Songs

192. BHALILAGULA BHASATU

Research sponsored by: Don Sybertz, with special thanks to Rev Joe Healey (African Proverbs, Sayings and Stories)

Imbuki ya lusumo lunulo ilolile bhalaguji na bhalagulwa. Abhalaguji bhagikomeja ugubhadilila abhasatu bhogubhapima na gub’inha bhugota ubho gudula guipija isada iyo b’aibhonaga. Ulubhab’apija abhasatu bhenabho, bhagayegaga umumyoyo yabho. Abhasatu nabho bhagayegaga ulubhapijiwa.

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa na bhazugi bha jiliwa abho b’alibhazugila abhanhu abho bhatub’ile. Ugubhazugila abhanhu bhenabho abho bhatub’ile, nugubhalagula bhogubhabhegeja ijiliwa ijo jikolile na bhugota.

Inhubha igalenganijiagwa na sada. Gashinaga lulu, ulu bhanhu bhutubha, bhagabhizaga guti bhasati. Aliyo ulu bhulya b’iguta abhanhu bhenabho ilisawa na giki bhapila isada yabho ya nhubha yiniyo.

Gashinaga lulu, ugulagula bhasadu ili sawa na gulya jiliwa ijaguipija isada yiniyo iya nhubha. Abho bhalilagula bhasatu bhali bhanhu abho bhalilya jiliwa ja gubhapija isada yao ya nhubha, bho gulya mpaga b’iguta.

Ululumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gub’iza na wizang’holo bho gub’inha jiliwa abho abhatub’ile kugiki bhadule guipija isada yao ya nhubha yiniyo bho gulya jiliwa mpaga b’iguta. Uwizang’holo bhunubho, b’ugubhambilija abhanhu umugub’alagula abho bhalina na sada ya nhubho, bho gub’inha ijiliwa ija gulya mpaga b’iguta.

Mathayo 15:34-38.

KISWAHILI: WANATIBU WAGONJWA

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia wauguzi na wale wanaoguzwa. Wauguzi hufanya jitihada za kuwajali wagonjwa wao kwa kuwapima na kuwapatia dawa za kuweza kuyatibu magonjwa waliyoyagundua. Wakiwaponyesha wagonjwa wao, wauguzi hao hufurahi mioyoni mwao. Hali kadhalika na wale wagonjwa hufurahi wanapopona magonjwa yao.

Methali hiyo hulinganishwa kwa wapishi wa chakula ambao huwapikia watu walio na njaa. Kuwapikia chakula watu hao wenye njaa na kuwatibu kwa kuwatengenezea chakula, hufanana na kuwapa dawa ya kuwaponya magonjwa yao.

Njaa hulinganishwa na ugonjwa. Kumbe basi, kama watu wakijisikia njaa huwa kama wagonjwa. Lakini wakila na kutosheka watu hao hufananishwa na wagonjwa waliopona ujonjwa wao wa kujisikia njaa.

Kumbe basi, kuwatibu ugonjwa huo ni sawa na kula chakula kiwezacho kuuponyesha ugonjwa wa njaa hiyo kwa kutosheka. Wale wanaotibu wagonjwa ni watu wanaokula chakula cha kuwawezesha kutosheka, yaani, kuwaponyesha ugonjwa wao wa kujisikia njaa.

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwapatia chakula watu wenye njaa ili waweze kupona ugonjwa wao wa kujisikia njaa, kwa kula mpaka kutosheka. Ukarimu huo, huwasaidia watu katika kuwatibu wale walio na ugonjwa huo wa njaa kwa kuwapatia chakula cha kula mpaka kutosheka.

Mathayo 15:34-38.

man-eating

ENGLISH: THEY ARE TREATING PATIENTS

The above proverb is about those who nurse the sick. Nurses do a lot in providing care for their patients. For instance, they check on them and give them medicine to treat the various ailments as diagnosed. When the nurses heal their patients, they, just like their patients, become happy.

Such proverb is likened to those who cook and feed hungry people. Cooking and feeding the hungry is like providing a cure for their diseases. Hunger is equated to an ailment, meaning that when people are hungry they are sick. So, when the hungry eat and become satisfied, they are likened to sick people who have recovered from their illnesses.

In fact, treating sickness is like eating a diet that can heal the disease of hunger. Treating patients is akin to giving them food to make them happy, that is, to heal their hunger.

The proverb teaches people to be generous in giving food to the hungry so that they can recover from their hunger by eating to satisfaction. Such hospitality enables people to treat those who suffer from hunger by feeding them until they get satisfied.

Matthew 15: 34-38.

