Sukuma Sayings

987. NKUB’IJA FULO.

Akahayile kenako kahoyelile higulya ya jisumva ijo jigakub’ijaga fulo. Ijisumva jinijo, jili kihamo na ng’holo na danga ijo jigakub’ijaga minzi ga gung’wa na gwikala moyi ijingi. Hunagwene abhanhu bhagajitanaga giki, “nkub’ija fulo.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajaga gujisuga ha bhasab’i umukikalile kakwe. Ijikolo ja ha bhasab’i, jigikolanijiyagwa na fulo iyo agipandikaga umunhu uyo wisuga hoyi, kunguno agamanaga ujilya ijiliwa ija ha kaya yiniyo. Umunhu ng’wunuyo, agamanilaga aha kaya yiniyo, bho gutumama milimo ya henaho na gujilya ijiliwa ja hene, kunguno ya fulo iyo agaipandikaga yiniyo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhizaga guti ng’wana o hakaya iya ha bhasab’i yiniyo.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni jisumva ijo jigakub’ijaga fulo, kunguno nuweyi agakub’ijaga jiliwa a ha kaya ya bhasab’i bho gwisugilija hoyi, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “nkub’ija fulo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kutumama milimo ya gubheng’hela jikolo ja kutuula hakibha ya gutumila aha shigu ija bhutongi, kugiki bhadule kujilang’hana chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 11:25-30.

Yohana 6:67-69.

Mwanzo 46:1-6.

Luka 12:35-40.

KISWAHILI: MFUATA UNYEVU.

Msemo huo, huongelea juu ya viumbe ambavyo hufuata unyevu. Viumbe hivyo, ni pamoja na kondoo na vyura ambavyo hufuata maji ya kunywa na vingine huishi ndani ya maji hayo. Ndiyo maana watu humuita kiumbe hiyo kwamba ni “mfuata unyevu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huenda kujifuga kwa matajiri, katika maisha yake. Mali za matajiri hao hufananishwa na unyevu anaoupata mtu huyo aliyejifuga hapo, kwa sababu ya kuendelea kula chakula cha kwenye familia hiyo. Mtu huyo, huzoea kwenye familia hiyo kwa kuendelea kufanya kazi za pale na kula chakula cha hapo, kwa sababu ya unyevu huo anaoupata, maishani mwake. Yeye huwa kama mtoto wa kwenye familia hiyo ya matajari.

Mtu huyo, hufanana na vile viumbe vifuatavyo unyevu, kwa sababu naye hufuata chakula kwa kwenda kufugwa kwenye familia ya matajiri hao, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humuita kwamba ni “mfuata unyevu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kufanya kazi ziwezazo kuwaletea mali za kuweka akiba itakayo wasaidia kwenye siku za mbeleni, ili waweze kuzilinda vizuri familia zao, maishani mwao.

Mathayo 11:25-30.

Yohana 6:67-69.

Mwanzo 46:1-6.

Luka 12:35-40.

frog-

sheep-1

ENGLISH: A PERSON WHO IS AFTER GOOD THINGS.

The overhead saying speaks of creatures that follow moisture. These creatures, include: sheep and frogs, because they follow moisture for drinking water and some of them live in water areas. That is why people refer to that creature as being “a person who is after good things.”

This saying is related to a man who goes to stay in families of rich people for eating some food. The wealth of the rich one is likened to the humidity which that man gets because he continued to eat the food of that family. This person becomes familiar to that rich family by continuing to work there and eat local food, because of the moisture which he gets in his life. He becomes like a child in that rich family.

This man is like the creatures that followed moisture, because he also follows the food by going to be raised in the rich families. That is why people refer to him as “a person who is after good things.”

This saying imparts in people a clue on how to do work that can bring them savings enough to help them in the future, so that they can better protect their families in their lives.

Matthew 11: 25-30.

John 6: 67-69.

Genesis 46: 1-6.

