Riddles

1034. KALAGU –  KIZE. ULU NAGUSIMIZAGA JILINIKOMELEJA UKO NUMA – MABADA.

Ikalagu yiniyo yiholelile jilatu ja mabada. Amabada genayo jili jilatu ijo jigamanaga julila ukumashigina ulu munhu alisiminza uyo ajizwalile umumagulu gakwe. Umugulila chiniko jigabhizaga guti jilimkomeleja umunhu uyo ajizwalile ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhaganilaga giki, “ulu nagusimizaga jilinikomeleja uko numa – mabada.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agazwalaga jizwalo jikujo ijo jigankomelejaga gutumama milimo yakwe chiza. Umunhu ng’wunuyo, adebhile ugutumama imilimo yakwe chiza bho gubhakomeleja abhanhu bhakwe gwikala na jitumamilo ja wiza umumilimo yabho. Uweyi agapandikaga sabho ningi kunguno ya gutumamila jitumamilo ijo jigabhakomeleja abhanhu gutumama milimo yabho chiza.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga na mabada ayo gankomeleja ugusiminza uyo aliagazwalie, kunguno nuweyi agatumamilaga jitumamila ijo jigang’winhaga bhukamu bho gutumama milimo yakwe chiza. Hunagwene agayombaga giki, “ulu nagumimizaga jilinikomeleja uko numa.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gutumamila milimo yabho na jitumamilo jiikujo ija gubhinha bhukamu bho gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gupandika sabho ja gubhambilija chiza, umuwikaji bhobho.

1Thimotheo 2:9-10.

2Wakorintho 5:2-4.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

NINAPOTEMBEA HUNIHIMIZA KWA NYUMA – KANDA MBILI.

Kitendawili hicho, huongelea kanda mbili. Kanda mbili hizo ni viatu ambavyo huwa vinatoa mlio kwenye visigino vya mtu aliyevivaa miguuni mwake. Mlimo huo huwa kama vina mhimiza mtu huyo aliyevivaa. Ndiyo maana watu husema kwamba, “ninapotembea hunihimiza kwa nyuma – kanda mbili.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvaa mavazi ya heshima yamhimizayo kufanya kazi zake vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, afahamu kutekeleza vizuri kazi zake kwa kuwahimiza watu wake kuwa na vitendea kazi vizuri. Yeye hupata mali nyingi katika kazi na familia yake kwa sababu ya kutumia vitendea kazi vinavyowahimiza watu kufanya kazi zao vizuri.

Mtu huyo, hufanana na kanda mbili zilizomhimiza mtu aliyekuwa amezivaa, kwa sababu naye hutumia vitendea kazi viwahimizao watu wake kufanya kazi vizuri. Ndiyo maana husema kwamba, “ninapotembea hunihimiza kwa nyuma – kanda mbili.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kutumia vitendea kazi vizuri viwahimizavyo kufanya kazi zao vizuri ili waweze kupata mali za kuwasaidia vizuri maishani mwao.

1Thimotheo 2:9-10.

2Wakorintho 5:2-4.

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET COME.

WHEN I WALK, ONE ENCOURAGES ME FROM BEHIND – SANDALS.

The above riddle speaks of sandals. Those sandals are shoes that make noise on the heels of the person who wears them on his feet. Such kind of noise appear as if it encourages the person is wearing those sandals. That is why such person says that, “when I walk, one encourages me from behind – sandals.”

This paradox is compared to the person who wears respectable clothing that encourages him to do his work well, in life. Such person knows how to perform his duties well by encouraging his people to have good working tools. He gets a lot of wealth in his works at the family because of using tools that encourage people to do their jobs well.

This person is similar to the sandals that encouraged the person who was wearing them, because he also uses tools that encourage his people to work well. That is why they say that, “when I walk, one encourages me from behind – sandals.”

This riddle teaches people about using good tools that encourage them to do their jobs well so that they can get enough assets to help them well in their lives.

