sayings

1085. NG’WENUYU NSANGA YASHILA.

Akahayile kenako, kingilile kubhukeleja bho ng’wa munhu guja gujuhoyela mihayo. Olihoyi munhu uyo oliwitanwa gujuhoya na bhanhu higulya ya mihayo ya kigasije kasoga. Umunhu ng’wunuyo agakeleja uguja aha kaya yiniyo mpaga nose imihayo yiniyo yushila na ushiga nang’hwe lulu. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “ng’wenuyu nsanga yashila.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adashingimukaga wangu uliuwilwa mhayo umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agakeleja gwa nulu agawilwa gwanguha nduhu, agusanga abhiye bhamalaga nulu gutumama nimo gosese kunguno ya bhugokolo na bhujidalonja bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga akelile bhuli ng’waka aha kaya yakwe kunguno ya bhukeleja bho gujutumama milimo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agakeleja kuja kumahoya mpaga nose usanga abhiye bhamalaga uguhoya, kunguno nuweyi agakelejaga bhuli kwene uko ajile mpaga nose oduma ugupandika ijiliwa umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ng’wenuyo nsanga yashila.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwanguha ugujutumama imilimo yabho bho gwiyambilija chiza, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Mathayo 25:1-13.

Mathayo 19:30.

Mathayo 20:16.

KISWAHILI: HUYU HUKUTA YAMEISHA.

Msemo huo, ulianzia kwenye uchelewaji wa mtu aliyealikwa kufika kwenye maongezi. Alikuwepo mtu mmoja ambaye alialikwa kwenda kuongea na watu juu ya mwenendo wa kuishi vizuri. Mtu huyo, alichelewa kufika kwenye familia hiyo mpaga mwishowe yale maongezi yakaisha ndipo naye akafika. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “huyu hukuta yameisha.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa hashituki upesi akiambiwa neno, katika masha yake. Mtu huyo, huchelewa kila siku akiambiwa awahi sehemu fulani, atakuta wenzake wamemaliza hata kazi yoyote kwa sababu ya uvivu na kutojali kwake huko, katika maisha yake. Yeye hukosa chakula kila mwaka kwenye familia yake kwa sababu ya uchelewaji wake huo wa kufanya kazi zake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyechelewa kwenda kwenye maongezi mpaga akakuta wenzake wamemaliza, kwa sababu naye pia huchelewa kufika kule aendako mwishowe hushindwa hata kupata chakula katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “huyu hukuta yameisha.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwahi kwenda kuyatekeleza majukumu yao kwa kusaidiana na wenzao vizuri, ili waweze kupata maendeleo mengi, maishani mwao.

Mathayo 25:1-13.

Mathayo 19:30.

Mathayo 20:16.

youth-3395132__480

 ENGLISH: THIS IS THE ONE WHO ARRIVES WHEN EVERYTHING IS OVER.

This saying started from the delay of the person who was invited to give a talk on moral life. There was one person who was invited to go and talk to people about the conduct of living well. Such person was late in arriving at the family until the conversation ended then he also arrived. That is why people told him that, “this is the one who arrives when everything is over.”

This saying is compared to the person who does not easily respond when he is told a word, in his life. Such person becomes late every day when he is told to go to a certain place to the point of finding that his colleagues have finished any work because of his laziness and indifference in his life. He misses food every year in his family because of his delay in doing his work, in his life.

This person resembles the one who is late for a talk when he finds that his colleagues have finished, because he is also late to get to where he is going and in the end he fails to even get food in his life. That is why people tell him that, “this is the one who arrives when everything is over.”

This saying imparts in people an idea on going earlier to carry out their duties by helping each other well, so that they can get a lot of progress in their lives.

Matthew 25:1-13.

Matthew 19:30.

Matthew 20:16.

1084. DANGATA LIGULILA ULU WIPUJA.

Imbuki ya kahayile kenako, ihoyelile higulya ya lintego ilo ligapujaga ndimu. Ilintego linilo ligategaga ginhu ijo bhalijichola abhategi bhalyo ilo ligayoganyaga bho gulila ulu lyapuja ginhu. Ubhuyoganya bholyo bhunubho, bhugabhigwilijaga abhategi igiki bhapujaga. Hunagwene bhagayombaga giki, “dangata ligulila ulu wipuja.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agapandikaga mamihayo ga gujinjimaja, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo agakumukaga noyi umuchalo jakwe kunguno ya mamihayo genayo ayo agapandikaga, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhizaga na miganiko mingi noyi ayo gagansunduhajaga kunguno ya gwigwa bhalinhoyela bhuli kwene uko alibhitila, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni lidangata ilo ligalilaga ulu lyapujaga ginhu, kunguno nuweyi agakumukaga noyi ulu opandikaga mamihayo genayo agagujinjimaja. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “dangata ligulila ulu wipuja.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwilalanhana na mitego yoseyose iyagubhenheleja gwinga umukikalile akawiza, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Zaburi 31:4-5.

