Tanzania

1111. KALAGU – KIZE. NAGANG’WIGWAGA ALIYO NADAMONAGA – ILAKA.

Ikalagu yiniyo ilolile ilaka ilo agaligwaga munhu bho nduhu ugulibhona. Olihoyi munhu uyo agigwa ilaka liling’witana bho nduhu ugumhona umunhu uyo alimwitana. Umunhu ng’wunuyo, agidika na gutimija iyo lyang’wilaga ililaka linilo. Hunagwene abhanhu bhagiganila giki, “nagang’wigwaga aliyo nadamonaga – ilaka.”

Ikalagu yiniyo igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhigwaga chiza abho bhagang’wilaga mihayo, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo agatumagwa gujutumama milimo na bhiye oja ugaitimija chiza kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe. Uwei agikalaga bho mholele na bhiye kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’winuyo agikolaga nuyo agwigwa ilaka liling’witana widika bho nduhu ugumona umunhu uyo aling’witana, kunguno nuwei agiigwaga chiza imihayo iyo bhaling’wila abhiye, na guyitimija chiza. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “nagang’wigwaga aliyo nadamonaga – ilaka.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya nhungwa ja guigwa chiza imihayo ya bhichabho na guitimija, kugiki bhadule kujibheja chiza ikaya jabho.

Luka 3:4-6.

Luka 1: 46-47.

Yohane 1: 29 – 34.

Zaburi 55: 1-6.

Luka 3:22.

Yohane 10:1-5.

Warumi 20:18.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

NAMSIKIA LAKINI SIMUONI – SAUTI.

Kitendawili hicho huangalia sauti ambayo mtu huisikia bila kuiona. Alikuwepo mtu mmoja ambaye alisikia sauti ikimuita bila kumuona mtu yule anayemuita. Mtu huyo, aliitika na kutekeleza kile alichoambiwa na ile sauti. Ndiyo maana watu walihadithiana kwamba, “namsikia lakini simuoni – Sauti.”

Kitendawili hicho hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwasikia vizuri watu wanaompatia ujumbe na kuutekeleza, maishani mwake. Mtu huyo hutumwa kwenda kutekeleza majukumu na wenzake na kuyatii vizuri kwa sababu ya unyofu wake huo, katika maisha yake. Yeye huishi kwa amani na wenzake kwa sababu ya uaminifu wake huo maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeitii sauti iliyomuita bila kumuona mtu aliyemuita, kwa sababu naye huyasikiliza vizuri maneno anayoambiwa na wenzake na kuutekeleza ujumbe aliyopewa. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “namsikia lakini simuoni – Sauti.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia ya kuyasikilia na kuyaelewa maneno ya wenzao, ili waweze kuzilea vyema familia zao.

Luka 3:4-6.

Luka 1: 46-47.

Yohane 1: 29 – 34.

Zaburi 55: 1-6.

Luka 3:22.

Yohane 10:1-5.

Warumi 20:18.

woman-6920629__480

parade-2657870__480

dance-5173941__480

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

I HEAR IT BUT I DO NOT SEE IT – VOICE.

The overhead riddle looks at the sound that one hears without seeing. There was a person who heard a voice calling him without seeing the person calling him. Such man responded and did what the voice told him. That is why people told each other that, “I hear it but I do not see it – Voice.”

This paradox is compared to the person who listens well to people who give him a message and implements it in his life. Such person is sent to carry out duties by his colleagues whom he obeys them well because of his sincerity in life. He lives in peace with his colleagues because of his honesty in his life.

This person resembles the one who obeyed the voice that called him without seeing the person who called him, because he also listens well to the words which are said to him by his colleagues and carries out the message that is given to him. That is why he says, “I hear it but I do not see it – Voice.”

This riddle instills in people an idea of having habit of listening and understanding words of their nobles, so that they can courteously raise their families.

Luke 3:4-6.

Luke 1: 46-47.

John 1: 29 – 34.

Psalm 55: 1-6.

Luke 3:22.

John 10:1-5.

Romans 20:18.

 

1110. KALAGU – KIZE. NINA BHANA BHATANO INGOFILA BIYIKOJIJE – NJALA.

Ikalagu yiniyo iholelile higulya ya wiikoji bho njala na katumamila kajo. Injala ijamumakono nija kumagulu jiniyo jigikalaga jiikolile kunguno jili tano ijo jigatumama milimo bho gwiyambilija chiza. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “Nina bhana bhatano ingofila biikojije – Injala.”

