mother tongue

1186. NALIILA NINDO.

Olihoyi munhu uyo oli mulugendo lo gujugisha bhadugu bhakwe. Umunhu ng’wunuyo, agasiminza lugendo lulihu mpaga nose utuubha kunguno ya gubhitya likanza lilihu bho nduhu ugulya. Uweyi agaliga hali kaya lya ng’wa munhu ubhasanga bhalimalija gulya bhuchele ubho agawigwa bhulinuhiila duhu umunindo bho nduhu ubhubhulya kunguno bholi bho shila. Hunagwene agayomba giki, “naliila nindo.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agiyumilijaga gulindila jiliwa jingi ulu osanga abhiye bhamalaga gulya, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agalindilaga mpaga abhazugi bhazuga jiliwa jingi ulu osangaga bhanhu bhamalaga gulya kunguno ya wiyumilija bhokwe bhunubho. Uweyi agikalaga bho bhuyegi bhutale aha kaya yakwe kunguno ya guhoya na bhanhu bhakwe bho wiyumilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agasanga bhanhu bhalimalija gulya bhuchele ugelela guwigwa mu ningo duhu, kunguno nuweyi agiyumilijaga gulindila mpaga abhazugi bhazuga jiliwa jingi, ulu osangaga abhiye bhajimalaga gujilya ijiliwa jinijo, umukikalile kakwe kenako. Hunagwene agayombaga giki, “naliila nindo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bho gulindila mpaga abhazugi bhazuge jiliwa jingi, ulu bhasangaga jiliwa jashilaga, kugiki bhadule gwidebha chiza, umuwikaji bhobho.

Luka 16:19-21.

KISWAHILI: NIMEKULA KWA PUA.

Alikuwepo mtu aliyekuwa safarini kwenda kuwasalimu ndugu zake. Mtu huyo, alitembea mwendo mrefu mpaka mwishowe akajisikia njaa kwa sababu ya kupitisha muda mrefu bila kula chakula. Yeye alipita kwenye familia moja akawakuta wanamalizia kula wali ambao ulimunukia tu, bila kuula, kwa sababu ulikuwa umeisha. Ndiyo maana alisema kwamba, “nimekula kwa pua.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvumilia kwa kusubiria mpaka chakula kingine kipikwe akiwakuta wenzake wamemaliza kula, katika maisha yake. Mtu huyo, husubiria mpaka wapishi wamalize kupika chakula kingine kila anapowakuta wenzake wamemaliza kula kwa sababu ya uvumilivu wake huo. Yeye huishi  kwa furaha kubwa na watu waliyoko kwenye familia yake hiyo, kwa sababu ya kuongea nao kwa uvumilifu wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewakuta wenzake wamemaliza kula wali ulioishia kunukia tu kwake, kwa sababu naye huvumilia kwa kusubiria mpaka wapishi waivishe chakula kingine, anapowakuta wenzake wamemaliza kula, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “nimekula kwa pua.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuwawezesha kusubili mpaka wapishi waivishe chakula kingine wanapowakuta wenzao wamemaliza kula, ili waweze kuelewana vizuri, maishani mwao.

Luka 16:19-21.

ENGLISH: I HAVE EATEN BY USING NOSE.

There was a man who was on his way to greet his brothers. He walked a long way until he finally felt hungry because of spending a long time without eating. He passed by a family and found them finishing eating the rice that he only smelled, without eating it, because it had run out. That is why he said that, “I have eaten by using nose.”

This saying is compared to a person who endures by waiting until another meal is cooked when he finds his colleagues have finished eating, in his life. Such person waits until cooks finish cooking another meal whenever he finds his colleagues have finished eating because of his patience. He lives happily with the people in his family, because of talking to them with his patience, in his life.

This person is similar to the one who found his colleagues finished eating rice that ended up smelling only to it, because he also endures by waiting until the cooks put on another food, when he finds his colleagues have finished eating, in his life. That is why he says that, “I have eaten by using nose.”

