Author: Sukuma legacy

942. NENE NG’WENUYU NALYA WIYAB’I.

Olihoyi munhu uyo wigalulaga bho gutumila wiyab’i bhutale. Nzenganwa okwe agamuja, “nibhuli ugusiminzaga ugambalile chiniko?” Uweyi agashosha, “nagutumilaga wiyabhi bhone.” Unzenganwa okwe agashosha, “ulu ubhutumila shib’i uwiyabhi bhoko bhunubho ugupandika makoye, umukikalile kako.” Uweyi agashosha, “nene ng’wenuyu nalya wiyab’i.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhutumilaga shib’i uwiyab’i bhokwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agiyagalulaga bho gubhaluhya abhiye kunguno ya libhengwe lyakwe ubhuyi. Uweyi agidumaga na bhiye kunguno ya wiyagaluji bhokwe bhunubho, ubho bhugenhaga makoye ukubhanhu bhakwe, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo olyaga wiyabhi bho gusiminza agimbalile, umukikalile kakwe, kunguno nu weyi agiyagalulaga mpaga obhenhela makoye obhiye, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “nene ng’wenuyu nalya wiyab’i.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo lya gubhutumia chiza uwiyab’i bhobho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 3:1-16.

Yohana 8:31-36.

KISWAHILI: MIMI HUYU NIMEKULA UHURU.

Alikuwepo mtu mmoja aliyeishi kwa kutumia uhuru mkubwa. Jirani yake alimuuliza, “kwa nini unatembea kwa kujipanga hivyo?” Yeye alijibu, “nautumia uhuru wangu.” Jirani yake akajibu, “ukiutumia vibaya uhuru wako utapata matatizo katika maisha yako.” Yeye alijibu, “mimi huyu nimekula uhuru.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huutumia vibaya uhuru wake, katika maisha yake. Mtu huyo, hufurahia kwa kuwatesa wenzake kwa sababu ya dharau yake kwao. Yeye hukosana na wenzake kwa sababu ya kuutumia vibaya huo uhuru wake, unaoleta matatizo kwa watu wake hao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekula uhuru wake kwa kutembea kwa majigambo, katika maisha yake, kwa sababu naye huutumia vibaya uhuru wake mpaka unaleta matatizo kwa wenzake, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “mimi huyu nimekula uhuru.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na busara ya kuutumia vizuri uhuru wao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Mwanzo 3:1-16.

Yohana 8:31-36.

african-woman1

underground-

 

boy-1

 

ENGLISH: I HAVE EATEN FREEDOM.

There was one man who lived by enjoying great freedom. His neighbor asked him, “Why are you walking all the way?” He replied, “I exercise my freedom.” His neighbor replied, “If you abuse your freedom you will have problems in your life.” He replied, “I have eaten freedom.”

This saying is compared to a person who abuses his freedom, in his life. This man, however, rejoices in torturing his fellow men because of his contempt for them. He quarrels with his colleagues because he abuses his freedom, which causes him problems to his people, in his life.

This person is like the one who ate his freedom by walking proudly, in his life, because he also abuses his freedom by causing problems to his fellows, in his life. That is why he says that, “I have eaten freedom.”

This saying teaches people on how to be wise enough to make the best use of their freedom, so that they can live in peace with each other, in their lives.

Genesis 3: 1-16.

John 8: 31-36.

941. KALAGU – KIZE. UNTEMI AHEB’ILWE NA B’IKAJI BHAKWE – NG’WI O WALWA.

Ikalagu yiniyo, ilolile ng’wi o walwa. Ung’wi o walwa ng’wunuyo, ali munhu uyo agang’waga walwa mpaga gab’ipa amasala gakwe. Uweyi agahewagwa nu walwa bhunubho kunguno gagagaluchaga amasala gakwe bho wandya kuchola likenya nulu guyugwa sagala, mpaga wiminya, ulu ubhung’wa. Hunagwene abhanhu bhang’wilaga giki “untemi aheb’ilwe na b’ikaji b’akwe – ng’wi o walwa.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajitumilaga nyalaku ijikolo jakwe mpaga jang’wenhela makoye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agapangikaga sabho nulu hela, ojikenagaula sagala mpaga jantuula mu makoye kunguno ya bhulaku na jilangu jakwe jinijo. Uweyi agakoyiyagwa na makoye bho likanza lilihu ayo gagenhagwa na bhukenjai bho jikolo jakwe jinijo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ng’wi o walwa uyo agang’waga walwa mpaga gab’ipa amasala gakwe, kunguno nu weyi agajikenagulaga sagala ijikolo jakwe mpaga jang’wenhela makoye, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “untemi aheb’ilwe na b’ikaji bhokwe – ng’wi o walwa.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya kuleka bhulaku bho bhung’wi bho walwa, na bhukenaguji sagala bho sabho jabho, kugiki bhadule gujilang’hala chiza isabho jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 9:18-23.