 

191. NGUZU MULUHUNGO

Research sponsored by: Don Sybertz, with special thanks to Rev Joe Healey (African Proverbs, Sayings and Stories)

Imbuki ya kahayile kenako ilolile luhungo. Uluhungo jili jiseme ijagutumamila milimo bho gusungulila jiliwa ijo jigokalaga moi, aliyo jiligigehu duhu. Ludadulile ugub’ucha jiliwa jingi, kunguno jilijisema jidoo.

Gashinaga lulu, umunhu uyo agatumamaga opandika jiliwa jikomile gokala muluhungo duhu, agitanagwa, ‘nguzu muluhungo. Humo kagandija utumilwa na bhanhu akahayile kenako.

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alingokolo, umuigutumama imilimo iyanguzu. Agatumamaga milimo mibupu duhu. Kunguno yiniyo, umunhu ng’wunuyo agalimaga ngunda ndoo, na opandika jiliwa jigehu, guti jikomile gokala mulihungo duhu. Umunhu ng’wunuyo agitanagwa ‘nguzu muluhungo’ na bhanhu abho bhandeb’ile igiki alingokolo ugutumama imilimo yakwe.

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja bhugokolo bho gutumama milimo. Kabhalanga abhanhu bhenabho kub’iza bhakamu umuguitumama imilimo yabho bho nguzu, kugiki, bhadule gupandika jiliwa ja gujilisha chiza ikaya jabho.

Amos 9:9.

KISWAHILI: NGUVU KWENYE UNGO

Chanzo cha msemo huo chaangalia ungo. Ungo ni chombo cha kufanyia kazi kwa kupepetea chakula ambacho chatosha kujaa humo tu. Lakini chakula hicho ni kidogo, kwa sababu ungo hauwezi kubeba chakula kingi. Chombo hicho hakiwezi kuchukua chakula kingi kwa sababu ya udogo wake.

Kumbe basi, mtu huyo hufanya kazi na kupata chakula kinachotosha kujaa kwenye ungo tu, huitwa, ‘nguvu kwenye ungo.’ Huo ndio mwanzo wa msemo huo kutumiwa na watu.

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye ni mvivu au mzembe katika kufanya kazi kwa kutumia nguvu zake. Mtu huyo hufanya kazi nyepezi na kupata chakula kiasi kidogo sana, kama kile kiwezacho kujaa kwenye ungo tu.

Kwa sababu hiyo, watu humwita, ‘nguvu kwenye ungo,’ kutokana na yeye kulima shamba dogo, na kupata chakula kiasi kidogo. Hali hiyo husababishwa na uvivu wake wa kufanya kazi ngumu.

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuachana na tabia za uvivu katika kufanya kazi kwa nguvu.  Huwafundisha watu hao kuwa na bidii ya kufanya kazi kwa ajili ya kujipatia chakula kingi kiasi cha kutosha kuwalisha vizuri watu wao na familia zao.

Amos 9:9.

massai

ENGLISH: POWER OF THE SIEVE

The basis of that saying is the sieve, a device that is used to separate food substances by letting through the holes only the stuff that can pass through them. And because a sieve is small in size too, it cannot bear a lot of food.

The saying therefore relates to a person who works to get food that can only fill a sieve. Ideally, such a person is lazy since he/she concentrates only on simple tasks and in turn produces very little food, just like what can only fill in a sieve.

For that reason, people call such a fellow, ‘Power of the sieve’ because he/she cultivates a very small portion of the farm due to his/her laziness. He/she then ends up getting little food.

Such saying is used to discourage people from lazy habits in their duties and responsibilities. It instills in them the spirit of hard work to enable them secure enough food for them and for their families.

Amos 9: 9.

190. MUNHU UYO ADINA NG’HOLO

Research sponsored by: Don Sybertz, with special thanks to Rev Joe Healey (African Proverbs, Sayings and Stories)

Imbuki ya lusumo lunulo inolile munhu uyo agapelenaga wangu umung’holo yakwe. Umunhu ng’wunuyo ulu ukenyiwe nulu hadoo  agab’izaga ng’wangu ugupelana.  Adadulile ugwiyumilija, kunguno ing’holo yakwe idinshikanu. Hunagwene, abhanhu bhagang’witana umunhu ng’wunuyo giki, ‘munhu uyo adina ng’holo.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo adinabho uwiyumilija ubho wikala na bhiye bho mholele na bhuyegi. Umunhu ng’wunuyo agikalaga adakile umung’holo yakwe, kunguno ya kubhapelelanila abhiye abho bhankenyaga, nulu hadoo duhu.

