sayings

1073. NYANDA ALING’WISHIGWA.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile Nyanda uyo oling’wishigwa. Unyanda ng’wunuyo, wigushaga chiza na bhiye na hangi osomaga bho gubhigwa abhalangi bhakwe mpaga nose ukumuka umuchalo jakwe kunguno ya likujo lyakwe linilo. Hungwene abhanhu bhagang’witana giki, “Nyanda aling’wishigwa.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinilange lya wiza aha kaya yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhalelaga abhanhu bhakwe bho gubhiza ni kujo kubhanhu bhose bho nduhu ugubhakomanya, kunguno ya bhutengeke bhokwe bhunubho. Uweyi agabhabokelaga bhanhu bhingi aha kaya yakwe, abho agabhalangaga mihayo ikujo lya gwikala bho mholele na bhichabho, kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunbu ng’wunuyo, agikolaga nu nyanda uyo wikagalaga chiza na abhiye kunguno nuweyi agikalaga chiza na bhanhu bho gubhalanga kikalile kagubhakuja pye abhanhu, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “Nyanda aling’wishigwa.”

Akayayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo lya gwikala chiza na bhichabho bho gwiyambilija gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mithali 3:9-12.

1Thimotheo 1:8-10.

1Petro 3:8-9.

Mithali 23:1-2.

KISWAHILI: KIJANA MWENYE HESHIMA.

Chanzo cha msemo huo chaongelea juu ya kijana mwenye heshima. Kijana huyo, alikuwa akicheza vizuri na wenzake na msikuvu pia kwa walimu wake ambao walimtambua kwa usomaji wake mzuri na kwa sababu ya heshima aliyokuwa nayo. Hali hiyo iliwawezesha wanakijiji alimoishi kumtambua vizuri. Ndiyo maana watu walimuita kwamba ni “kijana mwenye heshima.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huilea familia yake katika maadili mema, maishani mwake. Mtu huyo, huwalea watu wake kwa kuwaeleza maneno ya hekima yanayowasadia kuwaheshimu watu wao vizuri, kwa sababu ya uaminifu wake huo, katika maisha yake. Yeye huwapokea watu wengi kwenye familia yake wanaokuja kusikiliza maneno ya hekima ya kuishi vizuri na watu, kwa sababu ya kuuishi ukweli, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na kijana aliyeishi vizuri na wenzake, kwa sababu naye huishi na watu vizuri kwa kuwafundisha maneno ya hekima ya kuishi vyema na wenzao, maishani mwao. Ndiyo maana watu walimuita yeye kuwa ni “kijana mwenye heshima.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na hekima ya kuishi vizuri na watu kwa kusaidiana katika kuyatekeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kuzilea vyema familia zao.

Mithali 3:9-12.

1Timotheo 1:8-10.

1Petro 3:8-9.

Mithali 23:1-2.

ENGLISH: UPRIGHT YOUNG MAN.

The basis of this saying speaks of a respectable young man. This young man was playing well with his nobles and was also a good friend to his teachers who recognized him for his good reading and because of the respect he had. This situation enabled the villagers where he lived to recognize him well. That is why people called him an “upright young man.”

This saying is matched to the person who raises his family in good values, in his life. This person, nurtures his people by telling them words of wisdom that help them respect their people well, because of his honesty, in his life. He receives many people in his family who come to listen to words of wisdom for living well with people, because of living the truth, in his life.

This person is similar to a young man who lived well with his colleagues, because he also lives well with people by teaching them words of wisdom which can assist them to live well with their colleagues, in their lives. That is why people called him an “upright young man.”

This saying teaches people about having wisdom of living well with people by helping each other in performing their duties well, so that they can raise their families well.

Proverbs 3:9-12.

1 Timothy 1:8-10.

1 Peter 3:8-9.

Proverbs 23:1-2.

african-2523649__480

people-2590813__480

masai-warrior-474731__480

1072. B’AGULEKA AB’IYO UGUJA NA NANI?

Akahayile kenako, kahoyelile bhulekwa bho ng’wa munhu nabhiye abho bhali mulugendo. Umulugendo lunulo, bhali bhanhu bhadatu abho bhagaliga hali kaya kugiki bhapandika jiliwa kunguno bhalibhatuubha noyi. Aliyo lulu, aho bhahaya ugubhuka, ung’wikachabho agilendeja mpaga bhuneka abhiye kunguno ya wiyibhu bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu abha ha kaya yiniyo, bhagamuja uyo olekagwa ng’wunuyo giki, “bhaguleka abhiyo uguja na nani?”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agilendejaga ugutumama imilimo yakwe bho gudilila mihayo yingi, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agajaga ugujutumama imilimo ogilendeja mu mihayo yingi iyo idina solobho, kunguno ya wiyiibhu bhokwe bhunubho. Uweyi agadumama uguyimala chiza imilimo yakwe, kunguno ya wilendeja bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agilendeja mpaga ulekwa na bhiye umulugendo lunulo, kunguno nu weyi agajaga kumilimo yakwe ogilendeja mumihayo yingi iyo idinasolobho umuwikaji bhokwe bhonubho. Hunagwene abhanhu bhagamujaga giki, “bhaguleka abhiyo uguja na nani?”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gudilila milimo yabho chiza bho guitumama mpaga bhayimala, kugiki bhadule gupandika sabho ja gubhambilija chiza, umuwikaji bhobho, bhunubho.

