Sukuma

1072. B’AGULEKA AB’IYO UGUJA NA NANI?

Akahayile kenako, kahoyelile bhulekwa bho ng’wa munhu nabhiye abho bhali mulugendo. Umulugendo lunulo, bhali bhanhu bhadatu abho bhagaliga hali kaya kugiki bhapandika jiliwa kunguno bhalibhatuubha noyi. Aliyo lulu, aho bhahaya ugubhuka, ung’wikachabho agilendeja mpaga bhuneka abhiye kunguno ya wiyibhu bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu abha ha kaya yiniyo, bhagamuja uyo olekagwa ng’wunuyo giki, “bhaguleka abhiyo uguja na nani?”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agilendejaga ugutumama imilimo yakwe bho gudilila mihayo yingi, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agajaga ugujutumama imilimo ogilendeja mu mihayo yingi iyo idina solobho, kunguno ya wiyiibhu bhokwe bhunubho. Uweyi agadumama uguyimala chiza imilimo yakwe, kunguno ya wilendeja bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agilendeja mpaga ulekwa na bhiye umulugendo lunulo, kunguno nu weyi agajaga kumilimo yakwe ogilendeja mumihayo yingi iyo idinasolobho umuwikaji bhokwe bhonubho. Hunagwene abhanhu bhagamujaga giki, “bhaguleka abhiyo uguja na nani?”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gudilila milimo yabho chiza bho guitumama mpaga bhayimala, kugiki bhadule gupandika sabho ja gubhambilija chiza, umuwikaji bhobho, bhunubho.

Mwanzo 18:10-15.

2Wakorintho 3:10-12.

Luka 1: 26-38.

KISWAHILI: WAMEKUACHA WENZAKO UTAENDA NA NANI?

Msemo huo, huongelea juu ya kuachwa kwa mtu mmoja na wenzake waliokuwa katika safari. Safari hiyo, ilikuwa ya watu watatu ambao walipita kwenye familia moja kwa ajili ya kupata chakula kwa sababu walikuwa na njaa sana.

Lakini basi, walipotaka kuondoka mmoja wao alijisahau mpaka wenzake wakamuacha kwa sababu ya kujisahau kwake huko. Ndiyo maana watu wa kwenye familia hiyo walimuuliza kwamba, “wamekuacha wenzako utaenda na nani?”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujisahau kuzitekeleza kazi zake kwa kujali kazi zingine mpaka anachelewa kuzimaliza kazi hizo, katika maisha yake. Mtu huyo, huenda kufanya kazi na kuchelewa kuzitekeleza kwa kuanza kuongelea mambo mengine, kwa sababu ya kujisahau kwake huko. Yeye hushindwa kuzimaliza kazi zake vizuri kwa sababu ya kujali mambo mengi Zaidi kuliko kazi zake hizo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyejisahau mpaka akaachwa na wenzake katika safari hiyo, kwa sababu naye hupoteza muda wa kufanya kazi kwa kujali mambo mengine, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuuliza kwamba, “wamekuacha wenzako utaenda na nani?”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujali kazi zao kwa kuzitekeleza vizuri, badala ya kufuata mambo mengine katika maisha yao, ili waweze kupata mafanikio mengi zaidi, maishani mwao.

Mwanzo 18:10-15.

2Wakorintho 3:10-12.

Luka 1: 26-38.

man-6900166__480

men-7030144__480

people-7271043__480

ENGLISH: YOUR COMPANIONS HAVE LEFT YOU, WHO WILL GO WITH YOU?

This saying talks about an abandonment of one person who left by his companions who were on a journey. The trip was for three people who went to a family to get food because they were very hungry.

But then, when they wanted to leave, one of them forgot his trip by doing other things until his colleagues left him because of his doing of other things instead of traveling. That is why the people of that family asked him that, “your companions have left you, who will go with you?”

This saying is compared to the person who forgets to do his work by caring about other things until he is late to finish his required work in his life. Such person goes to work late by starting to talk about other things, because of his self-forgetfulness. He fails to complete his tasks well because of caring about other things instead of doing his tasks in his life.