This saying teaches people about having strong patience enough to enable them wait until cooks put on another food when they find their colleagues have finished eating, so that they can understand each other well, in their lives.

Luke 16:19-21.

jollof-4659747__480

1185. NALIB’IMBILA MJISINZA.

Ulusumo lunulo, luhoyelile bhubhimbi bho numba ubho bhudadulikanile. Alihoyi munhu uyo obhimbaga numba bho gutumila jisinza mpaga uduma ugubyedecha kunguno ya gutumila ginhu jidamu jinijo. Uweyi oliadatumilaga ingoye, maswa, na manti amadimu ubhutumami bhokwe. Hunagwene agayomba giki, “nalib’imbila mjisinza.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alindimu ugwelelwa wangu iyo agawilagwa nabhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga alemile ugwigwa imihayo ya bhiye kunguno ya nhinda jakwe jinijo. Uweyi agagayiyagwa abhanhu abha guhoya nanghwe aka haya yakwe, kunguno ya bhudamu bho gwelelwa wangu imihayo iyo agawilagwa na bhiye, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu mimbiji o mujisinza uyo adabyedechije, kunguno nuweyi alindamu ugugwelelwa wangu imihayo iyo agawilagwa na bhiye, umukikalile kakwe. Hunagwene umunhu uyo agahoyaga nanghwe agayombaga giki, “nalib’imbila mujisinza.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwigwa na gwelelwa wangu imihayo iyo bhagawilagwa na bhichabho, bho guleka gubhiza bhadamu guti jisinza, kugiki bhadule kujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Zaburi 95:7b-8.

Wagalatia 3:1-6.

Mathayo 16:21-23.

KISWAHILI: NAEZEKEA CHUMA.

Methali hiyo, huongelea uelezekaji wa nyumba usiowezekana. Alikuwepo mtu aliyekuwa akiezekea chuma nyumba yake kwa muda mrefu bila mafanikio kwa sababu ya kutumia kitu kigumu. Yeye hakutumia kamba, nyasi, na miti migumu inavyokiwa katika kazi yake hiyo. Ndiyo maana alisema kwamba, “naezekea chuma.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mgumu wa kuelewa maneno anayoambiwa na wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, hukataa ushauri wa wenzake ambao ungeweza kumsaidia vizuri katika familia yake, kwa sababu ya kiburi chake hicho. Yeye huishi peke yake katika familia yake hiyo, kwa sababu ya ugumu wake huo wa kuelewa anachoambiwa na wenzake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule alieyezekea chuma nyumba yake mpaka akashindwa kufaulu, kwa sababu naye ni mgumu wa kuelewa kile anachoambiwa na wenzake, katika maisha yake. Ndiyo maana yule anayeongea naye husema kwamba, “naezekea chuma.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa wepesi wa kusikia na kuelewa kwa haraka ushauri wanaopewa na wenzao, badala ya kuwa waguma kama chuma, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Zaburi 95:7b-8.

Wagalatia 3:1-6.

Mathayo 16:21-23.

ENGLISH: I HAVE AN IRON ROOFING.

The above proverb speaks of an impossible roofing of a house. There was a man who was roofing his house by using metal for a long time without being successful because of using something which is hard. He did not use ropes, grasses, and hardwoods in his work. That is why he said that, “I have an iron roofing.”

This proverb is related to a person who has difficult in understanding words which said to him by his colleagues, in his life. Such person rejects advises of his colleagues that could help him well in his family, because of his pride. He lives alone in his family, because of his difficulty in understanding what his peers say to him in his life.

This person resembles the one who roofed his house by using iron until he failed, because he has also difficult in understanding what his colleagues say in his life. That is why he says to the one who is talking to him that, “I have an iron roofing.”

This proverb imparts in people an idea of being quick to hear and quickly understand the advises which are given to them by their nobles, instead of being stubborn like iron, so that they can raise their families well, in their lives.

Psalm 95:7b-8.