Mwanzo 18:10-15.

2Wakorintho 3:10-12.

Luka 1: 26-38.

KISWAHILI: WAMEKUACHA WENZAKO UTAENDA NA NANI?

Msemo huo, huongelea juu ya kuachwa kwa mtu mmoja na wenzake waliokuwa katika safari. Safari hiyo, ilikuwa ya watu watatu ambao walipita kwenye familia moja kwa ajili ya kupata chakula kwa sababu walikuwa na njaa sana.

Lakini basi, walipotaka kuondoka mmoja wao alijisahau mpaka wenzake wakamuacha kwa sababu ya kujisahau kwake huko. Ndiyo maana watu wa kwenye familia hiyo walimuuliza kwamba, “wamekuacha wenzako utaenda na nani?”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujisahau kuzitekeleza kazi zake kwa kujali kazi zingine mpaka anachelewa kuzimaliza kazi hizo, katika maisha yake. Mtu huyo, huenda kufanya kazi na kuchelewa kuzitekeleza kwa kuanza kuongelea mambo mengine, kwa sababu ya kujisahau kwake huko. Yeye hushindwa kuzimaliza kazi zake vizuri kwa sababu ya kujali mambo mengi Zaidi kuliko kazi zake hizo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyejisahau mpaka akaachwa na wenzake katika safari hiyo, kwa sababu naye hupoteza muda wa kufanya kazi kwa kujali mambo mengine, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuuliza kwamba, “wamekuacha wenzako utaenda na nani?”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujali kazi zao kwa kuzitekeleza vizuri, badala ya kufuata mambo mengine katika maisha yao, ili waweze kupata mafanikio mengi zaidi, maishani mwao.

Mwanzo 18:10-15.

2Wakorintho 3:10-12.

Luka 1: 26-38.

man-6900166__480

men-7030144__480

people-7271043__480

ENGLISH: YOUR COMPANIONS HAVE LEFT YOU, WHO WILL GO WITH YOU?

This saying talks about an abandonment of one person who left by his companions who were on a journey. The trip was for three people who went to a family to get food because they were very hungry.

But then, when they wanted to leave, one of them forgot his trip by doing other things until his colleagues left him because of his doing of other things instead of traveling. That is why the people of that family asked him that, “your companions have left you, who will go with you?”

This saying is compared to the person who forgets to do his work by caring about other things until he is late to finish his required work in his life. Such person goes to work late by starting to talk about other things, because of his self-forgetfulness. He fails to complete his tasks well because of caring about other things instead of doing his tasks in his life.

This person resembles the one who forgot himself by doing other things until he was left by his companions on the journey, because he also loses time of work by caring about other things in his life. That is why people ask him that, “your companions have left you, who will go with you?”

This saying teaches people about taking care of their works by doing them well, instead of following other things in their lives, so that they can get more success in their lives.

Genesis 18:10-15.

2 Corinthians 3:10-12.

Luke 1: 26-38.

1071. UKAB’ULA UNG’WENE JILELA MHINA.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile Mbula. Imbula yiniyo igatulaga yenha bhuyeji ukubhanhu kunguno igazwishaja mbeyu jabho ijo bhajilima na gujibisha chiza ijiliwa jabho jinijo. Iyoyi igenhaga bhunelizu bho jizunva ja mbika nyingi. Hunagwene abhanhu bhagahayaga giki, “ukab’ula ung’wene jilela mhina.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agambilijaga bhanhu abho bhali na makoye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhadelekaga chiza abhanhu abho bhaganchalilaga makoye gabho, kunguno ya bhutogwa bhokwe ukubhanhu bhakwe bhenabho. Uweyi agabhenhelaga bhuyegi bhutale bhanhu bhingi abho agabhambilijaga ugugamala chiza amakoye gabho, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni mbula iyo igenhaga minzi gagujilanghana chiza ijisunva, kunguno nuweyi agabhambilija chiza abhanhu abho bhali na makoye umukikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ukab’ula ung’wene jilela mhina.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza higiki bho gulitumila chiza ilikanza ilya mbula ijina gulima migunda mitale, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Mathayo 25:1-13.

2Wakorintho 8:15.

Yoshua Bin Sira 10: 23-31.