This person resembles the one who forgot himself by doing other things until he was left by his companions on the journey, because he also loses time of work by caring about other things in his life. That is why people ask him that, “your companions have left you, who will go with you?”

This saying teaches people about taking care of their works by doing them well, instead of following other things in their lives, so that they can get more success in their lives.

Genesis 18:10-15.

2 Corinthians 3:10-12.

Luke 1: 26-38.

1071. UKAB’ULA UNG’WENE JILELA MHINA.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile Mbula. Imbula yiniyo igatulaga yenha bhuyeji ukubhanhu kunguno igazwishaja mbeyu jabho ijo bhajilima na gujibisha chiza ijiliwa jabho jinijo. Iyoyi igenhaga bhunelizu bho jizunva ja mbika nyingi. Hunagwene abhanhu bhagahayaga giki, “ukab’ula ung’wene jilela mhina.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agambilijaga bhanhu abho bhali na makoye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhadelekaga chiza abhanhu abho bhaganchalilaga makoye gabho, kunguno ya bhutogwa bhokwe ukubhanhu bhakwe bhenabho. Uweyi agabhenhelaga bhuyegi bhutale bhanhu bhingi abho agabhambilijaga ugugamala chiza amakoye gabho, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni mbula iyo igenhaga minzi gagujilanghana chiza ijisunva, kunguno nuweyi agabhambilija chiza abhanhu abho bhali na makoye umukikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ukab’ula ung’wene jilela mhina.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza higiki bho gulitumila chiza ilikanza ilya mbula ijina gulima migunda mitale, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Mathayo 25:1-13.

2Wakorintho 8:15.

Yoshua Bin Sira 10: 23-31.

KISWAHILI: KABULA YEYE NI MLEA YATIMA.

Chanzo cha msemo huo chaangalia mvua. Mvua hiyo huleta furaha kwa viumbe kwa sababu huotesha mbegu za wakuliwa na kuotesha nyazi pia na kuvikuza viumbe. Yenyewe huleta hali ya kijani katika uso wa Dunia. Ndiyo maana watu husema kwamba, “Kabula yeye ni mlea yatima.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwasaidia watu wenye matatizo katika maisha yake. Mtu huyo, huwasikiliza kwa makini na vizuri watu wampelekeao matatizo yao, kwa sababu ya upendo wake huo kwa watu wake. Yeye huwaletea furaha watu wengi anaowasaidia katika kuyatatua vizuri matatizo yao, kwa sababu ya uwezo wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na ile Mvua iletayo maji ya kuvitunzia viumbe, kwa sababu naye huwasaidia watu katika kuyatatua matatizo yao vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “Kabula yeye ni mlea yatima.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa tayari kukitumia vizuri kipindi cha Mvua, kwa kulima mazao mengi, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Mathayo 25:1-13.

2Wakorintho 8:15.

Yoshua Bin Sira 10: 23-31.

ENGLISH: KABULA IS THE CARETAKER OF THE ORPHANS.

The foundation of this saying looks at the rain. This rain brings happiness to creatures because it grows edible seeds and also grows grass for them. It brings greenness to the face of the Earth. That is why people say that, “Kabula is the caretaker of the orphans.”

This saying is equated to a man who helps people in solving their problems in his life. This person listens carefully to people who bring their problems to him, because of his love for his people. He brings happiness to many people whom he helps in solving their problems, because of using well his ability in his life.

This person is similar to the Rain that brings water for taking care of creatures, because he also helps people in solving their problems in his life. That is why people tell him that, “Kabula is the caretaker of the orphans.”

This saying instills in people a clue on being ready to make good use of the rainy season, by cultivating many crops, so that they can achieve many successes in their lives.

Matthew 25:1-13.

2 Corinthians 8:15.

Joshua Bin Sira 10: 23-31.

rain-791893__480

yellow-bells-4382715__480

green-2432374__480

1070. KALAGU – KIZE. MUNHU NAMBU AHA KAYA ODUDUNDUGAJA AYISE – NZUKI.

Imbuki ya kalagu yiniyo ilolile wikaji bho nzuki. Inzuki jinijo jigingilaga na gwikala munumba ja bhanhu abho bhagajizunilijaga kunguno ya gujiganikila giki jili bhudugu nabho. Aliyo lulu, ulushigu jasayaga jigabhalumagulaga mpaga lulu gubhabhulaga gete abhamo bhabho. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagahayaga giki, “munhu nambu ahakaya odudundukaga ayise – Nzuki.”