Umunhu ng’wunuyo adib’aga wangu ulukenyiwa na bhiye, kunguno ya ng’holo yakwe yiniyo gub’iza idinabho ubhukomezu ubho gubhalekega abho bhankenyaga. Umunhu ng’wunuyo atogilwe gwikala bhung’wene aha ng’wakwe, kunguno adinayo ing’holo ya gwikala bho mholele na bhiye.

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gub’iza na wiyumilija, ubho gudula gwikala na bhanhu bho mholele na bhuyeji. Uwiyumilija bhunubho bhugubhab’egeja bhutogwa ubho gubhalekeja abhobhab’akenyaga, umumyoyo yabho. Umugwita chiniko, bhagudula gwikala na bhanhu bho mholele ya gudula gujibheja chiza ikaya jabho.

Ayubu 2:9-10.

KISWAHILI: MTU ASIYE NA ROHO

Chanzo cha methali hiyo chaangalia mtu ambaye hukasirika upesi moyoni mwake akikosewa. Mtu huyo ni mwepezi sana wa hukasirika akikosewa hata kidogo tu na wenzake. Huwa hawezi kuvumilia kwa sababu ya roho yake kukosa ukomavu, wa kuishi kwa kupatana vizuri na wenzake. Ndiyo maana watu humwita mtu hiyo,  kwamba ni ‘mtu asiye na roho.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu asiyekuwa na uvumilivu wa kumwezesha kuishi kwa furaha na amani na wenzake. Mtu huyo huwa amekasirika moyoni mwake kwa sababu ya kuwakasirikia wenzake waliomkosea, hata kama amekosewa kwa kiwango kidogo kiasi gani.

Mtu huyo akikosewa na wenzake, huwa hasahau upesi kwa sababu ya roho yake hiyo kukosa ukomavu wa kuwasamehe wenzake waliomkosea moyoni mwake. Mtu huyo hupenda kuishi peke yake nyumbani kwake, kwa sababu ya kukosa roho ya kuishi kwa amani na wenzake.

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuwawezesha kuishi na watu kwa furaha na amani. Uvumilivu huo huwajengea watu hao upendo mioyoni mwao wa kuwawezesha kuwasamehe wenzao waliowakosea. Kwa kufanya hivyo, wataweza kuishi na watu kwa amani iwezayo kuziendeleza vizuri familia zao.

Ayubu 2:9-10.

divorce-

 

ENGLISH: ONE WITHOUT A SOUL

The above proverb talks about people who get annoyed quickly whenever they are offended. They are intolerant and they get infuriated easily by their peers. A person who possesses such a character is usually referred to as “one without a soul.”

The proverb is comparable to a person who lacks enough patience to enable him/her live happily with other people. When such a person is upset by others, even if just a little bit, he normally gets filled with so much resentment against them.

When the person is offended by his/her colleagues, he/she does not quickly forget it because of his/her weak soul that lacks the spirit of forgiveness. A person of that nature prefers to live in solitude because he/she is deficient of the spirit of peace to live with other people.

Such proverb teaches people about the importance of having patience because it enables them to relate happily and peacefully with others. The spirit of patience builds in people’s hearts the ability to forgive their trespassers, which results in peaceful co-existence among them as well as in the improvement of their families.

Job 2: 9-10.

189: ISHANKOLA NG’WIYO NAG’HO SHILAGUKOLA

Research sponsored by: Don Sybertz, with special thanks to Rev Joe Healey (African Proverbs, Sayings and Stories)

Imbuki ya lusumo lunulo ilolile munhu uyo witilagwa yabhubhi. Umunhu uyo alimakoye ng’wunuyo adulile gub’iza ohakaya, nulu umuchalo jako. Uweyi opandikaya makoye ayo bhagamanile na ab’iye. Umub’iye munumo bhalihoi abhagunsunduhalia na abhagunsega.

Gashinaga ugunsega munhu uyo witilagwa yabhubhi, nulu uyo apandikaga makoye, ikolile na gwiseka b’eb’e ng’winikili, kunguno ahashigu ijahabhutongi, nang’ho udulile gupandika makoye ayo galagukola. Hunagwene bhagahayaga giki, ‘ishankola ng’wiyo nang’ho shilagukola.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agayegaga ulu ng’wiye witilagwa yabhubhi. Agansekaga umunhu ng’winuyo. Aliyo lulu, ulu witilwa weyi iyabhub’i yiniyo agukolwa. Gashinaga guligonghana igiki, ‘Ishankola ng’wiyo nang’ho shilagukola.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya guleka guyega ulu b’ichab’o bhitilagwa yabhub’i, kunguno nabho, bhagukolwa ulu b’itilwa iyabhubhi yiniyo. Hichine guhaya giki, ‘ishankola ng’wiyo nang’ho shilagukola.’ Gashinaga lulu, ulu ulu umona  ng’wiyo agwitilagwa, yabhubhi udizuyega, kunguno ulu witilwa nu bhebhe ugukolwa. Dudizubhaseka abhanhu abho bhalina makoye.