Galatians 3:1-6.

Matthew 16:21-23.

roofing-nails-4631354__480

roof-1559803__480

iron-7391493__480

1184. NGIKULU NG’WAGALA, UNTWE MONDO.

Imbuki ya lusumo lunulo, imhoyelile munhu ngikulu uyo ali na miaka mingi. Ungikulu ng’wunuyo, adulile gugachala amiganiko gakwe kungi niyo kule ulu mulilomela mhayo nebhe nuweyi. Uweyi adulile nulu gudedebhala duhu, nulu gukamala bho nduhu nulu guyomba mhayo ulu alilomela mhayo na munhu. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ngikulu Ng’wagala, untwe Mondo.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo yakwe ukunu amiganiko gakwe gali kungi niyo kule naho alitumamila unimo gokwe gunuyo, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajaga gujulima kungunda, aliyo amiganiko gakwe gali ha kaya yakwe, kunguno ya gugayiwa witegeleja bho gutumama nimo gumo bhuli likanza. Uweyi agadumaga uguimala chiza imilimo yakwe kunguno ya gudilila mihayo mingi umubhutumami bho milimo yakwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ngikulu uyo wilomelaga mhayo na ng’wiye ukunu amiganiko gakwe gali kule na henaho, kunguno nuweyi agatumamaga nimo ukunu amiganiko gakwe gali kule na ha nimo gunuyo, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ngikulu Ng’wagala, untwe Mondo.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gutumama milimo yabho bho gugatuula amiganiko gabho haho nimo uyo bhaligutumama, kugiki bhadule gupandika sabho ningi umubhutumami bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 13:10-15.

KISWAHILI: BIBI KIZEE MWAGALA, KICHWA MONDO.

Chanzo cha methali hiyo, humuongelea bibi kizee mwenye miaka mingi. Bibi kizee huyo, aweza kuyapeleka mawazo yake kwingine wakati munaongea neno fulani naye. Yeye aweza hata kuduwaa tu kwa kukaa kimya wakati anaongea neno fulani na mwenzake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “bibi kizee Mwagala, kichwa Mondo.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi wakati mawazo yake yako kwingine ambako ni mbali na pale, katika maisha yake. Mtu huyo, huenda kulima shambani wakati mawazo yake yako nyumbani kwake, kwa sababu ya kukosa umakini wa kutekeleza jambo moja kwanza na kulimaliza. Yeye hushindwa kuzimaliza vizuri kazi zake, kwa sababu ya kufikiria kitu kingine wakati anafanya kazi  zake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule bibi kizee aliyeweka mawazo yake kwingine wakati anaongea na mwenzake, kwa sababu naye huyaweka mawazo yake mbali na kazi anayoifanya wakati huo, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “bibi kizee Mwagala, kichwa Mondo.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kufanya kazi zao kwa kuweka mawazo yao kwenye kazi hizo wanazozifanya wakati huo, ili waweze kupata mali nyingi katika kazi zao hizo, maishani mwao.

Mathayo 13:10-15.

 

ENGLISH: OLD LADY MWAGALA, HEAD MONDO.

The cradle of the overhead proverb is talking about an old woman who had many years of old. Such old lady could take her thoughts elsewhere while talking to her. She could even become stunned just by staying silent when she is speaking about something to her partner. That is why people said about her that, “old lady Mwagala, head Mondo.”

This proverb is compared to a person who works when his thoughts are elsewhere, which is far from there, in his life. Such person goes to work to the field while his mind is at home, because of lack of focus enough to do one thing first and finish it. He fails to complete his tasks properly, because of thinking about something else while doing his tasks, in his life.

This person is similar to the old lady who put her thoughts elsewhere when she was talking to her partner, because he also keeps his thoughts away from the work which he is doing at that time. That is why people tell him that, “old lady Mwagala, head Mondo.”

This proverb teaches people about doing their works by putting their thoughts on the works which they are doing at that time, so that they can get a lot of wealth in their works in daily lives.