Ikalagu yiniyo, igalengajiyagwa kuli munhu uyo agikalaga ahumulile aliyo munholo yakwe alina bhuchilu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga kihamo na bhiye umutumami bho milimo yakwe, uyo agakenyiyagwa hadoo duhu opelana na gwandya kutula bhanhu kunguno ya bhuchilu bhokwe bhunubho. Uweyi agabhalabhulaga bhanhu bhingi noyi abho agikalaga nabho kunguno ya bhulambu na bhujidigwa bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni nzuki ijo jigasayaga jandya gubhaluma abhanhu bhahene aho jigikala, kunguno nuweyi agakenyiyagwa hadoo duhu wandya gubhatula abhanhu abho agikalaga nabho, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayombaga giki, “munhu nambu ahakaya odudundukaga ayise – Nzuki.”

Ikalagu yiniyo yalanga bhanhu higulya ya gwikala na bhanhu chiza bho guleka bhuchilu bho sagara, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwiyambilija gutumama milimo yabho chiza, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 4:10 – 14.

Wagalatia 1:7-8.

Mathayo 26:14 – 16.

Tito 1:5-11.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

MTU KICHWA NGUMU HAPA NYUMBANI AMETUSHINDA SISI – NYUKI.

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia maisha ya nyuki. Nyuki hao huingia na kuishi kwenye nyumba za watu wale ambao huwaruhusi kwa sababu ya kuwafikiria kuwa ni ndugu zao. Lakini siku wamekasirika huwauma hata mpaka kuwaua kabisa baadhi ya watu hao waishio kwenye nyumba hiyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mtu kichwa ngumu hapa nyumbani ametushinda sisi – Nyuki.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa kimya lakini ndani ya moyo wake anahasira kali, katika maisha yake. Mtu huyo, huishi pamoja na wenzake katika utekelezaji wa majukumu yao, ambaye akichokozwa kidogo tu hukasirika na kuanza kuwapiga watu wale anaoishi nao kwa sababu ya hasira yake hiyo kali. Yeye huwaumiza watu wengi wale wanaoishi naye, kwa sababu ya kiburi na hasira zake hiyo kali, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na wale nyuki waliokasirika na kuanza kuwauma watu wa kwenye familia ya pale walipo, kwa sababu naye pia huchokozwa kidogo tu na kuanza kuwapiga watu anaoishi nao. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mtu kichwa ngumu hapa nyumbani ametushinda sisi – Nyuki.”

Kitendawili hiyo, hufundisha watu juu ya kuishi vizuri na watu kwa kuachana na hasira zisizo na maana katika maisha yao, ili waweze kusaidiana katika kuyatekeleza vizuri majukumu yao, maishani mwao.

Mwanzo 4:10 – 14.

Wagalatia 1:7-8.

Mathayo 26:14 – 16.

Tito 1:5-11.

bees-326337__480

bees-345628__480

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

A STUBBORN PERSON WHO HAS DEFEATED US AT HOME – BEE.

The origin of this paradox looks at the life of bees. The bees enter and live in houses of people who allow them because they think that they are their relatives. But when they are angry, they bite them until they completely kill some of the people who stay in that house. That is why people say that, “a stubborn person who has defeated us at home – bee.”

This paradox is compared to the person who stays silent but in his heart he is very angry, in his life. Such person lives with his colleagues in the execution of their duties, who if provoked just in a little matter gets angry and starts beating people whom he lives with because of his strong anger. He hurts many people who live with him, because of his pride and strong anger, in his life.

This person resembles the bees that got angry and started stinging the people who live in that family where they are, because he is also provoked just in a little  matter and starts hitting people whom he lives with. That is why people tell him that, “a stubborn person who has defeated us at home – bee.”

This riddle teaches people on how to live well with people by letting go of unnecessary anger in their lives, so that they can help each other in carrying out their responsibilities well, in their lives.

Genesis 4:10 – 14.

Galatians 1:7-8.

