Sukuma Sayings

1018. NG’WENUYU JIITA MAKUB’I.

Akahayile kenako, kahoyelile higulya ya ng’ombe iyo ili mbisuji. Abhasugi bha ng’ombe yiniyo, bhagashemaga mab’ele mingi noyi kunguno ya bhub’isuji bhoyo bhunubho. Abhoyi bhagagalilaga na bhugali amab’ele genayo mpaga bhiguta bho nduhu nulu gulila makub’i gangi kunguno agoyi ha makub’i gabho lulu. Hunagwene bhagaitanaga ing’ombe yiniyo giki, “ng’wenuyo jiita makub’i.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agayilanhanaga chiza ikaya yake bho guipandikila jiliwa ja julya pye amakanza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agigulambijaga kutumama milimo yakwe bho bhukamu bhutale, mpaga opandika sabho ningi kunguno ya b’utungilija bhokwe ukubhanhu bhakwe, umukikalile kakwe kenako. Uweyi agaponaga pye ijo agalimaga kunguno agadebhile chiza amakanza ga gulima bhuli jene ijo agalimaga, umubhutumami bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni ng’ombe iyo yafunyaga mab’ele mingi, kunguno nuweyi agigulambijaga kutumama milimo chiza mpaga apandikaga sabho ningi ja gudula gubhagunana chiza abhanhu bhakwe bho pye amakanza. Hunagwene abhanhu bhakwe bhenabho bhagang’witanaga giki, “ng’wenuyo jiita makub’i.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho chiza na gusuga mitugo mingi, kugiki bhadule gupandika sabho ningi ija gubhambilija bho pye amakanza, umuwikaji bhobho.

Isaya 55:1.

Mwanzo 18:6-8.

KISWAHILI: HUYU KIMWAGA MBOGA.

Msemo huo, huongelea juu ya ng’ombe aliyetoa mazima mengi. Wafugaji wa ng’ombe huyo, humkamua mazima mengi sana kutoka kwake kwa sababu ya utajiri wake huo. Wao huyatumia maziwa hayo kwa kuliia ugali, kwa sababu hayo ndiyo mboga yenyewe. Hata kama wapishi watawapelekea mboza ja majani, zitarudi bila kutumiwa na wafugaji hao. Ndiyo maana wafugaji hao humuita ng’ombe huyo kwamba, “huyu kimwaga mboga.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huitunza vizuri familia yake kwa kuipatia chakula cha kutumia kwa muda wote, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi zake kwa bidii kubwa mpaka anafanikiwa kupata mali nyingi kwa sababu ya uaminifu wake huo kwa watu wake, maishani mwake. Yeye hufanikiwa kupata mavuno mengi kila mwaka kwenye mazao anayolima, kwa sababu anafahamu vizuri muda wa kuanza kulima kila zao, katika kazi yake hiyo.

Mtu huyo, hufanana na yule ng’ombe aliyetoa mazima mengi ya kuwatosha wafugaji wake, kwa sababu naye hufanya kazi kwa bidii na kupata mali za kutosha kuitunza familia yake kwa muda wote. Ndiyo maana wanafamilia wake hao, humuita kwamba, “huyu kimwaga mboga.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao vizuri na kufuga mifugo mingi, ili waweze kupata mali nyingi za kutosha kuwasaidia kwa muda wote, maishani mwao.

Isaya 55:1.

Mwanzo 18:6-8.

ENGLISH: THIS IS A PERSON WHO POURS VEGETABLES.

This saying refers to a cow that has given up many lives. The herdsmen of such herd, for the sake of their riches, such cow is a great help to them. They use the milk to make porridge, because that is the vegetable itself. Even if the cooks send them greens’ leafy, they will return unused by the breeders. That is why the herdsmen call say that, “this is a person who pours vegetables.”

This saying is likened to a man who takes good care of his family by providing them with food for the rest of his life. Such man strives to work hard until he succeeds in obtaining great wealth because of his loyalty to his people, in his life. He manages to get a good harvest every year on the crops which he cultivates, because of him being aware of when to start cultivating every crop, in his works.

