sayings

1095. DASANGA ILICHENE NAKALE.

Imbuki ya kahayile kenako, ihoyelile bhulanhani bho kajile kabhanhu abho bhikalaga muchalo jilebhe. Olihoyi munhu uyo akasamila muchalo ja Bukundi ubhasanga abhanhu bha kwene bhagatumamaga milimo yabho bho gwiyiinha ludima bhuli ng’wene.

Umunhu ng’wunuyo agilunga nabho umubhutumami bhobho bhunubho, kunguno agilanga chiza mpaga ukadebha akikalile kabho ako bhakandya kale kenako. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayomba giki, “dasanga ilichene nakale.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagajikalanaga chiza inhungwa ijawiza ijo bhalekelwa na bhabyaji bhabho, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagatumamaga milimo yabho bho bhukamu bhutale noyi na ng’wigwano go wiza umubhutumami bhobho bhunubho, kunguno ya gulikalana chiza ililange ilyawiza ilo bhalangwa na bhatale bhabho. Abhoyi bhagikalaga na jikolo nyinghi aha kaya jabho kunguno ya ng’wigwano gobho ugo gwiyambilija chiza chiniko uguitumama ilimo yabho yiniyo, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhagabhulanhana ubhutumami ubho gwiinha ndima bhuli ng’wene ubho bhabhusanja gufumila kale, kunguno nabhoyi bhagajikalanaga chiza inhungwa ijawiza ijo bhalangwa na bhabyaji bhabho, umukikalile kabho kenako. Hunagwene abhoyi bhagayombaga giki, “dasanga ilichene nakale.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kujidimila inhungwa ijawiza bho gwiyambilija chiza ugutumama imilimo yabho yiniyo, kugiki bhadule kupandika matwajo minghi umuwikaji bhobho bhunubho.

Mathayo 5:17-18.

Yohana 1:1-8.

Mithali 8: 23-24.

KISWAHILI: TULIKUTA IKO VILE TOKA ZAMANI.

Chanzo cha msemo huo, huongelea juu ya utunzaji wa mwenendo wa maisha ya watu katika kijiji fulani. Alikuwepo mtu mmoja ambaye alihamia kwenye kijiji cha Bukundi akawakuta watu wa huko wakifanya kazi kwa kupeana zamu kwa kila mmoja.

Mtu huyo, aliungana nao katika utendaji huo wa kazi kwa sababu alijifunza vizuri mpaga akauelewa mwenendo huo ya maisha ambayo ulianza zamani. Ndiyo maana watu hao walisema kwamba, “tulikuta iko vile toka zamani.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao huitunza tabia njema waliyoachiwa na wazazi wao, katika maisha yao. Watu hao, huyatekeleza majukumu yao kwa bidii kubwa sana na kwa uelewano mzuri katika kazi zao hizo, kwa sababu ya kuyaishi vizuri malezi mema waliyofundishwa na wakubwa wao. Wao hupata mali nyingi kwenye familia zao kwa sababu ya uelewano wao huo wa kusaidiana vizuri katika kazi zao, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wale waliuotunza utendaji wa kazi ule kwa kupeana zamu kwa kila mmoja, kwa sababu nao huyalinda malezi mema walifundishwa na wazazi wao kwa kuyaishi vizuri, katika maisha yao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “tulikuta iko vile toka zamani.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuyaishi malezi mema kwa kusaidiana vizuri katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Mathayo 5:17-18.

Yohana 1:1-8.

Mithali 8: 23-24.

ENGLISH: WE FOUND IT THAT WAY FROM THE PAST.

This saying talks about the maintenance of the way of life of the people in a certain village. There was a man who moved to the village of Bukundi and found the people there working in shifts.

Such person joined them in that work because he learned well and understood the way of life that started a long time ago. That is why those people said that, “we found it that way from the past.”

This saying is compared to people who keep good behavior that was left by their parents, in their lives. These people carry out their duties with great effort and with good understanding in their works, because of living well the good upbringing that was taught to them by their elders. They get a lot of wealth in their families because of their understanding of helping each other well in their daily works.