I Wakorintho 10: 4 – 7.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

MFALME WANAMSHINDA WAKAZI WAKE – MLEVI WA POMBE.

Kitendawili hicho, chaangalia mlevi wa pombe. Mlevi huyo wa pombe ni mtu anayekunywa pombe mpaga akili yake inaharibika. Yeye hulemewa na pombe hiyo kwa sababu akili yake hubadilika na kuwa mbaya akiinywa. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mfalme wanamshinda wakazi wake – mlevi wa pombe.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvitumia kwa ulafi mali zake mpaga zinamletea matatizo, katika maisha yake. Mtu huyo, hupata mali na hela na kuziharibu hovyo mpaga zinamuingiza kwenye matatizo mengi kwa sababu ya ulafi wake huo. Yeye husumbuliwa kwa muda mlefu na matatizo hayo yaliyoletwa na utumiaji wake huo mbaya wa mali hizo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mlevi wa pombe aliyekunywa mpaka akili yake ikawa mbaya, kwa sababu naye huvitumia hovyo mali zake, mpaka zinamuletea matatizo, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mfalme wanamshinda wakazi wake – mlevi wa pombe.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya ulafi wa kung’wa pombe, na utumiaji hovyo wa mali zao, ili waweze kuzitunza vizuri mali zao hizo, maishani mwao.

Mwanzo 9:18-23.

I Wakorintho 10: 4 – 7.

alcohol-1

alcohol-gel-1

model-eyes

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

THE KING IS OVERCOME BY HIS RESIDENTS – AN ALCOHOL DRINKER.

This riddle looks at an alcoholic person. This alcoholic is a person who drinks alcohol to the point of mental retardation. This person becomes addicted to alcohol because his/her mind changes as he/she drinks it. That is why people say to him that, “the king is overcome by his residents –an alcohol drinker.”

This riddle is likened to a man who overindulges in his possessions in life. This man acquires property and money and squanders them, to the point of getting into a lot of trouble because of his greed. He suffers for a long time from these problems which have been caused by his misuse of these properties in his life.

This man resembles the alcoholic person who drank until his mind became bad, because he also wastes his resources, until they cause him problems, in his life. That is why people say to him that, “the king is overcome by his residents – an alcohol drinker.”

This riddle instills in people an idea of having abstinence from alcohol abuse and the misuse of their possessions, so that they can nicely manage their possessions in their lives.

Genesis 9: 18-23.

I Corinthians 10: 4-7.

 

940. KALAGU – KIZE. NG’WISHIGU ALIYO ADIOGUSEJIWA – LIJIGANGA.

Ikalagu yiniyo ihoyelile lijipanga. Ilijiganga liniyo, lili liwe litale ilo lidasegejiyagwa na mhunhu oseose kunguno lyasumva chene. Ilyoyi lili lidito ilo lidilyagushingisha nulu hado nu nshindiki olyo. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “ng’wishigu aliyo adiogusegejiwa – lijiganga.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agadimilaga nhungwa ja wiza bho nduhu ugutinginyiwa na munhu ose ose, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alemile ugugaleka amiito gakwe agawiza mumo bhagang’witila abhanishi bhakwe, kunguno agapandikaga mbango ja gufumila kuli Mulungu uyo ang’wisanije, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’winuyo, agikolaga ni liwe ilo lidasegejiyagwa na oseose, kunguno nuweyi alemile uguyileka imihayo iya nhana, umukikalile kakwe. Uweyi agabhalangaga abhanhu bhakwe guyidimila imihayo ya ng’wa Mulungu bho kikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ng’wishigu aliyo adiogusegejiwa – lijiganga.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gudimilaga chiza inhungwa ja wiza bho gunzunya na gung’wisanya Mulungu shigu jose, kugiki bhadule gupandika mbango ja gwikala chiza na bhichabho, umuwikaji bhokwe.

Waefeso 6:10 – 17.

Wagalatia 5:1.

Tito 2:1-2.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

YU IMARA LAKINI HASOGEZWI – MWAMBA.