Luke 12: 35-40.

faroe-islands-

986. JIDIGWA.

Ujidigwa ali munhu uyo alina matu gachib’ile. Umunhu ng’wunuyo, adinabho ubhudula ubho gwigwa mhayo uyo guliyombwa na bhiye kunguno ya bhuchib’i bho matu gakwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “jidigwa.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina nhungwa ja jab’ub’i, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agahugulagwa ng’hangala ningi na abhiye ulu ohub’a, aliyo ugwigwa nduhu, kunguno agashokelaka gwita mihayo ya bhubhi yiniyo. Uweyi agapandikaga makoye ga guyisalambanya sagala ikaya yakwe, kunguno ya bhudijigwa bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo oli na matu gachib’ile, kunguno nuweyi adigwaga ugujileka inhungwa ija bhub’i jakwe jinijo, ulu ohugulwa na bhiye, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “jidigwa.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuzunya guhugulwa na bhichabho, bho kuleka nhungwa ja bhub’i, umubhutumami bhobho, kugiki bhadule kujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Wagalatia 3:1-14.

KISWAHILI: ASIYESIKIA.

Asiyesikia ni mtu yule ambaye ana masikio yaliyoziba. Mtu huyo, hana uwezo wa kusikia neno analoambiwa na wenzake, kwa sababu ya kuziba kwa masikio yake hayo. Ndiyo maana watu humuita kwamba ni mtu “asiyesikia.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana tabia mbaya katika maisha yake. Mtu huyo, huwa anatenda maovu na kuonywa wenzake, mara kwa mara, lakini huwa hasikii kwa sababu ya tabia yake hiyo ya kurudia kutenda maovu. Yeye hupata matatizo ya kuisambalatisha familia yake, kwa sababu ya kutokusikia kuacha kutenda maovu hayo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa na masikio yaliyoziba, kwa sababu naye huwa hasikii kwa kuacha kutenda maovu anapoonywa na wenzake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humuita kuwa ni mtu ‘asiyesikia.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kukubali kuonywa na wenzao, kwa kuacha tabia ya kutenda maovu, katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Wagalatia 3:1-14.

woman-22

market-

ENGLISH: THE ONE WHO DOES NOT HEED.

The deaf is the one whose ears cannot hear. This person is unable to hear the word which is being spoken to him by his companions, because of such disabilities of his ears. That is why people call him “the one who does not heed.”

This saying is compared to a person who has evil habit in his life. This person often does evil things and is warned by others, but he does not listen because of his recurring behavior. He breaks up his family because of his unwillingness to stop doing these evil things in his life.

This person resembles the one who had ears’ disability, because he also does not listen enough to stop doing evil when he is warned by his fellows in life. That is why people call him “the one who does not heed.”

This saying teaches people about accepting warnings of their fellows, by refraining from committing evil deeds in fulfilling their duties, so that they can well raise their families in their lives.

Galatians 3: 1-14.

ferry-1

984. LUKWA LO JIHUNDI.

Ijihundi ili ngume iyo yolechije wikenya bho bhanhu abho bhatumamaga nimo go gulimila lukwa lo ngese. Abhanhu bhenabho, bhagayoga na gwikenya mpaga bhuyangulwa na bhanhu abho bhagiyigwa iyombo yabho. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayomba giki, “lukwa lo jihundi.” Ulukwa lunulo luli lukwa lo gwitulila.

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kukaya iyo ili na bhanhu bhagumana bhuyoga bhuli makanza. Ikaya yiniyo, yigiyojaga bhuli makanza kunguno ya kugayiwa ng’wigwano. Iyoyi idalamaga shigu ningi kunguno ya gugayiwa ililange ilya gwidegeleka chiza linilo, umuwikaji bhobho.

Ikaya yiniyo, igikolaga na bhalimu abho bhagikenya mpaga bhuyileka ingese yabho, kunguno ni yoyi, abhanhu bhayo bhagayogaga mpaga bhaduma uguyibheja chiza ikaya yiniyo, umukikalile kabho. Hunagwene abhanhu bhagaitanaga giki “lukwa lo jihundi.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka bhupelanu umutumami bho milimo yabho, kugiki bhadule gutumama milimo yabho chiza, bho nduhu ugwikenye, umuwikaji bhobho.

1Petro 4:7-8.

1Yohana 3:11-18.

1Yohana 4:7-21.

Marko 12:28-31.

 

KISWAHILI: MUKWA WA NGUMI.

Mukwa wa ngumi ni ugonvi wa watu waliokuwa wakipalila mukwa wa palizi. Watu hao, walizozana na kugombana mpaga wakaja watu waliousikia ugonvi huo kuwaamulia. Ndiyo maana watu hao waliita kwamba ni “mukwa wa ngumi.” Huo ni mukwa wa kupigana.

