Author: Sukuma legacy

1045. SIMINZILAGA MTI NDOTO UNG’UMU GUGUBHINZIKA.

KISWAHILI: TEMBELEA KWENYE MTI MBICHI, MKAVU UTAVUNJIKA.

Methali hiyo yaongelea juu ya utembeaji wa mtu fulani kwenye mti mbichi badala ule uli mkavu, kwa lengo la kmwezesha kufika salama. Methali hiyo ilitumiwa na watu wa kabila la Wabena wanaokadiriwa kuwa 1,322,000.

 Kabila hilo ni miongoni mwa makabila ya kibantu yaliyomo nchini Tanzania, linalopatikana hasa katika sehemu za Njombe, Makambako na Morogoro.

Hapo zamani wabena waliishi katika sehemu za Pwani wakiwa pamoja na kabila la Wazaramo. Walijishughulisha na kazi za kufua vyuma.

Mwanzo wa kabila hilo ni ukoo uliofahamika kama ni wang’o.  Hivyo watu hao waliitwa wang’o. Jina la wabena lilianzishwa na shujaa wa kizaremo aliyeitwa Pazi ambaye ndiye aliyekuwa mtawala wa sehemu hiyo. Inasemekana kuwa ulitokea uvamizi wa watu walioitwa wakamba ambao walifika eneo la Pwani na kufanya vulugu kwa wenyeji wa hapo.

Kwa bahati nzuri shujaa huyo Pazi alichukua baadhi ya wapiganaji wa wang’o na wazaramo ili kuwaondoa wakamba na akafaulu kuwapiga na kuwafukuza mpaka kukawa na Amani.

Wang’o walifurahi na kabla ya mapigano hayo walimwahidi Shujaa huyo Pazi kwamba, ikiwa watawashinda wakamba basi wao watazivunja silaha zao na kuzitengeneza zingine iwapo itawabidi kufanya hivyo.

Baada ya kuwashinda wakamba, wang’o wakazivunja silaha zao kama walivyoahidi. Hivyo ushujaa huo wa wang’o ulimshangaza sana shujaa Pazi mpaka akabadili jina lao kutoka wang’o akawaita WABENA MIGOHA.

WABENA maana yake ni KUVUNJA na MIGOHA maana yake ni MIKUKI. Tangu hapo wakaitwa wabena migoha badala ya wang’o. Shujaa Pazi alifanya hivyo kwa ajili ya kuzihifadhi kumbukumbu kwa vizazi vijavyo ambapo ilikuwa ni kawaida yake kufanya hivyo.

 Wabena hao, na wazaramo waliongezeka sana kwa kuzaliana. Hivyo wabenana walipendwa sana na shugaa Pazi na hata wenyeji wao kwa sababu ya tabia yao nzuri ya ujasiri wa kufanya kazi.

Watu hao walianza kutawanyika kwenda sehemu mbambali hadi wakafikia mkoani Njombe ambako ndipo makao yao hasa hadi sasa. Mnamo mwaka 1850 wakoloni walipoingia nchini Tanzania walilikuta kabila la wabena migoha likiwa na watu wengi sana. Wakoloni hao walikuwa na waandishi wao ndio waliofupisha jina la wabena migoha na kuwa WABENA na ikabaki hivyo hadi hii leo.

Wabena hao walioishi Nyanda za juu walijishughulisha na kilimo na ufugaji. Lakini wale walioishi kwenye mabonde na mito shughuli zao zilikuwa ni uvuvi. Watu hao wana ujamaa na ushirikiano hasa wakati wanapobadilishana mali na vyakula, na pia ukarimu ambao unaonekana hasa kwa maendeleo ya binadamu.

Mtafiti mmoja wa kibiolojia Profesa Msemwa aliandika hivi katika utafiti wake alioufanya mwaka 2001 kuwa “Maeneo ya Njombe walikuwepo pia wakulima na wafua vyuma katika karne ya tano au kabla ya hapo.”