KISWAHILI: KABULA YEYE NI MLEA YATIMA.

Chanzo cha msemo huo chaangalia mvua. Mvua hiyo huleta furaha kwa viumbe kwa sababu huotesha mbegu za wakuliwa na kuotesha nyazi pia na kuvikuza viumbe. Yenyewe huleta hali ya kijani katika uso wa Dunia. Ndiyo maana watu husema kwamba, “Kabula yeye ni mlea yatima.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwasaidia watu wenye matatizo katika maisha yake. Mtu huyo, huwasikiliza kwa makini na vizuri watu wampelekeao matatizo yao, kwa sababu ya upendo wake huo kwa watu wake. Yeye huwaletea furaha watu wengi anaowasaidia katika kuyatatua vizuri matatizo yao, kwa sababu ya uwezo wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na ile Mvua iletayo maji ya kuvitunzia viumbe, kwa sababu naye huwasaidia watu katika kuyatatua matatizo yao vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “Kabula yeye ni mlea yatima.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa tayari kukitumia vizuri kipindi cha Mvua, kwa kulima mazao mengi, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Mathayo 25:1-13.

2Wakorintho 8:15.

Yoshua Bin Sira 10: 23-31.

ENGLISH: KABULA IS THE CARETAKER OF THE ORPHANS.

The foundation of this saying looks at the rain. This rain brings happiness to creatures because it grows edible seeds and also grows grass for them. It brings greenness to the face of the Earth. That is why people say that, “Kabula is the caretaker of the orphans.”

This saying is equated to a man who helps people in solving their problems in his life. This person listens carefully to people who bring their problems to him, because of his love for his people. He brings happiness to many people whom he helps in solving their problems, because of using well his ability in his life.

This person is similar to the Rain that brings water for taking care of creatures, because he also helps people in solving their problems in his life. That is why people tell him that, “Kabula is the caretaker of the orphans.”

This saying instills in people a clue on being ready to make good use of the rainy season, by cultivating many crops, so that they can achieve many successes in their lives.

Matthew 25:1-13.

2 Corinthians 8:15.

Joshua Bin Sira 10: 23-31.

rain-791893__480

yellow-bells-4382715__480

green-2432374__480

1069. MUNHU NTALE NA WITABYA BHOKWE.

Akahayile kenako, kalolile witabya bho ng’wa munhu uyo alintale. Uwitabya bhunubho, bhuli bhubhucha bho miligo ilibhili ukumabhega gakwe umunhu ng’wunuyo. Imiligo yiniyo, igadimilagwa na linti ilo agalizwalaga ukumabheja gakwe bho gukingwa hagati uweyi ni miligo yakwe yiniyo. Iyoyi igabhuchuyagwa na munhu uyo alintale kunguno ili midito. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “munhu ntale na witabya bhokwe.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga utumama milimo mingi umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga atingatilwe na milimo bhuli makanza mpaga agagayiyagwa ni likanza ilyagwifula, kunguno ya bhukamu bhokwe ubho gutumama milimo yakwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe kunguno ya wigulambija bhokwe bhunubho ubho gutumama milimo yakwe, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo oliwitabya miligo ukumabheja gakwe, kunguno nuweyi agikalaga utumama milimo mingi bhuli makanza, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho bho bhukamu bhutale, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Matendo ya Mitume 10:42 – 43.

Mteando ya Mitume 17:25,

1Petro 2:4.

1Thimoteo 3:1-5.

Waefesso 5: 21-23.

KIWAHILI: MTU MKUBWA ANA MIZEGA MIZEGA YAKE.

Msemo huo, huangalia ubebaji wa mizega mizega wa mtu mkubwa. Mizega mizega hiyo, ni ubebaji wa mizigo miwili mabegani mwake mtu huyo. Mizigo hiyo, hushikiriwa na mti ambao huwekwa mabegani mwa mtu hiyo anapoibeba mizigo yake hiyo. Yenyewe hubebwa na mtu mkubwa kwa sababu ya uzito wake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mtu mkubwa ana mizega mizega yake.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi nyingi, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa ametingwa na kazi nyingi kila wakati mpaga hufikia hatua ya kukosa hata muda wa kupumzika, kwa sababu ya juhudi yake hiyo kubwa ya kufanya kazi. Yeye hupata mafanikio mengi kwenye familia yake kwa sababu ya kujibidisha kwake kufanya kazi hizo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa amebeba mizega mizeka mabegani mwake, kwa sababu naye hufanya kazi nyingi kila wakati maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mtu mkubwa ana mizega mizega yake.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao vizuri kwa kuongeza bidii ya utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi zaidi, maishani mwao.

Matendo ya Mitume 10:42 – 43.

Mteando ya Mitume 17:25,

1Petro 2:4.

1Thimoteo 3:1-5.