Ikalagu yiniyo igalenganijiyagwa kubhanhu bhanhu bhagikalaga bhidebhile chiza umukatumamile ka milimo yabho. Abhanhu bhenabho bhagikalaga bhutumama milimo bho witogwi bhutale kunguno ya ng’wigwano gobho uyo bhalinago umuwikaji bhobho. Abhoyi bhabhakujije abhichabho kunguno ya nhungwa jabho ijawiza jinijo, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga ni njala ijo jiikojije ni ngofila na kiyambiligije ka bhutumami bho milimo, kunguno na bhoyi bhali na nhungwa jawija pye abhose ijo jigabhambilijaga kutumama milimo yabho chiza. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “Nina bhana bhatano ingofila biikojije – Injala.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gwikala na nhungwa jawiza ija gutumama milimo kihamo bho gwiyambilija chiza, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho.

Yohana 15:9.

Wagalatia 3:27.

Wagalatia 2:20.

 

KISWAHILI: KITENGAWILI –  TEGA.

NINA WATOTO WATANO KOFIA ZAO ZINAFANANA – KUCHA.

Kitendawili hicho huongelea juu ya ufananaji wa kucha na utendaji wake wa kazi. Kucha za miguuni na zile za mikononi zinafanana kwa sababu ni tano ambazo hufanya kazi kwa kusaidiana vizuri. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba “nina watoto watano kofia zao zinafanana – kucha.”

Kitendawili hicho hulinganishwa kwa watu wale ambaho wanaelewana vizuri katika utekelezaji wa kazi zao. Watu hao hufanya kazi kwa pamoja na kwa upendo mkubwa kwa sababu ya uelewano huo wao maishani mwao. Watu hao huwaheshimu wenzao vizuri kwa sababu ya tabia yao hiyo kuwa nzuri, katika maisha yao.

Watu hao, hufanana na zile kucha zenye kofia za kufanana na ambazo hushirikiana katika kufanya kazi, kwa sababu nao wana tabia njema ambayo huwasaidia kuyatekeleza vizuri majukumu yao. Ndiyo maana huwaambia kwamba, “nina watoto watano kofia zao zinafanana – kucha.”

Kitendawili hicho hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema ya kuwawezesha kuyatekeleza majukumu yao wakisaidiana vizuri, ili waweze kupata mafanikio mengi maishani mwao.

Yohana 15:9.

Wagalatia 3:27.

Wagalatia 2:20.

mug-2568355__480

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

I HAVE FIVE CHILDREN WHOSE HATS ARE THE SAME – NAILS.

The above riddle talks about similarity of nails and their functions. Fingernails and toenails are similar because there are five of them that work well together. That is why people tell each other that “I have five children whose hats are the same – nails.”

This paradox is compared to people who understand each other well in the implementation of their works. These people work together and with great love because of such understanding of one another in their lives. They people respect their nobles well because of their good behaviors in their lives.

These people are similar to those nails of similar hats that cooperate in working, because they also have good behavior that helps them in carrying out their duties well. That is why people say that, “I have five children whose hats are the same – nails.”

This riddle teaches people about having a good attitude enough to enable them carry out their duties by helping each other well, so that they can achieve many successes in their lives.

John 15:9.

Galatians 3:27.

Galatians 2:20.

 

1109. ABHENABHO BHAKALIMANZILA BHABEHA MASU MINGI.

Akahayile kenako kalolile bhanhu abho bhalimaga ngunda ha bihi na nzila. Abhanhu bhenabho bhagishiyagwa na bhanhu bhingi abho bhabhitaga ha nzila yiniyo kunguno ya bhubihi bho ngunda gunuyo ni njia yiniyo. Abhoyi bhabhizaga guti giki bhalibeha masu ga bhanhu abho bhabhitaga hoyi bhabhagisha bhuli makanza. Hunagwene abhanhu bhagabhawila giki “abhenabho bhakalimanzila bhabeha masu mingi.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhakima abho bhagikalaga b’iyunga sagala umukikalile kabho. Abhakima bhenabho bhagamanaga bhugalukija bhagosha kunguno ya bhulamba bhobho bhunubho umukikalile kabho. Abhoyi bhagadumaga ugujibheja ikaya jabho kunguno ya gumana bhiyunga sagala chiniko umuwikaji bhobho.

Abhakima bhenabho bhagikolaga na bhanhu abho bhalimaga ha nzila iyo bhagishiyagwa na bhanhu bhingi, kunguno nabhoyi bhagikalaga na bhagosha bhingi, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “abhenabho bhakalimanzila bhabeha masu mingi.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza bhib’embu umuwitoji bhobho, kugiki bhadule gubhalela chiza abhana bhabho bhenabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 5:27-32.

Yoshua Bin Sira 9:1-9.

KISWAHILI: HAO WALIMA NJIA WAMEVUTA HARUFU NYINGI.