Matthew 26:14 – 16.

Titus 1:5-11.

bees-352206__480

1069. MUNHU NTALE NA WITABYA BHOKWE.

Akahayile kenako, kalolile witabya bho ng’wa munhu uyo alintale. Uwitabya bhunubho, bhuli bhubhucha bho miligo ilibhili ukumabhega gakwe umunhu ng’wunuyo. Imiligo yiniyo, igadimilagwa na linti ilo agalizwalaga ukumabheja gakwe bho gukingwa hagati uweyi ni miligo yakwe yiniyo. Iyoyi igabhuchuyagwa na munhu uyo alintale kunguno ili midito. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “munhu ntale na witabya bhokwe.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga utumama milimo mingi umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga atingatilwe na milimo bhuli makanza mpaga agagayiyagwa ni likanza ilyagwifula, kunguno ya bhukamu bhokwe ubho gutumama milimo yakwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe kunguno ya wigulambija bhokwe bhunubho ubho gutumama milimo yakwe, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo oliwitabya miligo ukumabheja gakwe, kunguno nuweyi agikalaga utumama milimo mingi bhuli makanza, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho bho bhukamu bhutale, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Matendo ya Mitume 10:42 – 43.

Mteando ya Mitume 17:25,

1Petro 2:4.

1Thimoteo 3:1-5.

Waefesso 5: 21-23.

KIWAHILI: MTU MKUBWA ANA MIZEGA MIZEGA YAKE.

Msemo huo, huangalia ubebaji wa mizega mizega wa mtu mkubwa. Mizega mizega hiyo, ni ubebaji wa mizigo miwili mabegani mwake mtu huyo. Mizigo hiyo, hushikiriwa na mti ambao huwekwa mabegani mwa mtu hiyo anapoibeba mizigo yake hiyo. Yenyewe hubebwa na mtu mkubwa kwa sababu ya uzito wake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mtu mkubwa ana mizega mizega yake.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi nyingi, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa ametingwa na kazi nyingi kila wakati mpaga hufikia hatua ya kukosa hata muda wa kupumzika, kwa sababu ya juhudi yake hiyo kubwa ya kufanya kazi. Yeye hupata mafanikio mengi kwenye familia yake kwa sababu ya kujibidisha kwake kufanya kazi hizo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa amebeba mizega mizeka mabegani mwake, kwa sababu naye hufanya kazi nyingi kila wakati maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mtu mkubwa ana mizega mizega yake.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao vizuri kwa kuongeza bidii ya utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi zaidi, maishani mwao.

Matendo ya Mitume 10:42 – 43.

Mteando ya Mitume 17:25,

1Petro 2:4.

1Thimoteo 3:1-5.

Waefesso 5: 21-23.

workers-754583__480

IN ENGLISH: AN ADULT HAS LUGGAGE ON HIS/HER SHOULDERS.

This saying looks at the carrying of two luggage on shoulders of the mature man. The two luggage is the carrying of two loads on the person’s shoulders. Those loads are held by a tree which is placed on the person’s shoulders when he carries his loads. They are carried by a mature person because of their weight. That is why people say that, “an adult has luggage on his/her shoulders.”

This saying is equaled to the person who does a lot of works, in his life. This person is always overwhelmed with a lot of works to the point of missing even have time to rest, because of his great effort to work. He gets a lot of success in his family because of his hard working mentality in his life.

This person resembles the one who was carrying the two luggage on his shoulders, because he also does a lot of works every time in his life. That is why people tell him that, “an adult has luggage on his/her shoulders.”

This saying teaches people about forcing themselves to do their jobs well by increasing the effort in fulfilling their responsibilities, so that they can get more success in their lives.

Acts 10:42-43.