Utafiti huo aliufanya wakati walipokuwa wakichimba ardhi kutafuta masalia na dhana mbalimbali zilizotumiwa na watu wa kale na kupata vipande mbalimbali vya vyungu na viwanda vya chuma katika maeneo yaliyokaliwa na wabena kama IGALA, ISITU, TARAFA NA UHOMINYI.

Pamoja na hayo yote wabena walitumia hadithi, methali, nahau, ngoma, nyimbo, michezo na misemo mbalimbali, katika kufundisha na kukosoa jamii hasa kwa malezi wa watoto na vijana katika jamii.

Baadhi ya nyimbo, ngoma, na michezo mbalimbali zilitumika wakati wa maburudisho au wakati wa sherehe au misiba. Ugendelage uludodi ulukafu luladenyeka ni miongoni mwa methali walizozitumia katika kufundishana maadili katika jamii.

Methali hiyo, inafundisha watu juu ya kuwa na unyenyekevu katika maisha yao ili waweze kufanikiwa vizuri. Unyenyekevu huo, hufananishwa na mti mbichi ambao huavunviki unaposukumwa na upepo.

Inawashauri pia kuacha kiburi kwa sababu hicho hufananishwa na mti mkavu unaoweza kuvunjika unaposukumwa na upepo. Upepo huo ni matatizo mbali mbali yanayotokea katika maisha ya mwanadamu. Ndiyo maana watu waliwaambia wenzao kwamba, “mtembelee katika mti mbishi mkavu utavunjika.”

Vijana walipooana wazazi au mzee wa ukoo wa kila upande walikuwa wanatoa baraka kwa watoto wao kabla hawajakaa pamoja kwa lengo la kuwatakia mema katika ndoa yao. Hivyo wazazi hujipatia umaarufu wakati kama huu kwani baraka yao ilikuwa ya muhimu sana na ilingojewa kwa hamu.

Wazazi hufurahia kwa huwaambia vijana wao Mugendelage uludodi nye vana vesu maana yake Nendeni na amani watoto wetu au mutembee salama na mjaliwe mafanikio katika ndoa yenu.

Baraka nyingine ilitolewa kwa kijana, baada ya ndoa walipojaliwa kupata mtoto ilimlazimu kijana kuondoka nyumbani na kwenda kuishi mashambani au porini mbali na familia yake. Lengo ni kumpatia mke wake nafasi nzuri ya kupumzika anapomnyonyesha mtoto na kuwa na afya nzuri ya kupata mtoto mwingine.

Hii ilikuwa kama njia ya kuwasaidia wazazi kutokuzaa watoto kwa mfululizo kila mwaka. Hivyo wazazi walimbariki kijana na kumtakia safari njema na afikapo kule aishi kwa Amani.

Methali hiyo, huhimiza watu kushirikiana katika utekelezaji wa majukumu yao kwa kusaidiana na kuishi pamoja kama ndugu wakati wote. Kwa maana hiyo, watu hutumia methali hiyo kuwaaga wageni wao kwa kusema kwamba, “mtembelee kwenye mti mbichi mkavu utavunjika.”  Hiyo ni namna pia ya kumshukuru mtu kwa wema wake na kumtakia Baraka ya kutembea akiwa na tabia ya unyenyevu kule aendako.

Wanafamilia pia walipenda kuitumia methali hiyo kwa kumuaga mwenzao aliyetaka kwenda kwenye shughuli za kiuchumi ukiwemo uwindaji kwa kumtakia safari njema aendako na arudi salama.

Kol 3;15  “tena iweni watu wa shukrani”

Flp  4:6      Katika kila neno kwa kusali na kuomba,pamoja na kushukuru,haja zenu na zijulikane

Na Mungu

1Thes 5:18 ….Shukuruni kwa kila jambo

Law 22; 29.    unapomtolea Bwana dhabihu ya shukrani,itoe kwa namna ambayoitakubalika kwa niaba yako

Kol, 3; 16.       neno la Kristu na likae kwa wingi ndani yenu, mkifundishana na kuonyana

Lk 10: 25-37. Msamaria mwema

Lk 18: 15-17. Yesu awabariki watoto wadogo

ENGLISH: WALK ON A FRESH TREE, THE DRY ONE WILL BREAK.

