Mwanza

1349. ALIYO NADUDOGOLAGA.

Aho kale olihoyi munhu uyo wikalaga muchalo ja B’ub’inza. Umunhu ng’wunuyo oyombaga mihayo ya nhana noyi aliyo lulu abhiye bhamanaga bhumbyedeleja duhu kunguno ya libhengwe lyabho linilo. Umunhu ng’wunuyo wiyumilijaga bho gubhashogeja chiza abhanhu bhenabho. Hunagwene agabhawila giki, “aliyo nadudogolaga.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga nikujo kubhanhu bhakwe umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo, agabhitilaga mihayo ya wiza abhanhu bhakwe bho nduhu gubhadaraha sagala kunguno ya likujo lyakwe linilo umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agikalaga na bhuyeji bhutale na bhanhu bha aha kaya yakwe kunguno ya widohya bhokwe bhunubho ubho gwikala chiza nabhiye, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo obhashokeja chiza abhanhu abho bhambyedelejaga ulu aliiyomba imihayo iya nhana, kunguno nuweyi agabhitilaga mihayo ikujo abhanhu bhakwe bho nduhu gubhadaraha sagala, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga gki, “aliyo nadudogolaga.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na widohya bho gwikala nikujo ukubhanhu bhabho kugiki bhadule gujilela chiza  ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Ayubu 31:34.

Mithali 13:1.

Mithali 14:23.

KISWAHILI: SISEMI KWA DHARAU.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyeishi katika kijiji cha Bubinza. Mtu hiyo alikuwa akisema ukweli lakini wenzake walikuwa wakimdharau kwa sababu ya dharau zao hizo. Mtu huyo, alivumilia kwa kuwajibi vizuri watu hao. Ndiyo maana alisema kwamba, “sisemi kwa dharau.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule anayewaheshimu watu wake katika maisha yake. Mtu huyo, huwatendea mema watu hao hao bila ya kuwadharau kwa sababu ya unyenyekevu wake huo wa kuwaheshimu watu wake hao, maishani mwake. Yeye huishi kwa furaha kubwa na watu wa kwenye familia yake hiyo, kwa sababu ya unyenyekevu wake huo wa kuwaheshimu watu wake, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewajibu kwa heshiwa watu waliomdharau alipowaambia ukweli, kwa sababu naye huwatendea mema watu wake bila ya kuwadharau, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “sisemi kwa dharau.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na unyenyekevu wa kuwaheshimu watu wao ili waweze kuzilea vyema familia zao hizo, maishani mwao.

Ayubu 31:34.

Mithali 13:1.

Mithali 14:23.

bold-4556853_1280

nigeria-2840922_1280

nigeria-5307616_1280

 

ENGLISH: I DO NOT SPEAK WITH DISRESPECT.

Once upon a time, there was a man who lived in the village of Bubinza. He spoke the truth but his earls disrespected him because of their impudence. Such man endured their lack of respect by responding politely to them. That is why he said that, “I do not speak with disrespect.”

This saying is related to a man who respects his family members in his life. This man nicely treats folks without disrespecting them because of his humility of regarding people in his life. He lives with great happiness with his family members, because of his humility of valuing them in his life.

This man resembles the one who responded respectfully to people who disrespected him when he told them the truth, because he also politely treats his people without disrespecting them in his life. That is why he says, “I do not speak with disrespect.”

This saying imparts in societal members an idea of being humble enough to respect their societal members so that they can nicely nurture their families in their lives.

Job 31:34.

Proverbs 13:1.

Proverbs 14:23.