Acts 17:25,

1 Peter 2:4.

1068. KALAGU – KIZE. DULI NG’WIPOLU ABHANHU ABHATALE DULI BHABHILI – LIMI NA NG’WEJI

Ikalagu yiniyo, ihoyelile Limi na Ng’weji umu jigiyambiligijaga ugutumama imilimo. Ilimi nu Ng’weji jili ginhu jitale pye jose ijo jigatumamaga bho gutiima ukunhu jilikabhanya. Ilimi ligatiimaga ulu wela ubhujiku ilikanza ilo Ung’weji gugandyaga gutiima kunguno pye ijose jili nisana. Giko lulu iginhu jinijo jigikalaga jilitale umukikalile ka ng’wa munhu. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “duli ng’wipolu abhanhu abhatale duli bhabhili – Limi na Ng’weji.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kubhitoji abho bhakilaga chiza umuwitoji bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho. Abhanhu bhenabho, bhagatumamaga milimo ya gulela abhana bhabho bho gubhina isana lya gwikala chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagabhakujaga chiza abhana bhabho kunguno ya gwikala gobho ng’wisana bhuli makanza chiniko, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga ni Limi nu Ng’weji ijo jigiyambilijaga chiza ugubhatiimila abha musi, kunguno nabhoyi bhagiyambilijaga chiza ugubhalanga ilanje ilya wiza abhana bhabho, umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagayombaga giki, “duli ng’wipolu abhanhu abhatale duli bhabhili – Limi na Ng’weji.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhitoji higulya ya gwiyambilija chiza ugubhalela abhanhu bhabho bho gubhina ilange lya wiza, kugiki bhadule gwikala chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho.

 Tobiti 8: 6.

Tobiti 8: 17.

Zaburi 104:19-23.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

TUPO PORINI WATU WAKUBWA TU WAWILI – JUA NA MWEZI.

Kitendawili hicho, chaongelea juu ya uwepo wa Jua na Mwezi vinavyosaidiana kufanya kazi. Jua na Mwezi ni vitu vikubwa vyote vifanyavyo kazi ya kuumulikia ulimwengu kwa kubadilishana. Jua huanza Mchana na Mwezi huangaza usiku. Hivyo vyote ni vitu vikubwa machoni pa wanadamu. Ndiyo maana watu huhadithiana wakisema kwamba, “tupo porini watu wakubwa tu wawili – Jua na Mwezi.”

Kitendawili hicho hulinganishwa kwa wana ndoa waishio vizuri katika ndoa yao, maishani mwao. Watu hao, hushirikiana vizuri kuwalea watoto wao kwa kuwapatia malezi mema yawezayo kuwapatia mwanga wa kuishi vizuri na watu maishani mwao, kwa sababu ya ushirikiano wao huo mzuri. Wao huwakuza katika malezi mema watoto wao sababu ya wao wenyewe kuyaishi hayo maadili mema katika maisha yao.

Watu hao hufanana na Jua na Mwezi ambavyo husaidiana vizuri katika kuwamulikia walioko duniani, kwa sababu nao husaidiana vizuri katika kuwalea ndani ya maadili mema watoto wao, maishani mwao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “tupo porini watu wakubwa tu wawili – Jua na Mwezi.”

Kitendawili hicho huwafundisha wana ndoa juu ya kushirikiana vizuri katika kuwalea watoto wao ndani ya maadili mema, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Tobiti 8:6, 17.

Zaburi 104:19-23.

sun-1260227__480

solar-eclipse-1116853__480

solar-eclipse-7469532__480

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

WE ARE TWO BIG PEOPLE IN THE WILDERNESS – THE SUN AND THE MOON.

The overhead riddle talks about the presence of the Sun and the Moon that help each other to work. The Sun and the Moon are both large objects that work to illuminate the world in exchange. The Sun begins at Day and the Moon shines at night. So they are all great things in the eyes of people. That is why people tell stories to each other saying, “We are two big people in the wilderness – the Sun and the Moon.”

This paradox is compared to married people who live well in their marriage. These people, cooperate well enough to raise their children by providing them with good upbringing that can give to them a light of living well with others in their lives, because of their good cooperation. They raise their children in a good upbringing because they themselves live those good values ​​in their lives.

These people are like the Sun and the Moon which help each other well in enlightening those who live on earth, because they also help each other well in bringing up their children in good values, in their lives. That is why they say that, “We are two big people in the wilderness – the Sun and the Moon.”

This riddle teaches married couples to cooperate well in raising their children in good morals, so that they can live in peace with others in their lives.

Tobit 8:6, 17.

Psalm 104:19-23.