Tanzania

1207. KALAGU  –  KIZE.ONKONDYA BHULI UNKWILIMA? – LUSHINGE.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ililola lushinge ulo luli na milimo mingi. Ulushinge lunulo, lugatumamilagwa bhuli makanza bho kumanusumila myenda kihamo nu bhudololo bholo. Huna gwene lugalenganijigwa kuli nkwilima kunguno ya wei gumanutumama milimo mingi bhuli makanza niyo bho nduhu ugucha isoni. Uweyi nulu agatung’wa ungi agifunyaga ogagutumama unimo uyo gohayiyagwa mpaga nose agakondaga obhiza guti lushinge. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga bho gubhuja giki, “onkondya bhuli umkwilima? – Lushinge.”

Ikalagu yiniyo, ikalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhalekanijaga bhiye uguyitumama imilimo ya ha kaya yakwe, mpaga nose bhakonda, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adabhasadagwa abhatumami bha milimo yakwe yiniyo, kunguno ya gwiiganika weyi duhu bho nduhu ugubhadilila abhanhu bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhapambulaga nose abhageni uja aha kaya  yakwe kunguno ya gubhalubhya bho gutumama milimo midimu ulu bhangeniha chiniko a haka kaya yake yiniyo.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agantumamya milimo umkwilima okwe mpaga ukonda guti lushinge, kunguno nuweyi agabhatumamyaga milimo abhanhu bhake mbaga bhakonda bho nduhu ugubhadilila, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanbu bhagamujaga giki, “onkondya bhuli umkwilima? – Lushinge.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gwiyambilija gutumama milimo yabho kihamo bho nduhu ugwilekanija, kugiki bhadule kupandika sabho ningi umukaya jabho.

Waebrania 13:1-3.

1 Petro 1:22.

Yohane 13:34.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

KWA NINI UMEMKONDESHA MKWILIMA? – SINDANO.

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia Sindano inayotumika kwa kufanya kazi nyingi. Sindano hiyo, hutumiwa kwa kushonea nguo na magodolo pamoja na wembamba wake huo.

Ndiyo maana watu huifananishwa Sindano hiyo na mkwilima kwa sababu naye hufanya kazi nyingi kila wakati, bila hata ya kuona aibu. Yeye hujitolea kufanya kazi hata zile ambazo ni za wengine, mpaga mwishowe hukonda kutokana na mateso ya kufanya kazi nyingi hizo. Ndiyo maana watu huhadithiana kwa kuulizana kwamba “kwa nini umemkondesha mkwilima? – Sindano.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutegea kufanya kazi kwa kuwaachia wengine kazi za kwenye familia yake, mpaga mwishowe watu wake hao hukonda. Mtu huyo, huwa hawaonei huruma wafanya kazi wake hao, kwa sababu ya kujijali yeye mwenyewe tu bila ya kuwajali watu wake hao, maishani mwake. Yeye huwaogopesha hata wageni wake kumtembelea katika familia yake kwa sababu ya kuwafanyisha kazi nyingi na ngumu kila wanapomtembelea, kwenye familia yake hiyo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyemtumikisha kazi mkwilima wake mpaka akakonda kama Sindano, kwa sababu naye huwafanyisha kazi ngumu watu wake mpaka wanakonda bila hata ya kuwajali wake hao. Ndiyo maana watu, humuuliza kwamba, “kwa nini umemkondesha mkwilima? – Sindano.”

Kitendawili hicho, huwafundisha watu juu ya kufanya kazi zao kwa ushirikiano wa pamoja bila ya kutegea kwa kuwaachia wenzao, ili waweze kupata mafanikio ya kupata mali nyingi, katika familia zao.

Waebrania 13:1-3.

1 Petro 1:22.

Yohane 13:34.

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

WHY DID YOU MAKE THIN THE SON IN LAW? – NEEDLE.

The foundation of this paradox looks at the Multitasking Needle. The needle is used for sewing clothes and mattresses with its thinness.

That is why people liken it to a son in law who he does a lot of works all the time, without even feeling ashamed. He dedicates himself to work even those that belong to others to the point of losing weight at the end due to the suffering of doing so many jobs. That is why people talk to each other by asking “why did you make thin the son in law?” – Needle.”