Ijinagongeja ulusumo lunulo lolanga bhanhu hugulya ya kub’ambilija chiza abhichab’o abho b’itilagwa yabhubhi, nulu abho bhapandikaga makoye, kunguno nabho bhagamikaka gutumo bhagaminyikilaga abhoi. Yigelelilwe bhab’ize kihamo nabho abhichab’o bhenabho umumakoye gabho, kunguno ‘Ishankola ng’wiyo nang’ho shilagukala.’

Zaburi 35:13.

Waroma 12:15-18.

Waebrania 13:3.

KISWAHILI: KILICHOMKASILISHA MWENZAKO NAWE KITAKUKASILISHA

Chanzo cha methali hiyo chaangalia mtu afanyiwaye maovu. Mtu huyo aliyeko kwenye matatizo aweza kuwa mwanafamilia au mkaazi wa kwenye kijiji chako. Yeye amepata matatizo  ambayo na wenzake wayafahamu. Kati ya hao wenzake, wapo wa kumhurumia, na wale watakaomcheka.

Kumbe kumcheka mtu aliyefanyiwa uovu au yule aliyepata matatizo hufanana na kujicheka wewe mwenyewe, kwa sababu katika siku za mbeleni, nawe waweza kupata matatizo yatakayokukasilisha. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Kilichomkasilisha mwenzako nawe kitakukalisilisha.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu mwenye tabia ya kuwacheka wenzake wafanyiwapo maovu. Huwacheka watu hao, lakini kama akifanyiwa yeye maovu hayo hukasilika. Kumbe, kuna ukweli kwamba, ‘Kilichomkasilisha mwenzako nawe kitakukasilisha.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuwacheka watu waliofanyiwa maovu, kwa sababu, wakifanyiwa wao maovu hayo, watakasilika. Ndiyo kusema hivi, ‘kilichomkasilisha mwenzako, nawe kitakukasilisha.’ Kumbe basi, usimcheke mwenzako aliyefanyiwa maovu, kwa sababu, ukifanyiwa wewe maovu hayo, utakasilika. Kwa hiyo, tusiwacheke watu walio na matatizo.

Zaidi ya hayo, methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwasaidia vizuri wenzao waliotendewa maovu, au wale waliopata matatizo, kwa sababu nao huumia kama waumiavyo wao. Yafaa tuwe pamoja nao, wenzetu hao, kwenye matatizo yao, kwa sababu, ‘kilichomkasilisha mwenzako, nawe kitakukasilisha.’

Zaburi 35:13.

Waroma 12:15-18.

Waebrania 13:3.

boy-

ENGLISH: WHAT MADE YOUR FELLOW ANGRY WILL ALSO MAKE YOU ANGRY

The basis of that proverb is about a victim of evil, either in the family or in the village. Because of the terrible experiences, such a person is ridiculed by his/her colleagues. However, among them, there are those who may sympathise with him/her.

The wise saying therefore postulates that laughing at someone who is in trouble is like laughing at oneself. That is why people say, “What made your fellow angry will also make you angry.”im-right-

The message in that epigram is likened to a person who prides in ridiculing those in distress. He/she laughs at them, oblivious of the fact that he/she might be faced with similar wrath in future. Thus, “What made your fellow angry will also make you angry.”

Such epigram is used to caution people against the habit of disparaging others who may have undergone difficult situations. They will feel angry; just the same way someone else will feel angered when despised by others. So, we should not despise those in problems.

In addition, the proverb imparts in people the spirit of helping those who may have suffered, or been treated badly. Essentially, we should be close to all of them as companions who share in their problems, because, “What made your fellow angry will also make you angry.”

Psalm 35:13.

Romans 12: 15-18.

Hebrews 13: 3.

188. NAGUKOYELAGA IGEMBE

Research sponsored by: Don Sybertz, with special thanks to Rev Joe Healey (African Proverbs, Sayings and Stories)

Imbuki ya kahayile kenako ilolile munhu uyo ugubhejaga igembe lya kulimila, bho gulikomela chiza aha npini golyo, kugiki lidule gudama. Iligembe linilo ulu lyudama chiza ligung’wambilija unimi o ngunda, nulu unimiji ongese, umugutumama nimo ntale mulikanza liguhi. Gashinaga iligembe ilikomezu lidulile gutumama nimo ntale mulikanza liguhi.