Kitendawi hicho huongelea Mwamba. Mwamba huyo, ni jiwe kubwa ambalo halisogezwi na mtu kwa sababu limeumbwa hivyo. Lenyewe ni zito lisilo tigiswa hata kidogo na msukumaji wake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “yu imara lakini hasogezwi – mwamba.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huishikiria tabia njema bila kutikishwa na mtu, katika maisha yake. Mtu huyo, hataki kuyacha matendo yake mema hata maadui zake wamtigise kiasi gani, kwa sababu hupata Baraka kutoka kwa Mungu amwaminiye ambazo humsaidia kuyashikiria mema hayo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na lile jiwe lisilosogezwa na yeyote, kwa sababu naye hataki kuiacha tabia yake hiyo njema yimwezeshayo kuishi maisha mema, maishani mwake. Yeye huwafundisha watu wake namna ya kuyaishi maneno ya Mungu kwa njia a maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “yu imara lakini hasogezwi – mwamba.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuyaishi maadili mema kwa kumwamini Mungu siku zote, ili waweze kupata Baraka za kuishi vizuri na wenzao, maishani mwao.

Waefeso 6:10 – 17.

Wagalatia 5:1.

Tito 2:1-2.

 

stone-11

stone-12

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

HE IS STRONG BUT NOT MOVED – A ROCK.

This riddle speaks of the Rock. This rock is a huge stone that cannot be moved by any one because it was created in that way. It is heavy to the point of not being moved by its pushers. That is why people say that, “He is strong but not moved – a rock.”

This riddle is compared to a person who adheres to good manners without being shaken by anyone in life. Such person does not want to give up his/her good works no matter how much his/her enemies may scare him/her, because he/she receives blessings from a God who helps him/her enough to hold on to live that good life.

This person is like a stone that no one can move, because he also does not want to give up his good character that enables him to live a good life with others. He teaches his people on how to live the word of God through his life. That is why people say to him that, “He is strong but not moved – a rock.”

This riddle imparts in people an idea on how to live morally by trusting in God at all times, so that they may receive blessings of living well with one another in their lives.

Ephesians 6:10 – 17.

Galatians 5: 1.

Titus 2: 1-2.

coast-rock

939. KALAGU – KIZE. AGWITAGA MBIYU NINGI ALIYO UGUZWA NDUHU – MAMOTO GA MBULA.

Ikalagu yiniyo, iholile mamoto ga mbula. Amamoto ga mbula genayo, gali mizilo ga mingi ahikanza lya gutula mbula. Agoyi gagikolaga nu mhib’i o mbiyu ijo jidazwaga kunguno ulu yutula imbula igenhaga mingi duhu ayo gagahumaga gaja. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “agwitaga mbiyu ningi aliyo uguzwa  nduhu – mamoto ga mbula.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo yakwe bho nguzu ningi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agib’egejaga ng’winikili bho gwandya kulima wangu ahikaza lya mbula ja gwandya. Uweyi agagatumilaga chiza aminzi ga mbula jinijo mpaga opandika jiliwa ja mbika ningi, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’winuyo, agikolaga nu wingi bho mamoto ga mbula, kunguno nu weyi agikomejaga kutumama milimo yakwe bho nguzu ningi ijo jigampandikilaga sabho ningi, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “agwitaga mbiyu ningi aliyo uguzwa  nduhu – mamoto ga mbula.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gwikomeja kutumama milimo yabho bho nguzu ningi, kugiki bhadule gupandika sabho ningi ja gwikoma kujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 24:13.

Waruma 12:1.

Wagalatia 9:6.

Yohana 16:21-22.

Ufunuo 2:10.

Luka 9:62.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI  –  TEGA.

ANAMWAGA MBEGU NYINGI LAKINI KUOTA HAKUNA – MATONE YA MVUA.

Kitendawili hicho, huongelea matone ya mvua. Matone hayo ya mvua, ni mapitio ya maji wakati mvua hiyo inanyesha. Yenyewe hufananishwa na mmwagaji wa mbegu ambazo hazioti kwa sababu inaponyesha mvua hiyo, huleta maji tu ambayo hutiririka na kwenda zake. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, “anamwaga mbegu lakini kuota hakuna –  matone ya mvua.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi zake kwa nguvu nyingi, katika maisha yake. Mtu huyo, hujitegemea mwenyewe kwa kuanza kulima mapema wakati wa mvua za mwanzo. Yeye huyatumia vizuri maji hayo ya mvua mpaga anapata chakula cha aina nyingi, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na wingi wa matone ya mvua, kwa sababu naye hujibidisha kuyatekeleza kwa nguvu majukumu yake hayo ambayo humpatia mali nyingi, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “agwitaga mbiyu ningi aliyo uguzwa  nduhu – mamoto ga mbula.”

