sayings

1166. NHAB’ALA HU KI?

Aho kale olihoyi munhu uyo oliosata umuchalo ja Ndoleleji. Umunhu ng’wunuyo, ojaga ukositali oginhiwa ubhugota ubho obhutumilaga mpaga bhoshila aliyo ugupila nduhu. Uweyi wiyumilijaga duhu kunguno oliamanile igiki ubhupanga bhokwe bhuli kuli Nsumbi wi Wigulu na Sii. Hunagwene obhujaga giki, “nhab’ala hu ki?”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agiyumilijaga ulu opandikaga makoye bho gung’wisanya Mulungu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adebhilile ugugulanhana chiza umili gokwe bho guja gusitali ulu alisata ukunu aling’wisanya Mulungu kunguno alina guzunya gutali ukuli Weyi. Uweyi agabhambilija bhanhu bhingi abho bhali na makoye ijinagung’wisanya Mulungu kunguno ya wiyumilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo olina sata wiyumilija bho gung’wisanya Mulungu, kunguno nuweyi agapandikaga makoye wiyumilija bho gung’wisanya Mulungu, umukikalile kakwe kenako. Hunagwene agabhujaga giki, “nhab’ala hu ki?”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gub’iza na wiyumilija bho gung’wisanya Mulungu ulu bhapandikaga makoye umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gwikala na mholele, umu kaya jabho jinijo.

Ayubu 6:1-4.

Ayubu 7:4-8.

Mathayo 15:29-31.

Marko 5:25-28.

KISWAHLI: MATESO NI NINI?

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyeugua ugonjwa kwenye kijiji cha Ndoleleji. Mtu huyo, alienda hospitalini akapewa dawa alizozitumia mpaka zikaisha bila kupona ugonjwa wake huo. Yeye alivumilia tu kwa sababu alielewa kwamba uhai wake uko mikononi mwa Muumba wa Mbingu na Nchi. Ndiyo maana aliuza kwamba, “mateso ni nini?”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvumilia matatizo yake kwa kumtegemea Mungu, katika maisha yake. Mtu huyo, anafahamu kuitunza vizuri afya yake kwa kwenda hospitalini anapougua huku akimtumainia Mungu, kwa sababu ya imani yake kuwa kubwa kwa Muumba wake huyo. Yeye huwasaidia watu wengi ambao wana matatizo katika kumtegemea Mungu kwa sababu ya uvumilivu wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeugua ugonjwa akavumilia kwa kumtegemea Mungu, kwa sababu naye huvumilia matatizo yake kwa kumtegemea Mungu, katika maisha yake hayo. Ndiyo maana yeye huuliza kwamba, “mateso ni nini?”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na imani kwa Mungu ya kuwawezesha kuvumilia matatizo yao kwa kumtegemea Yeye maishani mwao, ili waweze kuishi kwa amani katika familia zao hizo.

Ayubu 6:1-4.

Ayubu 7:4-8.

Mathayo 15:29-31.

Marko 5:25-28.

operation-80124__480

1162. ILI NIMO ILI NALEKELE B’IZIMBILI.

Akahayile kenako kahoyelile munhu uyo oli na nimo go gulima maguwa. Umunhu ng’wunuyo agagutumama unimo gokwe gunuyo mpaga unamhala kunguno goli na solobho nhale ukuwikaji bhokwe. Aho onamhala chiniko agandya gubhalanga bhizimbili bhakwe abho obhalekelaka kunguno ya giki nabho gubhambilije chiza umuwikaji bhobho. Hunagwene agayomba giki, “ili nimo ili nalekele b’izimbili.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhalelaga abhanhu bhakwe bho gubhalanga uguitumama imilimo yakwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhalangaga abhanhu bhakwe uguitumama imilimo yakwe yiniyo bho guhoya nabho chiza bhuli lushigu kunguno ahayile giki nabho bhayidebhe chiza uguitumama umuwikaji bhobho. Uweyi agabhambilija abhanhu bhakwe bhenabho ugujibheja chiza ikaya jabho kunguno ya guitumama chiza imilimo iyo agabhalangaga yiniyo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu namhala uyo agabhalekela b’izimbili bhakwe unimo gokwe aho onamhala, kunguno nuweyi agabhalangaga abhanhu bhakwe uguitumama chiza imilimo yakwe yiniyo, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “ili nimo ili nalekele b’izimbili.”

Akahayile kenako, kalanga bhabyaji higulya ya gubhalanga abhanhu bhabho uguitumama chiza imilimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi agagujilanhanile chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Yohana 20:20-23.

Mathayo 10:6-7.

Luka 9:1-2.

KISWAHILI: KAZI HII NIACHIE WAJUKUU ZANGU.

