Bhahoyi bhanhu abho bhakilaga na namhala umo uyo olina miaka mingi. Abhanhu bhenabho, bhahoyaga nanghwe bhakanza malihu kunguno olina bhumani wingi. Uweyi olioyibhona mingi kunguno oblyalwa mingi iyo adinayibhona umunhu uyo obyalilwe shigu jiniji. Hunagwene abhanhu bhenabho, bhagayombaga giki, “uokale adi oshigu jiniji.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinikujo lya gubhadegeleka chiza abhatale bhakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alina widohya bho gubhadegeleka chiza abhatale bhakwe kugiki adule gumana ugwikala na bhanhu na kutumama milimo yakwe chiza, kunguno ya likujo lyakwe linilo kubhoyi. Uweyi agatumamaga milimo yakwe chiza bho gwikala na bhanhu bhingi aha kaya yakwe, kunguno ya likujo lyakwe linilo ukubhatale bhakwe abho bhaganangaga inzila ja gwikala chiza na bhanhu, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhahoyaga chiza nu namhala uokale, kunguno nuweyi ali nikuko lya gubhadegeleka chiza abhatale bhakwe, umukikalile kakwe kenako. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “uokale adi oshigu jiniji.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza nikujo lya gubhadegeleka chiza abhatale bhabho, kugiki bhadule kupandika bhuyeji bho gwikala miaka mingi, umubhulamu bhobho.
Yoshua Bin Sira 44:1-4.
Waefeso 6:1-3.
Yoshua Bin Sira 3:1-14.
KISWAHILI: WAKALE SIO WA SIKU HIZI.
Walikuwepo watu walioishi na mzee mmoja ambaye alikuwa na miaka mingi. Watu hao, walikuwa wakiongea naye kwa muda mrefu kwa sababu walielewa kwamba yeye alikuwa na ufahamu mwingi. Mzee huyo, aliyaona mambo mengi kwa sababu alizaliwa miaka mingi na alishapitia mambo mengi ambayo mtu aliyezaliwa siku hizi hajayaona. Ndiyo maana watu hao walisema kwamba, “wa kale sio wa siku hizi.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana heshima ya kuwasikiliza vizuri wakubwa wake, katika maisha yake. Mtu huyo, ana unyenyekevu wa kuwasikiliza vizuri wakubwa wake hao kwa lengo la kujifunza namna ya kuishi na kufanya kazi na watu vizuri, kwa sababu ya heshima yake hiyo kwao. Yeye hufanya kazi zake vizuri kwa kuishi pamoja na watu wengi katika familia yake, kwa sababu ya malezi yake hayo aliyopata kwa kuwasikiza vizuri wakubwa hao, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na wale waliongea vizuri na yule mzee wa miaka mingi, kwa sababu naye ana heshima ya kuwasikiliza vizuri wakubwa wake, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “wa kale sio wa siku hizi.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na heshima ya kuwasikiliza vizuri, wakubwa wao, ili waweze kupata furaha ya kuishi miaka mingi, maishani mwao.
Yoshua Bin Sira 44:1-4.
Waefeso 6:1-3.
Yoshua Bin Sira 3:1-14.
ENGLISH: THE ANCIENTS ARE NOT OF TODAY.
There were people who lived with an old man who had many years old. Those people were talking to him for a long time because they understood that he had a lot of knowledge. The old man saw many things because he was born many years ago and experienced a number of things that a person who has been born today has not seen. That is why those people said that, “the ancients are not of today.”
This saying is compared to a person who has an honor of listening well to his superiors, in his life. Such person has the humility to listen well to his superiors with the aim of learning how to live and work with people well, because of his respect for them. He does his work well by living with many people in his family, because of his education which he got by listening well to the elders in his life.
This person is similar to those who spoke well to the old man, because he also has the honor of listening well to his superiors, in his life. That is why he tells people that, “the ancients are not of today.”
This saying teaches people about having respect of listening well to their elders, so that they can have the joy of living many years in their lives.
Joshua Bin Sirach 44:1-4.