The proverb talks about someone walking on a fresh tree instead that of a dry one, with the aim of enabling him/her to reach safety. The proverb was used by people of the Wabena Ethnic group who are estimated at 1,322,000.

 This ethnic group is one of the Bantu Ethnic group in Tanzania, which is found mainly in parts of Njombe, Makambako and Morogoro.

In the past, the Bena people lived in parts of the Coast together with the Wazaramo ethnic group. They engaged in the work of iron manufacturing.

The beginning of this ethnic group is a clan known as wang’o. So those people were called wang’o. The name Wabena was established by a Kizaremo warrior called Pazi who was the ruler of that part. It is said that there was an invasion of people called Kamba who came to the coastal area and did violence to the local people.

Fortunately, the hero Pazi took some Wang’o and Zaramo fighters to get rid of the kambas and succeeded in beating them by driving them away until there was peace.

Wang’o were happy and before the fight they promised the Pazi Warrior that if they defeat the kambas then they will break their weapons and make others if they have to.

After defeating the kambas, the wang’o broke their weapons as they promised. So the bravery of wang’o surprised the hero Pazi so much that he changed their name from wang’o and called them WABENA MIGOHA.

WABENA means BREAKING and MIGOHA means SPEARS. Since then they were called wabena migoha instead of wang’o. The worror Pazi did it to preserve the history for future generations where it was his custom to do so.

 Those Wabena, and zaramo increased greatly by breeding. So the Bena people were very loved by the Pazi chieftain and even their natives because of their good character and courage to work.

The people started to disperse to different places until they reached the Njombe region where they live until now. In 1850, when the colonists entered Tanzania, they found the Wabena Migoha ethnic group with many people. They had their own writers who shortened the name Wabena Migoha to WABENA and it remained that way until today.

The Bena who lived in the highlands were engaged in agriculture and animal husbandry. But those who lived in the valleys and rivers, their activity was fishing. These people are social and cooperative especially when they exchange property and food, and also generosity which is seen especially in human development.

One biological researcher, Professor Msemwa, wrote this in his research which he did in 2001 that “There were also farmers and blacksmiths in the Njombe area in the fifth century or before that.”

He did the research when they were digging the ground to look for various remains and ideas used by the ancient people and found various pieces of pots and iron factories in the areas inhabited by the Bena like IGALA, ISITU, TARAFA AND UHOMINI.

With all that, the Bena people used stories, proverbs, idioms, dances, songs, games and various sayings, in teaching and criticizing society, especially for the education of children and youth in societies.

Some songs, dances, and various games were used during entertainment or during celebrations or tragedies. Ugendelage uludodi ulukafu luladenyeka is one of the proverbs they used in teaching each other values ​​in the society.

The proverb teaches people to be humble in their lives so that they can succeed well. That humility is likened to a fresh tree that does not break when is blown by the wind.

It also advises them to give up pride because it is likened to a dry tree that can break when is blown by the wind. The wind is a variety of problems that occur in human life. That is why people said to their colleagues that, “walk on a fresh dry tree the dry one will break.”

When young people got married, the parents or elders of each side used to give blessings to their children before they stayed together with the aim of wishing them well in their marriage. Thus, parents gain fame at times like this because their blessing was very important and eagerly awaited.

Parents enjoy it by telling their young people Mugendelage uludodi nye vana vesu which means Go in peace our children or walk safely and be blessed with success in your marriage.

Another blessing was given to a young man, after marriage when they were blessed with a child, the young man had to leave home and go to live in the fields or the forest away from his family. The goal is to give his wife a good chance to rest while breastfeeding and to be healthy enough to have another child.

This was as a way to help parents not have children in succession every year. So the parents blessed the young man and wished him a good journey and when he arrives there he may live in peace.