Luka 4:1-9.

Mathayo 22:15-22.

KISWAHILI: MTEGO HULIA UNAPONASA.

Chanzo cha msemo huo huongelea juu ya mtego wa kunasia wanyama fulani. Mtego huo, ni kifaa kilichoandalia kwa lengo na kumnasa mnyama atakayeugusa ambayo hulia unaponasa kitu. Mlio huo huwajulisha wategaji kwamba wamenasa kitu kiasi cha kutosha kuwahi pale uliko mtego huo. Ndiyo maana wao husema kwamba, “mtego hulia unaponasa.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hukumbwa na maneno ya kushangaza, maishani mwake. Mtu huyo, hujulikana sana kwa watu waishio kwenye kijiji chake, kwa sababu ya kukumbwa na maneno hayo ya kushangaza, katika maisha yake. Yeye huishi kwa masikitiko katika familia yake kwa sababu ya kuwasikia watu wengi wakimuongelea yeye, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na ule mtego ambao hulia unaponasa kitu, kwa sababu naye hujulikana kwa watu wengi waishio kwenye kijiji chake, anapokumbwa na maneno hayo ya kushangaza. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mtego hulia unaponasa.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa makini kwa kujilinda ili wasikumbwe na maneno ya kuwahalibia sifa katika utumishi wao, maishani mwao.

Zaburi 31:4-5.

Luka 4:1-9.

Mathayo 22:15-22.

hare-6063733__480

1082. JILEKAGI JIME BHUKANGA DUHU.

Imbuki ya kahayile kenako, ihoyelile higulya ya bhuleki bho gung’wisha minzi mitugo. Jalihoyi ng’ombe ijo jigalya magula ga numbu ayo gagajenhelejaga gucha ulu jung’wa minzi. Abhanikili bha mitugo jinijo bhagajilemeja uguja ng’wa aminzi, gitumo bhagitilaga ulu jalyaga mandege momu, kunguno ya gujilanhana jigale mhola. Hunagwene bhagiwilaga giki, “jilekagi jime bhukanza duhu.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adebhile ugujilabhila chiza ijikolo jakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agajilanhanaga ijikolo jakwe jinijo bhogujituula hasoga kunguno alina bhukalalwa bhutale ukusabho jakwe jinijo, umukikalile kakwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi aha kaya yakwe kunguno ya gujilanhana chiza bhuli jene ijo agajipandikaga umubhutumami bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhagajilanhana ing’ombe jabho jukija ugucha, kunguno nuweyi agajilanhanaga isabho jakwe bho gujituula chiza, umukikakile kakwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu bhakwe giki, “jilekagi jime bhukanga duhu.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kudebha kujilanghana chiza isabho jabho bho gujidilila chiza ijo bhalijipandika umubhutumami bhobho, kugiki jidule gubhambilija ku kulikanza lilihu umuwikaji bhobho.

Mathayo 13:27-30.

Mathayo 8: 14 -15.

KISWAHILI: ZIACHENI ZIKAE BILA KUNYWA MAJI TU.

Chanzo cha msemo huo, chaongelea juu ya uachaji wa kunywesha mifugo maji. Kulikuwa na ng’ombe waliokula majani ya viazi ambayo huwapelekea kufa kama wakinywa maji. Wenye ng’ombe hao waliwazuia kunywa maji hayo, kama wafanyavyo kwa wale waliokula mahindi makavu, kwa sababu ya kuwalinda ili wasife. Ndiyo maana wao waliambiana kwamba, “ziacheni zikae bila kunywa maji tu.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule afahamuye kuvitunza vizuri vitu vyake, katika maisha yake. Mtu huyo, huviweka vitu vyake hivyo katika matunzo ya hali ya juu kwa sababu ya moyo wake huo wa kuzijali vizuri mali zake hizo, katika maisha yake. Yeye hupata mali nyingi sana kwenye familia yake kwa sababu ya utunzaji wake wa kila mali anayoipata, katika utekelezaji wa majukumu yake.