This man is like the cow that made a lot of money for its keepers, because he also worked hard to have enough money to take care of his family all the time. That is why his family members say that, “this is a person who pours vegetables.”

This saying teaches people on how to work hard enough to raise a lot of wealth, so that they can earn enough money to support them all the time, in their lifetime.

Isaiah 55: 1.

Genesis 18: 6-8.

cow-1495512__480

1017. ONTUULAGA MUNHU MUJIGANZA.

Akahayile kenako, kahoyelile higulya ya bhutuuji bho ng’wa munhu mujiganja. Umunhu ulu atali ali ndoni agabhizaga mbupu noyi kunguno umunhu untale adulile gumuucha nulu bho nkono guma duhu, umujiganza jakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ontuulaga munhu mujiganza.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga abhadalahile abhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agabhadalahaga abhiye, bho gubhalenganija na bhanigini bhadoni abho agabhabhuchiyagwa bho nkono guma duhu, kunguno ya bhubupu bhobho. Uweyi agidumaga na bhiye abho agabhabyedaga, kunguno ya bhudoshi na libhengwa lyakwe linilo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agabhabhucha bhanigini mujiganza jakwe, kunguno nuweyi agabhadalahaga abhiye bho bhiganikila giki adulile gubhabhucha bho nkono gumo duhu, umukikalile kakwe. Hunagwene abhagawilaga abhanhu giki “ontuulaga munhu mujiganza.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka bhudoshi na nhinda ja gubhadalahija abhichabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele, na bhanhu bhabho, umu kaya jabho.

Zaburi 7:8.

Wafilipi 2:5-11.

Isaya 53:3.

Yohana 1:11-12.

KISWAHILI: AMEMUWEKA MTU KIGANJANI.

Msemo huo, huongelea juu ya uwekaji wa mtu fulani kwenye kiganja. Mtu akiwa na amri mdogo huwa mwepesi kiasi mtu mzima yeyote kuweza kumbeba hata kiganjani kwa kutumia mkono mmoja tu, kwa sababu ya wepesi wake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “amemuweka mtu kiganjani.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huishi kwa kuwadharau wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwadharau wenzake kwa kuwafikiria kama wao ni watoto wadogo anaoweza kuwabeba, kirahisi kwa sababu ya dharau zake hizo. Yeye hukosana na watu kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya ya kiburi na dharau kwa wenzake, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule ambaye alimbeba mtoto mdogo kwenye kiganja chake, kwa sababu naye huwadharau wenzake kwa kuwafikiria kwamba anaweza kuwafanyia lolote, katika maisha yake. Ndiyo maana huwa anawaambia watu kwamba, “amemuweka mtu kiganjani.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuwa na kiburi na majivuno ya kuwadharau watu katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani na watu wao katika familia zao.

Zaburi 7:8.

Wafilipi 2:5-11.

Isaya 53:3.

Yohana 1:11-12.

ENGLISH: HE/SHE HAS PUT A PERSON IN THE PALM OF HIS/HER HAND.

The overhead saying refers to the placement of someone on the palm. A person with a small command is so light that any adult can carry it even in one hand, because of his lightness. That is why people say, “he/she has put a person in the palm of his/her hand.”

This saying is compared to the person who lives in contempt for others, in life. This person, in turn, despises his or her peers by thinking that they are too young to carry them, simply because of his/her contempt. He/she lives alone at home because of his/her bad habit of arrogance and contempt to his/her colleagues, in life.

This person resembles the one who carried a small child in his arms, because he/she also despises his/her fellows by thinking that he/she can do anything to them, in life. That is why this person often tells people that, “he/she has put a person in the palm of his/her hand.”

This saying imparts in people an idea of stopping habits of being proud and arrogant by not despising others in their lives, so that they can live in peace with their their family members in their societies.

Psalm 7: 8.

Philippians 2: 5-11

Isaiah 53: 3.