Matthew 13:10-15.

 

african-6261815__480

1183. LUHUNI LELO OHAJA.

Olihoyi munhu uyo witanagwa Luhuni umuchalo jilebhe. Umunhu ng’wunuyo, olina kajile ka wib’i bho jikolo ja bhanhu kunguno ya bhugokolo bho gutumama milimo yakwe chiza. Uweyi bhibhaga jikolo ja bhanhu nhangala ningi bho nduhu uguding’wa. Aliyo lulu, lushigu lumo agading’wa aho aliib’a ijikolo ja bhanhu jinijo. Hunagwene abhanhu bhangang’wila giki, “Luhuni lelo ohaja.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina jilangu ja gubhitila mihayo ya bhubhi abhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhitilaga miito ga bhubhi abhiye bhenabho bho gwibhisa kugiki adizubhonwa, kunguno ya jilangu jakwe jinijo. Uweyi agapandikaga makoye gaguding’wa na gulipishiwa majikolo mingi, kunguno ya gubhitila mihayo ya bhubhi abhiye bhenabho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu Luhuni uyo wibhaga jikolo ja bhanhu mpaga nose uding’wa na bhinikili jikolo jinijo, kunguno nuweyi agabhitilaga mihayo ya bhubhi abhiye mpaga nose oding’wa na gulipishiwa majikolo mingi, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “Luhuni lelo ohaja.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja gwita mihayo ya bhubhi umukikalile kabho, kugiki bhadule gutumama milimo ya gupandikila sabho jabho chiza, umuwikaji bhobho.

Kutoka 20:15-17.

KISWAHILI: LUHUNI LEO AMEKWAMA.

Alikuwepo mtu mmoja aliyeitwa Luhuni katika kijiji fulani. Mtu huyo alikuwa na tabia ya wizi wa vitu vya watu kwa sababu ya uvivu wake wa kufanya kazi zake vizuri. Yeye alikuwa akiiba vitu vya watu hao mara nyingi bila kushikwa. Lakini siku moja alikamatwa alipokuwa akiiba mali hizo za watu. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “Luhuni leo amekwama.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana tamaa ya kuwatendea matendo maovu wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, alizoea kuwatendea wenzake matendo hayo maovu kwa kujificha ili asionekane, kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya. Yeye alipata matatizo ya kukamatwa na kupewa adhabu ya kulipa mali nyingi, kwa sababu ya kuwatendea wenzake matendo hayo maovu, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule Luhuni aliyekuwa akiwaiibia watu mali zao mpaka mwishowe alikamatwa, kwa sababu naye huwatendea wenzake matendo maovu mpaka mwishowe anakamatwa na kupewa adhabu ya kulipa mali nyingi, katika maisha yake. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “Luhuni leo amekwama.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuwatendea wenzao matendo maovu katika maisha yao, ili waweze kufanya kazi za kuwapatia mali zao vizuri, maishani mwao.

Kutoka 20:15-17.

ENGLISH: LUHUNI HAS STUCK TODAY.

There was a man named Luhuni in a certain village. He had a habit of stealing people’s things because of his laziness in doing his work properly. He used to steal things from those people many times without getting caught. But one day he was caught while he was stealing people’s property. That is why people told him that, “Luhuni has stuck today.”

This saying is equaled to a person who has the desire to do evil deeds to his colleagues, in his life. Such person used to do these evil deeds to his equals by hiding so that he would not be seen, because of his evil behavior. He had troubles of being arrested and given punishment of paying a lot of money, because of doing those evil deeds to his colleagues, in his life.

This person resembles to Luhuni who used to steal people’s property until he was finally caught, because he also does evil things to his fellows until he is finally caught and given punishment of paying a lot of money, in his life. That is why people told him that, “Luhuni has stuck today.”

This saying teaches people to stop the habit of doing wicked things to their companions in their lives, so that they can work enough to get their wealth well, in their lives.