Kitendawili hicho hufundisha watu juu ya kujibidisha kuyatekeleza kwa nguvu nyingi majukumu yao, ili waweze kupata mali nyingi za kutosha kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Mathayo 24:13.

Waruma 12:1.

Wagalatia 9:6.

Yohana 16:21-22.

Ufunuo 2:10.

Luka 9:62.

raindrop-

rainy-day-

clover-drops

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

“HE POURS OUT MANY SEEDS BUT THERE IS NO GERMINATION – RAINDROPS.”

The overhead riddle looks at raindrops. These raindrops are a review of water when it rains. It is likened to a bath of seeds that do not germinate because when it rains, it brings only water that flows and goes away. That is why people tell each other that, “he pours out many seeds but there is no germination – raindrops.”

This riddle is paralleled to the man who performs his deeds with great force, in his life. He is self-sufficient in early plowing during the early rains. He makes good use of this rainwater and gets plenty of food in his life.

This man is like the raindrops, because he also strives to carry out his responsibilities, which give him a lot of wealth, in his life. That is why people say to him that, “he pours out many seeds but there is no germination – raindrops.”

This riddle teaches people on how to work hard enough to fulfill their responsibilities, so that they can earn enough money for running well their families.

Matthew 24:13.

Romans 12: 1.

Galatians 9: 6.

John 16: 21-22.

Revelation 2:10.

Luke 9:62.

938. KALAGU – KIZE. NAMBA O BHULI HENE – NGI.

Ikalagu yiniyi, ilolile Ngi. Ingi yiniyo, ilijisumva ijo jigamanaga julala jagadanha bhuli hene kunguno ya gwicholela jiliwa jayo. Iyoyi igadanhaga hose hose na mu makanza gose ibhize limi nulu bhujiku. Hunagwene abhanhu bhagiitanaga giki, “namba o bhuli hene – ngi.”

Ikalagu yiniyo, igalenagnijiyagwa kuli munhu uyo agitulaga bhumaniji bho bhuli hene, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga witambukija  bhuli mumhayo uyo guliyombwa na bhiye kunguno ya wikumbwi bhokwe bhunubho ubho guhaya apandike bhuli jene ijo alijigwa. Uweyi agadumaga uyibheja chiza ikaya yakwe kunguno ya bhuyungi bhokwe bhunubho ubho guja uchola mihayo bhuli hene, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni ngi iyo igadanhaga bhuli hene, kunguno nuweyi agituulaga bhumani bho guja witambukija bhuli mhayo uyo guliyombwa, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki “namba o bhuli hene – Ngi.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wibhembu bho gwikala mukaya jabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Luka 1:46.

Mathayo 1:18-25.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

MALAYA WA KILA MAHALI – INZI.

Kitendawili hicho, huongelea inzi. Inzi huyo, ni kiumbe kile ambacho huwa kina lukia na kutua kila mahali kwa sababu ya kujitafutia chakula chake. Chenyewe hutua popote na wakati wowote iwe mchana au usiku. Ndiyo maana watu hukiita kwamba ni “Malaya wa kila mahali – inzi.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujitia kujua kwenye kila jambo, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa anadakia kila neno analolisikia kwa wenzake kwa sababu ya tamaa yake ya kutaka kupata kila kile anachokisikia. Yeye hushindwa kuiendeleza vizuri familia yake kwa sababu ya utembeaji wake huo wa kudandia kila neno, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na inzi anayetua kila mahali, kwa sababu naye hujitia kujua kwa kudakia kila neno analolisikia, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuita kwamba ni “Malaya wa kila mahali – inzi.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa watulivu kwa kuishi kwenye familia zao, ili waweze kuziendeleza vizuri, maishani mwao.

Luka 1:46.

Mathayo 1:18-25.

fly-

fly-2

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

A PROSTITUTE OF EVERYWHERE  – A FLY.

This riddle looks at the life of flies. A fly is a creature that jumps and lands everywhere in searching for food. It lands everywhere at any time of the day or night. That is why people call it “a prostitute of every where  – a fly.”

This riddle is compared to the man who pretends to know everything, in his life. He on the other hand, is obsessed with every word he hears from his colleagues because of his desire to get everything that he hears. He fails to make success in his family because of his wanderings in his life.

This person is like a fly that lands everywhere, for he too is keenly aware of every word he hears, in his life. That is why people call him “a prostitute of every where prostitute – a fly.”

This riddle imparts in people an idea on how to be calm by living in their families, so that they can develop them well, in their lives.

Luke 1:46.

Matthew 1: 18-25.