Sukuma Proverbs

826. NOMO GUDAFUNYAGA ILAKA LIBHI.

Ulusumo lunulo, lulolile bhutumami bho nomo uyo gugayombaga mihayo ya bhuli mbika. Unomo gunuyo, guli jiseme ijo jigafunyaga ilaka bho guyomba mihayo iyo ili mugati ya ng’wa munhu. Ugoyi guli bhubhitilo bho mihayo iyo ili mung’holo ya ng’wa munhu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “nomo gudafunyaga ilaga libhi.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agiganika mihayo ya wiza na oyiyomba, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agiganikaga mihayo iyo ili nikujo umung’holo yakwe, haho atali uguyiyomba, kunguno alina bhutogwa bho gwikala kihamo nabhiye chiza. Uweyi agabhalelaga chiza abhanhu abho agikalaga nabho bho guhoya nabho mihayo ikujo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, alijigemelo ja gubhalangila abhiye nzila ja gufunya ilaka lya wiza bho guiganika chiza imihayo yabho, haho bhadinayiyomba, kunguno uweyi agiyiganigaga tamu imihayo iyo ili nikujo na oyiyomba, umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “nomo gudafunyaga ilaka libhi.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya guiganika chiza imihayo yabho haho bhatali uguyiyomba, umu mahoya gabho, kugiki bhadule gubhiza na malaka ga gubhalela chiza abhanhu bhabho, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 8:21.

Mathayo 15:18-20.

KISWAHILI: MDOMO HAUTOI KAULI MBOVU.

Methali hiyo, huangalia utendaji kazi wa mdomo ambao huongea maneno mbalimbali. Mdomo huo, ni chombo cha kutolea sauti kwa kuongea maneno yaliyomo ndani ya moyo wa mtu. Wenyewe ni njia ya kupitishia hayo maneno yalimo moyoni mwa mtu. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mdomo hautoi kauli mbovu.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyafikiria maneno yaliyo ya hekima moyoni mwake, kabla hajayaongea, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa anafanya bidii kubwa ya kuyafikiria hayo maneyo yenye hekima, katika moyo wake kwa sababu ya upendo alio nao kwa watu wake unaomuwezesha kuishi nao kwa umoja. Yeye hufaulu kuwalea vyema watu anaoishi nao kwa sababu ya yeye kuendelea kuyatumia hayo maneno ya hekima katika maongezi yake, maishani mwake.

Mtu huyo, huwa ni mfano wa kuigwa na wenzake katika kujifunza njia za kutoa kauli njema kwa kuchagua maneno yenye hekima katika maongezi, kwa sababu ya yeye kuyafikiria maneyo hayo yenye hekima kabla ya kuyaongea, katika maongezi yake. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “mdomo hautoi kauli mbovu.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kutumia maneno yenye hekima katika maongezi yao, kwa kuyafikiria kwanza maneno hayo kabla ya kuyatumia, ili waweze kuwa na kauli za kuwawezesha kuwalea vyema watu wao, maishani mwao.

Mwanzo 8:21.

Mathayo 15:18-20.

people1

artist-

africa-1

ENGLISH: THE MOUTH DOES NOT SPEAK EVIL THINGS.

This proverb looks at the function of the mouth that speaks a variety of words. Such mouth is an instrument for uttering words that are in a person’s heart. It is way of conveying those words which are in the heart of a person. That is why people say that, “the mouth does not speak evil things.”

This proverb is compared to a person who thinks words of wisdom in his heart before speaking them to others. Such person, in turn, makes an earnest effort to reflect on the wise sayings, in his heart, because of the true love that he has for his people. This kind of love enables him to live in harmony with them. He becomes successful in raising the people whom he lives with because of his continued use of the words of wisdom in his conversations with others.

This person is a role model for his colleagues in learning how to make good statements by choosing wise words in speaking, because of thinking the wise words before speaking them to others. That is why he tells people that “the mouth does not speak evil things.”

This proverb imparts in people an idea on how to use wise words in their discussions with others, by first thinking before using them, so that they can make good statements that will enable them to nicely raise their people in their families.

Genesis 8:21.

Matthew 15: 18-20.

