng’wa nani?” agabhuja ubhabha, “kuli namhala fulani!” agashosha u dotto. “Ala! iki nu nduguyo uKulwa olunga bhulunja kuli nkima nu ng’wunuyo?” agabhuja ubhabha.

U guku obho agang’wila ubhabha obho, “Bhalekage du.” Inhalikilo lubhiza ludima lo ng’wa jilondela mabhasa uShija. Nanghwe agaja nu lwande lunulo ulo bhagaja gujulungija abhakuluye.

Shija aganunja nu nkima ng’wunuyo uyo oliolunjiwa na bha Kulwa nu Dotto. Shija agashoka kaya na gung’wila ubhabha okwe higulwa ya bhupandiki bho lugendo lwokwe. Ubhabha obho uyomba, “Bhanabhane ng’witaga ginehe? Bhuli pye ubhudatu wing’we ng’wantogagwa ng’wunuyo umo?”

Abhana bhakwe bhaganshokeja, “Uduzunilije duje kuchuo kugiki tupandike bhulangwa. Uyo alamale chiza gukila pye hu ng’wenuyo uyo alantole umkima uyo.”

Huna ubhabha obho agabhazunilija abhana bhakwe guja si ja kule gujusoma. Umo obho agasomela hilwa ya darubhini, uungi agabhiza daktari, na ogadatu agabhiza Rubani o ndege.

Aho bhamala amasomo gabho ukunuko si ja hanze, umo agayomba, “Ilibhelela dupime na dubhone ihali umo ili ukunuko kaya.” Bhagapima na gubhona ihali ili ya mhola gete ukunuko kaya.

Halafu bhagayomba, “Dupime nuko dalungija.” Aho bhampima unkima uyo bhanunja, bhubhona giki alinsadu noi, hangi ali ohandili gete. Bhagibhuja, “Dite ki ihaha?

Umo obho agashauri, “Udakitali asole bhugota na jipimo jakwe, nurubani asole Ndege, na wangu wangu duje bho nduhu gukeleja. Pye bhagizunilija, bhandya lugendo lo guja gujunhagula unsadu ng’wunuyo.

Aho bhashika koi bhagansanga unkima ng’wenuyo olemelagwa alihandili gete. Udakitali agandya nimo gogumpima na gunhagula. Baada ya likanza ido agapila gete. Aho opila gete, dakitali agayomba, “Iki opila, unkima uyu alione.”

Untalamu o darubhini nawe agayomba, “Unkima uyu alione, kulwa nguno unene hung’wene uyo nampima bho darubhini kufuma kule na gumana igiki alinsatu o handili.”

Urubani nawe agahaya, “unkima uyu alione kulwa nguno unene huyo nagabhanguhya wangu wangu, kuyiniyo, unkima uyo alione.”

 Umu wiharaliki wenubho umo obho agayomba, “Agubhiza nkima ong’wa guku wise kulwa nguno kunamna imo nulu yingi, bhuli umo wise ong’wambilijaga unkima ng’wenuyo. Ulu utolwa na guku, agubhiza aguduzugilaga ijiliwa, naise dugulwa kudi bhizukulu bhakwe.”

Bhagizunilija, giko unkima ng’wunuyo ubhiza nke ong’wa guku obho, abhoi bhubhiza bhizukulu bha ng’wa mama obho ng’wenuyo.

Nhana umama obho agabhazugila ijiliwa. Na gulinganila nu wikaji bho wimeji, umama obho ng’wenuyo ali nkima obho. Bhagikala bho bhuyegi. Mpaga leo abhizukulu bhagabhamelaga abha guku na bha mama bhabho.

 

Kiswahili: Kulwa, Dotto Na Shija

Kulikuwa na mzee mmoja aliyekuwa na watoto watatu: mapacha Kulwa na Dotto na kipanda mapacha jina lake Shija. Watoto hao walikuwa na maisha mazuri na baba yao.

Baba yao alikuwa tajiri sana. Siku moja, baba yao aliwaambia watoto wake, “Sasa ninyi mmekua na kuwa watu wazima. Nawaomba mtafute wanawake wa kuoa. Kwanza aanze kulwa.”

Kulwa alitii agizo la baba yake, akaondoka na kwenda mashariki ya mbali. Huko alimpata mwanamke mzuri. Akafunga naye uchumba. Baadae Kulwa alirejea nyumbani. Akampa baba yake matokeo ya safari yake. Baba alifurahi na kumshukuru sana Kulwa.

Baadae ilifuata zamu ya Dotto. Naye alikwenda mashariki kumtafuta mwanamke  wa kumwoa. Alifaulu kumpata mwanamke mzuri, akakubaliana naye wakafunga uchumba. Dotto aliporejea nyumbani na kueleza kuwa amefaulu kumpata mchumba. Baba, alimuuliza Dotto, “Je, umempata wapi mchumba huyo?” Dotto alimjibu “Mashariki ya mbali.” “Kwa nani?” “Kwa mzee Fulani!” “Ala! Si hata ndugu yako Kulwa amefunga uchumba kwa mwanamke huyo huyo?”

Babu yao akamwambia baba yao, “Waache tu.” Mwisho, ikawa zamu ya kipanda mapacha, Shija. Naye alielekea upande uleule walikokwenda kuchumbia kaka zake.

Shija alimchumbia mwanamke yuleyule aliyekwisha chumbiwa na Kulwa na Dotto. Shija aliporejea nyumbani na kumweleza baba yake kuhusu mafanikio ya safari yake. Baba yao akasema, “Wanangu mmefanyaje? Mbona wote watatu mmempenda mwanamke mmoja yuleyule?”