 

1348. GAGWA MANGETULE.

Akahayile kenako kalolile mitugo ijo jigadimagwa hangitili iyo idinahaya guding’waa nulu kamo. Imitugo jinijo aho jashiga umungitili iliyo jigigulambija gudima bho bhuyegi kunguno jali jatuubha noyi. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “gagwa mangetule.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatubhaga opandika majiliwa mingi umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agapandikaga amajiliwa genayo wigulambija kugalya bho bhukamu bhutale kunguno ya gwikala alinzala gufumile likanza lilihu umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agajilyaga mpaga ojimala ijiliwa ijo agajipandikaga jinijo kunguno ya gwikala shigu ningi adalile, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni mitugo ijo jalijituubhile jigulambija gulya maswa mpaga jiguta aho jachalwa ukungitili, kunguno nuweyi apandikaga jiliwa ulu otubhaga wigulambija gujilya mpaga wiguta, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhaganhayaga giki, “gagwa mangetule.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujilamhana chiza ijiiwa ijo bhagajipandikaga kugiki jidule gubhambilija chiza aha shigu jahabhutongi, umubhulamu bhobho bhunubho.

Walawi 26:10.

Mwanzao 43:23.

Mithali 6:8.

KISWAHILI: IMEANGUKA BAHATI.

Msemo huo, huangalia mifugo waliochungia kwenye hazina ya nyasi nyingi ambazo hawajachungua mifugo hata mara moja. Mifugo hao, walipofika kwenye nyasi hizo nyingi, walijibidisha kula kwa furaha kwa sababu walikuwa wana njaa ya kukosa chakula kwa muda wa siku nyingi. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “imeanguka bahati.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule aliye na njaa akapata chakula kingi katika maisha yake. Mtu huyo, hupata chakula hicho na kujibidisha kula kwa nguvu sana kwa sababu ya kukaa bila kula kwa muda mrefu, maishani mwake. Yeye hula chakula alichokipata mpaka anakimaliza, kwa sababu ya kukaa muda mrefu bila ya kula chakula, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na wale mifugo waliokuwa na njaa kwa muda mrefu wakapata nyasi na kujibidisha kuzila mpaka wakazimaliza, kwa sababu naye hupata chakula akiwa na njaa na kukila mpaka akakimaliza, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “imenguka bahati.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kukitunza vizuri chakula wanachokipata ili kiweze kuwasaidia katika siku zao za mbeleni, maishani mwao.

Walawi 26:10.

Mwanzao 43:23.

Mithali 6:8.

 

ENGLISH: LUCK HAS FALLEN.

This proverb refers to cattle that grazed in a treasure of a lot of grasses which they have never grazed before. When these cattle reached those grasses they happily ate it all because they were hungry for not having eaten for several days. That is why people said that, “luck has fallen.”

This proverb is equated to a hungry man one who finds a lot of food in his life. This person finds food and forces himself to eat very hard because of not eating for a long time in his life. He eats such food until he finishes it because of being hungry for a long time in his life.

This person is like those cattle that ate grasses which they found after being hungry for a long time because he also finds food when he is hungry and eats it until he finishes it in his life. That is why people say to him, “luck has fallen.”

This proverb teaches individuals on how to be cautious to take virtuous care of food which they get so that it can help them in their future days in their lives.

Leviticus 26:10.

Genesis 43:23.

Proverbs 6:8.

 

cow-7200409_1280

cows-4301076_1280

alm-2666146_1280

1347. B’ULUGU B’O KULA NAJE MUMAGOGEJA.

Aho kale alihoyi munhu uyo olinsab’i o mitugo. Imitugo jinijo jalikihamo na ngoko, mbuli, nholo na ng’ombe. Unsab’i ng’wunuyo, ojinjaga nkoko nulu mbuli ulu opandikaga ikoye idoo aha kaya yakwe kugiki adule kupandika hela ja gulimalila wantgu, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho umukikalile kakwe.

Aliyo lulu, lushigu lumo agapandika likoye litale ilo lyalilya gumala bho gujinja ntugo ntale guti ng’ombe. Uweyi agiyangula gujinja ng’ombe kunguno ohayaga ab’ukinde wangu ub’ulugu bhunubho. Hunagwene agayomba giki, “b’ulugu b’o kula naje mumagogeja.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli nsab’i uyo agajitumamilaga chiza isabho jakwe umukikalile kakwe kenako. Unsab’i ng’wunuyo, agajilanhanaga chiza isabho jakwe kugiki jidule gung’wambilija ugugamala wangu amakoye ayo galampandike aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agajitumamilaga chiza isabho jakwe jinijo ulu opandikaga makoye aha kaya yakwe mpaga ogamala wangu kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako.

