Collected by: Don Sybertz, Scanned by: Cephas Yao Agbemenu, with special thanks to Rev Joe Healey (African Proverbs, Sayings and Stories)
Mbuki ya lusumo lwenulu lulilola Ntemi. Ikale yali giki, Untemi ulu ubhuka lugendo lo gubhayelela abhazengi bhakwe, ojaga na bhanhu bhagunshindilila. Abhanhu bhenabho habho bhabhuchaga imiligo yakwe.
Uwei untemi oladadililaga igiki aguzwala ki. Ulu miligo yukija ugubhuchiwa, yali giki, uogwiizuka nuyo alaibhuche.
Ichene igahaiyagwa nukubhanhu abhatogilwe nulu abhabhamanilile gubhidika bhangi miligo, abhoyi nulu gugema ugwikumya, yaya.
KISWAHILI: WAKUKUMBUKA VIATU VYA MFALME NDIYE WA KUVIVAA.
Chanzo cha methali hii kinamwangalia Mfalme (mtemi). Hapo zamani Mfalme/Mtemi kama akifunga safari ya kuwatembelea wananchi wake, alienda na watu wakumsindikiza. Watu hao, ndio waliokuwa wakibeba mizigo yake.
Yeye Mfalme alikuwa hajali kwamba atavaa nini. Kama mizigo ikiachwa kubebwa, atakayeikumbuka, ndiye atakayeibeja.
Hali hiyo husemwa pia kwa watu wapendao au waliozoea kuwabebesha wengine mizigo, ambayo wao hawajaribu hata kuigusa.
Luka 11:46“Yesu akamjibu, “Nanyi wataalam wa sheria, ole wenu, kwa sababu mnawatwika watu mizigo mizito ambayo hawawezi kubeba, wala ninyi wenyewe hamwinui hata kidole kimoja kuwasaidia.”
ENGLISH: THE ONE WHO REMEMBERS THE SHOES OF THE KING IS THE ONE WHO HAS TO WEAR THEM
The source of that proverb looks at the King. A long time ago the King/Emperor was traveling on a journey to visit his people. He went with some people who wanted to impress him. They were the ones carrying his cargo. The King did not care of what he would wear. If the cargo was left, like shoes, then the person who remembered them was the one who had to wear them. The situation is also said to people who are used to burden others with burdens that they did not even try to touch.
“Jesus answered them, ”You experts of the law, woe to you, because you lay down heavy burdens that you cannot bear, and you yourselves have not even one finger to help.” (Luke 11:46).
Beautiful and has a rich meaning .
LikeLike
Wabeja.
LikeLike
The story is very intersting. You are doing great important legacy work
LikeLike