 

 

825. GUPILA GO NG’HABHI GUGAFUMILAGA NG’WA NTEMI.

Ulusumo lunulo, lulolile munhu ung’habhi uyo agapijiwa na Ntemi. Unhabhi ng’wunyo, agibhonelwa na nsabhi umo bho gutajiwa ilale lwakwe. Ijinaguchola wambilijiwa, agahoya na bhazenganwa bhakwe abho bhagang’wila, “jaga ng’wa Ntemi ugang’wila agwambilijie ugulipandike ililale lyako.” Ung’habhi agashosha, “nahene nandye lugendo lo guja kwigulu.”

Unhabhi ng’wunuyo agaja uganomela Untemi umo otagijiwa ililale lwake linilo nu nsabhi ng’wunuyo. Aho wiga chena Untemi, agang’witana unsabhi ung’wila alishoshe kuli ng’winikili ililale linilo, mpaga ulishosha ng’hana. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “gupila go ng’habhi gugafumilaga ng’wa Ntemi.”

Ulusumo lunulo, lugalenagnijiyagwa kuli munhu uyo agibhonelagwa obhuchola ubhung’hana bhokwe, mpaga obhupandika, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adagwaga ng’holo ulu wibhonelaga kunguno agahoyaga na bhanhu bhingi abho bhagantongelaga inzila ja gubhupandikila ubhung’hana. Uweyi agadulaga uguyipandika ing’hana yakwe, kunguno ya bhudiliji bho bhushauri ubho aging’hagwa nabhiye, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nhabhi uyo agaichola ing’hana mpaga ulipandika ililale lyakwe, kunguno nuweyi agaicholaga inhana yiniyo, ulu wibhonelaga mpaga oyipandika, umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “gupila go ng’habhi gugafumilaga ng’wa Ntemi.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwigulambija guichola ing’hana bho gubhudilila chiza ubhushauri, ulu bhibhonelagwa mpaga bhayipandika inhana yiniyo, kugiki bhadule gujilanghana chiza isabho jabho, umuwikaji bhobho.

Luka 18:1-8.

KISWAHILI: KUPONA KWA MASKINI HUTOKA KWA MTEMI.

Methali hiyo, huangalia mtu maskini aliyesaidiwa na Mtemi. Maskini huyo, alionewa na tajiri mmoja kwa kunyang’anywa shamba lake. Yeye alitafuta ushauri kwa kuongea na majirani zake ambao walimwambia, “nenda kwa Mtemi ukamwambie akusaidia kulipata shamba lako.” Yule maskini alijibu, “sawa naanza safari ya kwenda ikulu.”

Maskini huyo, alifika kwa Mtemi na kumueleza namna alivyonyang’anywa shamba lake na yule tajiri. Mtemi aliposikia hivyo, alimwita yule tajiri na kumwamuru alimrudishie mali hiyo mwenye shamba lake, mpaka akalirudisha kweli. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kupona kwa maskini hutoka kwa Mtemi.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hudhurumiwa na kuitafuta haki yake mpaka anaipata, katika maisha yake. Mtu huyo, hakati tamaa ya kuitafuta haki yake anapoonewa, kwa sababu ya bidii yake ya kuomba ushauri kutoka kwa wale wanaoweza kumpatia njia za kuipata haki hiyo. Yeye hufanikiwa kuipata mali yake iliyonyang’anywa kwa sababu ya kuufanyia kazi ushauri anaopewa na wenzake, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule maskini aliyeitafuta haki ya kurudishwa shamba lake mpaka akalipata, kwa sababu naye huitafuta haki yake mpaka anaipata, anapoonewa, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “kupona kwa maskini hutoka kwa Mtemi.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na bidii ya kuzitafuta haki zao na kuzitunza kwa kuufuata ushauri uwezao kuwapatia haki hizo, ili waweze kuzilinda vizuri mali zao, maishani mwao.

Luka 18:1-8.

ENGLISH: THE HEALING OF THE POOR COMES FROM THE KING.

This proverb looks at the poor man who was helped by the Chief in getting back his land. The poor man was oppressed by a rich man who had his land confiscated. He sought advice by talking to his neighbors who told him, “Go to the Chief and tell him to help you find your farm.” The poor man replied, “Well I am starting the journey to the palace.”

The poor man went to the chief and told him how he had been robbed of his land by the rich man. Upon hearing this, the chief summoned the rich man and ordered him to return the property to his owner. The rich man returned it to the poor man. That is why people say that “the healing of the poor comes from the King.”

This proverb is likened to a man who is wronged and seeks his own righteousness until he finds it, in his life. He seeks justice when he is oppressed, because of his diligence in seeking advice from those who can give him the means to obtain it. He manages to recover his confiscated property by applying the advice given by his colleagues throughout his life.

