1201. ILIKUJO SABHO INDEZU B’UB’ELEJI.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile munhu ntale uyo alinikujo ukubhanhu. Umunhu ng’wunuyo, agamanyikaga kulwa miito gakwe ayo gali gawiza ukubhiye.

Giko lulu, umunhu uyo ali ntale na ndezu jakwe, aliyo amiito gakwe gali gabhubhi, adabhizaga adinikujo lyose lyose ukubhanhu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ilikujo sabho indezu b’ub’eleji.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina bhutale bho gujilanija nikujo lyakwe ukubhanhu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agahoyagaga na kutumama milimo yakwe kihamo na bhanhu bhakwe bho witegeleja bhutale, kunguno ya likujo lyakwe linilo ukubhoyi. Uweyi agabhalelaga chiza abhanhu bha ha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya likujo lyakwe linilo ikubhoyi, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo oli nikujo lya gwita miito gawiza ukubhiye, kunguno nuweyi alinikujo ya gubhalela chiza abhanhu bhakwe, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “ilikujo sabho ndezu b’ub’eleji.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwikala nikujo lya gwita miito gawiza ukubhichabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Yoshua Bin Sira 6:18.

Hekima ya Sulemani 1:1.

KISWAHILI: HESHIMA MALI, NDEVU MAPAMBO.

Chanzo cha msemo huo, huangalia mtu mkubwa ambaye ana heshima kwa watu. Mtu huyo, hujulikana kwa kuwatendea matendo mema wenzake, katika maisha yake.

Hivyo basi, mtu ambaye ni mkubwa na nzevu zake, lakini matendo yake ni maovu hawi na heshima yoyote kwa watu. Ndiyo maana watu husema kwamba, “heshima mali, ndevu mapambo.”

Msemo huyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana ukubwa unaoendana na heshima yake kwa watu, katika maisha yake. Mtu huyo, huongea na kufanya kazi pamoja na watu wake kwa umakini mkubwa, kwa sababu ya heshima yake hiyo kwa watu hao. Yeye huwalea vizuri watu walioko kwenye familia yake, kwa sababu ya heshima yake hiyo kubwa kwao, maishani mwake.

Mtu huyo hufanana na yule aliyekuwa na heshima ya kuwatendea matendo mema wenzake, kwa sababu naye huwalea vizuri watu wake, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “heshima mali, ndevu mapambo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na heshima ya kuwatendea matendo mema wenzao, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Yoshua Bin Sira 6:18.

Hekima ya Sulemani 1:1.

massai-278422__480

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.