Yalihoyi kaya imo iyo ikalaga muchalo jilebhe. Ikaya yiniyo. yali ya bhabyaji na bhana bhabho. Ungosha agabhawila abhana, “jaji mugalime ukungunda.”
Aho bhabhuka bhajile, abhana bhenabho, uninabho ubhawila, “jagi mugaguse jiseme.” Abhana bhenabho bhagagayiwa uyo bhang’wigwe, kunguno ya kaya yiniyo gubhiza na masala abhili. Hunagwene abhanhu bhagaitana ikaya yiniyo giki, “masala abhili kaya imo.”
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kubhitoji abho bhagafunyaga long’we bhuli ng’wene aha kaya yabho, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagafunyaga long’we ibhili ijo jigabhachanganyaga abhana bhabho kunguno ya masala gabho gubhiza abhili, aliyo bhali ha kaya imo. Abhoyi bhagadumaga ugubhalela chiza abhana bhabho, kunguno bhuli ng’wene ali ni lange lyakwe, umukikalile kabho.
Abhanhu bhenabho, bhagikolaga na bhaha kaya iyo bhafunyaga long’we ya gubhahuganya abhana bhabho, kunguno na bhoyi bhagadumaga ugubhalela chiza abhana bhabho, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhitanaga giki, “masala abhili kaya imo.”
Ulusumo lunulo, lolanga bhitoji higulya ya gubhiza na long’we imo aha kaya yabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gubhalela chiza abhana bhabho, umuwikaji bhobho.
Wagalatia 4:4-7.
Wagalatia 5:1-2.
KISWAHILI: AKILI MBILI FAMILIA MOJA.
Ilikuwepo familia moja katika kijiji fulani. Familia hiyo, ilikuwa ya wazazi na watoto wao. Siku moja baba aliwatuma watoto akisema, “nendeni mkalime shambani.”
Walipoanza kwenda, kuitekeleza kazi hiyo, mama yao aliwaambia, “nendeni mkaoshe vyombo.” Watoto hao, walichanganyikiwa kwa sababu ya kupewa amri mbili tofauti, kutoka kwa wazazi wao hao. Ndiyo maana watu waliita familia hiyo kwamba ni “akili mbili familia moja.”
Methali hiyo, hulinganishwa kwa wana ndoa wawili ambao hutoa amri kila mmoja kwenye familia yao, katika maisha yao. Watu hao, huwachanganya watoto wao kwa sababu ya kuwapatia amri mbili ambazo hupingana kila moja. Wao hushindwa kuwapatia malezi mema watoto hao, kwa sababu ya wao kuwa na akili mbili tofauti, katika familia yao.
Watu hao, hufanana na wana familia wale wenye kauli mbili walioshindwa kuwatuma watoto wao, kwa sababu nao hushindwa kuwalea vizuri watoto wao kutokana na wao kuwa na amri mbili zinazopingana katika familia yao. Ndiyo maana watu, huwapatia jina la “akili mbili familia moja.”
Methali hiyo, hufundisha wana ndoa juu ya kuwa na malezi ya aina moja kwa watoto wao, katika famila yao, ili waweze kuwalea katika maadili mema watoto hao, maishani mwao.
Wagalatia 4:4-7.
Wagalatia 5:1-2.
ENGLISH: TWO MINDS ONE FAMILY.
There was one family in a certain village that was made up of parents and children. One day, Father sent the children to the fields, saying, “Go and cultivate the land.”
When they began to do the work, their mother told them, “Go to wash the dishes.” The children, however, were confused because they had been given two different orders, from their own parents. That is why people said that, “two minds one family.”
This proverb is compared to two married couples who give different orders to each of their family members, in their lifetime. Those people confuse their children by giving them two commands that contradict each other. They fail to provide their children with a right kind of education, because they have two different minds in the family.
These people are like those couple of family who failed to send their children, because they also fail to raise their children properly because of having two conflicting commands in their family. That is why people call it as “two minds one family.”
This proverb teaches couples no how to have the same kind of upbringing for their children, in their family, so that they can raise those children in good morals, in their lives.
Galatians 4: 4-7.
Galatians 5: 1-2.