sayings

1337. NANGI O GWISAMULA.

Unangi o gwisamula ali ng’walimu uyo agabhakomelejaga abhanhu gutumama nimo bho nguzu mhya. Ung’walimu ng’wunuyo abhakomelejaga abho bhali ng’wilika lyakwe kutumama milimo bho nguzu chiza ulu obhabhona bhandya gugogoloha kunguno ya wigulambija bhokwe ubho gutumama milimo chiza chiniko umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “nangi o gwisamula.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhalangaga abhanhu bha ha kaya yakwe gwigulambija gutumama milimo chiza, umukikalile kakwe.  Umunhu ng’wunuyo agabhahugulaga abhanhu bhakwe ulu bhagogoloha ugutumama imilimo yabho kunguno ya bhukamu bhokwe ubho gwigulambija gutumama yakwe chiza bhunubho, umubhutumami bhokwe. Uweyi agapandikaga matwajo mingi aha kaya yakwe kunguno ya gubhakomeleja gutumama milimo chiza abhanhu bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo abhakomeleja abhanhu bha ng’wilika lyakwe kutumama milimo bho nguvu mhya, kunguno nuweyi agabhakolelejaga abhanhu bha ha kaya yakwe gwigulambija gutumama milimo yabho chiza, ulu bhanogaga, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “nangi o gwisamula.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gwikomeja gutumama milimo yabho bho bhukamu bhutale kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho bhunubho.

Yeremia 6: 22.

Waebrania 12:12-15.

Yohana 11:11.

KISWAHILI: MFUNDISHAJI WA KUTIA HAMASA.

Mfundishaji wa kutia hamasa ni mwalimu yule ambaye huwahimiza watu kufanya kazi kwa nguvu mpya. Mwalimu huyo huwahimiza wale walioko kwenye lika lake kufanya kazi kwa nguvu zaidi kila anapoona dalili za wao kuanza kuchoka, kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kufanya kazi vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuita jina la “mfundishaji wa kutia hamasa.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwafundisha watu wanaoishi kwenye familia yake kujibidisha kufanya kazi vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, huwatia hamasa watu wake hao ya kujibidisha kufanya kazi zao vizuri kila wanapoonesha dalili za kuchoka, kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kufanya kazi vizuri, maishani mwake.  Yeye hupata mafanikio mengi katika familia yake kwa sababu ya kuwahimiza watu wake kufanya kazi vizuri, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewahimiza watu wa kwenye lika lake kujibidisha kufanya kazi kwa nguvu mpya, kwa sababu naye huwahimiza watu wanaoishi kwenye familia yake kujibidisha kufanya kazi zao vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana watu walimuita jina la “mfundishaji wa kutia hamasa.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao vizuri na kwa badii kubwa zaidi kuliko ile ya mwanzo, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika maisha yao.

Yeremia 6:22.

Waebrania 12:12-15.

Yohana 11:11.

kenya-school

differential-calculus-2820672_1280

teacher-476342_1280

ENGLISH: A MOTIVATIONAL TEACHER.

A motivational teacher is an educator who encourages students to work with renewed energy. This educator encourages those who in his class to work harder whenever he sees signs of them starting to get tired, because of his own hard working life. That is why people call him a “motivational teacher.”

This saying is related to a person who teaches people who live in his family to work hard enough to fulfill their responsibilities well. Such person encourages his people enough to work hard in doing their labors whenever they show signs of getting tired, because of his creativity in his life. He achieves a lot of success in his family because of encouraging his people to work well in his life.

This person resembles the one who encouraged students in his class to work hard with renewed strength, because he also encourages people who live in his family to work hard enough to fulfill their duties well. That is why people called him the “motivational teacher.”

This saying imparts in people an idea of working hard enough to finish their jobs with a greater change than it was before, so that they can achieve more success in their lives.

Jeremiah 6:22.

Hebrews 12:12-15.

John 11:11.