 Unsab’i ng’wunuyo, agikolaga nuyo agajinja ng’ombe aho opandika likole litale mpaga ulimala wangu ilikoye linilo, kunguno nuweyi agajitumamilaga isabho jakwe ulu upandikaga likoye mpaga olimala wangu umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “b’ulugu b’o kula naje mumagogeja.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujilanhana chiza isabho jabho kugiki ulu bhupandika makoye jidule gubhambilija ugugamala wangu amakoye genayo, umukaya jabho jinijo.

 Mathayo 6:19-34.

KISWAHILI: VITA IMEKUA KUBWA NIUZE NG’OMBE.

Hapo zamani alikuwepo mtu mmoja aliyekuwa tajiri wa mifugo. Mifugo hao waliokuwa pamoja na kuku, mbuzi, kondoo, na ng’ombe. Tajiri huyo alikuwa akiuza kuku au mbuzi akipata shida ndogo katika familia yake ili apate hela ya kuyatatulia kwa sababu ya umakini wake huo, katika maisha yake.

Lakini basi, siku moja tajiri huyo alipata tatizo kubwa lililohitaji kuuza mfugo mkubwa kama ng’ombe ili kupata pesa za kulitatulia. Yeye aliamua kuunza ng’ombe kwa sababu ya kutaka aishinde haraka vita hiyo. Ndiyo maana alisema kwamba, “vita imekua kubwa niuze ng’ombe.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa tajiri yule ambaye huzitumia vizuri mali zake katika maisha yake. Tajiri huyo, huzitunza vizuri mali zake hizo ili ziweze kumsaidia kuyamaliza haraka matatizo yatakayojitokeza kwenye familia yake hiyo, kwa sababu ya umakini wake huo, maishani mwake. Yeye huzitumia vizuri mali zake hizo mpaka anayamaliza haraka matatizo yanayojitokeza kwenye familia yake hiyo, kwa sababu ya umakini wake huo, katika maisha yake hayo.

Tajiri huyo, hufanana na yule aliyeuza ng’ombe alipopata tatizo kubwa mpaka akapata hela zilizomuwezesha kulitatua haraka, kwa sababu naye huzitumia mali zake kwa kuyatatua matatizo yanayoikumba familia yake hiyo mpaka anayamaliza haraka kwa sababu ya umakini wake huo, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “vita imekua kubwa niuze ng’ombe.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuzitunza vizuri mali zao ili ziweze kuwasaidia katika kuyatatua haraka matatizo yatakayozikumba familia zao, maishani mwao.

 Mathayo 6:19-34.

masai-7235675_1280

cow-7200409_1280

dances-341961_1280

ENGLISH: THE WAR HAS BECOME BIG, LET ME SELL THE COW.

Once upon a time, there was a man who was rich in domesticated animals. These animals included chickens, goats, sheep, and cows. He used to sell chickens or goats when he had minor hitches in his family for getting money which can solve them because of his thoughtfulness in his life.

But then, one day such rich man had an enormous difficult that required selling a large animal like a cow for getting enough money to solve it. He decided to bring a cow because he wanted to win the war quickly. That is why he said, “the war has become big, let me sell the cow.”

This proverb is related to a rich man who uses his wealth well in his life. This rich man takes upright care of his wealth so that it can support him quickly in solving hitches that will arise in his family, because of his responsiveness in his life. He uses his wealth well until he quickly solves the glitches which arise in his family, because of his thoughtfulness in his life.

This rich man resembles the one who sold his cow when he encountered a big delinquent until he got the money that enabled him to solve it quickly, because he also uses his wealth to solve the hitches which befall his family until he quickly solves them.That is why he says that, “the war has become big, let me sell the cow.”

