1185. NALIB’IMBILA MJISINZA.

Ulusumo lunulo, luhoyelile bhubhimbi bho numba ubho bhudadulikanile. Alihoyi munhu uyo obhimbaga numba bho gutumila jisinza mpaga uduma ugubyedecha kunguno ya gutumila ginhu jidamu jinijo. Uweyi oliadatumilaga ingoye, maswa, na manti amadimu ubhutumami bhokwe. Hunagwene agayomba giki, “nalib’imbila mjisinza.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alindimu ugwelelwa wangu iyo agawilagwa nabhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga alemile ugwigwa imihayo ya bhiye kunguno ya nhinda jakwe jinijo. Uweyi agagayiyagwa abhanhu abha guhoya nanghwe aka haya yakwe, kunguno ya bhudamu bho gwelelwa wangu imihayo iyo agawilagwa na bhiye, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu mimbiji o mujisinza uyo adabyedechije, kunguno nuweyi alindamu ugugwelelwa wangu imihayo iyo agawilagwa na bhiye, umukikalile kakwe. Hunagwene umunhu uyo agahoyaga nanghwe agayombaga giki, “nalib’imbila mujisinza.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwigwa na gwelelwa wangu imihayo iyo bhagawilagwa na bhichabho, bho guleka gubhiza bhadamu guti jisinza, kugiki bhadule kujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Zaburi 95:7b-8.

Wagalatia 3:1-6.

Mathayo 16:21-23.

KISWAHILI: NAEZEKEA CHUMA.

Methali hiyo, huongelea uelezekaji wa nyumba usiowezekana. Alikuwepo mtu aliyekuwa akiezekea chuma nyumba yake kwa muda mrefu bila mafanikio kwa sababu ya kutumia kitu kigumu. Yeye hakutumia kamba, nyasi, na miti migumu inavyokiwa katika kazi yake hiyo. Ndiyo maana alisema kwamba, “naezekea chuma.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mgumu wa kuelewa maneno anayoambiwa na wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, hukataa ushauri wa wenzake ambao ungeweza kumsaidia vizuri katika familia yake, kwa sababu ya kiburi chake hicho. Yeye huishi peke yake katika familia yake hiyo, kwa sababu ya ugumu wake huo wa kuelewa anachoambiwa na wenzake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule alieyezekea chuma nyumba yake mpaka akashindwa kufaulu, kwa sababu naye ni mgumu wa kuelewa kile anachoambiwa na wenzake, katika maisha yake. Ndiyo maana yule anayeongea naye husema kwamba, “naezekea chuma.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa wepesi wa kusikia na kuelewa kwa haraka ushauri wanaopewa na wenzao, badala ya kuwa waguma kama chuma, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Zaburi 95:7b-8.

Wagalatia 3:1-6.

Mathayo 16:21-23.

roofing-nails-4631354__480

roof-1559803__480

iron-7391493__480

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.