1336. ADEBHILE GWANULA.

Akahayile kenako kalolile wanuji bho ng’wa munhu nkuji. Olihoyi munhu uyo ong’wambilijaga munhu uyo oliokula mpaga uduma ugubhuka ubho weyi ng’winikili kunguno ya bhujiko bhokwe bhunubho. Uweyi omfunyaga hanze unkuji ng’wunuyo bhuli lushigu idiyu na gung’wanula bho gunchala mukaya ulu wila ubhujiku kunguno oliomala inguzu ja gwiyinja weyi ng’winikili aha hanze henaho. Hunagwene abhanhu bhang’wilaga ung’wanuji ng’wunuyo giki, “adebhile gwanula.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhambilijaga chiza abhabyaji bhakwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhambilijaga abhabyaji bhakwe bhenabho bho gubhagulila myenda na jiliwa ija gulya shigu ningi kunguno ya jikujo lyakwe na bhutogwa bhokwe bhunubho ukubhabyaji bhokwe bhunabho. Uweyi agabhalanhanaga bho gubhinha ijo jidulile gubhambilija umubhukuji bhobho pye ishigu ja wikaji bhobho kunguno ya likujo lyakwe linilo ukubhabyaji bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe.

 Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo ong’wambilija umunhu uyo oliokula bho gunfuma hanze idiyu, na gumchala mukaya imhindi, kunguno nuweyi agabhambilijaga abhabyaji bhakwe pye jishigu ja bhulamu bhobho umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “adebhile gwanula.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo kubhabyaji bhabho bho gubhambilija pye ishugu ja bhulamu bhobho, kugiki bhadule kupandika mbango ja gwikala shigu ningi ukuwelelo, na bhuyegi Ng’wigulu.

Yohana 21: 18:

1Wakorintho 13:11.

Yoshua Bin Sira 3:12-16.

Mhubiri 11:7.

1Wathesalonike 5:14.

KISWAHILI: ANAFAHAMU KUANUA.

Msemo huo huangalia uanuaji wa mtu mzee kutoka sehemu moja hadi nyingine. Alikuwepo mtu aliyekuwa akimtunza mtu ambaye alikuwa amezeeka mpaka akashindwa kusimama peke yake bila kusaidiwa kwa sababu ya uzee wake huo. Yeye alikuwa akimtoa nje mzee yule kila siku asubuhi na kumrudisha ndani ikifika jioni kwa sababu alikuwa ameishiwa nguvu za kujiondoa mwenyewe pale nje yule mzee. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “anafahamu kuanua.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwasaidia vizuri wazazi wake katika maisha yake, Mtu huyo, huwasaidia wazazi wake hao kwa kuwanunulia chakula wanachohitaji na mavazi wanayoyahitaji siku zote za maisha yao, kwa sababu ya heshima yake na upendo wake kwao, maishani mwake. Yeye huwatunza kwa kuwapatia mahitaji yao katika maisha yao yote kwa sababu ya heshina aliyo nayo kwao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyemsaidia yule mzee kwa kumtoa nje wakati wa asabuhi na kumrudisha ndani wakati wa jioni, kwa sababu naye huwasaidia wazazi wake kwa kuwapatia mahitaji yao siku zote za uhai wao, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “anafahamu kuanua.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na heshima kwa wazazi wao kwa kuwapatia mahitaji yao maishani mwao, ili waweze kupata Baraka za kuishi miaka mingi duniani, na heri mbinguni.

Yohana 21: 18:

1Wakorintho 13:11.

Yoshua Bin Sira 3:12-16.

Mhubiri 11:7.

1Wathesalonike 5:14.

 

ENGLISH: HE KNOWS HOW TO RETURN TO THE SHADOW FROM THE SUN.

This proverb refers to a taking of an old person from one place to another. There was a man who took care of a person who had grown old until he could no longer stand alone without helping him because of his old age. He used to take the old man out every morning and bring him back in when it got to the evening. He did so because the old man had run out of strength to get out on his own. That is why people told him that, “he knows how to return to the shadow from the sun.”

This proverb is matched to a person who helps his parents well in his life. Such person helps his parents by buying them food and clothes which they need in their lives, because of his respect and love for them, in his life. He takes care of them by providing them with their basic needs throughout their lives because of the respect which he has for them, in his life.

This person is like the one who helped the old man by taking him out in the morning and bringing him back in at night, because he also helps his parents by providing them with their needs all the days of their lives, in his life. That is why people say to him that, “he knows how to return to the shadow from the sun.”

This proverb teaches individuals about respecting their parents by providing them with their needs in lives, so that they can receive the blessings of living long on earth, and happiness in heaven.

John 21: 18:

1 Corinthians 13:11.

Joshua Ben Sira 3:12-16.

Ecclesiastes 11:7.