This man is like the poor man who sought his right enough to get his land back, because he also seeks his right until he finds it, when he is oppressed in life. That is why he tells the people that “the healing of the poor comes from King.”

This proverb teaches people on how to be diligent in seeking their rights and taking care of them by following the advice which will enable them to get their rights, so that they can better protect their properties in their families.

Luke 18: 1-8.

824. NGOKO ULU YUYOGANYA YAPUJIAGWA.

Ingoko iyo yilina bhana igabhalang’hanaga noyi kugiki bhadizupulwa na lubhana. Ingoko yiniyo, ulu lwiza lubhala luipuja ng’wana oyo, igayoganyaga noyi kugiki ipandike wambilijiwa bho kufumila kubhichayo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ngoko ulu yuyoganya yapujiagwa.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo, agajilang’hanaga chiza isabho jakwe bho gulomba wambilijiwa gufumila kubhiye, ulu japandikaga makoye. Umunhu ng’wunuyo, agailang’hanaga ikaya yakwe ni sabho jakwe kugiki bhadizujisola abhasambo, kunguno alina bhukalalwa bhutale najo. Uweyi agaibhejaga chiza ikaya yakwe bho gupandika wambilijiwa ubho agabhulombaga gufumila kubhiye ulu opandikaga makoye, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni ngoko iyo igayoganyaga ulu yapujiagwa ng’wana oyo, kunguno nuweyi agalombaga wambilijiwa bho gufumila kubhiye ulu opandikaga makoye aha kaya yakwe, umukikalile kakwe. Uweyi agabhalangaga abhanhu bhakwe inzila ya kujilang’hanila chiza isabho ni kaya jabho. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “ngoko ulu yuyoganya yapujiagwa.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kubhiza na bhumo bho gwiyambilija wangu, ulu ng’wichabho, opandikaga mayange, umukikalile kabho, kugiki bhadule kujibheja na kujilang’hana chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 7:7-8.

KISWAHILI: KUKU APIGAPO KELELE AMENYANG’ANYWA.

Kuku mwenye vifaranga huwalinda sana watoto wake hao, ili wasije wakachukuliwa na mwewe. Kuku huyo, hupiga kelele, mwewe akichukua kifaranga chake ili kuomba msaada kutoka kwa wenzake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kuku apigapo kelele amenyang’anywa.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huilinda vizuri familia pamoja na mali yake, na kuomba msaada wa kutoka kwa wenzake anapopata matatizo, katika maisha yake. Mtu huyo, huilinda vizuri familia yake kwa kuzitumia vizuri mali zake, na kuwazuia wezi kuziiba, kwa sababu ana anaithamini sana. Yeye huijenda familia yake kwa kuiendeleza vizuri katika kuipatia mahitaji pamoja na kuomba msaasa kutoka kwa wenzake inapopata matatizo mbalimbali, ili waweze kumsaidia kuyatatua kwa haraka, katika maisha yake. 

Mtu huyo, hufanana na yule kuku aliyepiga kelele ya kuomba msaada wa kutoka kwa wenzake, baada mtoto wake kuchukuliwa na mwewe, kwa sababu naye pia huomba msaada wa kutoka kwa wenzake anapopata matatizo, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kuku apigapo kelele amenyang’anywa.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na umoja wa kusaidiana haraka katika kuyatatua matatizo yanayojitokeza, katika maisha yao, ili waweze kuzilinda na kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Mathayo 7:7-8.

chicken4

mother-hen

hahn

ENGLISH: WHEN A HEN CRIES OUT, SHE HAS BEEN ROBBED (WHEN A HEN CRIES OUT, SHE HAS BEEN TRAPPED).

A hen that has chicks protects them, so that they will not be picked up by hawks. She screams hawks grabs her chicks to ask for help from her companions. That is why people say, “when a hen cries out, she has been robbed (when a hen cries out, she has been trapped).”

This proverb is likened to a man who protects his family and property well, and asks for help from his peers in times of trouble. He protects his family by making good use of his property, by preventing thieves from stealing it, because he has so much value in it. He builds such family by providing it with well-being as well as asking for help from his colleagues when he has various problems, so that they can help him to solve them quickly in life.

This man is like the hen that cried out for help from her peers after her baby had been taken by the hawk, because he also asks for help from his peers when he is having problems in his life. That is why people say to him, “when a hen cries out, she has been robbed (when a hen cries out, she has been trapped).”