John 1: 11-12.

african-5604191__480

1015. OZWAJIWE NGOB’O

Imbuki ya kahayile kenako ililole bhuzwajiwa bho ngobho bho ng’wa munhu nhebhe. Ikale abhanhu bhikalaga bhaliduhu. Ulu munhu uzwajiwe myenda yolechaga giki, oshikanaga gutoolwa ulu ali ng’waniki nulu gutoola ulu ali nyanda. Abhanhu bhenabho bhitanagwa lulu bhazwajiwe ngob’o ja gubhafala ija golecha giki bhakomaga gubheja kaya jabho. Hunagwene abhanhu bhang’wilaga umunhu ng’wunuyo giki, “ozwajiwe ng’ob’o.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo aginagwa ilange lya guleka miita ga bhub’i bho gwita ayo gali ga bhiza, umuwijaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agalangagwa chiza na bhabyaji bhakwe mpaga oyileka iyabhubhi omanila gwikala chiza na bhanhu bho gubhambilija chiza kunguno ya widohya bhokwe. Uweyi agayibhejaga chiza ikaya yakwe kunguno ya gubhiza na nhungwa ja wiza ijo ojangwa na bhatale bhakwe jinijo mpaga ujidimila chiza, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo wikalaga duhu mpaga wikoma gutolwa nulu kutola na uzwajiwe imyenda, kunguno nuweyi agagaleka amiito agabhubhi uyita gawiza aho olangwa inhungwa ijawiza na bhabyaji bhakwe, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ozwajiwe ngob’o.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya bhubhalanga nhungwa jawiza abhanhu bhabho, bho gujikalana chiza inhungwa jinijo abhoyi bhenikili umuwikaji bhobho, kugiki bhadule kujilela chiza ikaya jabho, umubhulamu bhobho.

Kutoka 20:12.

Kutoka 28:1-5.

Hekima ya Sulemaini 7:1-4.

KISWAHILI: AMEVALISHWA NGUO.

Chanzo cha msemo huo chaangalia uvalishwaji wa nguo wa mtu fulani. Zamani watu walikuwa wakiishi uchi. Walikuwa akiitwa kuvalishwa nguo za kuwafaa walipofikia umri wa kuoa au kuolewa ili kuonesha kwamba, wanaweza kuwa na mji wao. Ndiyo maana watu walisema juu ya yule aliyepitia hatua hiyo kwamba, “amevalishwa nguo.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ameyashikilia vizuri malezi ya kuacha matendo maovu kwa kutenda mema, aliyoyapokea kutoka kwa wazazi au wakubwa wake, katika maisha yake. Mtu huyo, hufundishwa vizuri maadili mema na wazazi wake mpaga akazoea kuishi vizuri na watu kwa kuwasaidia noa katika kutenda mema kwa sababu ya unyenyekevu wake. Yeye hufaulu kuilea vyema familia yake kwa sababu ya kuyaishi vizuri maadili yake hayo mema, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa akiishi uchi mpaga alipofikia umri wa kuoa au kuolewa ndipo akavalishwa nguo, kwa sababu naye aliyaacha matendo maovu alipofundishwa maadili mema na mazazi wake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amevalishwa nguo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwalea katika maadali mema watu wao, kwa kuyaishi vizuri maadali hayo wao wenyewe, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Kutoka 20:12.

Kutoka 28:1-5.

Hekima ya Sulemaini 7:1-4.

ENGLISH: HE/SHE HAS BEEN DRESSED IN CLOTHES.

The foundation of the above saying looks at someone’s clothing. In the past some people lived naked. They were called to dress appropriately when they reached at the age of marriage to show that, they have grown to maturity. That is why people told one of those who went through such process that, “he/she has been dressed in clothes.”

This saying is compared to a person who has held to the pattern of abstinence from evil by doing good deeds, which he has received from his parents in his lifetime. This man is well-educated and well-mannered, and his parents are accustomed to living with people who help him to do good deeds because of his humility. He manages to raise his family well because of his good deeds ​​in his life.