1 Timothy 2:9-10.

2 Corinthians 5:2-4.

1033. KALAGU – KIZE. SHEPAGA NANE NASHEPE DUGUTUNG’WANHILA KUB’UKWINGWA – NSHIBI MKIMBILI.

Ikalagu yiniyo, yihoyelile higulya ya bhuzwaji bho nshibi go mkimbili. Unshibi gunuyo gugabhitiyagwa mumagwasijo ga mbutula nulu ga msulubhale ya ng’wa munhu nhebhe. Unzwaji ogo agajaga ushepya bhuli higwasijo lyene mpaga gwiza go gotung’wanhila kung’humbi. Ing’humbi yiniyo ha hab’ukwingwa lulu. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “shepaga nane nashepe dugutung’wanhila kub’hukwingwa – Nshibi mkimbili.”

Ikalagu yiniyo, yigalenganijiyagwa ku bhana bha myaji umo abho ligashigaga likanza bhaja bhagalumana ahali myaji obho ng’wunuyo, umukikalile kabho. Abhana bhanebho, bhali bha myaji umo abho bhabalasana ahakaya yabho bhuja bhuli ng’wene kumilimo yakwe abho bhagalumanaga bhuli ng’waka ahali myaji obho ng’wunuyo kunguno ya kungisha na gwiyizukiza mihayo ya gwikala chiza na bhanhu. Abhoyi bhaganhanhanaga chiza umyaji obho gung’wambilija na gwidilila chiza kunguno ya likujo lyabho ukuli myaji obho na witogwi bhobho, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nu nshibi go mkimbili uyo gugashepaga mumalungulo ga sulubhale nulu mbutula, gogalumana aha ng’humbi, kunguno nabhoyi bhagalumanaga bhuli ng’waka ahali myaji obho bhang’wambilija na gwiizukija mihayo ya gwikala chiza na bhanhu. Hunagwene bhagiganilaga giki, “shepaga nane nashepe dugutung’wanhila kub’hukwingwa – Nshibi mkimbili.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gubhalanghana bhabyaji bhabho bho gubhambilija chiza na gwiyizukija mihayo ya gwikala chiza na bhanhu kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho.

Mwanzo 5:3 – 32.

Mathayo 1: 1-17.

 

KISWAHILI: PENYA NAMI NIPENYE TUTAKUTANA UKWENI – MKANDA KIUNONI.

Kitendawili hicho, chaongelea juu ya uvaaji wa mkanda wa kiunoni. Mkanda huo, hupitishwa kwenye vifunguo vya kaputula au suluali ya mtu fulani. Mvaaji wa mkanda huo, huupitisha kwenye kila fungio mpaka unakutana kwenye tumbo. Tumbo hilo ndipo ukweni. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, “penya nami nipenye tutakutana ukweni – mkanda kiunoni.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa watoto wale ambao hukutana kwa mzazi wao mara kwa mara, katika maisha yao. Watoto hao, ni wa mzazi mmoja waliosambaa kwenye familia yao kwa ajili ya kufanya kazi ambao hukutana kwa mzazi huyo kila mwaka, kwa lengo la kumsalimia na kukumbushana juu ya maadili ya kuishi vizuri na watu. Wao humtunza vizuri mzazi wao kwa sababu ya heshina walio nayo kwake, na upendo walio kati yao, maishani mwao.

Watu hao hufanana na ule mkanda wa kiunoni unaopitishwa kwenye kila fungio mpaga unakutana kwenye tumbo, kwa sababu nao hukutana kila mwaka kwa mzazi wao kwa lengo la kumtunza na kukumbashana juu ya maadili ya kuishi vizuri na watu. Ndiyo maana wao huhadithiana kwamba, “penya nami nipenye tutakutana ukweni – mkanda kiunoni.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwaheshimu wazazi wao kwa kuwatunza na kukumbushana juu ya maadili ya kuishi vizuri na watu, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Mwanzo 5:3 – 32.

Mathayo 1: 1-17.

I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

ENGLISH: GO IN AND I GO IN AND WE WILL MEET AT OUR IN LAW’S PLACE – WAIST BELT.

The over head riddle talks about wearing a waist belt. This belt is passed through all brooches of a person’s shorts or pants. The wearer of the belt, passes it through each bronch until it meets to the stomach. Such stomach is what is compared to the wife’s parents’ place. That is why people tell each other that, “go in and I go in and we will meet at our in law’s place – waist belt.”

This puzzle is compared to children who meet their parents frequently, in their lives. Those children, spread out in their family for working purposes, who meet at that parents’ place every year, with the aim of greeting them and reminding each other of the values ​​of living well with people. They take good care of their parents because of the love they have for them, and the love they have in their lives.