This proverb imparts in individuals an idea of being so attentive enough to take decent care of their wealth so that they can support them in quickly solving glitches which will befall their families in their lives.

Matthew 6:19-34.

1346. UNENE NALIMPEJA OMUNDUKA.

Olihoyi munhu uyo oli na nimo go gupeja munduka. Umunhu ng’wunuyo oipejaga chiza noyi imunduka yiniyo, kunguno oliagudebhile chiza noyi unimo gunuyo. Uweyi agagutumama unimo gunuyo ku likanza lya ma miaka mingi noyi kunguno oliagutogilwe noyi unimo gunuyo, umuwikaji bhokwe. Hunagwene obhawilaga abhanhu giki “unene nalimpeja omunduka.”

Akahayile kenako kagalengajiyagwa kuli nkima uyo agailanhanaga chiza ikaya yakwe umukikalile kakwe. Unkima ng’wunuyo, agabhazugilaga jiliwe chiza abhanhu bhakwe kunguno ya witegeleja bhokwe ubho gugudebha chiza unimo gokwe gunuyo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhalelaga chiza abhanhu bha ha kaya yakwe kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho ubho gubhazugila jiliwa chiza abhanhu bhakwe bhenabho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu ng’wendesha o munduka uyo wiyendeshaga chiza imunduka yakwe yiniyo, kunguno nuweyi agailanhanaga chiza ikaya yakwe bho gubhazugila jiliwa chiza abhanhu bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “unene nalimpeja omunduka.”

Akahayile kenako kalanga manhu higulya ya gudebha gujilanhana chiza ikaya jabho bho gubhatongela chiza abhanhu bhabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Zaburi 50:23.

Mithali 31:10-31.

Mithali 14:1-17.

KISWAHILI: MIMI N DREVA WA GARI.

Alikuwepo mtu aliyekuwa na kazi ya kuendesha gari. Mtu huyo aliiendedesha gari hiyo vizuri sana kwa sababu ya kuielewa vizuri kazi hiyo. Yeye alifanya kazi hiyo kwa muda wa miaka mingi sana kwa sababu aliipenda sana kazi hiyo, maishani mwake. Ndiyo maana aliwaambia watu kwamba, “mimi ni dreva wa gari.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mwanamke yule ambaye huiongeza vyema familia yake katika maisha yake. Mwanamke huyo, huwapikia chakula vizuri watu walioko kwenye familia yake hiyo kwa sababu ya umakini wake huo, maishani mwake. Yeye huwalea vyema watu wa kwenye familia yake hiyo kwa sababu ya umakini wake huo wa kuwapikia watu wake chakula vizuri, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeendesha gari vizuri, kwa sababu naye huwaongoza watu wanaoishi kwenye familia yake vizuri, katika maisha yake hayo. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “mimi ni dreva wa gari.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uelewa wa kuzitunza vyema familia zao kwa kuwaongoza watu wao vizuri, ili waweze kuzilea vyema familia zao hizo, maishani mwao.

Zaburi 50:23.

Mithali 31:10-31.

Mithali 14:1-17.

ENGLISH: I AM A CAR DRIVER.

There was a man who had a job working as a driver. He drove the car very well because he understood such work well. He did that job for several years because he liked it so much in his life. That is why he told people that, “I am a car driver.”

This saying is matched to a woman who adds well to her family in her life. This woman cooks decent food for societal members in her family because of her attention in her life. She rears individuals in her family well because of her responsiveness to the cooking of decent food for her persons in her life.

This woman is like the one who drove the car well, because she also leads the public by living peacefully in her family, in his life. That is why she says that, “I am a car driver.”

This saying teaches folks about having decent understanding enough to take good care of their families by leading their people well, so that they can nurture their families well in their lives.

Psalm 50:23.

Proverbs 31:10-31.