1 Thessalonians 5:14.

 

hands-5017314_1280

face-7218927_1280

old-3975765_1280

1334. GOLEMELAGA HITIMA.

Olihoyi munhu uyo agigwa mhayo ntale uyo gugaminya umunholo yakwe. Umunhu ng’wunuyo, aho ogwigwa umhayo gunuyo agandya guchola bhanhu bho gubhawila kugiki bhadule gung’wambilija umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhayomba giki, “golemelaga hitima.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhawilaga bhiye bhang’wambilija ulu opandikaga milimo mitale, nulu mihayo mitale, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agacholaga wambilijiwa kubhiye wangu ulu opandikaga mihayo iyo igaibhunaga imholo yakwe, nulu ulu opandikaga milimo mitale iyo ijikilile nguzu jakwe, kugiki adule uguimala wangu kunguno ya gwikala gokwe chiza na bhiye umuwikaji bhokwe. Uweyi agagamala wangu amakoye ga ha kaya yakwe pye ni milimo yakwe yiniyo, kunguno ya gwanguha kulomba wambilijiwa hayo itale ugunemela, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agigwa mihayo iyo igaiminya inholo yakwe ubhawila bhiye wangu, kunguno nuweyi agacholaga wambilijiwa kubhiye ulu opandigaka makoye matale nulu nimo ntale uyo gujikilile inguzu jakwe, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “golemelaga hitima.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guchola bhanhu bhagubhambilija wangu ulu bhapandikaga makoye matale nulu milimo mitale iyo ijikilile inguzu jabho, kugiki bhadule gwambilija wangu hayo bhatali ugukeleja, umuwikaji bhobho.

Mathayo 18:15-16.

KISWAHILI: LIMEKATALIA ININI.

Alikuwepo mtu yule ambaye alisikia neno kubwa ambalo liliumiza moyo wake, Mtu huyo alipolisikia neno hilo alianza kutafuta watu wa kuwashirikisha ili aweze kupata utatuzi wa tatizo hilo mapema. Ndiyo maana alisema kwamba, “limekatalia inini.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwashirikisha wenzake ili kupata msaada kila anapopata tatizo kubwa au kazi kubwa inayozidi uwezo wake, katika maisha yake. Mtu huyo, hutafuta msaada kutoka kwa wenzake mapema kila anapokumbwa na tatizo linalomzidi nguvu, au anapopata kazi kubwa inayohitaji msaada kutoka kwa wenzake, kwa sababu ya umakini wake wa kuishi vizuri na watu, maishani mwake. Yeye huyamaliza mapema matatizo yanayoikumba familia yake, pamoja na kazi zinazidi uwezo wake kwa sababu ya kuwashirikisha wenzake mapema kabla hajachelewa kuomba msaada huo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyesikia tatizo kubwa akawashirikisha wenzake mapema, kwa sababu naye hutafuta msaada kutoka kwa wenzake mapema kila anapopata tatizo au kazi kubwa inayozidi uwezo wake, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “limekatalia inini.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kutafuta watu wa kuwasaidia mapema wanapopata tatizo kubwa au kazi inayozidi uwezo wao ili waweze kupata utatuzi wake mapema kabla hawajachele, maishani mwao.

Mathayo 18:15-16.

madagascar-4601287_1280

ENGLISH: IT HAS JAMMED IN THE LIVER.

There was a man who heard a miserable word that hurt his heart. After hearing such word, he started looking for people to share it with so that he could find a solution to it as soon as possible. That is why he said, “It has jammed in the liver.”

This saying is related to a person who shares it with his colleagues to get help whenever he encounters a huge delinquent or a huge task that is beyond his ability, in his life. Such person seeks support from his colleagues early whenever he encounters a problem that is beyond his ability, or when he gets a huge task that requires relief from his colleagues, because of his single-mindedness on living well with people, in his life. He ends hitches that beset his family early, as well as tasks that are beyond his ability because of sharing it with his colleagues early before it is too late to ask for that aid, in his life.

This person is similar to the one who heard a big problem and shared it with his colleagues early, because he also seeks help from his colleagues early whenever he encounters a problem or a huge task that is beyond his ability, in his life. That is why he says, “It has jammed in the liver.”

This saying instills in individuals a clue of seeking support early when they encounter an enormous difficult or a task that is beyond their ability so that they can find a solution early before it is too late, in their lives.