These people are similar to those who took care of the performance of the work by giving turns to each other, because they also protect the good upbringing which they were taught by their parents by living it well, in their lives. That is why they say that, “we found it that way from the past.”

This saying imparts in people an idea of living a good upbringing by helping each other well in fulfilling their responsibilities, so that they can achieve many successes in their lives.

Matthew 5:17-18.

John 1:1-8.

Proverbs 8:23-24.

woman-6529392__480

1094. DIGIJAGA MU NOMO UDIZUDIGIJA MU FUGO.

Imbuki ya kahayile kenako, ilolile bhuli bho jiliwa bho bhanhu abho bhagishibhilaga ugusola ijiliwa jabho. Abhanhu bhanebho bhalyaga bhugali ubho bhameja mufugo umuchalo ja Shagihilu. Abhoyi bhamegaga ubhugali bhunubho bho nduhu ugudija amakono gabho umufugo yiniyo, kunguno ya guleka gubhatindika abhangi ugusola jiliwa moyi. Hunagwene bhiwilaga giki, “digijaga mu nomo udizudigija mu fugo.”

Akahayile kenako, kagalenganiyagwa kukaya iyo igalyaga jiliwa bho gwidilila chiza bhuli ng’wene, umukikalile kabho. Abhanhu bha ha kaya yiniyo, bhagikalaga nikujo lya gulya jiliwa jabho bho gwishibhila chiza bhuli ng’wene, kunguno ya witogwi bhobho bhunubho umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagikalaga bhilanhanile chiza aha kaya yabho, kunguno ya ng’wigano gobho gunuyo ugo gwiguja bho gwidilila chiza chiniko bhuli ng’wene, umukikalile kabho kenako.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhalyaga bhugali bho gwishibhila chiza bhuli ng’wene kunguno nabhoyi bhagalyaga jiliwa jabho bho likujo lya gwishibhila chiza bhuli ng’wene aha kaya yabho yiniyo, umukikalile kabho. Hunagwene bhagiwilaga giki, “digijaga mu nomo udizudigija mu fugo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwikala ni kujo lya gugabhana jikolo jabho bho ng’wigwano go gwiyambilija chiza umubhutumami bho milimo yabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Yoshua Bin Sira 37:28-30.

Wagalatia 5:16-26.

 

KISWAHILI: CHELEWESHEA MDOMONI USICHELEWESHEE KWENYE CHUNGU.

Chanzo cha msemo huo, huangalia ulaji wa chakula wa watu wanaopeana zamu ya kuchukua chakula vizuri. Watu hao walikuwa wakila ugali kwa kumega kwenye chungu cha kupikia katika kijiji cha Shagihilu. Wao walimega ugali huo kwenye chingu hicho bila kuchelewesha mikono yao ndani ya chungu hicho, kwa sababu ya kuacha kuwachelewa wengine kuchukua chakula hicho humo. Ndiyo maana waliambiana kwamba, “cheleweshea mdomoni usicheleweshee kwenye chungu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwenye familia ya watu ambayo hula chakula kwa kumjali kila mmoja katika maisha yao. Watu wa kwenye familia hiyo, hula chakula kwa heshima ya kupeana zamu ili kila mmoja apate chakula hicho vizuri, kwa sababu ya upendo walio nao kati yao maishani mwao. Wao huishi kwa kutunzana vizuri kwenye familia yao hiyo, kwa sababu ya uelewano wao wenye heshima ya kumjali kila mmoja vizuri, katika maisha yao.

Watu hao, hufanana na wale waliokuwa ugali kwa kupeana zamu ya kuchula chakula hicho kila mmoja vizuri, kwa sababu nao hula chukula kwa heshima na uelewano wa kupeana zamu ya kupata chakula hicho kila mmoja vizuri, kwenye familia yao hiyo. Ndiyo maana wao huambiana kwamba, “cheleweshea mdomoni usicheleweshee kwenye chungu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na heshima ya kugawana mali zao kwa uelewano wa kusaidiana vizuri katika kazi zao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishai mwao.