Exodus 20:15-17.

operation-80124__480

1182. NASHOLWA BHINGI.

Olihoyi munhu uyo obhambilija gutumama milimo abhiye umuchalo cha Ng’watuju. Umunhu ng’wunuyo, otumamaga nabho gwingila diyu mpaga mhindi kunguno ya lisungu lyakwe ukubhoyi. Aliyo lulu, abhanhu bhenabho, bhamanaga bhundahahija duhu ulu obhambilija chiniko, kunguno ya bhujidalumba bhobho. Hunagwene umunhu ng’wunuyo agayomba giki, “nasholwa bhingi.”

Akahayile kenako, kagalengajiyagwa kuli munhu uyo agitaga mihayo yawiza ukunhu bhalinduhilija abhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agitaga miito gawiza gagubhambilija abhanhu abho bhali na makoye kunguno ya bhutungilija na bhutogwa bhokwe ukubhiye bhenabho, abho bhagamaga bhunduhilija duhu. Uweyi agiyumilijaga gwita mihayo ya wiza ukubhiye bho nduhu ugubhadegeleka abho bhagandarahijaga, kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo obhambilijaga gutumama milimo yabho abho bhandahahilija, kunguno nuweyi agitaga miito gawiza ukubhiye, bho nduhu ugubhadegeleka abho bhaganshukilijaga, umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga giki, “nasholwa bhingi.”

Akahahile kenako kalanga bhanhu higulya ya gwiyumilija gwita miito ga wiza bho nduhu kubhadegeleka abho bhagabhaduhilijaga, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Isaya 53:1-4.

Mathayo 27:35-43.

Yohana 8:4=31-47.

KISWAHILI: NIMEFYONZWA WENGI.

Alikuwepo mtu aliyekuwa akiwasaidia wenzake katika kijiji cha Ng’watuju. Mtu huyo, aliwasaida wenzake hao kufanya kazi zao kuanzia asubuhi hadi jioni kwa sababu ya huruma yake kwao. Lakini watu hao, walikuwa wakimdharau tu kila anapowasaidia hivyo kwa sababu ya kukosa shukrani kwao. Ndiyo maana mtu huyo alisema kwamba, “nimefyonzwa wengi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutenda matendo mema huku wenzake wakimdharau, katika maisha yake. Mtu huyo, hutenda matendo ya kuwasaidia watu walioko kwenye matatizo kwa sababu ya uaminifu na upendo wake kwao watu hao ambao humdharua tu. Yeye huvumilia kuendelea kutenda mema kwa wenzake hao bila kuwajali wale wanaomdharau, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa akiwasaidia watu waliokuwa wakimdharau, kwa sababu naye hutenda matendo mema kwa wenzake bila kuwajali wale wanaomdharau, katika maisha yake. Ndiyo maana huwaambia kwamba, “nimefyonzwa wengi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuvumilia kutenda mema bila kuwasikiliza wale wanaowadharau, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Isaya 53:1-4.

Mathayo 27:35-43.

Yohana 8:4=31-47.

ENGLISH: I HAVE BEEN ABSORBED BY MANY.

There was a man who was helping his colleagues in a village of Ng’watuju. Such man helped them in doing their works from morning to evening because of his compassion for them. But those people were just disrespecting him every time he helped them like that because of their lack of gratitude. That is why he said that, “I have been absorbed by many.”

This saying is equated to a person who does good deeds to his people while they despise him, in his life. Such person helps people who are in trouble because of his loyalty and love for those people who just despise him. He endures to continue doing good deeds to his colleagues regardless of those who despise him, in his life.

This person is similar to the one who used to help people who despised him, because he also does good deeds to his colleagues without caring about those who despise him, in his life. That is why he tells them that, “I have been absorbed by many.”

This saying teaches people about persevering to do good deeds without listening to those who despise them, so that they can get a lot of success in their lives.

Isaiah 53:1-4.

Matthew 27:35-43.

John 8:4=31-47.

woman-6529392__480