Msemo huo, hulinganishwa kwenye familia ile ambayo watu wake hugombana mara kwa mara. Familia hiyo, huzozana mara kwa mara kwa sababu ya watu wake kukosa uelewano. Yenyewe, huwa haidumu kwa sababu ya kukosa maadili ya kuwawezesha kuishi kwa pamoja, maishani mwao.

Familia hiyo, hufanana na wakulima wale waliogombana wakati wakipalilia palizi, kwa sababu nayo huzozana mara kwa mara, wakati watu wake, wanafanya kazi. Ndiyo maana watu huiita familia hiyo kuwa ni “mukwa wa ngumi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha hasira katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kuyatekeleza vizuri majukumu yao, maishani mwao.

1Petro 4:7-8.

1Yohana 3:11-18.

1Yohana 4:7-21.

Marko 12:28-31.

farming-

ENGLISH: A FIST’S PORTION TO CULTIVATE.

The fistfight is the quarrel of the people who were weeding the weed in a farm. These men started arguing after misunderstanding of each other took place which causes them to start quarreling between them. The people who heard their noise and saw them quarreling went to reconcile them. That is why these people called it “a fist’s portion to cultivate.”

This saying is applied to a family whose members are not at odds with one another. The family, in turn, quarrels frequently because of the lack of understanding among its members.  This family disintegrates because its members do not have values which can unite them enough to live together in their family.

This family is like the farmers who quarreled when they were weeding in the farm, because its members also quarrel often while are working. That is why people call that family that “a fist’s portion to cultivate.”

This saying teaches people about letting go of anger in fulfilling their duties, so that they can better fulfill their responsibilities in their societies.

1Peter 4: 7-8.

1John 3: 11-18.

1John 4: 7-21.

Mark 12: 28-31.

982. MZIDUNGEMA B’USESE.

Akahayile kenako, kahoyelile higulya ya gugeng’wa b’usese bho ng’wa munhu nhebhe. Ub’usese bhunubho, b’uli bhuluhiwa bho ng’wa munhu uyo agaja ha kaya iyo igang’winha milimo midamu guti nsese, kunguno ya gukayiwa bhutogwa ukuli munhu ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga abha ha kaya yiniyo giki “mzidungema b’usese.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli nkima uyo otolwa ha kaya iyo idantogilwe, umukikalile kayo. Ikaya yiniyo, igamanaga yuntuma unkima ng’wunuyo, guja gujutumama milimo midimu bho mduhu ugwifula, kunguno ya gung’wiganikila guti giki ali nsese oyo. Unkima ng’wunuyo, agikalaga anogile bhuli makanza kunguno ya gutumamiwa milimo midimu yiniyo bhuli makanza, umukikalile kakwe.

Unkima ng’wunuyo, agikolaga nu munhu uyo agaja hakaya iyo yang’winhaga milimo midimu bhuli makanza, kunguno nuweyi agatumagwa gujutumama milimo midimu bhuli makanza ni kaya yiniyo aho otolelwa. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga abhanhu bha ha kaya yiniyo giki, “mzidungema b’usese.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guleka gub’agema b’usese abhanhu bho gub’inha ikujo pye abhose, kulwa bhu munhu bhobho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Kutoka 20:8-11.

Kutoka 21:1-11.

Kutoka 1:8-14.

 

KISWAHILI: MSIMJARIBU MTUMWA.

Msemo huo, huongelea juu ya kufanywa mtumwa kwa mtu fulani. Utumwa huo, ni hali ya kuteswa kwa mtu aliyeenda kwenye familia ambayo watu wake walimtumikisha kwa kumpatia kazi ngumu kama mtumwa, kwa sababu ya kukosa upendo kwake mtu huyo. Ndiyo maana watu waliwaambia wanafamilia hayo kwamba, “msimjaribu mtumwa.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mwanamke aliyeolewa kwenye familia isiyompenda. Familia hiyo, huwa ina mtuma mwanamke huyo kwenda kufanya kazi ngumu bila hata kupumzika, kwa sababu ya kumfikiria kama mtumwa wa hapo. Mwanamke huyo, huwa amechoka kila wakati kwa sababu ya kutumikishwa kwa kupewa kazi hizo mgumu, mara kwa mara, katika maisha yake.

Mwanamke huyo, hufanana na yule mtu aliyeenda kwenye familia iliyomtumikisha kwenye kazi ngumu kama mtumwa, kwa sababu naye hutumikishwa kwa kufanyishwa kazi ngumu, na familia hiyo alipoolewa. Ndiyo maana watu huwaambia wanafamilia hao kwamba, “msimjaribu mtumwa.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuwatumikisha watu kama watumwa, kwa kuwaheshimu watu wote kwa sababu ya utu wao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao.