Yoshua Bin Sira 37:28-30.

Wagalatia 5:16-26.

IMG_20200722_145344_2

IMG_20200722_145417_0

IMG_20200722_145324_0

 

ENGLISH: DELAY IN THE MOUTH, DO NOT DELAY IN THE COOKING POT.

This saying looks at the food intake of people who take turns to eat well. These people were eating stiff food by breaking it in a cooking pot in a village of Shagihilu. They broke the grain in the pot without delaying their hands in that pot, because they stopped delaying others in taking food from it. That is why they said to each other that, “delay in the mouth, do not delay in the cooking pot.”

This saying is compared to a family of people who eat food by caring for each other in their lives. These people in that family eat food with the respect of taking turns so that each one gets the food well, because of the love they have for each other in their lives. They live by taking good care of each other in their family, because of their respectful understanding to care for each other well, in their lives.

Those people are similar to those who used to take turns to eat the food well, because they also eat food with respect and understanding to take turns to get the food well, in their family. That is why they say to each other, “delay in the mouth do not delay in the cooking pot.”

This saying teaches people about having respect of sharing their wealth with an understanding of helping each other well in their work, so that they can live in peace with their peers in lives.

Joshua Bin Sira 37:28-30.

Galatians 5:16-26.

 

 

 

 

 

 

 

1093. GUB’I GOSE.

Imbuki ya kahayile kenako ingilile kubhuhambi bho minyembe bho munhu nebhe. Umunhu ng’wunuyo, ohambaga minyembe umuchalo ja Ng’watuma kunguno oliayidebhile isolobho ya minyembe yiniyo, umukikalile kakwe.

Aliyo lulu, abhanhu bha muchalo jinijo, bhang’wilaga giki alinoja duhu iki bhiganikaga giki agucha uyileka iminyembe itali ugwandya ugupya. Hunagwene bhang’wilaga giki, “gub’i gose.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agiyumilijaga gwita mihayo ya wiza mumo bhagandalahija abhanhu umukikalile. Umunhu ng’wunuyo, agatumamaga milimo yakwe chiza na gubhambilija abhanhu gwikala kihamo, kunguno ya bhutogwa bhokwe ubho alinabho ukubhanhu bhakwe bhanabho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga sabho ninghi aha kaya yakwe ijo agajitumilaga gubhambilija nabho bhagandalahijaga umubhutumami bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo ohambaga minyembe ukunu bhalindahalahija abhanhu, kunguno nuweyi agiyumilijaga gwita mihayo ya wiza, mumo bhagandalahija abhanhu, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’wilaga giki, “gub’i gose.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwiyumilija gwita mihayo ya wiza bho nduhu gudilila mihayo ya gudalahijiwa na bhichabo, umubhutumami bhobho, kugiki bhadule gupandika matwajo minghi umuwikaji bhobho.

Waroma 3:9-12.

Luka 13:31-35.

KISWAHILI: KUBAYA KOTE.

Chanzo cha msemo huo, kilianzia kwenye upandaji wa miti ya miembe wa mtu fulani. Mtu huyo, alikuwa akiipanda miti hiyo ya miembe kwenye kijiji cha Ng’watuma kwa sababu alikuwa anazielewa faida za miembe hiyo katika maisha yake.

Lakini basi, watu wa kijiji hicho, walimwambia kwamba atakufa kabla miti hiyo ya miembe haijaanza kutoa matunda yake. Ndiyo maana walimwambia kwamba, “kubaya kote.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvumilia kutenda mema hata kama watu watamdharau kiasi gani, katika maisha yake. Mtu huyo, huyatekeleza majukumu yake vizuri, na kuwasaidia watu kuishi pamoja kwa sababu ya upendo wake kwao, maishani mwake. Yeye hupata mafanikio ya kuwa na mali nyingi ambazo huzitumia kuwasaidia hata wale wanaomdharau katika utekelezaji wa majukumu yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule mpandaji wa miti ya miembe ambaye watu walimdharau, kwa sababu naye huvumilia kwa kuendelea kutenda mema hata kama watu watamdharau kiasi gani, katika maisha yake. Ndiyo watu hao humwambia kwamba, “kubaya kote.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuvumilia kutema mema bila ya kujali maneno ya kudharauliwa na wenzao, katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Waroma 3:9-12.