This riddle is compared to a person who relies on working by leaving the works in his family to others, but in the end, those people become weak. That person does not feel sorry for his workers, because he only cares about himself without caring about his people in his life. He even scares his guests to visit him in his family because he makes them do a lot of hard works every time when they visit him, in his family.

This person is similar to the one who made his son in law work until he was as thin as a needle, because he also makes his people work hard until they become thin without even caring about them. That is why people ask him that, “why did you make thin the son in law?” – Needle.”

This riddle imparts in people an idea of doing their works in cooperation without relying on others, so that they can achieve success in getting more wealth in their families.

Hebrews 13:1-3.

1 Peter 1:22.

John 13:34.

 

 

african-3416695_1280

1206. KALAGU – KIZE. MUMO UGANENGELA UDUNASA UNG’WANA NG’WUNUYO – BHUNYENYA.

Imbuki ya kalagu yiniyo ililola kabhunyenya ako kali kadoo noyi nulu ugiyina kugalasa udukadula kunguno ya bhudoni bhogo bhunubho. Ubhunyenya bhunubho  bhuli bhudodo aliyo bhukikalaga bhunoyi noyi ugubhulya. Ukwene huguhaya giki, iginhu jigikalaga na solobho yajo mumho jigadohela. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “mumo uganengela udunasa ung’wana ng’wunuyo – kabhunyenya.”

Ikalagu yuniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhadahalaga abhanhu kunguno ya bhudoni bho mimili yabho umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo adaibhonaga isolobho ya bhanhu abho bhali hasilili yakwe, kunguno ya libhengwe yakwe linilo umuwikaji bhokwe. Uweyi agadumaga uguyibheja chiza ikaya yakwe kunguno ya gubhadalaha sagala abhanhu bhakwe bhenabho, aha kaya yakwe yiniyo.

Umunhu ng’wunyo, agikolaga nuyo abhudalaha ubhunyenya bho gulola bhudoni bhobho, kunguno nu weyi agabhadalahaga abhanhu abho bhali hasilili yakwe, umuwikaji bhokwe mpaga oduma uguibhona isolobho yabho, aha kaya yakwe yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “mumo uganengela udunasa ung’wana ng’wunuyo – kabhunyenya.”

Ikalagu yiniyo yalanga bhanhu higulya ya kuleka libhengwe lya gubhadalaha sagala abhanhu abho bhali hasilili yabho, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi umubhutumami bho milimo yabho, umukaya jabho.

Marko 4:30-32.

1Wakorintho 1:27-28.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

HATA UJITAHIDI KUMLENGA KWA MSHALE NAMNA GANI MTOTO HUYO HUTAMPIGA – UFUTA.”

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia ufuta ambao ni mdogo sana. Ufuta hata mtu ajitahidi kuulenga kwa mshale ili aupige hataweza, kwa sababu ya udogo wake huo. Wenyewe ni mdogo lakini ni mtamu kwa kuula. Ndiyo kusema kwamba, kitu hata kikiwa kidogo namna gani, kinafaida yake katika maisha ya mwanadamu. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, “hata ujitahidi kumlenga kwa mshale namna gani mtoto huyo hutampiga – ufuta.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwadharau watu walioko chini yake kwa sababu ya udogo wa miili yao. Mtu huyo, huwa haioni faida ya watu walioko chini yake, kwa sababu ya dharau aliyo nayo kwao, maishani mwake. Yeye hushindwa kuilea vyema familia yake kwa sababu ya kuwadharau hovyo watu waliopo kwenye familiya yake hiyo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliudahau ututa kwa kuangalia udogo wa umbo la zao hilo, hata akashindwa kuona faida yake, kwa sababu naye huwadharau watu walioko chini yake mpaga anashindwa kuona faida yao kwenye familia yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “hata ujitahidi kumlenga kwa mshale namna gani  mtoto huyo hutampiga – ufuta.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuacha kuwadharau hovyo watu walioko chini yao, ili waweze kupata mafanikio mengi katika utekelezaji wa majukuku yao, katika familia zao.

Marko 4:30-32.

1Wakorintho 1:27-28.

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

EVEN IF YOU TRY TO TARGET WITH AN ARROW YOU WILL NOT HIT THAT CHILD – SAMSAM.

The basis of this paradox looks at a very small crop which is known as samsam. Even if someone tries to aim at it with an arrow, he will not be able to hit it, because of its small size. They themselves are small but they are sweet to eat. That is to say that, no matter how small something is, it is useful to human life. That is why people tell each other that, “even if you try to target with an arrow, you will not hit that child – Samsam.”