These people are similar to the waist belt that is passed on every brooch up to the stomach, because they also meet every year at their parents’ house with the aim of taking care of them and arguing about the values ​​of living well with people. That is why they tell each other that, “go in and I go in and we will meet at our in law’s place – waist belt.”

This riddle imparts in people an idea of respecting their parents by taking care of them and reminding each other about the values ​​of living well with people, so that they can achieve many successes in their lives.

Genesis 5:3 – 32.

Matthew 1: 1-17.

 

1024. KALAGU –  KIZE. BHANA BHA NG’WISE B’ISHIGANYA UGUSIMINZA – MAZWI.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ilolile kasiminzile ka ng’wa munhu. Umunhu ulu alisiminza, amagulu gadajilanijaga lihamo kunguno gagishiganyaga bho gumo gumo. Kuyiniyo lulu, amazwi galikihamo na magulu umo gagishiganijaga. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “bhana bha ng’wise b’ishiganya ugusiminza – mazwi.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kubhanhu bha hakaya iyo bhagishib’ilaga uguyomba, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagilekelaga uguyomba bho gundegeleka bhuli ng’wene mpaga omala uguyomba kunguno bhali nilange lya gwikuja bhuli ng’wene. Abhoyi bhagikalaga bhitogilwe bho gwiyambilija chiza bhuli ng’wene ulubhitana abhiye, kunguno ya wiyigwi bhobho bhunubho, umuwikaji bhobo.

Abhanhu bhanebho, bhagikolaga na mazwi ayo gagishib’ilaga ugusiminza, kunguno nabhoyi bhagishib’ilaga uguyomba, mpaga omala ung’wene na oyomba nu ungi, aha kaya yabho yiniyo. Hunagwene bhagiganilaga giki, “bhana bha ng’wise b’ishiganya ugusiminza – mazwi.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gub’iza nikujo lya gwidegeleka chiza umumahoya gabho bho gwilekela oyomba uumo mpaga omala, na oyomba nuungi lulu, kugiki bhadule gwikala bho mholele chiza, umuwikaji bhobho.

Matendo ya mitume 17:25.

1Petro 2:4.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

WATOTO WA KWETU HUBISHANA KUTEMBEA – MAGOTI.

Chanzo cha kitendawili hicho, huangalia utembeaji wa mtu. Mtu anapotembea miguu yake huwa haiendi kwa pamoja kwa sababu hupishana mmoja mmoja. Kwa hiyo basi, magoti nayo yako pamoja na miguu inavyotembea. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, “watoto wa kwetu hubishana kutembea – magoti.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa watu wa kwenye familia ile ambayo watu wake huwa wanasikilizana katika maongezi yao kwa kupeana zamu, katika maisha yao. Watu hao, huachiana zamu ya kuongea kwa kumsikiliza kila mmoja wao mpaka anamaliza vizuri kuongea ndipo na mwingine anaanza, kwa sababu ya heshima walionayo kwa kila mmoja wao. Wao huishi katika upendo wa kusaidiana vizuri kila mmoja anapowahitaji wenzake, kwa sababu ya uelewano wao huo mzuri, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na yale magoti ambayo hupeana zamu katika kutembea, kwa sababu nao huachiana zamu ya kuongea mpaka mmoja wao anamaliza ndipo na mwingine anaanza kuongea, kwenye familia yao hiyo. Ndiyo maana watu hao huhadithiana kwamba, “watoto wa kwetu hubishana kutembea – magoti.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na heshima ya kusikilizana vizuri katika maongezi yao kwa kuachiana kila mmoja anaongea mpaka anamaliza ndipo anaanza na mwingine kuongea, ili waweze kuishi vizuri na kwa amani, maishani mwao.

Matendo ya mitume 17:25.

1Petro 2:4.

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

OUR RELATIVES CHILDREN ARGUE ABOUT WALKING – KNEES.

The source of the above riddle looks at a person’s walking. When a person walks his legs do not move together because they overlap one by one. Therefore, the knees are also with the legs as they move. That is why people say to one another that, “Our relatives children argue about walking – knees.”