Luka 13:31-35.

mango-tree-321075__480

ENGLISH: EVERYWHERE IS BAD.

This saying started from someone’s planting of mango trees. There was a man was planting mango trees in the village of Ng’watuma because he understood the benefits of them in his life.

But then, the people of that village, considered his work as a wastage of time by telling him that he could die before the mango trees begin to produce their fruits. That is why they told him that, “everywhere is bad.”

This saying is equaled to a person who endures to do good deeds no matter how people despise him, in his life. Such person performs his duties well, and helps people to live together because of his love for them, in his life. He achieves success of having many resources that he uses to help even those who despise him in the implementation of his duties.

This person resembles the mango planter whom people despised, because he also perseveres by continuing to do good deeds no matter how people look down on him, in his life. That is why those people tell him that, “everywhere is bad.”

This saying teaches people on how to tolerate spitting good deeds regardless of the disparaging words of their peers in fulfilling their duties, so that they can get a lot of success, in their lives.

Romans 3:9-12.

Luke 13:31-35. 

1092. MASUNZU MADUMA.

Akahayile kenako kingilile kuli munhu uyo ali na masunzu malihu. Amasunzu genayo jili nzwili ijo jigasugagwa bho gujishib’a kugiki jikule gete mpaga umo atogelilwe ung’wikili ojo kunguno ahayile abhelele chiza, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “masunzu maduma.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo atogilwe bhubheleji umukikalile kakwe. Umunhu ung’wunuyo agikalaga agulanhanile umili gokwe bho gugudilila chiza, ijinaguzwala jizwalo, na gulya jiliwa, kunguno agutogilwe chiza, umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga na bhanhu bhinghi aha kaya yakwe, bhuli makanza kunguno ya bhubheleji bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu omasunzu malihu uyo ogubhelejaga umili gokwe bho gugakamila amasunzu genayo, kunguno nuweyi agagudililaga chiza umili gokwe bho gugubheleja chiza umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “masunzu maduma.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuidilila chiza imimili yabho bho guiyizwalikiza jizwalo jisoga, kugiki bhadule gwikala bhabhelile umuwikaji bhobho.

1Petro 3:3-4.

Mithali 31:29-31.

 

KISWAHILI: NYWELE NDEFU ZILIZOSUKWA.

Msemo huo, ulianzia kwa mtu mwenye nywele ndefu zilizosukwa vizuri. Nywele hizo, husukwa kwa kufungwa ili ziweze kukua kwa haraka kiasi kutosha kumpendezesha mhusika huyo, kwa sababu ya kupenda kwake umaridadi wa mwili wake huo. Ndiyo maana watu humuita kwamba ni “nywele ndefu zilizosukwa.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hupenda umaridadi, katika maisha yake. Mtu huyo, huishi katika hali ya kuujali kwa kuutunza mwili wake, kwa sababu anaupenda, maishani mwake. Yeye hupokea watu wengi kwenye familia yake kwa sababu ya tabia yakwe ya kupenda kuutunza mwili wake huo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyezitunza nywele zake kwa kuzisokota vizuri, kwa sababu naye huulinda kwa kuuvika nguo vizuri mwili wake, huo maishani mwake. Ndiyo watu humuita kwamba, ni mtu “mwenye nywele ndefu zilizosokotwa.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuitunza miili yao, kwa kuivika nguo nzuri, ili waweze kupendeza vizuri, maishani mwao.

1Petro 3:3-4.

Mithali 31:29-31.

man-7128967__480

elder-5255542__480

 

ENGLISH: LONG BRAIDED HAIRS.

