Akahayile kenako, kandija kuli nanhala umo uyo ulina bhana bhakwe. Unamhala ng’wunuyo oli nsabhi o mitugo kunguno ya bhukamu bhokwe ubho gulima migunda mitale. Aliyo lulu, ng’wana okwe umo olemaga ugutumama imilimo kunguno ya gujisanya isabho jinijo ija ng’wa sabho. Hunagwene unamhala ng’wunuyo agabhawilaga giki, “ijane jing’we lelo ijako jako.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli namhala uyo agabhalangaga abhana bhakwe abho bhisanije sabho jakwe gwigulambija gutumama milimo yabho chiza.
Unamhala ng’wunuyo, agabhamishaga diyu abhana bhakwe bhenabho bhaja gujutumama milimo yabho, kunguno adahayile igiki bhikale bho gwisanya jabho ja gugabhana, ijakwe jinijo. Uweyi agabhakomelejaga pye abhose gwicholela sabho jabho bho gutumama milimo yabho chiza, kunguno ijinijo hijabho ijo adadulie munhu gubhataja, umuwikaji bhobho.
Unamhala ng’wunuyo agikolaga nuyo obhakomelejaga bhanhu bhakwe gwigulambija gutumama milimo yabho chiza, kunguno nuwei agabhalangaga abhanhu bhakwe gutumama milimo yabho chiza, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agabhawilaga giki, “ijane jing’we lelo ijako jako.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guleka gwisanya sabho ja gugabhilwa na bhabyaji bhabho bho gwigulambija gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gupandika sabho jabho bhinikili, umuwikaji bhobho.
Luka 15:11-32.
KISWAHLI: CHANGU CHENU LEO CHAKO CHAKO.
Msemo huo, ulianzia kwa mzee mmoja aliyekuwa na watoto wake. Mzee huyo, alikuwa tajiri sana kwa sababu ya bidii yake ya kufanya kazi kwa kulima mashamba makubwa.
Lakini basi, mtoto moja alikuwa akikataa kufanya kazi kwa sababu ya kutegemea urithi kutoka kwa baba yake huyo. Ndiyo maana baba huyo, aliwaambia watoto wake kwamba, “changu chenu leo chako chako.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mzee yule ambaye huwafundisha watu wake wanaotegemea urithi wa mali zake, kujibidisha kufanya kazi zao, maishani mwao. Mzee huyo, huwaamusha watoto wake hao, asubuhi na mapema kwenda kufanya kazi zao, kwa sababu hapendi waishi kwa kutegemea mali za kugawana urithi. Yeye huwahimiza kujitafutia mali zao wenyewe ambazo hayupo mtu wa kuwanyang’anya, kwa kuyatekeleza majukumu yao vizuri, maishani mwao.
Mzee huyo, hufanana na yule aliyewahimiza watoto wake kujibibisha kufanya kazi zao vizuri, kwa sababu naye pia huwahimiza watoto wake kujitegemea kwa kuyatekeleza vizuri majukumu yao, maishani mwao. Ndiyo maana yeye huwaambia kwamba, “changu chenu leo chako chako.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kutegemea kupata mali za urithi wa kugawana, kwa kuyakeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio ya kuwa na mali zao, maishani mwao.
Luka 15:11-32.
ENGLISH: MY PROPERTY IS YOURS BUT YOUR PROPERTY IS YOURS ALONE.
This saying originated from an old man who had children. He was very rich because of his hard working life in cultivating large fields.
Nevertheless, one child was refusing to work because of depending on his father’s properties. That is why the father told his children that, “my property is yours but your property is yours alone.”
This saying is compared to the old man who teaches his people who depend on the inheritance of his possessions to strive to do their work in their lives. This old man wakes up his children early in the morning enough to go to work, because he does not want them to live on the inheritance. He encourages them to seek out their own possessions that no one else can rob them of, by fulfilling their responsibilities well, in their lives.
This elder is like the one who encouraged his children to do their best in their works, because he also encourages his children to be self-reliant by fulfilling their responsibilities in life. That is why he tells them that, “my property is yours but your property is yours alone.”
This saying teaches people on giving up the habit of relying on the acquisition of shared property, by carefully defining their responsibilities, so that they can be successfully in getting their own properties in their lives.
Luke 15: 11-32.