Msemo huo huongelea juu ya mtu aliyekuwa mkulima wa miwa. Mtu huyo aliifanya kazi yake hiyo mpaka akazeeka kwa sababu ilikuwa na faida kubwa katika maisha yake. Alipoona kwamba amezeeka hivyo, alianza kuwafundisha wajukuu zake kazi hiyo kwa sababu alitaka nao iwasaidie vizuri katika maisha yao. Ndiyo maana alisema kwamba, “kazi hii niachie wajukuu zangu.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwalea watoto wake kwa kuwafundisha kuzitekeleza kazi zake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwafundisha watoto wake hao kwa kuongea nao vizuri kila siku kwa sababu anataka wazielewe vizuri kazi hizo, maishani mwao. Yeye huwasaidia watu wake hao kuziendeleza vizuri familia zao kwa sababu ya kuzitekeleza vizuri kazi zake alizowafundisha, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mzee aliyewaachia watoto wake kazi zake alipozeeka, kwa sababu naye huwafundisha watoto wake namna ya kuzitekeleza vizuri kazi zake hizo, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “kazi hii niachie wajukuu zangu.”

Msemo huo, hufundisha wazazi juu ya kuwarithisha watoto wao kazi zao, kwa kuwafundisha vizuri namna ya kuzitekeleza, ili waweze kupata mafanikio ya kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Yohana 20:20-23.

Mathayo 10:6-7.

Luka 9:1-2.

sugarcane-439880__480

1161. YAYA UGUNEKA NG’OCHAGE.

Aho kale ulihoyi munhu uyo agadima noyi nhale iyo adaimanile isolobho yayo. Umunhu ng’wunuyo, agabhabhuja abhatale bhakwe akatumamile ka noni yiniyo kunguno oliadamanile umo agwiyitila. Hunagwene abhatale bhakwe bhenabho bhagang’wila giki “yaya uguneka ng’ochage.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agacholaga wambilijiwa bho gwingila kubhiye uguitumama imilimo iyo ikililile ubhudula bhokwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhilingaga bhanhu bha gung’wambilija ugulima imigunda yakwe chiza kunguno ya gutogwa guimala wangu. Uweyi agabishaga majiliwa mingi noyi umumigunda yakwe yiniyo kunguno ya kulomba wambilijiwa bho gufumila kubhiye uguitumama imilimo uyo ikililile ubhudula bhokwe umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agadima noyi uchola wambilijiwa bho katumamile kayo gufumila gubhatale bhakwe, kunguno nuweyi agacholaga wambilijiwa bho gufumila kubhiye uguitumama wangu imilimo iyo adayidujije, umubhutumami bhokwe. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’wilaga giki, “yaya uguneka ng’ochage.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na widohya bho kugubhuja kubhichabho imilimo iyo bhadayimanile chiza, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umumilimo yabho yiniyo.

1Wakorintho 10: 3-26.

Mwanzo 1:29-31.

KISWAHILI: HAPANA KUMUACHA MCHOME.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyemkamata ndege mkubwa asiyemfahamu faida zake. Mtu huyo, aliwauliza wakubwa wake matumizi ya ndege huyo kwa sababu hakujua la kumfanyia. Ndiyo maana wakubwa wake hao walimwambia kwamba, “hapana kumuacha mchome.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutafuta msaada wa kutoka kwa wenzake wa kuyatekeleza majukumu yale yanayozidi uwezo wake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwaalika watu wa kumsaidia kulima mashamba yake vizuri kwa sababu ya kutaka kuyamaliza haraka. Yeye hupata mafanikio makubwa kwenye mashamba yake hayo kwa sababu ya kuomba msaada wa kuyalima hadi kuyamaliza haraka pale yanapozidi uwezo wake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyemshika ndege akatafuta msaada wa kufahamu matumizi yake kutoka kwa wakubwa wake, kwa sababu naye hutafuta msaada kutoka kwa wenzake wa kuyatekeleza kwa haraka majukumu yale yanayozidi uwezo wake, katika kazi zake. Ndiyo maana watu hao humwambia kwamba “hapana kumuacha mchome.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na unyenyekevu wa kuuliza kutoka kwa wenzao kazi zile ambazo hawazifahamu vizuri, ili waweze kupata mafanikio makubwa katika utekelezaji wa majukumu yao hayo.

1Wakorintho 10: 3-26.

Mwanzo 1:29-31.

ostrich-384157__480

turkey-218742__480

turkey-82924__480

1160. NAKULILA HA B’ADIMA B’UGANGA.

Olihoyi munhu uyo wikalaga na bhabyaji bhakwe abho balibaganga. Umunhu ng’wunuyo, agakulila haho bhatale bhakwe bhenabho abho bhagananga nang’hwe ub’ugota bhunubho. Uweyi agabhadegeleka chiza abhatale bhakwe bhenabho mpaga ub’umana ub’ugota bhunubho kunguno ya witegeleja bhokwe umukikalile kakwe. Hunagwene agayomba giki, “nakulila ha b’adima b’ugota.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalidimilaga chiza ililange lya bhabyaji bhakwe, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo, agabhadegelekaga abhabyaji bhakwe bho witegeleja bhutale kunguno alinikujo litale ukubhoyi. Uweyi agapandikaga mbango ja gwikala shigu ningi umusi na gusabha majikolo mingi aha kaya yakwe, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agakulila ha b’adima b’uganga mpaga ub’umana ub’ugota bhunubho nang’hwe, kunguno nuweyi agalidimilaga bho witegeleja bhutale ililange lya bhabyaji bhakwe bhenabho, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “nakulila ha b’adima b’uganga.”