Waefesso 5: 21-23.

workers-754583__480

IN ENGLISH: AN ADULT HAS LUGGAGE ON HIS/HER SHOULDERS.

This saying looks at the carrying of two luggage on shoulders of the mature man. The two luggage is the carrying of two loads on the person’s shoulders. Those loads are held by a tree which is placed on the person’s shoulders when he carries his loads. They are carried by a mature person because of their weight. That is why people say that, “an adult has luggage on his/her shoulders.”

This saying is equaled to the person who does a lot of works, in his life. This person is always overwhelmed with a lot of works to the point of missing even have time to rest, because of his great effort to work. He gets a lot of success in his family because of his hard working mentality in his life.

This person resembles the one who was carrying the two luggage on his shoulders, because he also does a lot of works every time in his life. That is why people tell him that, “an adult has luggage on his/her shoulders.”

This saying teaches people about forcing themselves to do their jobs well by increasing the effort in fulfilling their responsibilities, so that they can get more success in their lives.

Acts 10:42-43.

Acts 17:25,

1 Peter 2:4.

1067. MUNHU NDUMA ALIYO IKAYA ADINAYO.

Akahayile kenako, kahoyelile munhu ntale uyo adina kaya. Alihoyi munhu umuchalo ja Ng’watuju uyo otumamaga milimo yakwe bhuli makanza kunguno ya bhukamu bho gutumama milimo yakwe yiniyo. Uweyi oliadatolile kunguno ya kutumama milimo yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “Munhu nduma aliyo ikaya adinayo.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo wiyangula guntumamila Mulungu, bho nduhu ugutola umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agifunyaga kuleka wikaji bho witoji bho gulitumila ilikanza lyakwe chiza ijinaguntumamila Sebha, kunguno ya guzunya gokwe gutale ukuli Mulungu, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agabhambilijaga bhanhu bhingi ugulitumila ilikanza lyabho bho gwikala na Mulungu na gunzunilija bhuli ng’wene uguwikalana chiza uwitangwa bhokwe, kunguno ya bhutengeke bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agaleka nzila ya witoji kugiki atumame milimo yakwe chiza, kunguno nuweyi agantumamilaga Sebha bho guleka nzila ya witoji chiniko umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “munhu nduma aliyo adina kaya.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhudebha chiza uwitanwa bhobho na guwikalana chiza, kugiki bhadule gushiga Ng’wigulu, umuwikaji bhobho.

Zaburi 55:22-23.

Mathayo 19:1-12.

KISWAHILI: MTU MKUBWA LAKINI HANA MJI.

Msemo huo, huongelea mtu mkubwa ambaye hana mji. Alikuwepo mtu kwenye kijiji cha Ng’watuju aliyekuwa akifanya kazi zake kila wakati kwa sababu ya bidii yake kuyatekeleza majukumu hayo. Yeye hakuoa kwa sababu ya kazi zake hizo maishani mwake. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “mtu mkubwa lakini hana mji.”

 Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule aliyeamua kumtumikia Mungu kwa kuishi maisha bila ndoa, katika maisha yake. Mtu huyo, hujitolea kwa Mungu kwa kuishi maisha ya kumtumikia Yeye peke yake bila ndoa kwa sababu ya imani yake hiyo kubwa kwa Mungu, maishani mwake. Yeye huwasaidia watu wengi katika kumtumikia Mungu vizuri kwa kunruhusu kila mmoja kufuata wito wake, kwa sababu ya uaminifu wake huo, maishani kwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeacha maisha ya ndoa ili apate nafasi ya kufanya kazi zake vizuri, kwa sababu naye humtumikia Mungu kwa kuacha maisha hayo ya ndoa, katika maisha yake. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “mtu mkubwa lakini hana mji.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuuelewa wito wao na kuuishi vizuri, ili waweze kufika mbinguni, baada ya maisha haya ya hapa duniani.

Zaburi 55:22-23.

Mathayo 19:1-12.

ENGLISH: A BIG MAN BUT HAS NO FAMILY.

This saying speaks of a great man who has no family. There was a man in the village of Ng’watuju who was always doing his daily works because of his diligence in carrying out those duties. He did not marry because of his works in his life. That is why people told him that, “a big man but has no family.”

 This saying is related to man who decided to serve God by living a life without marriage, in his life. This man dedicates himself to God by living a life of serving Him alone without marriage because of his great faith in God, in his life. He helps many people in serving God well by allowing each one to follow his/her calling, because of his faithfulness in life.

This person resembles the one who left the married life so that he could have a chance to do his works well, because he also serves God by leaving that married life, in his life. That is why people told him that, “a big man but has no family.”

This saying teaches people about understanding their calling and living it well, so that they can reach heaven after passing away.

Psalm 55:22-23.

Matthew 19:1-12.

king1

portrait-734904__480

african-man-6777915__480