Tanzania

1161. YAYA UGUNEKA NG’OCHAGE.

Aho kale ulihoyi munhu uyo agadima noyi nhale iyo adaimanile isolobho yayo. Umunhu ng’wunuyo, agabhabhuja abhatale bhakwe akatumamile ka noni yiniyo kunguno oliadamanile umo agwiyitila. Hunagwene abhatale bhakwe bhenabho bhagang’wila giki “yaya uguneka ng’ochage.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agacholaga wambilijiwa bho gwingila kubhiye uguitumama imilimo iyo ikililile ubhudula bhokwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhilingaga bhanhu bha gung’wambilija ugulima imigunda yakwe chiza kunguno ya gutogwa guimala wangu. Uweyi agabishaga majiliwa mingi noyi umumigunda yakwe yiniyo kunguno ya kulomba wambilijiwa bho gufumila kubhiye uguitumama imilimo uyo ikililile ubhudula bhokwe umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agadima noyi uchola wambilijiwa bho katumamile kayo gufumila gubhatale bhakwe, kunguno nuweyi agacholaga wambilijiwa bho gufumila kubhiye uguitumama wangu imilimo iyo adayidujije, umubhutumami bhokwe. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’wilaga giki, “yaya uguneka ng’ochage.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na widohya bho kugubhuja kubhichabho imilimo iyo bhadayimanile chiza, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umumilimo yabho yiniyo.

1Wakorintho 10: 3-26.

Mwanzo 1:29-31.

KISWAHILI: HAPANA KUMUACHA MCHOME.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyemkamata ndege mkubwa asiyemfahamu faida zake. Mtu huyo, aliwauliza wakubwa wake matumizi ya ndege huyo kwa sababu hakujua la kumfanyia. Ndiyo maana wakubwa wake hao walimwambia kwamba, “hapana kumuacha mchome.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutafuta msaada wa kutoka kwa wenzake wa kuyatekeleza majukumu yale yanayozidi uwezo wake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwaalika watu wa kumsaidia kulima mashamba yake vizuri kwa sababu ya kutaka kuyamaliza haraka. Yeye hupata mafanikio makubwa kwenye mashamba yake hayo kwa sababu ya kuomba msaada wa kuyalima hadi kuyamaliza haraka pale yanapozidi uwezo wake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyemshika ndege akatafuta msaada wa kufahamu matumizi yake kutoka kwa wakubwa wake, kwa sababu naye hutafuta msaada kutoka kwa wenzake wa kuyatekeleza kwa haraka majukumu yale yanayozidi uwezo wake, katika kazi zake. Ndiyo maana watu hao humwambia kwamba “hapana kumuacha mchome.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na unyenyekevu wa kuuliza kutoka kwa wenzao kazi zile ambazo hawazifahamu vizuri, ili waweze kupata mafanikio makubwa katika utekelezaji wa majukumu yao hayo.

1Wakorintho 10: 3-26.

Mwanzo 1:29-31.

ostrich-384157__480

turkey-218742__480

turkey-82924__480

1160. NAKULILA HA B’ADIMA B’UGANGA.

Olihoyi munhu uyo wikalaga na bhabyaji bhakwe abho balibaganga. Umunhu ng’wunuyo, agakulila haho bhatale bhakwe bhenabho abho bhagananga nang’hwe ub’ugota bhunubho. Uweyi agabhadegeleka chiza abhatale bhakwe bhenabho mpaga ub’umana ub’ugota bhunubho kunguno ya witegeleja bhokwe umukikalile kakwe. Hunagwene agayomba giki, “nakulila ha b’adima b’ugota.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalidimilaga chiza ililange lya bhabyaji bhakwe, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo, agabhadegelekaga abhabyaji bhakwe bho witegeleja bhutale kunguno alinikujo litale ukubhoyi. Uweyi agapandikaga mbango ja gwikala shigu ningi umusi na gusabha majikolo mingi aha kaya yakwe, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agakulila ha b’adima b’uganga mpaga ub’umana ub’ugota bhunubho nang’hwe, kunguno nuweyi agalidimilaga bho witegeleja bhutale ililange lya bhabyaji bhakwe bhenabho, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “nakulila ha b’adima b’uganga.”

Akahayile kenako kalanga bhana higulya ya gub’iza ni kujo ukubhabyaji bhabho bho gulidimila na witegeleja bhutale iliange lyabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule kupandika mbango ja gwikala chiza umusi na kusabha majikolo mingi, umukaya jabho, umuwikaji bhobho.

Marko 6:7.

Yohana 15:1-5.

 

KISWAHILI: NILIKULIA KWA WASHIKA DAWA.