Proverbs 14:1-17.

watch-5063956_1280

1345. NHEMAGE WANGU WANGU.

Akahayile kenako kahoyelile munhu uyo olumagwa shinhu giti Nghomi, Nzoka na jingi jingi ijo jili na bhusungu. Ulu munhu ulung’wa shinu giti jinijo agatemagwa salago kugiki bhudule gufunyiwa ubhusungu bhunubho kunguno bhudulile nulu gumhulaga umunhu ng’wunuyo ulu bhudafunyiwe wangu. Hunagwene umunhu ulung’wa shinu jinijo agayombaga giki, “nhemage wangu wangu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajaga kusitali wangu ulu osadaga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agagudililaga chiza umili gokwe bho guguchala kusitali wangu ulu osadaga kunguno ya witegeleja bhokwe ubho gugulanhana chiza umili gokwe gunuyo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhambilijaga gupila wangu abhanhu bha aha kaya yakwe bho gubhanguhya gubhachala gusitali ulu bhasadaga kunguno ya witegelega bhokwe bhunubho umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agalung’wa shinu wanguha kuteng’wa salago mpaga upila wangu, kunguno nuweyi aganguhaga guja kusitali ulu osadaga ogalagulya mpaga opila chiza, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “nhemage wangu wangu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gwanguha guja kusitali ulu bhasadaga kugiki bhadule gulagulwa wangu bhapile, umuwikaji bhobho.

Ayubu 20:26.

Zaburi 52:4-5.

Mathayo 11:28-29.

KISWAHILI: NICHANJE HARAKA HARAKA.

Msemo huo huongelea mtu aliyeumwa na mdudu kama Nje, Nyoka na wengine wengi walio na sumu. Mtu akiumwa na wadudu kama hao huchanjwa chale ili kuweza kutoa sumu ya mdudu huyo, kwa sababu inaweza kuhatarisha maisha ya mtu huo isipotolewa mapema. Ndiyo maana mtu huyo aliyeumwa na yule mdudu alisema kwamba, “nichanje haraka haraka.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huenda kutibiwa hositalini haraka akiumwa, katika maisha yake. Mtu huyo, huujali vizuri mwili wake kwa kuwahi kwenda hositalini kila anapougua, kwa sababu ya umakini wake huo wa kuujali mwili wake huo, maishani mwake. Yeye huwasaidia kupona haraka watu wanaoishi kwenye familia yake kwa kuwahisha kwenda kutibiwa hosipitalini wanapougua kwa sababu ya umakini wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeumwa na mdudu akawahi kuchanjwa mpaka akapona haraka, kwa sababu naye huwahi kwenda kutibiwa hosipitalini akiumwa, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “nichanje haraka haraka.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuwahi kwenda kutibiwa hospitalini kila wanapoumwa ili waweze kupona haraka, maishani mwao

Ayubu 20:26.

Zaburi 52:4-5.

Mathayo 11:28-29.

scorpion-1165688_1280

snake-6281394_1280

man-1640460_1280

ENGLISH: QUICKLY CUT ME.

This saying refers to a person who has been bitten by an insect such as a snake, and several others which are poisonous. When a person is bitten by such insects, they are vaccinated to be able to remove the poison from such person, because it can endanger the life of that person if it is not removed early. That is why the person who was bitten by the insect said that, “quickly cut me.”

This saying is paralleled to somebody who goes to the hospital quickly after getting sick in his life. This person takes good care of his body by going to the hospital every time when he gets sick, because of his thoughtfulness of caring for his body in his life. He supports individuals who live in his family to recover quickly by sending them to the hospital when they get sick because of his responsiveness in his life.

This person is comparable to the one who was vaccinated until he recovered quickly after being bitten by an insect, because he also goes to the hospital when he gets sick in his life. That is why he says, “Quickly cut me.”

This saying imparts in persons a clue of being so cautious enough to go to the hospital whenever they are sick so that they can recover quickly in their lives

Job 20:26.

Psalm 52:4-5.

Matthew 11:28-29.