The proverb encourages people to cooperate in the implementation of their duties by helping each other and living together as brothers at all times. For that reason, people use that proverb to say goodbye to their guests by saying, “walk on a fresh tree, a dry one will break.” That is also a way of thanking someone for his kindness and wishing him the blessing of walking with a humble attitude where he is going.

Family members also liked to use the proverb for saying goodbye to their partner who wanted to go to their economic activities including hunting by wishing them a good trip to where they are going and a safe return.

Col 3:15 “again be a people of thanksgiving.”

Phil 4:6 In every word by prayer and supplication, with thanksgiving, let your needs be known

And God.

1Thess 5:18 …. Give thanks for everything.

Leviticus 22; 29. when you offer the Lord a thank you sacrifice, offer it in a way that will be acceptable on your behalf.

Col, 3; 16. Let the word of Christ dwell abundantly in you, teaching and admonishing one another

Lk 10: 25-37. Good Samaritan.

Luke 18: 15-17. Jesus bless the little children.

avenue-5314089__480

nature-70567__480

 

1044. UDIZUKUNG’UNHA JILATU.

Akahayile kenako, kahoyelile higulya ya bhunguji bho jilatu bho ng’wa munhu ngeni ohakaya ndebhe. Ungeni ng’wunuyo, aha oshiga aha kaya iyo alioigeniha, agakungula ijilatu jakwe uhaya gujigung’unha, huna bhunhemeja abhaha kaya yiniyo, kunguno ubhugung’uni bho jilatu bhunubho, bhugolechaga jito ja gubhalekela izumo abhaha kaya yiniyo.  Hunagwene abha hakaya yiniyo, abhang’wila ungeni ng’wunuyo giki, “udizukung’unha jilatu.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo aling’wiza nholo aha kaya yake, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhokelaga chiza abhageni abho bhagajaga gujungeniha, aha ng’wakwe henaho, kunguno ya wiza ng’holo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agapandika mbango ja gwikala chiza na bhanhu na gusabha majikolo mingi, aha ng’wakwe henaho, kunguno ya gubhabokela chiza abhageni bhakwe bhenabho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo aganhemeja ungeni okwe unhekela izumo uyo ahayaga gujikung’unha ijilatu jakwe, kunguno nuweyi agalema ugulekelwa ili zumo linilo bho gubhapokela chiza abhageni bhakwe, na gubhagalila chiza chiniko. Hunagwene agang’wilaga ungeni okwe giki, “udizukung’unha jilatu.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na bhuza ng’holo bho gubhabokela chiza abhageni bhabho, kugiki bhadule gupandika mbango ja gusabha na gwikala chiza na bhanhu bhabho, umuwikaji bhobho.

Marko 6:11 – 12.

Kutoka 3:4 – 5.

Mathayo 10: 14 – 15.

KISWAHILI: USIKUNG’UTE VIATU.

Msemo huo, huongelea juu ya uvuaji wa viatu vya mgeni aliyetembelea familia fulani. Mgeni huyo, alipofika kwenye familia aliyekuwa anaitembelea, alivua viatu vyake akataka kuvikung’uta, wanafamilia hiyo wakamkataza, kwa sababu tendo hilo la kukung’uta viatu huadhiria uachaji wa laana kwenye familia hiyo. Ndiyo maana wanafamilia hao, walimwambia kwamba, “usikung’ute viatu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule aliye na moyo mzuri wa ukarimu katika familia yake, maishani mwake. Mtu huyo, huwakaribisha kwa ukarimu wageni wanamtembelea kwenye familia yake hiyo, kwa sababu ya moyo wake huo wa ukarimu, katika maisha yake. Yeye hufanikiwa kupata Baraka nyingi za kutajirika na kuishi vizuri na watu wake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyemzuia mgeni wake aliyetaka kumuachia laana kwenye familia yake kwa kukung’uta viatu vyake, kwa sababu naye hukataa laana kwa kuwakaribisha kwa ukarimu wageni wanaomtembelea kwenye familia yake hiyo. Ndiyo maana humwambia mgeni wake kwamba, “usikung’ute viatu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwapokea na kuwatunza vizuri wageni wao, ili waweze kupata Baraka za kutajirika na kuishi vizuri na watu, maishani mwao.