This proverb imparts in people an idea on how to be united enough to help each other quickly in solving problems that arise in their lives, so that they can better protect and nurture their families, in their societies.

Matthew 7: 7-8.

823. GUSEKA SONGO YA NG’WIYO IYAKO WAGUBIJAGA!

Ulusumo lunulo, lwandija kuli munhu o songo uyo oyigubijaga bho guzwala malole. Umunhu ng’wunuyo agamona ng’wiye uyo ali na songo wandya guyunseka giki alina liso ilo lidabhonaga. Uweyi wiganikaga giki abhanhu bhaduyibhona isongo yakwe kunguno ya guigubija bho malole ayo ogazwalaga genayo.

Ohayimanile, gagwa amalole gakwe aho alinseka ung’wiye uo songo ng’winuyo, abhanhu bhuyibhona isongo yakwe iyo oyigubijaga mumalole gakwe genayo. Hunagwene bhagang’wila giki, “guseka songo ya ng’wiyo iyako wagubijaga!”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhasekaga abhiye abho bhahubhaga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’winuyo, agabhasekaga abho bhitaga mito gabhubhi, kunguno adadebhile igiki nuweyi adulile guhubha aha shigu ijahabhutongi. Uweyi agachaga soni noyi ulu ohubha bho gugita amito agabhubhi genayo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’winuyo agikolaga nu osongo uyo osekaga songo ya ng’wiye ukunhu oyigubijaga iyakwe, kunguno nuweyi agabhasekaga abhiye abho bhitaga mito ga bhubhi, ayo agabhonaga soni ulu ogita nang’hwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “guseka songo ya ng’wiyo iyako wagubijaga!”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja gubhaseka abhichabho abho bhahubhaga, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwiyambilija bho gwitongela chiza, umuwikaji bhobho.

Warumi 2:1.

1Wakorintho 4:5.

Mathayo 7:1-5.

Marko 4:24.

KISWAHILI: KUCHEKA CHONGO YA MWENZIO NA HALI YAKO UMEIFUNIKA!

Methali hiyo, ilinzia kwa mtu yule ambaye alikuwa na chongo aliyekuwa ikiificha kwa kuvaa miwani. Mtu huyo, alimuona mwenzake mwenye chongo akaanza kumcheka kwa vile alimuona akiwa na jicho lisiloona. Yeye alifikiria kwamba watu hawataweza kuiona chongo yake kwa sababu ya kuifunika kwa miwani hiyo aliyoivaa.

Alishitukia, miwani yake ikaanguka wakati akimcheka mwenzake huyo mwenye chongo, watu waliiona chongo yake ambayo ilikuwa imefunikwa kwa kutumia miwani hiyo aliyoivaa. Ndiyo maana watu hao walimwambia kwamba, “kucheka chongo ya mwenzio na hali yako umeifunika!”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwacheka wenzake walioshikwa na makosa, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa akiwacheka wale waliokamatwa kwa makosa ya kutenda maovu, kwa sababu hafahamu kwamba, naye anaweza kukosea kwenye siku za mbeleni. Yeye huona aibu sana akikosea kwa kufanya maovu hayo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule mwenye chongo aliyemcheka mwenzie akiwa ameifunika chongo yake, kwa sababu naye huwacheka wenzake walioshikwa na makosa mbalimbali, ambayo humfanya aone aibu anapoyatenda mwenyewe. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kucheka chongo ya mwenzio na hali yako umeifunika!”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia za kuwacheka wenzao walioko kwenye matatizo mbalimbali, katika maisha yao, ili waweze kusaidina vizuri katika kuzilea vyema familia zao, maishani mwako.

Warumi 2:1.

1Wakorintho 4:5.

Mathayo 7:1-5.

Marko 4:24.

joy1

african-child-

african1

ENGLISH: TO LAUGH AT YOUR PARTNER’S ONE EYE WHILE YOU HAVE COVERED YOURS.

This proverb was originated from the man who hid his blind eye by wearing glasses. He saw his fellow who had lost one eye and began to laugh at him as he saw him with a blind eye. He thought that people would not be able to see his blind eye because of the covering it by wearing glasses.

Shocked, his glasses fell off while he was laughing at his single eye of his fellow; People saw his blind eye that was covered with glasses. That is why they said to him, “to laugh at your partner’s one eye while you have covered yours.”