Alikuwepo mtu aliyeishi na wazazi wake waliokuwa waganga. Mtu huyo, alikulia kwa wakubwa wake hao ambao walimfundisha dawa hiyo. Yeye aliwasikiliza kwa makini mpaga akaiewa dawa hiyo. Ndiyo maana alisema kwamba, “nimekulia kwa washika dawa.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyashikilia vizuri malezi ya wazazi wake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwasikiliza wazazi wake hao kwa umakini mkubwa kwa sababu ana heshima kubwa kwao. Yeye hupata Baraka za kuishi miaka mingi duniani, na kutajirika sana, kwenye familia yake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliwasikiliza wakubwa wake walioshika dawa, mpaga akaielewa naye dawa hiyo, kwa sababu naye huyashikilia kwa umakini mkubwa malezi mema ya wazazi wake, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “nimekulia kwa washika dawa.”

Msemo huo, hufundisha watoto juu ya kuwa na heshima kubwa kwa wazazi wao kwa kuyashikilia malezi yao kwa umakini mkubwa, ili waweze kupata Baraka za kuishi miaka mingi na kupata mafanikio ya kuwa na mali nyingi, maishani mwao.

Marko 6:7.

Yohana 15:1-5.

culture-7162380__480

 

 

 

1159. NADUMAGA UGWIGUTA IMBA NAB’ITILAGA HA LIKI.

Akahahile kenako kanolile munhu uyo oliadigutaga ulu olya ijiliwa. Umunhu ng’winuyo, olyaga jiliwa ijo jikomile guliwa na bhanhu bhingi gete, aliyo bho nduhu ugwiguta kunguno ya bhulaku bhokwe bhunubho. Uweyi mumo agalila agikalaga atub’ile duhu nulu agalya ikanza ilihu na ginehe, ikanza idoo duhu otubhaga. Hunagwene nose agayombaga giki “nadumaga ugwiguta imba nab’itilaga ha liki.”

Umunhu ng’wunuyo, agalenganijiyagwa kuli munhu uyo oli naku ojiliwa na guchola bhutongeji umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, atogilwe gubhiza ntongeji obhanhu bhuli kwene uko usamila, kunguno ya gulya majiliwa chiza umubhutongeji bhunubho. Uweyi agidumaga na bhanhu bhingi umuchalo jakwe kunguno ya bhulaku bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo olyagwa jiliwa bho nduhu ugwiguta, kunguno nuweyi adigutaga ijiliwa nu bhutongeji bho bhiye umukikalile kakwe kenako. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “nadumaga ugwiguta imba nab’itilaga ha liki.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja bhulaku umukikalile kabho kenako, kugiki bhadule gwikala na bhichabho chiza, umubhulamu bhobho.

Mithali 23:19-21.

Wagalatia 5:16-26.

KISWAHILI: NIMESHINDWA KUSHIBA SIJUI NIMEPITIA KWENYE NINI.

  Msemo huo, huangalia mtu yule ambaye huwa hashibi anapokula chakula. Mtu huyo, hula chakula ambacho kinatosha kuwashibisha watu wengi lakini hashibi kwa sababu ya ulasi wake huo. Yeye hata akila namna gani huwa anajisikia njaa tu, hata kama atakula kwa muda mrefu kiasi gani, atajisikia njaa tu. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “nimeshindwa kushiba sijui nimepitia kwenye nini.”         

Mtu huyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mlafi wa chakula na madaraka, katika maisha yake. Mtu huyo, hutaka kuwa kiongozi wa watu kwenye kila sehemu anakohamia, kwa sababu ya kutaka kupata nafasi ya kula chakula vizuri katika uongozi huo. Yeye hukosana na watu walioko kwenye kijiji chake kwa sababu ya ulafi wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekula chakula bila kushiba, kwa sababu naye huwa hashibi chakula na madaraka aliyo nayo, katika maisha yake hayo. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “nimeshindwa kushiba sijui nimepitia kwenye nini.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia ya ulafi na uroho wa madaraka katika maisha yao, ili waweze kuishi vizuri na wenzao, maishani mwao.

Mithali 23:19-21.

Wagalatia 5:16-26.

appetizer-3315960__480

1158. KALAGANAGA WIHELAGA NA WIPENBE.

Bhalihoyi bhanhu abho bhali bhigashije mukaya ya ng’wa munhu nhebhe. Umo obhanhu bhenabho oli na lipembe ilo lyalilyugi lya gudula gunchima munhu.

Aliyo lulu ung’wiye uyo bhali bhihelile nang’hwe oliadamanile igiki alina nalyo ilipembe linilo ung’wiye ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “kalaganaga wihelaga na wipembe.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alemile ugubhipijiwa amasala gakwe na bhanhu abhamiito gabhubhi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga ayilemile imihayo ya bhanhu bha miito gabhubhi, kunguno ya bhudimiji bhokwe ubho nhungwa ija wiza bhunubho. Uweyi agayilelaga chiza ikaya yakwe kunguno ya kulema gulubuniwa na bhanhu bha nhungwa ja bhubhi, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo aganhugula ung’wiye uyo oliwihela na munhu wipembe, kunguno nuweyi agalemaga uhubhipijiwa amasala na bhanhu abho bhali na miito gabhubhi, umukikalile kakwe. Hunagwene agang’wilaga ung’wiye giki, “kalaganaga wihelaga na wipembe.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gulema gwilanga nhungwa ja bhanhu bha miito gabhub’i umukikalile kabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 7:15-16.

