1202. TIMBA NGONGO, DALYA JA MUNGUNDA.

Imbuki ya kahayile kenako, ilolile bhanhu abho bhalibhalima jiliwa mpaga jupya. Abhanhu bhenabho, ligashiga likanza lyagubisha ijiliwa jinimo umumigunda yabho yiniyo. Ulushigu bhalilya ijiliwa ja lukangala ulo gwandya bhagayomba giki, “timba ngongo, dalya ja mungunda.”

Akahahile kenako, kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagalumbilijaga ulu bhapandika jikolo, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagafunyaga bhulumbi kuli Mulungu ulu bhajipandika ijokolo ijo bhaginhiyagwa naweyi umubhutumami bhobho, kunguno ya bhuyehi bhobho ukuli Ng’wilikili unduji o jose. Abhoyi bhagapandikaga sabho ningi bhuli makanza umumilimo yabho, kunguno ya gunumbilija Mulungu bhuli makanza ulu bhapandika ijikolo jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

 Abhanhu bhenabho, bhagikolaga nabho bhaganumbilija Mulungu aho bhalya ijiliwa jabho ija gwandya, kunguno na bhoyi bhaganumbilija Mulungu ulu bhandika jikolo bhuli makanza, umumilimo yabho yiniyo, umukikalile kabho. Hunagwene bhagayombaga giki, “timba ngongo, dalya ja mungunda.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higuya ya gubhiza na bhulumbi ukuli Mulungu ulu bhapandikaga jikolo umubhutumami bhobho, kugiki bhadule gupandika mbango ja gukwabha sabho bhuli makanza, umuwikaji bhobho.

Mathayo 26:26.

Hesabu 28:26.

Kumbukumbu la Torati 26:1-2.

KISWAHILI: PIGA MGONGO, TUMEKULA MAZAO YA SHAMBANI.

Chanzo cha msemo, huo huaangalia watu waliolima mazao ya chakula mpaga wakaivisha. Watu hao, ulifika wakati mazao yao yakakomaa humo shambani. Siku walipokuwa wanakula mazao yao hao kwa mara ya kwanza kutoka shambani walisema, “piga mgongo, tumekula mazao ya shambani.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao hushukuru wanapopata vitu vya kutoka kazini mwao, katika maisha yao. Watu hao, hutoa shukrani kwa Mungu wanapopata vitu vya kutoka kazini mwao kwa sababu ya furaha yao hiyo kwa Mwenyezi Mungu Muweza wa yote. Wao hupata mali nyingi sana kila wakati katika kazi zao, kwa sababu ya kutoa shukrani kwa Mungu kila wanapopata mali, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wale waliomshukuru Mungu walipokula mazao yao kwa mara ya kwanza, kwa sababu nao humshukuru Mungu kila wanapota mali za kutoka kazini mwao, katika maisha yao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “piga mgongo, tumekula mazao ya shambani.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na shukrani kwa Mungu, kila wanapopata mali za kutoka kwenye kazi zao, ili waweze kupata Baraka za kuendelea kufanikiwa zaidi maishani mwao.

Mathayo 26:26.

Hesabu 28:26.

Kumbukumbu la Torati 26:1-2.

corn-87332__480

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.