Marko 6:11 – 12.

Kutoka 3:4 – 5.

Mathayo 10: 14 – 15.

earth-1280293__480

ENGLISH: DO NOT SHAKE YOUR SHOES.

The above saying talks about shaking shoes of a guest who visited a certain family. This guest took off his shoes and wanted to shake them off after arriving at the family which he visited. The family members forbade him to shake his shoes, because such an act could mean cursing them. That is why they told him that, “do not shake your shoes.”

This saying is compared to a man who has a generous heart in his family life. Such person welcomes guests who visit him in his family, because of his generous heart, in his life. He manages to get many blessings enough to get rich and live well with his people, in his life.

This person is similar to those who stopped their guest who wanted to leave a curse on their family by shaking off his shoes, because he also rejects the curse by welcoming guests who visit him at his family. That is why he tells his guest that, “do not shake your shoes.”

This saying teaches people about being generous enough to receive their guests and take good care of them, so that they can get blessings of getting rich for living well with their societal members in their lives.

Mark 6:11 – 12.

Exodus 3:4 – 5.

Matthew 10: 14 – 15.

1043. KALAGU – KIZE. NG’WENUYO AGWITAGA NG’HALANGA JAPI – MBULI.

Ikalagu yiniyo, yilolile kikalile ka mbuli. Imbuli yiniyo, iganyaga bhushi bhudobhudo bhopi kunguno ya gubhumbwa goyo chene. Giko lulu, ubhushi bhoyo bhunubho, bhugalenanijiyagwa na ng’halanga japi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ng’wenuyo agwitaga ng’halanga japi – mbuli.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agayombaga mihayo midodo iyo yidiyanhana, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agayabhukaga bho guyomba mihayo midodo iyo yidulile kubhenhela makoye abhanhu bhakwe, kunguno ya bhulongo bhokwe, bhunubho. Uweyi agayikenagulaga ikaya yakwe bho guyabhuka mihayo yiniyo iyo idina bhunhana kunguno ya gukija gwiganika chiza gokwe gunuyo, umuwikaji bhokwe.

Imihayo ya ng’wa munhu ng’wunuyo, igikolaga nu bhushi bho mbuli ubhopi bhunubho, kunguno nayo iliyapi iyo agayiyabhukaga umunhu uyo adinaganikaga chiza ng’wunuyo, umukikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ng’wenuyo agwitaga ng’halanga japi – mbuli.”

Ikalagu yiniyo yalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho kuleka kuyomba mihayo iyo idinabhunhana imidomido yiniyo, kugiki bhadule gwikala chiza na bhanhu bhabho, umukaya jabho.

Zaburi 21:23.

Warumi 7:14-16.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

HUYO ANAMWAGA KARANGA NYEUSI – MBUZI.

Kitendawili hicho, huangalia maisha ya mbuzi. Mbuzi huyo hujisaidia vinyesi vidogo vidogo vyeusi kwa sababu ya kuumbwa kwake hivyo. Hivyo basi, vinyesi hivyo hufananishwa na kalanga kwa sababu ya kuwa na umbo la mviringo na weusi wake huo. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, “huyo anamwaga karanga nyeusi – mbuzi.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huongea maneno madogo madogo ambayo hayana ukweli ndani yake, katika maisha yake. Mtu huyo, hupayuka hovyo kwa kuongea maneno madogo madogo yanayoweza kuwaletea matatizo watu wake, kwa sababu ya uongo wake huo. Yeye huiharibu familia yake kwa kulopoka maneno hayo ya uongo, maishani mwake.