This man resembles the one who was living naked until when he grew old enough to get married and then got dressed, because he also stopped doing bad things when he was taught good manners by his parents in his life. That is why people say to him that, “he has been dressed in clothes.”

This saying teaches people on how to raise good manners, by living well according to the values of the societies, so that they can better raise their families in their lives.

Exodus 20:12.

Exodus 28: 1-5.

The Wisdom of Solomon 7: 1-4.

young-922705__480

man-2359586__480

black-man-4699502__480

1013. B’OJA BHO NTENGEKE B’OGUTUMILA SAUNI NA LYOGEJO

Akahayile kenako kalolile bhoja bho jiseme bho ng’wa munhu uyo alintengeke. Umunhu ng’wunuyo ojaga ijisema jakwe mpaga jela pe kunguno otumilaga sauni na lyogejo ilo lyawinjaga pye ubhuchafu ubhomujiseme jinijo. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “b’oja bho ntengeke b’ogutumila sauni na lyogejo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo yakwe bho jelwa nholo chiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumilaga jiseme jawiza ijo jidulile gugumala chiza unimo gokwe, kunguno ya bhutengeke bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi umutumami bhokwe bhunubho kunguno ya bhutengeke bhokwe, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu ntengeke uyo utumilaga sauni na lyogejo ugoja ijiseme jakwe mpaga jela chiza, kunguno nu weyi agatumilaga jitumamilo ijo jidulile gugutumama chiza unimo gokwe, umubhutumamini bhokwe bhonubho. Hunagwene abhanhu bhang’wilaga giki, “b’oja bho ntengeke b’ogutumila sauni na lyogejo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kutumila jitumamilo jawiza ijo jidulile gugumala chiza unimo gobho, kugiki bhadule gupandika matyajo mingi, umubhutumami bhobho bhunubho.

Mathayo 23:23-29.

KISWAHILI: UOSHAJI WA MWAMINIFU WA KUTUMIA SABUNI NA KISAFISHIO.

Msemo huo, huangalia uoshaji wa vyombo unaofanywa na mtu mwaminifu. Mtu huyo, huosha vyombo vyake vizuri mpaga vinatakata sana kwa sababu ya kutumia sabuni na kisafishio kinachoweza kuundoa uchafu wote uliopo kwenye chombo hicho. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “uoshaji wa mwaminifu wa kutumia sabuni na kisafishio.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi zake kwa umakini mkubwa, katika maisha yake. Mtu huyo, hutumia vifaa vyote vinavyotakiwa ambavyo vinaweza kuikamilisha vizuri kazi yake, kwa sababu ya uaminifu wake huo, katika maisha yake. Yeye hupata mafanikio mengi sana katika kazi zake kwa sababu ya uaminifu wake huo wa kufanya maandalizi mazuri ya kufanyia kazi zake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mwaminifu aliyetumia sabuni na kisafishio katika kusafisha vizuri vyombo vyake mpaga vikatakata, kwa sababu naye hutumia vifaa vinavyoweza kuzitekeleza vizuri kazi zake, katika utumishi wake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “uoshaji wa mwaminifu wa kutumia sabuni na kisafishio.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kutumia vifaa vinavyoweza kuzitekeleza vizuri kazi zao, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika utumishi wao, maishani mwao.

Mathayo 23:23-29.

ENGLISH: A GOOD PERSON WASH USING SOAP AND DISH BRUSH.

This saying refers to the washing of dishes by an honest person. This person washes his or her dishes thoroughly and nicely by using soap and detergent. That is why people say to him that, “a good person wash using soap and dish brush.”

This saying is applied to the person who performs his duties with the utmost seriousness, in his life. Such person, in turn, uses all necessary tools to complete his works, because of his integrity in life. He is very successful in his works because of his honesty in making good preparations before starting his works in his life.

This person is like the faithful man who used soaps and detergents to clean up his dishes, for he also uses proper tools that can perform well his works. That is why people say to him that, “a good person wash using soap and dish brush.”