Msemo huo huangalia watu waliolima shamba lao karibu na njia. Watu hao walikuwa wakisalimiwa na watu wengi kwenye shamba lao hilo kwa sababu ya kuwa karibu sana na njia hiyo. Wao walikuwa kama hananusa harufu za watu wote waliopitia kwenye njia hiyo. Ndiyo maana watu waliwaambia kwamba. “Hao walima njia wamevuta harufu nyingi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa wanawake wale ambao hutembea hovyo katika maisha yao. Wanawake hao, hubadilisha wanaume mara nyingi kwa sababu ya umalaya wao huo katika maisha yao. Wao hushindwa kuiendeleza miji yao kwa sababu ya kupenda kudhurula hovyo kwao huko, maishani mwao.

Wanawake hao hufanana na wale wakulima waliolima shamba lao karibu na njia wakawa wakisalimiwa na watu wengi, kwa sababu nao huishi na wanaume wengi katika maisha yao. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba “Hao walima njia wamevuta harufu nyingi.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa watulivu katika maisha yao ya ndoa, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Mathayo 5:27-32.

Yoshua Bin Sira 9:1-9.

farmer-2839112__480

farmer-6318173__480

asia-4465960__480

ENGLISH: THOSE TILLING THE ROAD HAVE INHALED A LOT OF SMELL.

This saying refers to the people who cultivated their fields near the road. Those people were greeted by many people on their farm because of being so close to such road. They were like smelling the scents of all the people who passed through such path. That is why people told them that. “Those tilling the road have inhaled a lot of smell.”

This saying is compared to women who walk carelessly in their lives. These women, change men many times because of their being prostitutes in their lives. They fail to develop their families because of harming their family members carelessly by misbehaving in their lives.

These women are similar to those farmers who cultivated their fields near the road and were greeted by many people, because they also live with many men in their lives. That is why people speak about them that “Those tilling the road have inhaled a lot of smell.”

This saying teaches people on how to be calm by behaving in their married life, so that they can raise well their families, in their lives.

Matthew 5:27-32.

Joshua Bin Sirach 9:1-9.

1108. ABHENAB’O B’AJA MAHUNGU.

Akahayile kenako kahoyelile higulya ya bhuji bho mahungu bho bhanhu bhalebhe. Bhalihoyi bhanhu abho bhagaja gujuyela ng’wipolu ilo lyalikule na kaya yao.

Aho bhashiga koyi bhutogwa gwikala mpaga bhulema ugushoga ikaya yabho. Abhanhu bhakukaya yabho bhagagema ugubhitana abhoyi bhulema mpaga nose bhubhaleka duhu. Hunagwene abhanhu abhagayomba giki, “abhenabho b’aja mahungu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhalibhalambu, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhatogilwe gujiyunga sagala bho nduhu nulu gutumama milimo kunguno ya bhulambu bhobho bhunubho, umukikalile kabho. Abhoyi bhagitanagwa ‘bhakalemela’ kunguno bhabhalemela abhabyaji bhabho umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga nabho bhagaja ng’wipolu bhugalemela mumo kunguno nabhoyi bhalibhambu abho bhabhalemela abhabyaji bhabho umuwikaji bhobho bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “abhenabho b’aja mahungu.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja bhulambu bho guzunya gutung’wa na bhichabho, kugiki bhadule kujilanhana chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mithali 8: 10-13.

Mathayo 21:42.

Mithali 27:11-12.

Matendo ya mitume 17:25-28.

 

KISWAHILI: HAO WAMEENDA MBALI.

Msemo huo, huongelea juu ya uenndaji mbali wa watu fulani. Walikuwepo watu ambao walienda polini ambalo lilikuwa mbali na nyumbani kwao. Walipofika huko walikupenda mpaga wakaamua kuishi huko na kukataa kurudi nyumbani kwao. Watu waliowaacha kule nyumbani waliwaita lakini wao walikataa kurudi nyumbani kwao huko. Ndiyo maana watu hao walisema kwamba, “hao wameenda mbali.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao ni wenye kiburi katika maisha yao. Watu hao hupenda kuzurura hovyo bila kufanya kazi kwa sababu ya kiburi chao hicho. Wao huitwa jila la ‘walioshindikana’ kwa sababu ya kukataa ushauri na malezi ya wazazi wao, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wale walioenda polini wakatalia humo kwa kuamua kuishi humo, kwa sababu nao wana kiburi cha kukataa malezi ya wazazi wao, maishani mwao. Ndiyo maana watu husema juu yao kwamba, “hao wameenda mbali.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na kiburi kwa kukubali kutumwa na wenzao na kulelewa na wazazi wao, ili waweze kuzitunza vizuri familia zao, maishani mwao.

Mithali 8: 10-13.