Matthew 18:15-16.

1333. B’ASIMBILA KAYA.

Ab’asimbila kaya bhali bhanhu abho bhagabhejaga kaya bho guzenga numba. Bhali hoyi bhanhu abho bhazengaga numba yabho bho kusimbila nhingi kugiki bhadule gupandika numba ndamu kunguno bhali bhadina numba ya gwikala. Abhanhu bhenabho bhagigulambija uguizenga inumba yiniyo bho gwiyambilija chiza mpaga bhuimala. Hunagwene abhanhu bha munzengo gunuyo, bhagabhitana giki, “b’asimbila kaya.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhitoji abho bhagabhalangaga abhana bhabho lilange lya gwikala na nhungwa jawiza, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagabhinhaga lilange lya gutumama milimo yabho chiza na gwikala na bhanhu bho gwitogwi umuchalo jabho, kunguno ya nhungwa jabho ijawiza jinijo, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagadulaga gwikala bho witogwi na likujo litale aha kaya yabho yiniyo kunguno ya witegeleja bhobho ubho gubhalanga lilange lyawiza chiniko abhana bhobho, umukikalile kabho.

Abhitoji bhenabho bhagikolaga na bhanhu abho bhagazenga numba bho gwiyambilija chiza mpaga bhuyimala, kunguno nabho bhagabhinhaga lilange lyawiza abhana bhabho bho gwiyambilija chiza, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhitanaga giki, “b’asimbila kaya.”

Akahayile kenako kalanga bhabyaji higulya ya gubhiza na nhungwa ja gubhinha lilange lyawiza abhana bhabho kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Waefeso 5:2-33.

Mwanzo 2:18-24.

Mathayo 19:3-6.

KISWAHILI: WATENGENEZA MJI.

Watengeneza mji ni watu wanaojenga nyumba. Walikuwepo watu waliokuwa wanajenga nyumba yao kwa kuchimbia nguzo ili waweze kupata nyumba iliyo imara kwa sababu hawakuwa na nyumba ya kuishi. Watu hao walijibidisha kuijenja nyumba hiyo kwa ushirikiano mkubwa mpaka wakaimaliza. Ndiyo maana watu wa kijiji hicho waliwapatia jila la “watengeneza mji.”

Msemo huo hulinganishwa kwa wana ndoa wale ambao huwafundisha watoto wao malezi mema, katika maisha yao. Watu hao huwapatia watoto wao hao malezi ya kufanya kazi vizuri na kuishi kwa upendo na watu wao kwa sababu ya tabia yao hiyo njema, maishani mwao. Wao hufanikiwa kuishi kwa kuheshimiana na kwa upendo katika familia yao hiyo kwa sababu ya tabia yao hiyo njema ya kuwapatia malezi mema watoto wao hao, katika maisha yao.

Wana ndoa hao hufanana na watu wale waliojenja nyumba kwa ushirikiano mpaka wakaimaliza, kwa sababu nao huwapatia watoto wao malezi mema kwa ushirikiano mkubwa, maishani mwao. Ndiyo maana watu huwaita jina la “watengeneza mji.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia za kuwafundisha malezi mema watoto wao, ili waweze kuzijenga vyema familia zao hizo, maishani mwao.

Waefeso 5:2-33.

Mwanzo 2:18-24.

Mathayo 19:3-6.

 

ENGLISH: FAMILY BUILDERS.

Family builders are people who build houses for staying people. There were people who built their houses by digging poles so that they could have a solid house because they did not have a house to live in. These people worked hard enough to build their house with great cooperation until they finished it. That is why people of that village called them “family builders.”

This saying is equaled to married couples who teach their children decent nurture, in their lives. These parents give to their children decent nurture for working well and living peaceably with their people because of their upright deeds in their lives. They succeed in living with respect and love in their family because of their upright manners of nurturing children well in their lives.

These married couples are similar to those people who built their house with cooperation until they finished it, because they also give to their children decent rearing with great cooperation in their lives. That is why people call them “family builders.”

This saying imparts in parents an idea of having upright parenting conducts for their children, so that they can build their families well in their lives.

Ephesians 5:2-33.

Genesis 2:18-24.

Matthew 19:3-6.