Aliyo iligembe ulu lyunega, ligakolokagaga na gufuma umunpini golyo. Hunagwene abhanhu bhagakomelaga amagembe gabho, kugiki gadame chiza ijinagugalimila umumigunda yabho. Umunhu uyo alilikomela iligembe linilo, ulu ubhujiwa giki ‘ulitaki?’ Agashoshaga giki, ‘nagukomelaga igembe.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agunangaga ng’wana okwe higulya ya gutumama milimo, kugiki amane uguitumama chiza. Ugunanga milimo chiniko ng’wana ng’wunuyo, ilenganilile na gulikomela iligembe lidame aha npini golyo, mpaga lyoye ugunega.

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kubhalanga gumana kutumama milimo chiza abhana bhabho, pye na bhose abho b’agikalaga aha kaya yabho, kugiki bhadule gubhiza bhatumami bhakamu wa milimo.

Yigelelilwe abhabhyaji, bhang’walimu, na bhatongeji bha bhanhu, bhabhalange abhanhu bhab’o mpaga bhadebhe uguitumama chiza imilimo ya bhuli lushigu, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi aga jikolo ja gudula gutumila kumakanza malihu umukaya jabho.

Luka 2:41-51.

KISWAHILI: NAKOMELEA JEMBE

Chanzo cha msemo huo chaangalia mtu atengenezaye jembe lake kwa kulikomelea kwenye mpini ili lishikane vizuri na mpini huo, kiasi cha kutosha kulilimia bila kulegea kwa muda mrefu.

Jembe hilo likishikana vizuri na mpini wake, litamsaidia mkulima wa shamba na mpaliliaji wa palizi, kufanya kazi kubwa kwa muda mfupi. Kumbe jembe lililokomelewa vizuri laweza kutumika shambani kwa kufanya kazi kubwa kwa muda mfupi.

Lakini jembe likilegea, hukongoloka na kutoka kwenye mpini wake. Ndiyo maana watu hukomelea mapembe kwa kuyatengeneza vizuri ili yashikane vizuri na mpini kiasi cha kutosha kuyalimia kwa muda mrefu kwenye mashamba mbalimbali, bila kulegea. Mtu atengenezaye jembe hilo akiulizwa kwamba ‘unafanya nini?’ Yeye hujibu ‘nakomelea jembe.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu afundishaye mtoto wake juu ya kufanya kazi kwa bidii ili afahamu vizuri. Lengo lake ni kumwezesha mtoto huyo, kuwa mfanyakazi mwenye bidii katika maisha yake, kwa ajili ya kujiletea maendeleo makubwa katika familia na maishani mwake.

Kumfundisha mtoto namna hiyo, hulingana na kukomelea jembe kwenye mpini wake kwa kulitengeneza vizuri kutosha kulifanyia kazi shambani ili lisilegee, bali liwe imara.

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwapa malezi ya kufanya kazi kwa bidii, watoto wao, na wote waishio kwenye familia zao, ili waweze kuwa wafanyakazi wenye bidii maishani mwao.

Yafaa wazazi, walimu, na viongozi wote wawalee watu wao vyema kwa kuwafundisha namna ya kuwa wafanyakazi hodari maishani mwao, ili waweze kujipatia mapato ya kutosha kuziendeleza familia zao.

Luka 2:41-51.

girl-with mother

ENGLISH: I’M FIXING THE HOE

The overhead saying focuses on the act of fastening a hoe in its handle to make it firm enough for effective cultivation, and to prevent it from becoming loose easily.

If the hoe is tightened well in its handle, the farmer is able to accomplish a great job in a relatively shorter time.back-pain

But if the hoe is loose in its grip, it turns round the handle and easily comes off. That is why people are always fixing their hoes to make them sturdy enough to cope with the long weeding periods in the fields. Asked what he/she is doing, the maker of the hoe would respond by saying, ‘I’m fixing the hoe.”

That saying is comparable to a person who teaches his/her child on how to work hard in life, with the aim of instilling in him/her the virtue of hard work for self and family development.

Teaching a child that way is akin to fixing a hoe in its handle to make it strong enough to do the fields without falling off.

The adage is used to encourage sound upbringing of children, making them appreciate and practice hard work in their lives and in their families.

It is important for parents, teachers and all leaders in general to teach people to embrace hard work. This would enable them earn enough income to sustain their families.

Luke 2: 41-51.