Mathayo 21:42.

Mithali 27:11-12.

Matendo ya mitume 17:25-28.

family-portrait-5534737__480

ENGLISH: THEY HAVE GONE FAR.

This saying talks about going at a distance of some people. There were people who went to the forest which was far from their home. After reaching the place they liked it to the point of deciding to stay there by refusing to return to their home, even after being called by their place people. That is why those people said that, “they have gone far.”

This saying is compared to people who are proud in their lives. These people like to roam around idly without working because of their pride. They are called the ‘imposible ones’ because of rejecting the upbringings of their parents, in their lives.

These people resemble those who went to the forest to stay there by refusing to return to their home, because they too have the pride of rejecting the edifications of their parents, in their lives. That is why people say about them that, “they have gone far.”

This saying imparts in people an idea of abandoning pride by accepting the upbringings of their parents enough to live peacifly with their nobles, so that they can take good care of their families, in their lives.

Proverbs 8:10-13.

Matthew 21:42.

Proverbs 27:11-12.

Acts 17:25-28.

1107. ILIJISUNVA LYINILI LIGATAMALA.

Akahahile kenako kahoyelile higulya ya lijisunva ilo ligitanagwa ligatamala. Ilijisunva linilo lili guti liyiku ilo lyakula mpaga lyuganamhala ligutumamaga chiza imilimo ya bhanhu. Ilyoi ligikalaga likumukile noyi kunguno ya bulyehu na bhutumami bho milimo lyayo chiza. Hunagwene abhanhu bhagalitanaga giki, “ilijisunva lyinili ligatamala.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhatongelaga chiza abhanbu bhakwe aha kaya yakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhatongelaga abhanhu bho guhoya nabho chiza, kunguno ya bhutogwa bhokwe ukubhanhu bhakwe na bulyehu bhokwe bhunubho, umukitakile kakwe.  Uweyi agikalaga ulanga mihayo ya gutogwa kutumama milimo bho wigulambija bhutale kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni liyiku ilitale ilo lyatumama milimo chiza mpaga lyuganamhala, kunguno nuweyi agabhatongelaga chiza abhanhu bhakwe bho gwigulambija gutumama milimo yiniyo chiza, umukikalile kakwe. Hunangwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ilijisunva lyinili ligatamala.”

Akahayile kenako kalanga bhatongeji bha bhanhu higulya ya gwikala chiza na bhanhu bhabho bho gwigulambija kutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule kujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 50:25.

Mwanzo 25:7-8.

KISWAHILI: KIUMBE HIKI KIMEKUA.

Msemo huo, huongelea juu ya kiumbe kilichokua sana kwa maana ya kuishi miaka mingi. Kiumbe kicho, ni kama maskisai wa ng’ombe ambaye amefanya kazi vizuri mpaga akafikia uzeeni. Yeye amejulikana sana katika maeneo hayo kwa sababu ya upole na utendaji mzuri wa kazi kwa watu hao. Ndiyo maana watu husema juu yake kwamba, “kiumbe hiki kimekua.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huongoza vizuri watu walioko kwenye familia yake. Mtu huyo, huwaongoza watu kwa kwa kuongea nao vizuri kwa sababu ya upendo na upole wake alionao kwa watu wake hao, katika maisha yake. Yeye huwafundisha watu maneno yenye busala ya kuwawezesha kujibidisha kufanya kazi zao kwa sababu ya uaminifu wake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule maskini wa ng’ombe aliyefanya kazi vizuri mpaga uzeeni mwake, kwa sababu naye huwaongoza watu katika kujibidisha kufanya kazi vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana watu husema juu yake kwamba, “kiumbe hiki kimekua.”

Msemo huo, hufundisha viongozi wa watu juu ya kuishi vizuri na wenzao kwa kujibidisha kuyatekeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Mwanzo 50:25.

Mwanzo 25:7-8.

ENGLISH: THIS CREATURE HAS GROWN.

The above saying talks about a creature that has grown very much in the sense of living many years. This creature is like an ox that has worked well until it reaches old age. He is well known in those areas because of his gentleness and good work performance for those people. That is why people say about him that, “this creature has grown.”

This saying is compared to the person who leads well his family. Such person leads people by talking to them well because of the love and kindness that he has for them. He teaches people wise words enough to empower them in doing their jobs well because of his honesty, in his life.

This person is similar to the ex that worked well to the point reaching his old age, because he also leads people in trying to work well, in his life. That is why people say about him that, “this creature has grown.”

This saying teaches people’s leaders to live well with them by forcing themselves to carry out their duties well, so that they can raise their families well, in their lives.

Genesis 50:25.

Genesis 25:7-8.

father-and-daughter-6585096__480