Watoto wake wakajibu, “Uturuhusu tuende kwenye chuo ili kupata mafunzo. Yule atakayefuzu zaidi kuliko wote ndiye atakayemwoa mwanamke huyo.”

Ndipo baba yao akawaruhusu wanawe kwenda nchi za mbali kwenda kusoma. Mmoja alisomea mambo ya darubini, mwingine akawa daktari, na watatu alifuzu urubani  wa ndege.

 Walipohitimu masomo yao huko nchi za nje, mmoja alisema, “Itafaa tupime na tuone hali halisi ya huko nyumbani.” Walipima na kuona hali iko salama kabisa kule nyumbani. Halafu wakasema “Tupime pia kule tulikochumbia.” Walipompima yule mwanamke waliyemchumbia, waligundua kuwa mchumba wao ni mgojwa sana, tena mahututi kabisa. Wakaulizana, “Tufanye nini sasa?” Mmoja alishauri, “Daktari achukue dawa na vipimo vyake, na rubani achukue ndege, na hima twende bila kuchelewa.

Wote walikubaliana, wakaanza safari yao kwa ndege kwenda kumtibu yule mgonjwa. Walipowasili huko walimkuta yule mwanamke yuko taabani kabisa. Daktari alianza kazi ya kumpima na kumtibu. Baada ya muda alipona kabisa. Baada ya kupona kabisa, daktari alisema, “Kwa kuwa amepona, huyu mwanamke ni wangu.”

“Huyu ni mwanamke wangu, kwa sababu mimi ndiye niliyempima kwa darubini kutoka mbali na kufahamu kuwa mgonjwa mahututi,” mtaalamu wa darubini alidai.

Rubani naye akadakiza, “huyu ni mwanamke wangu kwa sababu mimi ndiye niliyewafanya muwahi haraka, kwa  hiyo huyu ni mwanamke wangu.

Katika mabishano hayo mmoja alisema, “Atakuwa mke wa babu yetu kwa sababu kwa namna moja au nyingine, kila mmoja wetu amemsaidia mwanamke huyo. Akiolewa na babu, atakuwa anatupikia chakula, nasi tutakula kama wajukuu zake.”

Walikubaliana, hivyo yule mwanamke akawa mke wa babu, wao wakawa ni wajukuu wa huyo bibi. Kweli bibi yao aliwapikia chakula. Na kwa kadiri ya maisha ya utani bibi huyo alikuwa ni mke wao. Waliishi kwa furaha. Hata leo wajukuu huwatania babu na bibi zao.

egyptian-

English: Kulwa, Dotto And Shija

family

 

ENGLISH: KULWA, DOTTO AND SHIJA

There was an old man who had three children: twins Kulwa and Dotto and the one who followed the twins  named Shija. The children had a good life with their father.

Their father was very rich. One day, the father told his children, “Now you have grown up and become adults. I ask you to look for women to marry.  Kulwa should start first.”

Kulwa obeyed his father’s command and left to go far eastward. There he found a beautiful woman.He engaged her afterwards, Kulwa returned home. He gave his father the results of his journey. His father was very happy and thanked Kulwa.

Later followed Dotto’s turn. And he went east to look for  a woman to marry. He successfully found a beautiful woman, and agreed with her and  decided to get married. Dotto went home and explained that he had succeeded in getting a woman. The father asked Dotto, “Where did you get that woman from?” Dotto replied “In the fareast.” “From whom?” “From an old man!” “Ala!  Hasn’t your brother Kulwa engaged that same woman? ”

Their grandfather said to their father, “Leave them alone.” Finally, it became the turn of Shija who was born after the twins. And he also went to the same place where his brothers went to  look for women to marry.

Shija took the same woman who had been taken by Kulwa and Dotto. Shija returned home and told his father about his success. Their father said, “My sons, what have you done? Why do you all love the same woman?”

His children replied, “Let us go to college to get training. The one who will get the highest qualifications  will marry the woman.”

Then their father allowed his sons to go abroad to study. The first one studied telescope studies, the second studied medical studies, and the third one studied eaircraft studies wit the intention to become a pilot.

 When they graduated from abroad, one of them said, “Let us try to get the view of home   and see the real situation there.” They looked using a telescope  and saw the situation completely safe at home. Then they said, “Let us also see where we got our fiancées from.” When they looked at the woman they had engageded, they found out that was seriously sick. They then asked each other, “What should we do now?” One of them advised, “The doctor should take his medication and  testing equipment, and the pilot should look  for an aeroplane so that we can go there without a delay.

They all agreed, began their journey by plane to go to attend the patient. When they arrived there, they found the woman in a desperate situation. The doctor began testing and giving her the required medication. After a while, she was completely healed. After she was completely healed, the doctor said, “Because she is healed, this woman is mine.”

“This is my wife, because I was the one who tested her from a telescope and knew that she was seriously ill,” a telescope expert demanded.

The pilot also responded, “This is my wife because I was the one who made you get here fast, so this is my wife.”

In that argument one of them said, “She will be our grandfather’s wife because in one way or another, each one of us has helped the woman. If she is married to our grandfather, she will feed us, and we will eat as her grandchildren.”

They agreed, so the woman became their grandfather’s wife, and they became her grandchildren. Truly, their grandmother cooked them food. And according to the life of jokes, the lady was their wife. They lived happily and unto this day, grandchildren make jokes with their grandfathers as well as with their grandmothers.