 

worker-5204739_1280

1331. OB’UKAGA HASI.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile b’ub’uki bho ng’wa munhu uyo winga kuwelelo. Umunhu ng’wunuyo agabhukila muli munhu uyo aginikwa lina lyakwe aho obyalwa kunguno ya gufunya likujo ukuliweyi na gulanhana ludugu. Hunagwene ulu munhu winikwa lina lya njimiji, abhanhu bhagayombaga giki, unjimiji ng’wunuyo, “ob’ukaga hasi.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo akikalaga na nhungwa jawiza kugiki adule gubhupandika ubhupanga ubho bhudashilaga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhalangaga nhungwa jawiza abhiye bho gutumama milimo chiza na gubhambilija abhanhu abho bhali na makoye, kunguno ya bhutogwa bhokwe ukubhiye bhenabho. Uweyi agadulaga ugubhalela bho gubhalanga nzila ja kubhupandika ubhupanga ubho bhudashilaga abhanhu bha ha kaya yakwe kunguno ya nhungwa jakwe ijawiza jinijo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agabhitila ya wiza abhiye mpaga ilina lyakwe winikwa ung’wana uyo agabyalwa, kunguno nuweyi agabhalangaga abhiye nhungwa ja gubhambilija ugubhupandika ubhupanga ubho bhudashilaga, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanbu bhagang’wizukaga ulu bhabhubhona uwiza bho lilande lyakwe bho guyomba giki, “ob’ukaga hasi.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na nhungwa jawiza bho gwikala na bhichabho chiza, kugiki bhadule gubhupandika ubhupanga ubho bhudashilaga, ulu bhinga ukuwelelo.

1Wakorintho 15:53-58.

1 Wathesalonike 4:13-17.

KISWAHILI: AMEINUKA CHINI.

Chanzo cha msemo huo, huongelea uinukaji wa mtu yule aliyefariki dunia. Mtu huyo aliinuka kupitia mtu aliyepewa jina lakwe baada ya kuzaliwa kwa sababu ya kuonesha heshima kwake na kutunza undugu. Ndiyo maana mtu anapopewa jila na marehemu watu husema kwamba, yule marehemu, “ameinuka chini.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyaishi malezi mema yawezayo kumpatia uzima wa milele, baada ya kuaga dunia. Mtu huyo, huwafundisha wenzake tabia njema ya kuishi malezi mema kwa kujibidisha kufanya kazi na kuwasaidia watu walioko kwenye matatizo mbalimbali, kwa sababu ya upendo alionao kwa watu wake hao. Yeye hufanikiwa kuwapatia malezi hayo mema watu wa kwenye familia yake, kwa kuwafundisha njia za kuupata uzima huo wa milele, kwa sababu ya tabia yake hiyo njema, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewatendea mema wenzake mpaga jila lake akapewa mtoto aliyezaliwa, kwa sababu naye huwafundisha wenzake malezi mema ya kuwasaidia kuupata uzima wa milele, maishani mwake. Ndiyo maana watu hao humkumkuka wanapoyaona mema yake hayo, kwa kusema kwamba, “ameinuka chini.”

Msemo huo huwafundisha watu juu ya kuwa na tabia njema ya kuwafundisha wenzao namna ya kuyaishi malezi mema, ili waweze kuupata uzima wa milele baada ya kuaga dunia.

1Wakorintho 15:53-58.

1 Wathesalonike 4:13-17.

ENGLISH: THE ONE HAS RISEN DOWN.

The origin of this saying refers to the rise of a person who has passed away. Such person rose through the person who was given his name after birth because of showing respect for him in taking care of the family. That is why when a person is given a name of a deceased one, people say that, “the one has risen down.”

This saying is matched to a person who lives a worthy upbringing that can give him eternal life after passing away. This person teaches his people decent conducts of living a upright upbringing by working hard and helping others who are in various hitches, because of having a true love for his populaces. He succeeds in giving decent nurture to the people in his family by teaching them about ways which can help them enough to gain such eternal life because of his upright character in his life.

This person resembles the one who did good deeds to his societal members who gave his name to a newborn child, because he also teaches his family members about virtuous upbringings which can assist them in gaining eternal life. That is why those people praise him when they see his decent deeds by saying that “the one has risen down.”

This saying instills in individuals a clue of having a decent attitude for teaching their family members on how to live a blameless upbringing, so that they can gain eternal life after passing away.

1 Corinthians 15:53-58.

1 Thessalonians 4:13-17.