Maneno hayo hufanana na vile vinyesi vyeusi vya mbuzi huyo, kwa sababu naye huongea maneno madogo madogo ambayo hayana ukweli ndani yake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “huyo anamwaga karanga nyeusi – mbuzi.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa makini kwa kuacha kuongea maneno ya uongo, hata kama ni madogo kiasi gani, ili waweze kuishi vizuri na wenzao kwenye familia zao.

Zaburi 21:23.

Warumi 7:14-16.

goat-7506792__480

billy-goat-459232__480

 

goat-7537746__480

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

THAT ONE SPILLS BLACK GROUNDNUTS – A GOAT.

This riddle looks at the life of a goat. This goat defecates in small black stools because of its constituents. Therefore, the farces are compared to groundnuts because of their round shape and blackness. That is why people tell each other that, “that one spills black groundnuts – a goat.”

This riddle is compared to the person who speaks words that have no truth, in his life. Such person, gets away carelessly by speaking words that can cause problems to his people, because of his lies. He destroys his family by spouting those false words, in his life.

Those words resemble the black excrement of the goat, because he also speaks words that are not true in his life. That is why people tell him that, “that one spills black groundnuts – a goat.”

This riddle imparts in people an ideal of being careful enough to stop telling lies, no matter how small, so that they can live well with their people in their families.

Psalm 21:23.

Romans 7:14-16.

1042. UNKONO UGUMO GUDALELAGA NG’WANA.

Ulusumo lunulo, luhoyelile higulya ya bhuleji bho ngw’ana. Ubhuleji bhunubho bhuli bho bhabyaji pye abhose kunguno bhuli ng’wene alina solobho nhale ukubhukuji bho ng’wana.

Aho kale olihoyi nkima umo uyo oliangegelile ung’wana okwe bho nduhu ugwiyambilija na bhiye ugunhela chiza iki oliwiisanije weyi duhu. Ung’wana okwe ng’wunuyo agabhiza na nhungwa ja bhulambu bhoguyulema ugutung’wa na bhangi kunguno ya nhinda jakwe jinijo.

Ung’wana ng’wunuyo agayubeha njemu, guikenya na bhiye, na guhaya gumulag uninao okwe uyo mpaga nose agang’wenheleja kupandika mamihayo ga gulipa sabho ninghi kunguno ya bhugulu bho ng’wana okwe ng’wunuyo.

Lushugu lumo, abhanhu pye nu Ntemi bhagibhilinga ahakaya ya nina o ng’wana ng’wunuyo kugiki bhadule kumuja ijenheleja ja bhugulu bho ng’wana okwe ng’wunuyo.

Unina o ng’wana ng’wunuyo, agabhalomela umo onhelela bhung’wene chiniko niyo bho gungegela ung’wina ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wina umyaji ng’wunuyo giki, “unkono ugumo gudalelaga ng’wana.”

Unina o ng’wana ng’wunuyo agazunya ugwiyambilija na bhana nzengo ugunhela chiza ung’wana okwe ng’wunuyo mpaga nose ubhiza na nhung’wa ja wiza kunguno ya wiyambilija bho bhanhu bhingi ugunhela chiza chiniko.

KISWAHILI: MKONO MMOJA HAULEI MTOTO.

Methali hii inaongelea juu ya malezi ya mtoto yanayohitaji ushirikiano wa wazazi wote wawili. Wazazi hao hutakiwa kushirikiana pia na jumuiya ndogondogo za Kikristo katika kuwalea vizuri watoto wao.

Hapo zamani alikuwepo mama mmoja aliyekuwa akimdekeza mtoto wake kwa kutowaruhusu wengine kumsaidia katika kumlea, zaidi yake yeye mwenyewe. Mtoto yule alikuwa na tabia mbaya sana na mpaka akawa anavuta bangi, kupiga watu na kutaka kumuua mzazi wake huyo.

Mzazi huyo wa mtoto alipiga yowe watu wakaja pamoja na mfalme wa eneo hilo wakitaka kufahamu chanzo cha kuharibika kwa mtoto huyo. Mama yule alieleza jinsi alivyo mdekeza mtoto wake huyo. Ndipo watu wakamwambia kwamba, “mkono mmoja haulei mtoto.”

