Aho kale ulihoyi munhu uyo agadima noyi nhale iyo adaimanile isolobho yayo. Umunhu ng’wunuyo, agabhabhuja abhatale bhakwe akatumamile ka noni yiniyo kunguno oliadamanile umo agwiyitila. Hunagwene abhatale bhakwe bhenabho bhagang’wila giki “yaya uguneka ng’ochage.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agacholaga wambilijiwa bho gwingila kubhiye uguitumama imilimo iyo ikililile ubhudula bhokwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhilingaga bhanhu bha gung’wambilija ugulima imigunda yakwe chiza kunguno ya gutogwa guimala wangu. Uweyi agabishaga majiliwa mingi noyi umumigunda yakwe yiniyo kunguno ya kulomba wambilijiwa bho gufumila kubhiye uguitumama imilimo uyo ikililile ubhudula bhokwe umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agadima noyi uchola wambilijiwa bho katumamile kayo gufumila gubhatale bhakwe, kunguno nuweyi agacholaga wambilijiwa bho gufumila kubhiye uguitumama wangu imilimo iyo adayidujije, umubhutumami bhokwe. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’wilaga giki, “yaya uguneka ng’ochage.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na widohya bho kugubhuja kubhichabho imilimo iyo bhadayimanile chiza, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umumilimo yabho yiniyo.
1Wakorintho 10: 3-26.
Mwanzo 1:29-31.
KISWAHILI: HAPANA KUMUACHA MCHOME.
Hapo zamani alikuwepo mtu aliyemkamata ndege mkubwa asiyemfahamu faida zake. Mtu huyo, aliwauliza wakubwa wake matumizi ya ndege huyo kwa sababu hakujua la kumfanyia. Ndiyo maana wakubwa wake hao walimwambia kwamba, “hapana kumuacha mchome.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutafuta msaada wa kutoka kwa wenzake wa kuyatekeleza majukumu yale yanayozidi uwezo wake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwaalika watu wa kumsaidia kulima mashamba yake vizuri kwa sababu ya kutaka kuyamaliza haraka. Yeye hupata mafanikio makubwa kwenye mashamba yake hayo kwa sababu ya kuomba msaada wa kuyalima hadi kuyamaliza haraka pale yanapozidi uwezo wake, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyemshika ndege akatafuta msaada wa kufahamu matumizi yake kutoka kwa wakubwa wake, kwa sababu naye hutafuta msaada kutoka kwa wenzake wa kuyatekeleza kwa haraka majukumu yale yanayozidi uwezo wake, katika kazi zake. Ndiyo maana watu hao humwambia kwamba “hapana kumuacha mchome.”
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na unyenyekevu wa kuuliza kutoka kwa wenzao kazi zile ambazo hawazifahamu vizuri, ili waweze kupata mafanikio makubwa katika utekelezaji wa majukumu yao hayo.
1Wakorintho 10: 3-26.
Mwanzo 1:29-31.