This proverb is compared to a man who laughs at mistakes of others in his life. He laughs at those who are arrested for wrongdoings, because he does not know that he may be wrong in the future. He feels very ashamed of himself after committing the same mistakes in his future life.

This person resembles the one who laughed at someone who lost an eye, because he also laughs at his fellows who are caught in a variety of offenses, which makes him feel ashamed of himself after committing them. That is why people say to him, “to laugh at your partner’s one eye while you have covered yours.”

This proverb teaches people about giving up a habit of making fun of others who are in trouble, in their lives, so that they can help them better in raising their families in their societies.

Romans 2: 1.

1 Corinthians 4: 5.

Matthew 7: 1-5

Mark 4:24.

822. MBILIZI ILENDELILE HIYENE IYAGULYA MBIYU.

Ulusumo lunulo, lulolile bhulendelezu bho mbilizi iyo igakenagulaga jiliwa ja bhanhu. Imbilizi yiniyo, igikalaga ilendelile guti giki idakenagulaga ijiliwa ja bhanhu bhenabho, umukikalile kayo, aliyo gashinaga huna yene iyo igajilyaga imbiyu yabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “mbilizi ilendelile hiyene iyagulya mbiyu.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijyaga kuli munhu uyo agikalaga abhisile nhungwa ja bhubhi, ulu ahumulile, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajibhisaga inhungwa jakwe ija bhubhi jinijo bho bhuhumuzu bhokwe, kugiki bhadizumbadija wangu abhiye bhenabho. Aliyo lulu, ulu wandya uguyomba, agayombaga mihayo ya bhukenagaji bho jikolo ja bhiye. Uweyi agaikenagulaga ikaya yakwe, kunguno ya nhung’wa jakwe ija bhibhu jinijo, umuwikaji bhokwe.

 Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni mbilizi iyo igalyaga mbiyu ja bhanhu aliyo, ilindendelezu, kunguno nuweyi alinhumuzi aliyo alina nhungwa ja gukenagula jikolo ja bhiye, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “mbilizi ilendelile hiyene iyagulya mbiyu.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gulekana na nhungwa ja bhukenaguji bho jikolo ja bhichabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule kujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Warumi 14:5.

KISWAHILI: KIWAVI KIZUBAIFU NDICHO KINACHOKULA MBEGU.

Methali hiyo, huangalia uzubaifu wa kiwavi ambacho huharibu vyakula vya watu. Kiwavi hicho, huwa kimezubaa kama kwamba hakiharibu vyakula vya watu hao, kumbe ndicho chenyewe kinachokula mbegu zao. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kiwavi kizubaifu ndicho kinachokula mbegu.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huishi kwa kuficha tabia yake ya kutenda maovu katika ukimya wake, maishani mwake. Mtu huyo, huificha tabia yake hiyo mbaya, kwa kukaa kimya, ili asijulikane mapema kwa wenzake. Lakini akiongea kutoa maneno ya kuharibu mali za wenzake. Yeye hugonganisha familia za watu kwa sababu ya maneno yake hayo maovu anayoyaongea, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na kile kiwavi kilichokula mbegu za watu, wakati ni kizubaifu, kwa sababu naye ni mkimya lakini ana tabia ya kuharibu mali za wenzake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kiwavi kizubaifu ndicho kinachokula mbegu.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia za kuharibu mali za wenzao, katika maisha yao, ili waweze kuzilea na kuziendeleza vyema familia zao, maishani mwao.

Warumi 14:5.

caterpillar-

garden-

caterpillar-1

 ENGLISH: THE WEAK CATERPILLAR IS THE ONE THAT EATS THE SEEDS.

This proverb looks at the caterpillar’s habitat which destroys people’s food. Such caterpillar walked so slowly as if it was not destroying people’s food while it was the one that ate their seeds. That is why the saying goes, “the weak caterpillar is the one that eats the seeds.”

This proverb is likened to a man who lives by hiding his evil deeds in his silence. This person hides his bad behavior by keeping quiet, so that he will not be known to his colleagues in advance. But he talks words that destroy properties of his fellows. He disunites people’s families because of his evil words that he speaks in his life.

This man is like the caterpillar that ate the seeds of people despite its laziness, because he is also silent but has a tendency of destroying properties of his fellows in life. That is why people say that “the weak caterpillar is the one that eats the seeds.”

This proverb imparts in people an idea of stopping the habit of destroying properties of others, in their lives, so that they can nurture and develop their families.

Romans 14: 5.