Mama wa mtoto huyo aliwaomba watu na jumuiya ndogo ndogo kikristo washirikiane kumlea mtoto huyo. Walipofanya hivyo, mtoto huyo aliacha tabia mbaya akawa na tabia njema ya kuwatendea mema wenzake.

Alibatizwa na akashirikiana na jumuiya ndogo ndogo katika kuwalea watoto wa familia zilizoko ndani ya Jumuiya zao hizo za kikristo. Ndiyo maana alianza kuwaambia watu kwamba, “mkono mmoja haulei mtoto.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa wazazi wale ambao huwa hawasaidiani vizuri kuwalea watoto wao mpaka wanapata matatizo ndipo wanaanza kushirikiana kuifanya kazi hiyo. Wazazi hao, hutegeana kwa kumwachia mmoja kati yao, mpaka watoto wao wanawaletea matatizo yatokanayo na tabia mbaya ndipo wanaungana kuwalea hao kwa pamoja, maishani mwao. Ushirikiano huo wa kuwalea watoto wao, huwajengea tabia njema ya kuishi kwa upendo wa kuwasaidia vizuri wenzao, katika maisha yao.

Wazazi hao, hufanana na yule mzazi aliyemdekeza mtoto wake, mpaga akawa na tabia mbaya iliyomletea matatizo ndipo akaanza kusaidiana na wenzake katika kumlea vizuri mtoto huyo, kwa sababu nao hutegeana katika kuwalea watoto wao, mpaga wanapata matatizo ndipo wanaanza kushirikiana na wenzao, katika kuwalea kwa pamoja watoto hao. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “mkono mmoja haulei mtoto.”

Methali hiyo, hufundisha wazazi juu ya kuwa na ushirikiano wa kuwalea watoto wao kwa pamoja ndani ya jumuiya zao ndogo ndogo za Kikristo, ili waweze kukua wakiwa na maadili mema ya kusaidiana na wenzao, maishani mwao.

 

Mathayo 19:14

Luka 2:26-27

Luka 2:48.

ENGLISH: ONE HAND DOES NOT RAISE A CHILD.

This proverb talks about the upbringing of a child that requires the cooperation of both parents. Those parents are also required to cooperate with small Christian communities in raising their children well.

Once upon a time there was a mother who was admonishing her child for not allowing others to help her in raising her, other than herself. Such had a very bad behavior until he was smoking marijuana, hitting people and wanting to kill his mother.

The child’s parent screamed and people came with the king of that area wanting to know the cause of the child’s deformity. The mother explained how she raised alone by not warning her child. Then the people told her that, “one hand does not raise a child.”

The child’s mother asked people and small Christian communities to work together enough to raise the child. When they did that, the child gave up his bad behavior and started doing well to his peers.

He was baptized and collaborated nicely with small communities in raising the children of families in their Christian communities. That’s why he started telling people that, “one hand does not raise a child.”

This proverb is compared to those parents who do not help each other properly enough to raise their children until they have problems and then they start working together in doing such work. The parents do not participate together in raising their children by not collaborating well, until their children bring them problems due to bad behavior and then they unite to raise them together, in their lives. This partnership for raising their children, builds a good habit of living with the love of helping their peers well, in their lives.

Those parents are similar to the parent who scolded his child, until when he had a bad behavior that caused her problems and then she started to help another with her colleagues in raising the child well, because they also do not work together as a team in raising their children, until they get problems then they start cooperating with their peers, in raising them by working together enough to raise well their children. That is why people tell them that, “one hand does not raise a child.”

The proverb teaches parents on how to cooperate in raising their children together in their small Christian communities, so that they can grow up with good values enough ​​to help each other, in their lives.

Mt 19:14.

Luke 2:26-27.