This puzzle is equated to a person who despises people who are under him because of smallness of their bodies. Such person never sees benefit of people who are under him, because of a contempt that he has to them, in his life. He fails to raise his family well because of his carelessness to his people.

This person relates to the one who underestimated the small size of that small crop, until he failed to see its benefit, because he also despises the people who are under him to the point of failing to see their benefit in his family. That is why people tell him that, “even if you try to target with an arrow, you will not hit that child – Samsam.”

This riddle teaches people about stopping belittling the people who are under them, so that they can achieve a lot of success in raising their children, in their families.

Mark 4:30-32.

1 Corinthians 1:27-28.

family-2563889_1280

mother-and-daughter-668167_1280

woman-1320103_1280

1204. SHOGAGA NIGINI

Akahayile kenako kahoyelile higulya ya guwilwa nigini gushaga uko wikalo bhokwe. Ulihoyi nigini uyo agaja Shinyinga aliganika giki agujupandika wikaji bho wiza koyi. Ohayugashika koyi uyupandika makoye ga gugayiwa ijiliwa pye ni jizwalo. Abhiye abho agabhaleka ukuchalo jakwe, bhaganchola mpaga bhumhona na gumana umo okoyelelaga. Hunagwene bhagang’wila giki, “shogaga nigini.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhabyaji abho bhagabhashoshaga mulilange lya wiza abhana bhabho abho bhagalilekaga bho gubhadililaga chiza, umuwikaji bhobho. Abhabyaji bhenabho bhagabhadililaga abhana bhabho bhenabho bho gwikala nabho chiza, mpaga bhalidebha ililange lya gwikala na bhanhu chiza. Abhoyi bhagabhakujaga bho lilange liza abhana bhenabho bho gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Abhabyaji bhenabho bhagalenganijiyagwa kubhanigini abho bhaganchola ng’wichabho uyo upandikaga makoyi Shinyinga mpaga bhumpandika na gung’wila ashoke kaya, kunguno nabhoyi bhagabhashoshaga abhana abha nhungwa jabhubhi, bho kubhalanga nhungwa jawiza, umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagabhawilaga giki, “shogaga nigini.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhalanga ilange lya wiza abhichabho abha nhungwa jabhubhi, bho gwikala labho chiza, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Waefeso 6:4.

Methali 22:26.

1Thimotheo 5:10.

KISWAHILI: RUDI MTOTO.

Msemo huo, huongelea juu ya mtoto alieambiwa arudi kwenye makazi yake. Alikuwepo mtoto mmoja aliyeenda Shinyanga mjini akifikiri kwamba atapata maisha mazuri huko. Alipofika kule alianza kupata matatizo ya kukosa chakula na mavazi. Wenzake alioowaacha kijijini mwake, walimtafuta mpaka wakamuona na kufahamu alivyokuwa akihangaika. Ndiyo maana walimwambia kwamba, “rudi mtoto.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa wazazi wale ambao huwarudisha kwenye malezi mema watoto wao waliokiuka maadili yao kwa kuwajali vizuri maishani mwao. Wazazi hao, huwajali watoto hao hao kwa kuishi nao vizuri, mpaga wanaweza kuyaishi maadili yao vizuri. Wao huwakuza vizuri watoto wao hao kwa kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.”

Wazazi hao, hulinganishwa kwa watoto wale waliomjali mwenzao kwa kumtafuta na kumwambia arudi kwake, kwa sababu nao huwarudisha watoto wao waliokiuka malezi mema, kwa kuwalea vizuri. Ndiyo maana huwaombia kwamba, “rudi mtoto.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwalea wenzao katika maadili mema kwa kuishi nao vizuri, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Waefeso 6:4.

Methali 22:26.

1Timotheo 5:10.

ENGLISH: COME BACK CHILD.

This saying speaks of a child who was told to return to his home. There was one child who went to Shinyanga town thinking that he would have a good life there. When he got there, he started having problems such as lack of food and clothing. His friends, whom he left in his village, looked for him until they saw him and realized that he was facing problems. That is why they told him that, “come back child.”

This saying is compared to parents who return their children who have violated their values to a good upbringing by taking good care of them in their lives. These parents, take care of those children by living well with them within their values. They raise their children well by raising their families well, in their lives.

