1033. KALAGU – KIZE. SHEPAGA NANE NASHEPE DUGUTUNG’WANHILA KUB’UKWINGWA – NSHIBI MKIMBILI.

Ikalagu yiniyo, yihoyelile higulya ya bhuzwaji bho nshibi go mkimbili. Unshibi gunuyo gugabhitiyagwa mumagwasijo ga mbutula nulu ga msulubhale ya ng’wa munhu nhebhe. Unzwaji ogo agajaga ushepya bhuli higwasijo lyene mpaga gwiza go gotung’wanhila kung’humbi. Ing’humbi yiniyo ha hab’ukwingwa lulu. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “shepaga nane nashepe dugutung’wanhila kub’hukwingwa – Nshibi mkimbili.”

Ikalagu yiniyo, yigalenganijiyagwa ku bhana bha myaji umo abho ligashigaga likanza bhaja bhagalumana ahali myaji obho ng’wunuyo, umukikalile kabho. Abhana bhanebho, bhali bha myaji umo abho bhabalasana ahakaya yabho bhuja bhuli ng’wene kumilimo yakwe abho bhagalumanaga bhuli ng’waka ahali myaji obho ng’wunuyo kunguno ya kungisha na gwiyizukiza mihayo ya gwikala chiza na bhanhu. Abhoyi bhaganhanhanaga chiza umyaji obho gung’wambilija na gwidilila chiza kunguno ya likujo lyabho ukuli myaji obho na witogwi bhobho, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nu nshibi go mkimbili uyo gugashepaga mumalungulo ga sulubhale nulu mbutula, gogalumana aha ng’humbi, kunguno nabhoyi bhagalumanaga bhuli ng’waka ahali myaji obho bhang’wambilija na gwiizukija mihayo ya gwikala chiza na bhanhu. Hunagwene bhagiganilaga giki, “shepaga nane nashepe dugutung’wanhila kub’hukwingwa – Nshibi mkimbili.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gubhalanghana bhabyaji bhabho bho gubhambilija chiza na gwiyizukija mihayo ya gwikala chiza na bhanhu kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho.

Mwanzo 5:3 – 32.

Mathayo 1: 1-17.

 

KISWAHILI: PENYA NAMI NIPENYE TUTAKUTANA UKWENI – MKANDA KIUNONI.

Kitendawili hicho, chaongelea juu ya uvaaji wa mkanda wa kiunoni. Mkanda huo, hupitishwa kwenye vifunguo vya kaputula au suluali ya mtu fulani. Mvaaji wa mkanda huo, huupitisha kwenye kila fungio mpaka unakutana kwenye tumbo. Tumbo hilo ndipo ukweni. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, “penya nami nipenye tutakutana ukweni – mkanda kiunoni.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa watoto wale ambao hukutana kwa mzazi wao mara kwa mara, katika maisha yao. Watoto hao, ni wa mzazi mmoja waliosambaa kwenye familia yao kwa ajili ya kufanya kazi ambao hukutana kwa mzazi huyo kila mwaka, kwa lengo la kumsalimia na kukumbushana juu ya maadili ya kuishi vizuri na watu. Wao humtunza vizuri mzazi wao kwa sababu ya heshina walio nayo kwake, na upendo walio kati yao, maishani mwao.

Watu hao hufanana na ule mkanda wa kiunoni unaopitishwa kwenye kila fungio mpaga unakutana kwenye tumbo, kwa sababu nao hukutana kila mwaka kwa mzazi wao kwa lengo la kumtunza na kukumbashana juu ya maadili ya kuishi vizuri na watu. Ndiyo maana wao huhadithiana kwamba, “penya nami nipenye tutakutana ukweni – mkanda kiunoni.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwaheshimu wazazi wao kwa kuwatunza na kukumbushana juu ya maadili ya kuishi vizuri na watu, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Mwanzo 5:3 – 32.

Mathayo 1: 1-17.

 

I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

ENGLISH: GO IN AND I GO IN AND WE WILL MEET AT OUR IN LAW’S PLACE – WAIST BELT.

The over head riddle talks about wearing a waist belt. This belt is passed through all brooches of a person’s shorts or pants. The wearer of the belt, passes it through each bronch until it meets to the stomach. Such stomach is what is compared to the wife’s parents’ place. That is why people tell each other that, “go in and I go in and we will meet at our in law’s place – waist belt.”

This puzzle is compared to children who meet their parents frequently, in their lives. Those children, spread out in their family for working purposes, who meet at that parents’ place every year, with the aim of greeting them and reminding each other of the values ​​of living well with people. They take good care of their parents because of the love they have for them, and the love they have in their lives.

These people are similar to the waist belt that is passed on every brooch up to the stomach, because they also meet every year at their parents’ house with the aim of taking care of them and arguing about the values ​​of living well with people. That is why they tell each other that, “go in and I go in and we will meet at our in law’s place – waist belt.”

This riddle imparts in people an idea of respecting their parents by taking care of them and reminding each other about the values ​​of living well with people, so that they can achieve many successes in their lives.

Genesis 5:3 – 32.

Matthew 1: 1-17.

 

 

 

buckle-210449__480

 

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.