Kutoka 20:8-11.

Kutoka 21:1-11.

Kutoka 1:8-14.

woman-SLAVE

slave-castle-

ghana-1

 

ENGLISH: DO NOT MAKE HIM/HER SLAVE.

This saying refers to enslavement of a person. Slavery is a state of torture to a person who went to a family members who enslaved him by giving him hard works as a slave, because they did not love him. That is why the people told those family members that, “Do not make him/her slave.”

This saying is equated to a married woman in a family that does not love her. This family often sends the woman to work in difficult activities without even resting, because of considering her as a slave. This woman is constantly exhausted because of being tortured by such frequent difficult tasks in her life.

This woman is like the person who went to a family that tortured him as a slave, because she was also forced to work in difficult tasks by the family members where she got married. That is why people say to those family members that, “Do not make him/her slave.”

This saying imparts in people a clue on stopping habit of enslaving people, by respecting all people because of their dignity, so that they can peacefully live in their families.

Exodus 20: 8-11.

Exodus 21: 1-11.

Exodus 1: 8-14.

981. OZUB’ANGAGA.

Olihoyi nkima umo uyo ozugaga jiliwa. Unkima ng’wunuyo, ogazuga jiliwa jib’isi kunguno ya bhuzuki bhokwe ubho sagala bhunubho. Uweyi agenheleja bhanhu gwikala na nzala kunguno ya guduma ugujilya ijiliwa jakwe ijib’isi jinijo. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “ozub’angaga.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adatumamaga chiza imilimo yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumamaga sagala sagala imilimo, iyo ilikihamo na bhulimi, na bhusuluja, kunguno ya gugayiwa bhudiliji bho milimo yakwe yiniyo. Uweyi agagayiyagwa ijiliwa jagulya aha kaya yakwe, kunguno ya gugayiwa bhudiliji bho milimo yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nkima uyo agazuga jiliwa jib’isi, kunguno nu weyi agatumamaga sagala sagala bho nduhu uguidilila chiza imilimo yakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ozub’angaga.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija guitumama imilimo yabho bho guidilila chiza, kugiki bhadule gupandika jiliwa na sabho ja gubhambilija ugujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Warumi 12:11.

Mathayo 24:13.

KISWAHILI: UMEHARIBU.

Alikuwepo mwanamke mmoja aliyekuwa akipika chakula. Mwanzake huyo, alipika hovyo chakula hicho kikawa kibichi kwa sababu ya kukosa umakini wa kujali vizuri kazi yake. Yeye alisababisha watu kushinda na njaa kwa sababu ya kushindwa kukila chakula chake hicho kibichi. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “umeharibu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule asiyeyatekeleza vizuri majukumu yake, katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya kazi zake hovyo hovyo, ambazo ni pamoja na zile za kilimo na biashara, kwa sababu ya kutokujali kwake kazi zake hizo. Yeye hukosa chakula nyumbani kwake kwa sababu ya kukosa umakini wake huo, katika utekelezaji wa majukumu yake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mwanamke aliyepika hovyo chakula chake kikawa kibichi, kwa sababu naye hufanya kazi zake hovyo, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “umeharibu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kuyatekeleza majukumu yao kwa kuyajali vizuri, ili waweze kupata mafanikio mengi zaidi, maishani mwao.

Warumi 12:11.

Mathayo 24:13.

woman-212

ENGLISH: YOU HAVE SPOILT EVERYTHING.

There was a woman who was cooking. Nonetheless she spoilt her food because she did not pay attention to her works. She caused the people to go hungry because they could not eat her raw food. That is why they told her that, “You have spoilt everything.”

This saying is compared to a person who does not fulfill his/her responsibilities well in life. This person performs his/her duties negligently, including those of agriculture and trade, because of laziness. He/she misses food at home because of such lack of focus in the discharge of his/her responsibilities in life.

This person is like the woman who spoilt food in her way of cooking, because he/she also does not pay attention in his/her works. That is why people say to his/her that, “You have spoilt everything.”

This saying teaches people on how to work hard enough to fulfill well their responsibilities by taking good care of them, so that they can have more success in their lives.

Romans 12:11.

Matthew 24:13.