Akahayile kenako kalanga bhana higulya ya gub’iza ni kujo ukubhabyaji bhabho bho gulidimila na witegeleja bhutale iliange lyabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule kupandika mbango ja gwikala chiza umusi na kusabha majikolo mingi, umukaya jabho, umuwikaji bhobho.

Marko 6:7.

Yohana 15:1-5.

 

KISWAHILI: NILIKULIA KWA WASHIKA DAWA.

Alikuwepo mtu aliyeishi na wazazi wake waliokuwa waganga. Mtu huyo, alikulia kwa wakubwa wake hao ambao walimfundisha dawa hiyo. Yeye aliwasikiliza kwa makini mpaga akaiewa dawa hiyo. Ndiyo maana alisema kwamba, “nimekulia kwa washika dawa.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyashikilia vizuri malezi ya wazazi wake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwasikiliza wazazi wake hao kwa umakini mkubwa kwa sababu ana heshima kubwa kwao. Yeye hupata Baraka za kuishi miaka mingi duniani, na kutajirika sana, kwenye familia yake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliwasikiliza wakubwa wake walioshika dawa, mpaga akaielewa naye dawa hiyo, kwa sababu naye huyashikilia kwa umakini mkubwa malezi mema ya wazazi wake, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “nimekulia kwa washika dawa.”

Msemo huo, hufundisha watoto juu ya kuwa na heshima kubwa kwa wazazi wao kwa kuyashikilia malezi yao kwa umakini mkubwa, ili waweze kupata Baraka za kuishi miaka mingi na kupata mafanikio ya kuwa na mali nyingi, maishani mwao.

Marko 6:7.

Yohana 15:1-5.

culture-7162380__480

 

 

 

1159. NADUMAGA UGWIGUTA IMBA NAB’ITILAGA HA LIKI.

Akahahile kenako kanolile munhu uyo oliadigutaga ulu olya ijiliwa. Umunhu ng’winuyo, olyaga jiliwa ijo jikomile guliwa na bhanhu bhingi gete, aliyo bho nduhu ugwiguta kunguno ya bhulaku bhokwe bhunubho. Uweyi mumo agalila agikalaga atub’ile duhu nulu agalya ikanza ilihu na ginehe, ikanza idoo duhu otubhaga. Hunagwene nose agayombaga giki “nadumaga ugwiguta imba nab’itilaga ha liki.”

Umunhu ng’wunuyo, agalenganijiyagwa kuli munhu uyo oli naku ojiliwa na guchola bhutongeji umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, atogilwe gubhiza ntongeji obhanhu bhuli kwene uko usamila, kunguno ya gulya majiliwa chiza umubhutongeji bhunubho. Uweyi agidumaga na bhanhu bhingi umuchalo jakwe kunguno ya bhulaku bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo olyagwa jiliwa bho nduhu ugwiguta, kunguno nuweyi adigutaga ijiliwa nu bhutongeji bho bhiye umukikalile kakwe kenako. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “nadumaga ugwiguta imba nab’itilaga ha liki.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja bhulaku umukikalile kabho kenako, kugiki bhadule gwikala na bhichabho chiza, umubhulamu bhobho.

Mithali 23:19-21.

Wagalatia 5:16-26.

KISWAHILI: NIMESHINDWA KUSHIBA SIJUI NIMEPITIA KWENYE NINI.

  Msemo huo, huangalia mtu yule ambaye huwa hashibi anapokula chakula. Mtu huyo, hula chakula ambacho kinatosha kuwashibisha watu wengi lakini hashibi kwa sababu ya ulasi wake huo. Yeye hata akila namna gani huwa anajisikia njaa tu, hata kama atakula kwa muda mrefu kiasi gani, atajisikia njaa tu. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “nimeshindwa kushiba sijui nimepitia kwenye nini.”         

Mtu huyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mlafi wa chakula na madaraka, katika maisha yake. Mtu huyo, hutaka kuwa kiongozi wa watu kwenye kila sehemu anakohamia, kwa sababu ya kutaka kupata nafasi ya kula chakula vizuri katika uongozi huo. Yeye hukosana na watu walioko kwenye kijiji chake kwa sababu ya ulafi wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekula chakula bila kushiba, kwa sababu naye huwa hashibi chakula na madaraka aliyo nayo, katika maisha yake hayo. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “nimeshindwa kushiba sijui nimepitia kwenye nini.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia ya ulafi na uroho wa madaraka katika maisha yao, ili waweze kuishi vizuri na wenzao, maishani mwao.

Mithali 23:19-21.

Wagalatia 5:16-26.

appetizer-3315960__480