This saying teaches people on how to use tools that can effectively carry out their tasks, so that they can be more successful in fulfilling their economic activities throughout their lives.

Matthew 23: 23-29.

woman-6671900__480

1012. GWIKALA CHIZA NA BHIYO HIJISOGA.

Akahayile kenako kahoyelile higulya ya wikaji wiza na bhahu. Olihoyi munhu umo uyo wikalaga yiyene a hakaya yakwe umuchalo jakwe. Uweyi wiganikaga giki aidujije pye imilimo umukikalile kakwe. Lushigu lumo agaduma gututumama nimo gumo mpaga bhiza bhanhu bhangi bhung’wambilija. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’wila giki, “gwikala chiza na bhiyo hijisoga.”

Akahayile kaneko kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina nhinda umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga abhadalahile abhiye kunguno ya wigimbi bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agadumaga ugwikala chiza na bhanhu kunguno ya wigimbi bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo wikalaga yiyene a hakaya yakwe bhuli makanza umuchalo jakwe, kunguno nuweyi agigimbaga bho gubhadalaha abhiye abho bhagadumaga ugwikala chiza nanghwe mpaga bhansambala na guneka bhung’wene, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’wilaga giki, “gwikala chiza na bhiyo hijisoga.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja wigimbi bho gubhadalaha abhichabho, kugiki bhadule gwikala kihamo bho gwiyambilija chiza imilimo yabho, umukawiji bhobho.

Zaburi 133:1.

Marko 9:35.

KISWAHILI: KUISHI VIZURI NA WENZAKO NDIYO VIZURI.

Msemo huo huongelea juu ya maisha ya kuishi vizuri na watu. Alikuwepo mtu mmoja kwenye kijiji fulani aliyekuwa akiishi peke yake katika familia yake. Yeye alikuwa akijifikiria kwamba anaweza kufanya kazi zote katika maisha yake. Siku moja alishindwa kuifanya kazi fulani, mpaga wakaja watu wakamsaidia. Ndiyo maana watu hao walimwambia kwamba, “kuishi vizuri na watu ndiyo vizuri.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana kiburi katika maisha yake. Mtu huyo, huwadharau wenzake anaoishi nao, kwa sababu ya majivuno yake hayo katika maisha yake. Yeye hushindwa kuishi vizuri na watu kwa sababu ya majivuno yake hayo ya kuwadharau wenzake, katika maisha yake.

Mtu huyo hufanana na yule aliyekuwa akiishi peke yake katika familia yake kwenye kijiji chake hicho, kwa sababu naye hujivuna kwa kuwadharau wenzake ambao hushindwa kuishi naye vizuri mpaka humsambaa na kumuacha peke yake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu hao humwambia kwamba, “kuishi vizuri na watu ndiyo vizuri.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia ya kuwa na majivuno ya kuwadharau wenzao, ili waweze kuishi pamoja wakisaidiana vizuri katika kuyatekeleza majukumu yao.

Zaburi 133:1.

Marko 9:35.

ENGLISH: TO LIVE WELL WITH YOUR FELLOWS IS GOOD.

This saying speaks about living a good life with people. There was a man in one village who lived alone in his family. He was thinking to himself that he could do all the works in his life. One day he could not do any work, and people came and helped him. That is why they told him that, “to live well with your fellows is good.”

This saying is compared to a man who is proud in his life. Such person, in turn, despises his contemporaries, because of his arrogance in his life. He fails to get along with people because of his arrogance of contempt for others, in his life.

This man is like the one who used to live alone in his family in a village, because he too is proud of him until his contemporaries fail to live with him. They leave him alone at his family. That is why these people said to him that, “to live well with your fellows is good.”

This saying imparts in people an idea on abstaining from having habit of being arrogant and despising others, so that they can live together by helping each other better in fulfilling various responsibilities in their families.

Psalm 133: 1.

Mark 9:35.

massai-277238__480

nigeria-2840922__480

mother-7308238__480