This saying originated from a man who had long well-braided hairs. His hairs were braided and tied so that they could grow fast enough to please him, because of his love for beauty of his body. That is why people call him a “long braided hairs.”

This saying is compared to a man who likes beauty, in his life. Such person lives in a state of taking care of his body, because he likes it, in his life. He receives many people in his family because of his habit of loving to take care of his body, in his life.

This man is like the one who takes care of his hairs by twisting them well, because he also protects his body by dressing well in his life. That is why people call him a “long braided hairs.”

This saying imparts in people an idea of taking care of their bodies, by dressing them in nice clothes, so that they can look good, in their lives.

1 Peter 3:3-4.

Proverbs 31:29-31.

1091. NKONO GONEMBA.

Akahayile kenako, kahoyelile higulya ya nkima uyo witungaga ng’wenda. Unkima ng’wunuyo, witungaga ng’wenda bho gwihengeleka ukunu alija lwande, kunguno ya gutumila nkono gonmoso uyo aladagumanilile chiza ugugutumila weyi. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “nkono gonemba.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agayilekaga nzila ya gwikala chiza na bhanhu umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adaitumamaga chiza imilimo yakwe kunguno ya gulema gwiyambilija chiza nabhiye umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agagayiyagwa ijijolo aha kaya yakwe kunguno ya gwikala na nhungwa ja kuleka gutumama chiza imilimo yakwe, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nkima uyo witungaga ng’wenda bho guja lwande iki otumilaga nkono go nmosa, kunguno nuweyi adatumama chiza imilimo yakwe, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “nkono gonemba.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gwikala chiza nabhichabho bho guitumamila jitumamilo ja wiza imilimo yabho, kugiki bhadule kupandika matwajo minghi, umuwikaji bhobho.

Mathayo 25:31-34.

Mathayo 25:41.

Yohana 21:6.

KISWAHILI: MKONO UMEMDANGANYA.

Msemo huo, huongelea juu ya mwanamke mmoja aliyejifunga nguo. Mwanamke huyo, alijifunga nguo hiyo kwa kupinda huku akienda upande kwa sababu ya kutumia mkono wa kushoto katika kujifunga kwake ambao hukuuzoea. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “mkono umemdanganya.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huacha tabia yake njema ya kuishi vizuri na watu, katika maisha yake. Mtu huyo, huacha kuyatekeleza vizuri majukumu yake kwa kutumia dhana dhaifu, na kuacha kushirikiana na wenzake, maishani mwake. Yeye hukosa mali za kumsaidia katika familia yake kwa sababu ya kujijengea tabia ya kuacha kufanya kazi zake vizuri, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule mwanamke aliyejifunga nguo yake kwa kutumia mkono ya kushoto ambao hukuuzoea kuutumia, kwa sababu naye huiacha tabia yake njema ya kusaidiana na wenzake katika utekelezaji wa majukumu yao, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mkono umemdanganya.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya ya kuishi vizuri na wenzao kwa kutumia dhana nzuri za kazi katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi maishani mwao.

Mathayo 25:31-34.

Mathayo 25:41.

Yohana 21:6.

wheat-5214920__480

ENGLISH: THE HAND HAS DECEIVED HIM/HER.

This saying talks about a woman who wrapped herself in clothes. This woman tied the dress by twisting it while going to the side because she used her left hand to tie herself which she was not used to. That is why people told her that, “the hand has deceived her.”

This saying is compared to the person who abandons his good behavior of living well with people, in his life. Such person stops fulfilling his duties by using a weak concept, and stops cooperating with his colleagues in his life. He lacks assets that can help him in his family because he has developed a habit of not doing his jobs well, in his life.

This person is similar to the woman who tied her clothes using the left hand that she was not used to, because he also abandons his good behavior of helping his colleagues in the implementation of their responsibilities, in his life. That is why people tell him that, “the hand has deceived him/her.”

This saying teaches people on how to live well with their family members by using good work concepts in fulfilling their responsibilities, so that they can achieve many successes in their lives.

Matthew 25:31-34.

Matthew 25:41.

John 21:6.