This riddle is compared to the members of a family whose people listen to each other in their conversations in their lives. These people take turns talking to each other until they have finished talking and then the other can start doing so, because of the respect they have for each other. They live in love of helping each other well when they are in need, because of their good understanding in their lives.

These people are like the knees that take turns walking, because they also take turns talking until one of them finishes and the other can start talking to their family members. That is why these people tell each other that, “Our relatives children argue about walking – knees.”

This paradox teaches people on how to have a good sense of respect on one another in their conversations by letting each other talk until one finishes and then they can start talking to each other, so that they can live well and peacefully in their lives.

Acts 17:25.

1 Peter 2: 4.

1023. KALAGU – KIZE. IKAYA YISE ILELO BHO GUNUNG’HYA – MHANDE.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ihoyelile higulya ya bhuli bho mhande. Imhande indoto ulu juzugwa abhanhu bhadatondolaga akagula gajo kunguno bhagazigaza bhegeleja haho nomo bhakanza yafuma imhande balya giti balinung’hya. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “ikaya yise ilelo bho gunung’hya – mhande.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali na ng’wigwano go wiza aha kaya yabho. Abhanhu bhanebho, bhagilomelaga mihayo ya gwiyambilija gutumama milimo yabho bhizunilija chiza, kunguno ya ng’wigwano gobho gunuyo, umukikalile kabho. Abhoyi bhagaponaga jiliwa noyi umubhutumami bho milimo yabho yiniyo, kunguno ya gujilanija chiza, umuwikaji bhobho bhunubho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga ni mhande ijo bhajilyaga abhanhu bho gwegeleja hanomo bhakanda yafuma guti bhalinunghya, kunguno bhagatumamaga milimo yabho bho gujilanija na ng’wigwano chiza, mpaga bhapandika sabho ningi a hakaya yabho. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayombaga giki, “ikaya yise ilelo bho gunung’hya – mhande.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gubhiza na ng’wigwano go gujilanija chiza umuwigulambija bho gutumama milimo yabho, kugiki bhadule gupandika sabho ja gutumamila chiza umu kaya jabho.

Matendo ya mitume 10:34-36.

Luka 16:9-10.

Matendo ya mitume 2:42-46.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

FAMILIA YETU LEO WA KUNUSA – NJUKU MAWE.

Chanzo cha kitendawili hicho huongelea juu ya ulaji wa njugu mawe. Njugu mawe hizo, zikipikwa wakati zikiwa mbichi, watu huwa hawamenyi maganda yake, kwa sababu huwa wanasogeza kwenye mdomo na kuminya ambapo njugu mawe hutoka yenyewe kwa kurukia mdomoni na kuila kama wananusa hivi. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, “familia yetu leo wa kunusa – njugu mawe.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa watu wale walio na uelewano kwenye familia zao. Watu hao, hupanga mipango yao ya kusaidiana katika kufanya kazi kwa kuelewana vizuri, kwa sababu ya uelewano wao huo, katika maisha yao. Wao hupata mavuno mengi katika kazi zao hizo, kwa sababu ya kuendana kwao huko vizuri, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na zile njuku mawe walizokuwa wakizila wale watu kwa kusogeza mdomoni na kuminya halafu inarudia mdomoni wanakula kama wananusa hivi, kwa sababu nao huyatekeleza majukumu yao kwa uelewano mzuri, mpaka wanafanikiwa kupata mali nyingi za kutosha kuzitunza familia zao. Ndiyo maana wao huwaambia watu kwamba, “familia yetu leo wa kunusa – njugu mawe.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na uelewano wa kuendana vizuri katika juhudi zao za kuyatekeleza majukumu yao, ili waweze kupata mali nyingi za kutosha kuzitunza vizuri familia zao.

Matendo ya mitume 10:34-36.

Luka 16:9-10.

Matendo ya mitume 2:42-46.

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

AT OUR HOME TODAY WE WILL EAT SOMETHING SMELLY – BAMBARA NUTS.

The foundation of the overhead riddle talks about eating of Bambara nuts. If these Bambara nuts are cooked when they are raw, people do not peel their pods, because they tend to bring near to their mouth and squeeze where the Bambara nuts come out by themselves by jumping in the mouth and eating them as if they smell like this. That is why people say to one another that, “at our home today we will eat something smelly – Bambara nuts.”