1Petro 5:8-10.

Luka 12:5.

KISWAHILI: KAA CHONJO UMEKAA KARIBU NA MWENYE PEMBE.

Walikuwepo watu waliokuwa wamekaa kwenye familia ya mtu fulani. Mmoja wa watu hao alikuwa na pembe ambalo lina ncha kali inayoweza kumchoma mtu. Lakini yule alikuwa amekaa karibu naye hakugundua kuwa mwenzake huyo ana pempe hilo la hatali. Ndiyo maana watu walimshitua mtu huyo kwa kumwambia kwamba, “kaa chonjo umekaa karibu na mwenye pembe.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hukataa kuharibiwa akili zake kwa kuambukizwa tabia mbaya na watu wenye matendo maovu, katika maisha yake. Mtu huyo hataki kulubuniwa na watu wenye matendo maovu kwa kuyakataa mawazo yao. Yeye huilea vizuri familia yake kwa sababu ya kuyashikilia vizuri maadili yake mema, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyemshitua mwenzake kwa kumwambia kuwa jirani yake alikuwa na pembe hilo la hatali, kwa sababu naye huyakataa mawazo ya watu wenye matendo maovu, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye humshitua mwenzake kwa kumwambia kwamba, “kaa chonjo umekaa karibu na mwenye pembe.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kukataa kufundishwa tabia mbaya ya watu wenye matendo maovu katika maisha yao, kwa kuiyaishi maadili mema, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Mathayo 7:15-16.

1Petro 5:8-10.

Luka 12:5.

shofar-5170508__480

cor-4624028__480

alphorn-234661__480

1157. ALI NG’WIPILINGA/MULIHALO.

Ilipilinga lili lilugulu ilo lilina lukumbi lo gwingila nulu ndimu nulu munhu umugati yalyo. Umunhu uyo wingila moyi adutulwa nulu mbula nulu adubishiwa limi kunguno ilyoyi ligankigijaga chiza. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ali ng’wipilinga/mumahalo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali bhambilija umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adiko gukoya na makoye gosegose kunguno agwambilijiwa chiza na bhambilija bhakwe bhenabho. Uweyi agikalaga na bhuyegi aha kaya yakwe kunguno ya kugamala wangu amakoye ulu gampadika, umuwikaji bhokwe bhanubho.

Umunhu ng’unuyo, agikolaga nuyo ali ng’wipilinga uyo agibhisa mbula na limi, kunguno nuweyi alina bhambilija abho bhagagamalaga wangu amakoye gakwe umukikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu  bhangang’wilaga giki, “ali ng’wipilinga/mulihalo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuchola wambilijiwa kufumila kuli Mulungu uyo adulile gugamala wangu amakaye gabho, kugiki bhadule gwikala na bhuyegi umu kaya jabho, shigu jose.

Mathayo 7:7-8.

Mathayo 11:28-30.

Yohana 6:67-68.

KISWAHILI: YUKO KWENYE JABARI/NGOME YA MAWE.

Jabari ni jiwe lile ambalo lina mlango wa kuingia ndani yake ambamo hata wanyama au mtu huweza kuingia ili kujificha. Mtu akiingia kwenye pango hilo hatanyeshewa mvua wala kupigwa jua, kwa sababu Jabari hilo humkinga vizuri. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “yuko kwenye Jabari/ngome ya mawe.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana watu wa kumsaidia katika maisha yake. Mtu huyo, huwa hahangaishwi na matatizo yoyote kwa sababu ya uwepo wa watu hao ambao humsaidia katika kuyatatua matatizo yake kila yanapojitokeza. Yeye huishi kwa furaha kwenye familia yake hiyo kwa sababu ya kuyamaliza haraka matatizo yake kila yanapojitokeza, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwemo ndani ya Jabari lililomkinga kunyeshewa mvua na kupigwa jua, kwa sababu naye ana watu wanaomsaidia katika kuyatatua matatizo yake kila yanapojitokeza, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwambia, “yuko kwenye Jabari/ngome ya mawe.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kutafuta msaada kutoka kwa Mungu ambaye aweza kuyamaliza matatizo yao kwa haraka, ili waweze kuishi kwa furaha, katika familia zao, siku zote.

Mathayo 7:7-8.

Mathayo 11:28-30.

Yohana 6:67-68.

giant-buddha-1157919__480

rock-196098__480

mountains-6356528__480