Luke 2:48.

happy--

 

 

1041. KALAGU – KIZE. MBASA YA NG’WA B’AB’A LUTANDULA MAKUNGU – MBULA.

Ikalagu yiniyo, yilolile katulile ka mbula. Imbula yiniyo, ulu yandra ugutula bhagalebha mabala matale kunguno b’ulikwene bhagamanaga bhiwila igiki lyatulaga nise na igikalaga mabala matale ayo igatulaga iyoyi. Hunagwene abhanhu bhagiwilaga giki, “mbasa ya ng’wa b’ab’a lutandula makungu.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo osolanyiwa gub’iza Ntemi osi nhale, umukikalile kakwe. Untemi ng’wunuyo agatongelaga bhanhu bhingi abho bhali musi yakwe yiniyo, bho gubhalamula chiza na gubhambilija abho bhali na makoye kunguno ya bhutungijilija bhokwe. Uweyi agabhenhelaga bhuyegi bhutale abhanhu bhakwe kunguno ya bhutumami bhokwe ubhowiza bhunubho, umubhotemi bhokwe bhunubho.

Untemi ng’wunuyo, agikolaga ni mbula iyo igatulaga mabala matale kunguno nuweyi agatongelaga bhanhu bha Si nhale, umubhutemi bhokwe abho abhalenhelaga bhuyegi bhutale, umubhutumami bhokwe bhonubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “mbasa ya ng’wa b’ab’a lutandula makungu.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gubhiza na ng’wigano go gubhadegeleka na gubhigwa chiza, abhatongeji bhabho, kugiki bhadule gwikala na bhuyeji bho gutumama milimo yabho chiza, umuwikaji bhobho.

Wafilipi 2:14.

Wafilipi 2: 9 -11.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

SHOKA LA BABA KIPASUA NCHI – MVUA.

Kitendawili hicho, huongelea juu ya unyeshaji wa mvua kwenye nchi fulani. Mvua hiyo, ikianza kunyesha watu wengi huelewa wazi kwamba imenyesha sehemu kubwa kwa sababu ya uwepo wa wananchi wengi ambao kutuoa taarifa ya kunyesha kwa mvua hiyo kubwa, kwenye maeneo yao. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, “shoka la baba kipasua nchi.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huteuliwa kuwa mfalme wa nchi kubwa, katika maisha yake. Mfalme huyo, huwaongoza watu wengi waliomo ndani ya nchi yake hiyo kubwa, kwa kuwaamulia masuala na kuwasadia vizuri walio na matatizo mbalimbali, katika utawala wake huo. Yeye huwaletea furaha kubwa watu wake kwa sababu ya utumishi wake huo, kuwa mzuri, maishani mwake.

Mfalme huyo, hufanana na ile mvua iliyonyesha kwenye sehemu kubwa, kwa sababu naye huongoza nchi kubwa yenye watu wengi, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “shoka la baba kipasua nchi.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na uelewano wa kuwasikiliza na kuwaelewa vizuri viongozi wao, ili waweze kuishi kwa furaha na amani ya kuwawezesha kufanya kazi zao vizuri, maishani mwao.

Wafilipi 2:14.

Wafilipi 2: 9 -11.

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

MY FATHER’S AX SPLITS THE LAND – RAIN.

The above riddle talks about the rainfall in a certain country. When it starts to rain, many people understand that it has covered a large part, because of the presence of a number of them who speak about it, in their areas. That is why people tell each other that, “my father’s ax splits the land.”

This paradox is compared to the person who is appointed a king of a big country, in his life. This king leads many people well in his big country, by deciding issues and providing good support to those who have various problems, in his administration. He brings great joy to his people because of his service, being good, in his life.

This king is like the rain that fell on a large area, because he also leads a big country that has many people, in his life. That is why people tell him that, “my father’s ax splits the land.”

This riddle teaches people on how to have good understanding enough to listen to and understand their leaders well, so that they can live happily and peacefully in their jobs and lives.

Philippians 2:14.

Philippians 2: 9 -11.

 

rainy-day-

rain-6405679__480

flashes-