1203. UOKALE ATI OSHIGU JINIJI.

Bhahoyi bhanhu abho bhakilaga na namhala umo uyo olina miaka mingi. Abhanhu bhenabho, bhahoyaga nanghwe bhakanza malihu kunguno olina bhumani wingi. Uweyi olioyibhona mingi kunguno oblyalwa mingi iyo adinayibhona umunhu uyo obyalilwe shigu jiniji. Hunagwene abhanhu bhenabho, bhagayombaga giki, “uokale adi oshigu jiniji.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinikujo lya gubhadegeleka chiza abhatale bhakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alina widohya bho gubhadegeleka chiza abhatale bhakwe kugiki adule gumana ugwikala na bhanhu na kutumama milimo yakwe chiza, kunguno ya likujo lyakwe linilo kubhoyi. Uweyi agatumamaga milimo yakwe chiza bho gwikala na bhanhu bhingi aha kaya yakwe, kunguno ya likujo lyakwe linilo ukubhatale bhakwe abho bhaganangaga inzila ja gwikala chiza na bhanhu, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhahoyaga chiza nu namhala uokale, kunguno nuweyi ali nikuko lya gubhadegeleka chiza abhatale bhakwe, umukikalile kakwe kenako. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “uokale adi oshigu jiniji.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza nikujo lya gubhadegeleka chiza abhatale bhabho, kugiki bhadule kupandika bhuyeji bho gwikala miaka mingi, umubhulamu bhobho.

Yoshua Bin Sira 44:1-4.

Waefeso 6:1-3.

Yoshua Bin Sira 3:1-14.

KISWAHILI: WAKALE SIO WA SIKU HIZI.

Walikuwepo watu walioishi na mzee mmoja ambaye alikuwa na miaka mingi. Watu hao, walikuwa wakiongea naye kwa muda mrefu kwa sababu walielewa kwamba yeye alikuwa na ufahamu mwingi. Mzee huyo, aliyaona mambo mengi kwa sababu alizaliwa miaka mingi na alishapitia mambo mengi ambayo mtu aliyezaliwa siku hizi hajayaona. Ndiyo maana watu hao walisema kwamba, “wa kale sio wa siku hizi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana heshima ya kuwasikiliza vizuri wakubwa wake, katika maisha yake. Mtu huyo, ana unyenyekevu wa kuwasikiliza vizuri wakubwa wake hao kwa lengo la kujifunza namna ya kuishi na kufanya kazi na watu vizuri, kwa sababu ya heshima yake hiyo kwao. Yeye hufanya kazi zake vizuri kwa kuishi pamoja na watu wengi katika familia yake, kwa sababu ya malezi yake hayo aliyopata kwa kuwasikiza vizuri wakubwa hao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na wale waliongea vizuri na yule mzee wa miaka mingi, kwa sababu naye ana heshima ya kuwasikiliza vizuri wakubwa wake, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “wa kale sio wa siku hizi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na heshima ya kuwasikiliza vizuri, wakubwa wao, ili waweze kupata furaha ya kuishi miaka mingi, maishani mwao.

Yoshua Bin Sira 44:1-4.

Waefeso 6:1-3.

Yoshua Bin Sira 3:1-14.

old-3975765__480

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.