Mtu huyo, hufanana na wamiliki wa ng’ombe waliowatunza mpaka wakabaki salama, kwa sababu naye huzitunza vizuri mali anazozipata katika kazi zake, maishani mwake. Ndiyo maana huwaambia watu wake kwamba, “ziacheni zikae bila kunywa maji tu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuelewa kuzitunza vizuri mali wanazozipata katika utekelezaji wa majukumu yao, ili ziweze kuwasaidia kwa kipindi kirefu, maishani mwao.

Mathayo 13:27-30.

Mathayo 8: 14 -15.

cow2

ENGLISH: YOU LET THEM STAY WITHOUT DRINKING WATER.

This saying is about preventing livestock from drinking water. There were cows that ate potato leaves which could lead to death if they could drink water. The owners of them prevented them from drinking the water, as they do for those who ate dry corn, because of protecting them from dying. That is why they said to each other, “you let them stay without drinking water.”

This saying is compared to the person who knows how to take good care of his things, in his life. This person keeps his things in high quality care because of his inspired heart enough to take good care of his possessions, in his life. He gets a lot of wealth in his family because of his good caring of every property he gets, in fulfilling his duties.

This person is similar to the owners of cows who took care of them until they remained safe, because he also takes care of his things in life. That is why he tells people that, “you let them stay without drinking water.”

This saying instills in people a clue on understanding ways of taking good care of the assets which they get in fulfilling their duties, so that they can help them for a long time, in their lives.

Matthew 13:27-30.

Matthew 8: 14 -15.

1080. UGWIGUMHA IDI GUGWA ALIYO ILI GUJA BHUTONGI.

Ulusumo lunulo, lulolile wigumhi bho ng’wa munhu nhebhe. Uwigumhi bhunubho bhuli wipami bho gunlelengetwa umunhu ng’wunuyo mpaga wendugwa aliyo ugadama chiza.

Umunhu uyo wigumhaga ng’wunuyo, aduhayiwa igiki agwaga hasi kunguno uweyi wigumhaga duhu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ugwihumha idi gugwa aliyo iliguja bhutongi.”

 Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo obhubhaga umuchalo jakwe ulomba bhulekejiwa, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhudebhaga ubhuhubhi bhokwe na kulomba bhulekejiwa bho gufumila kubhiye abho obhahubhilaga, umukikalile kakwe kenako.  Uweyi agagayiyagwa ubhuyeji kunguno ya guwiganika ubhuhubhi bhokwe bhunubho, umuchalo jakwe jinijo.

Ubhulombi bho gulekejiwa gokwe gunuyo gugang’wenhelaga lubhango ulu bhabhubokela chiza abhiye, kunguno agabhizaga na mholele, umumoyo gokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agigumha ulelengeta duhu bho nduhu ugugwa ihasi, kunguno nuweyi agahubhaga olomba bhulekejiwa na guyega kihamo nabhiye uluolekejiwa chiniko, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ugwihumha idi gugwa aliyo iliguja bhutongi.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bho gugamala wangu amakoye ayo bhali nago, kugiki bhadule guja bhutongi bho gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Luka 15:18.

Zaburi 15: 1.

Marko 10 :49.

Luka 18:13.

KISWAHILI: KUJIKWAA SI KUANGUKA BALI NI KWENDA MBELE.

Methali hiyo, huangalia kujikwaa kwa mtu fulani. Kujikwa huko, ni kujigonga miguu yake kwenye kitu fulani ambacho humuyumbisha mtu huyo kiasi cha kunusulika kuanguka. Mtu huyo hataambiwa kwamba ameanguka bali amejikaa tu. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kujikwaa si kuanguka bali ni kwenda mbele.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kosa fulani katika jamii na kuomba msamaha, katika maisha yake. Mtu huyo, hulitambua upesi kosa lake na kuomba msamaha huo kwa wale aliowakosea, katika maisha yake. Yeye hukosa furaha kwa sababu ya kufikilia juu ya namna alivyowaumiza wengine kwa kosa lake hilo, maishani mwake.

Hatua yake ya kuomba msamaha humletea furaha kubwa unapopokelewa msamaha wake huo na wale aliowakosea, katika utekelejazi wa majukumu yake hayo.

Mtu huyo hufanana na yule aliyejikwaa akayumba bila kuanguka chini, kwa sababu naye hutenda kosa katika jamii na kulitumbua haraka kiasi cha kutosha kuomba msamaha, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kujikwaa si kuanguka bali ni kwenda mbele.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kutosha kuyatatua kwa haraka matatizo yanayowakumba katika utekelezaji wa majukumu yao, maishani mwao, ili waweze kuzilea vizuri familia zao.