This riddle is compared to people who have harmony in their families. These people, in turn, make plans to help each other enough to work in harmony with each other, because of their mutual understanding, in their lives. They reap a bountiful harvest in their labors, because of their good arrangement in their lifetime.

These people resemble the Bambara nuts that the people used to eat by bringing them near to their mouths and squeezing enough to let them jump into their mouths, because they also carry out their duties in a good way, until they manage to get enough wealth to take care of their families. That is why they tell people that, “at our home today we will eat something smelly – Bambara nuts.”

This riddle imparts in people an idea on how to have a good sense of belonging in their efforts to fulfill their responsibilities, so that they can have enough wealth to take good care of their families.

Acts 10: 34-36.

Luke 16: 9-10.

Acts 2: 42-46.

hazelnut-2284654__480

nuts-762803__480

peanut-6757556__480

1022. KALAGU – KIZE. GWA KAGAKULAGULAGA – KAGOKO.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ilolile kikalile ka ngoko. Ingoko yiniyo igigalaga yukulagula umugwicholela ijiliwa jayo, umukikalile kayo kenako. Iyoyi igajitagulaga hasi ijiliwa nulu jigikala jitulile mujisema, kunguno ya wigulambija bho gwicholela jagulya. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “gwa kagakulagaulaga – kagoko.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agigulambijaga gwicholela sabho bho gutumama milimo yakwe bhuli lushigu, umukitakile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga wigulambija gutumama milimo yakwe bho gwanguha uguyandya uguitumama bhuli lushigu, kunguno ya gutogwa guyibheja chiza ikaya yakwe yiniyo. Uweyi agapandikaga sabho ningi umumilimo yakwe kunguno ya wigulambija bhokwe bhunubho ubho gutumama milimo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni nkogo iyo igikalaga yuchola jiliwa bhuli lushigu, kunguno nuweyi agigulambijaga kutumama milimo yakwe chiza, mpaga opandika sabho ningi, umubhutumami bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “gwa kagakulagulaga – kagoko.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho bhuli lushigu kugiki bhadule kupandima sabho jagijilanhanila chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

2Wathesalonike 3:10.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

KILA SIKU HUPEKUAPEKUA – KUKU.

Chanzo cha kitendawili hicho, huangalia maisha ya kuku. Kuku huyo, hupekuapekua kila siku katika kujitafutia chakula chake, katika maisha yake hayo. Yeye hukimwaga chini hata chakula kile kilichomo kwenye chombo kizuri kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kutafuta chakula. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kila siku hupekuapekua – kuku.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujibidisha kutafuta mali kwa kufanya kazi zake kila siku, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa akijibidisha kufanya kazi zake kwa kuwahi kwenda kazini kila wakati kwa sababu ya kutaka kuitunza vizuri familia yake. Yeye hufanikiwa kupata mali nyingi katika kazi zake kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kuyatekeleza vizuri majukumu yake hayo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule kuku aliyejibisha kutafuta chakula kila siku, kwa sababu naye hujibidisha kufanya kazi vizuri, mpaka anafanikiwa kupata mali nyingi za kutosha kuitunza vizuri familia yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kila siku hupekuapekua – kuku.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao kila siku ili waweze kupata mali nyingi za kutosha kuzitunza vizuri familia zao, maishani mwao.

2Wathesalonike 3:10.

ENGLISH: I HAVE RIDDLE – LET IT COME.

IT PECKS EVERY DAY – CHICKEN.

The basis of the above riddle looks at the life of the chicken. The chicken search every day for their food in their lives. They even pour out the food that is in the fine container because of their zeal for the food. That is why people say that, “It pecks every day – chicken.”

This riddle is compared to a man who strives to seek wealth by doing his daily work, in his life. This person, in turn, strives to do his job by going to work all the time because he wants to take good care of his family. He succeeds in gaining wealth in his work because of his diligence in fulfilling his responsibilities in his life.

This man is like the hen that had to work hard to get food every day, because he also strives to work hard, until he manages to get enough wealth to take good care of his family. That is why people say to him that, “It pecks every day – chicken.”

This riddle teaches people on how to work hard every day so that they can earn enough money to take good care of their families in their lives.

2 Thessalonians 3:10.

chicken--