These parents are compared to children who cared for their partner by looking for him and telling him to return back to his home, because they also bring back their children who violated good upbringing, by raising them well. That is why the tell them, “come back child.”

This saying, teaches people about raising their people in good values by living well with them, so that they can raise their families well, in their lives.

Ephesians 6:4.

Proverbs 22:26.

1 Timothy 5:10.

child-2428546__480

1203. UOKALE ATI OSHIGU JINIJI.

Bhahoyi bhanhu abho bhakilaga na namhala umo uyo olina miaka mingi. Abhanhu bhenabho, bhahoyaga nanghwe bhakanza malihu kunguno olina bhumani wingi. Uweyi olioyibhona mingi kunguno oblyalwa mingi iyo adinayibhona umunhu uyo obyalilwe shigu jiniji. Hunagwene abhanhu bhenabho, bhagayombaga giki, “uokale adi oshigu jiniji.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinikujo lya gubhadegeleka chiza abhatale bhakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alina widohya bho gubhadegeleka chiza abhatale bhakwe kugiki adule gumana ugwikala na bhanhu na kutumama milimo yakwe chiza, kunguno ya likujo lyakwe linilo kubhoyi. Uweyi agatumamaga milimo yakwe chiza bho gwikala na bhanhu bhingi aha kaya yakwe, kunguno ya likujo lyakwe linilo ukubhatale bhakwe abho bhaganangaga inzila ja gwikala chiza na bhanhu, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhahoyaga chiza nu namhala uokale, kunguno nuweyi ali nikuko lya gubhadegeleka chiza abhatale bhakwe, umukikalile kakwe kenako. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “uokale adi oshigu jiniji.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza nikujo lya gubhadegeleka chiza abhatale bhabho, kugiki bhadule kupandika bhuyeji bho gwikala miaka mingi, umubhulamu bhobho.

Yoshua Bin Sira 44:1-4.

Waefeso 6:1-3.

Yoshua Bin Sira 3:1-14.

KISWAHILI: WAKALE SIO WA SIKU HIZI.

Walikuwepo watu walioishi na mzee mmoja ambaye alikuwa na miaka mingi. Watu hao, walikuwa wakiongea naye kwa muda mrefu kwa sababu walielewa kwamba yeye alikuwa na ufahamu mwingi. Mzee huyo, aliyaona mambo mengi kwa sababu alizaliwa miaka mingi na alishapitia mambo mengi ambayo mtu aliyezaliwa siku hizi hajayaona. Ndiyo maana watu hao walisema kwamba, “wa kale sio wa siku hizi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana heshima ya kuwasikiliza vizuri wakubwa wake, katika maisha yake. Mtu huyo, ana unyenyekevu wa kuwasikiliza vizuri wakubwa wake hao kwa lengo la kujifunza namna ya kuishi na kufanya kazi na watu vizuri, kwa sababu ya heshima yake hiyo kwao. Yeye hufanya kazi zake vizuri kwa kuishi pamoja na watu wengi katika familia yake, kwa sababu ya malezi yake hayo aliyopata kwa kuwasikiza vizuri wakubwa hao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na wale waliongea vizuri na yule mzee wa miaka mingi, kwa sababu naye ana heshima ya kuwasikiliza vizuri wakubwa wake, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “wa kale sio wa siku hizi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na heshima ya kuwasikiliza vizuri, wakubwa wao, ili waweze kupata furaha ya kuishi miaka mingi, maishani mwao.

Yoshua Bin Sira 44:1-4.

Waefeso 6:1-3.

Yoshua Bin Sira 3:1-14.

ENGLISH: THE ANCIENTS ARE NOT OF TODAY.

There were people who lived with an old man who had many years old. Those people were talking to him for a long time because they understood that he had a lot of knowledge. The old man saw many things because he was born many years ago and experienced a number of things that a person who has been born today has not seen. That is why those people said that, “the ancients are not of today.”

This saying is compared to a person who has an honor of listening well to his superiors, in his life. Such person has the humility to listen well to his superiors with the aim of learning how to live and work with people well, because of his respect for them. He does his work well by living with many people in his family, because of his education which he got by listening well to the elders in his life.

This person is similar to those who spoke well to the old man, because he also has the honor of listening well to his superiors, in his life. That is why he tells people that, “the ancients are not of today.”