Luka 15:18.

Zaburi 15: 1.

Marko 10 :49.

Luka 18:13.

           

ENGLISH: STUMBLING IS NOT FALLING BUT GOING FORWARD.

The above proverb looks at someone’s stumbling. To stumble implies hitting one’s feet on something that shakes him/her enough to avoid falling. Such person will not be told that he/she has fallen but has just stumbled. That is why people say that, “stumbling is not falling but moving forward.”

This saying is compared to the person who commits some mistakes in society and asks for forgiveness, in his life. Such person quickly realizes his mistake and apologizes to those whom he wronged in his life. He becomes unhappy because of realizing how he has hurt others by his mistake, in his life.

His act of asking for forgiveness brings him great joy when his forgiveness is acknowledged by those whom he wronged, in the enactment of his duties.

This person is similar to the one who stumbled and staggered without falling down, because he also commits a mistake in society and realizes it quickly enough to ask for forgiveness, in his life. That is why people tell him that, “stumbling is not falling but moving forward.”

This saying imparts in people an idea of being patient enough to quickly solve the problems which they encounter in the implementation of their responsibilities, in their lives, so that they can nicely raise their families.

Luke 15:18.

Psalm 15:1.

Mark 10:49.

Luke 18:13.

           

black-2934630__480

 

afrikanerin-381939__480

 

people-3137083__480

1079. ISUMBI LYA NGEGE.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile Isumbi lya ngege. Ilisumbi linilo ligigasijiyagwa na munhu umo duhu uyo alimwinikili olyo, abhanhu abhangi bhadazunilijiwe uguligasija kunguno ya bhudonho bhokwe ng’winikili olyo. Hunagwene abhanhu bhagalitanaga giki, “lisumbi lya ngege.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajilanhanaga chiza ijikolo jakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alinabhudonho bho gujidilila na gujitumamila chiza ijikolo jakwe, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umubhutumami bho milimo yakwe yiniyo. Uweyi agajikalanaga ijikolo jakwe bho makanza malihu kunguno ya bhudiliji bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni lisumbi ilo ligigasijiyagwa na ng’wilikili olyo duhu, kunguno nuweyi agajilanhanaga chiza ijikolo jakwe, umukikalile kakwe. Uweyi agabhalangaga abhanhu bhakwe inzila ja gujidilila chiza ijikolo jabho, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “isumbi lya Ngege.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujidilila chiza ijikolo jabho umubhutumami bho milimo yabho yiniyo, kugiki bhadule gujitumamila ijikolo jinijo kulikanza lilihu, umuwikaji bhobho.

Yoshua Bin Sira 18:27 – 28.

Zaburi 119: 9-11.

KISWAHILI: KITI CHA MTUNZAJI.

Chanzo cha Msemo huo, huangalia kiti cha mtunzaji. Kitu hicho, hukaliwa na mtu mmoja tu ambaye ndiye mmiliki wake, watu wengine hawaruhusiwi kukitumia kwa sababu ya utunzaji wake. Ndiyo maana watu humuita jila la “kiti cha mtunzaji.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvitunza vizuri vitu vyake kwa kuvijali na vitumia kwa uangalifu zaidi, kwa sababu ya umakini wake huo. Yeye hubaki na vitu vyake akivitumia kwa muda mrefu, kwa sababu ya utunzaji wake huo mzuri, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na kile kiti kilichokaliwa na mmiliki wake tu, kwa sababu naye huvitumia kwa kuvijali vizuri vitu vyake. Ndiyo maana watu humuita jila la “kiti cha mtunzaji.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuvitumia vizuri vitu vyao hivyo, ili waweze kukaa navyo vikiwasaidia kwa muda mrefu, katika familia zao.

Yoshua Bin Sira 18:27 – 28.

Zaburi 119: 9-11.

massai1

ENGLISH: THE CARETAKER’S CHAIR.

This saying looks at ways which an owner of a given chair takes care of it. This chair is occupied by only one person who is the owner. Other people are not allowed to use it because of its preservation. That is why people call it “the caretaker’s chair.”

This saying is compared to the person who takes good care of his things in his life. This person does so by protecting and using them more carefully, because of his good attention. He stays with his things by using them for a long time, because of his good care, in his life.

This person is like a chair that was occupied only by its owner, because he also uses thing by taking good care of him. That is why people call them “the caretaker’s chair.”

This saying imparts in people an idea of being careful in using their things properly, so that they can stay with them and help them for a long time, in their families.

Joshua Bin Sira 18:27 – 28.

Psalm 119: 9-11.