This saying teaches people about having respect of listening well to their elders, so that they can have the joy of living many years in their lives.

Joshua Bin Sirach 44:1-4.

old-3975765__480

1202. TIMBA NGONGO, DALYA JA MUNGUNDA.

Imbuki ya kahayile kenako, ilolile bhanhu abho bhalibhalima jiliwa mpaga jupya. Abhanhu bhenabho, ligashiga likanza lyagubisha ijiliwa jinimo umumigunda yabho yiniyo. Ulushigu bhalilya ijiliwa ja lukangala ulo gwandya bhagayomba giki, “timba ngongo, dalya ja mungunda.”

Akahahile kenako, kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagalumbilijaga ulu bhapandika jikolo, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagafunyaga bhulumbi kuli Mulungu ulu bhajipandika ijokolo ijo bhaginhiyagwa naweyi umubhutumami bhobho, kunguno ya bhuyehi bhobho ukuli Ng’wilikili unduji o jose. Abhoyi bhagapandikaga sabho ningi bhuli makanza umumilimo yabho, kunguno ya gunumbilija Mulungu bhuli makanza ulu bhapandika ijikolo jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

 Abhanhu bhenabho, bhagikolaga nabho bhaganumbilija Mulungu aho bhalya ijiliwa jabho ija gwandya, kunguno na bhoyi bhaganumbilija Mulungu ulu bhandika jikolo bhuli makanza, umumilimo yabho yiniyo, umukikalile kabho. Hunagwene bhagayombaga giki, “timba ngongo, dalya ja mungunda.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higuya ya gubhiza na bhulumbi ukuli Mulungu ulu bhapandikaga jikolo umubhutumami bhobho, kugiki bhadule gupandika mbango ja gukwabha sabho bhuli makanza, umuwikaji bhobho.

Mathayo 26:26.

Hesabu 28:26.

Kumbukumbu la Torati 26:1-2.

KISWAHILI: PIGA MGONGO, TUMEKULA MAZAO YA SHAMBANI.

Chanzo cha msemo, huo huaangalia watu waliolima mazao ya chakula mpaga wakaivisha. Watu hao, ulifika wakati mazao yao yakakomaa humo shambani. Siku walipokuwa wanakula mazao yao hao kwa mara ya kwanza kutoka shambani walisema, “piga mgongo, tumekula mazao ya shambani.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao hushukuru wanapopata vitu vya kutoka kazini mwao, katika maisha yao. Watu hao, hutoa shukrani kwa Mungu wanapopata vitu vya kutoka kazini mwao kwa sababu ya furaha yao hiyo kwa Mwenyezi Mungu Muweza wa yote. Wao hupata mali nyingi sana kila wakati katika kazi zao, kwa sababu ya kutoa shukrani kwa Mungu kila wanapopata mali, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wale waliomshukuru Mungu walipokula mazao yao kwa mara ya kwanza, kwa sababu nao humshukuru Mungu kila wanapota mali za kutoka kazini mwao, katika maisha yao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “piga mgongo, tumekula mazao ya shambani.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na shukrani kwa Mungu, kila wanapopata mali za kutoka kwenye kazi zao, ili waweze kupata Baraka za kuendelea kufanikiwa zaidi maishani mwao.

Mathayo 26:26.

Hesabu 28:26.

Kumbukumbu la Torati 26:1-2.

ENGLISH: BEAT THE BACK, WE HAVE EATEN REAPS OF THE FIELD.

This saying looks at the people who grew food crops and ate them. Those people arrived to their fields when their crops matured in the fields. On the day when they were eating their crops for the first time from the farms, they said, “beat the back, we have eaten reaps of the field.”

This saying is equaled to those people who are grateful when they get things from their works, in their lives. Those people give thanks to God when they get things from their works because of their happiness in God Almighty. They always get a lot of wealth in their works, because of giving thanks to God every time they get wealth, in their lives.

Those people are similar to those who thanked God when they ate their crops for the first time, because they also thank God every time they get wealth from their works, in their lives. That is why they say that, “beat the back, we have eaten reaps of the field.”

This saying imparts in people an idea of being grateful to God, whenever they get wealth from their works, so that they can get blessings to continue to be more successful in their lives.

Matthew 26:26.

Numbers 28:26.

Deuteronomy 26:1-2.

corn-87332__480