heritage

1334. GOLEMELAGA HITIMA.

Olihoyi munhu uyo agigwa mhayo ntale uyo gugaminya umunholo yakwe. Umunhu ng’wunuyo, aho ogwigwa umhayo gunuyo agandya guchola bhanhu bho gubhawila kugiki bhadule gung’wambilija umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhayomba giki, “golemelaga hitima.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhawilaga bhiye bhang’wambilija ulu opandikaga milimo mitale, nulu mihayo mitale, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agacholaga wambilijiwa kubhiye wangu ulu opandikaga mihayo iyo igaibhunaga imholo yakwe, nulu ulu opandikaga milimo mitale iyo ijikilile nguzu jakwe, kugiki adule uguimala wangu kunguno ya gwikala gokwe chiza na bhiye umuwikaji bhokwe. Uweyi agagamala wangu amakoye ga ha kaya yakwe pye ni milimo yakwe yiniyo, kunguno ya gwanguha kulomba wambilijiwa hayo itale ugunemela, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agigwa mihayo iyo igaiminya inholo yakwe ubhawila bhiye wangu, kunguno nuweyi agacholaga wambilijiwa kubhiye ulu opandigaka makoye matale nulu nimo ntale uyo gujikilile inguzu jakwe, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “golemelaga hitima.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guchola bhanhu bhagubhambilija wangu ulu bhapandikaga makoye matale nulu milimo mitale iyo ijikilile inguzu jabho, kugiki bhadule gwambilija wangu hayo bhatali ugukeleja, umuwikaji bhobho.

Mathayo 18:15-16.

KISWAHILI: LIMEKATALIA ININI.

Alikuwepo mtu yule ambaye alisikia neno kubwa ambalo liliumiza moyo wake, Mtu huyo alipolisikia neno hilo alianza kutafuta watu wa kuwashirikisha ili aweze kupata utatuzi wa tatizo hilo mapema. Ndiyo maana alisema kwamba, “limekatalia inini.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwashirikisha wenzake ili kupata msaada kila anapopata tatizo kubwa au kazi kubwa inayozidi uwezo wake, katika maisha yake. Mtu huyo, hutafuta msaada kutoka kwa wenzake mapema kila anapokumbwa na tatizo linalomzidi nguvu, au anapopata kazi kubwa inayohitaji msaada kutoka kwa wenzake, kwa sababu ya umakini wake wa kuishi vizuri na watu, maishani mwake. Yeye huyamaliza mapema matatizo yanayoikumba familia yake, pamoja na kazi zinazidi uwezo wake kwa sababu ya kuwashirikisha wenzake mapema kabla hajachelewa kuomba msaada huo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyesikia tatizo kubwa akawashirikisha wenzake mapema, kwa sababu naye hutafuta msaada kutoka kwa wenzake mapema kila anapopata tatizo au kazi kubwa inayozidi uwezo wake, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “limekatalia inini.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kutafuta watu wa kuwasaidia mapema wanapopata tatizo kubwa au kazi inayozidi uwezo wao ili waweze kupata utatuzi wake mapema kabla hawajachele, maishani mwao.

Mathayo 18:15-16.

madagascar-4601287_1280

ENGLISH: IT HAS JAMMED IN THE LIVER.

There was a man who heard a miserable word that hurt his heart. After hearing such word, he started looking for people to share it with so that he could find a solution to it as soon as possible. That is why he said, “It has jammed in the liver.”

This saying is related to a person who shares it with his colleagues to get help whenever he encounters a huge delinquent or a huge task that is beyond his ability, in his life. Such person seeks support from his colleagues early whenever he encounters a problem that is beyond his ability, or when he gets a huge task that requires relief from his colleagues, because of his single-mindedness on living well with people, in his life. He ends hitches that beset his family early, as well as tasks that are beyond his ability because of sharing it with his colleagues early before it is too late to ask for that aid, in his life.

This person is similar to the one who heard a big problem and shared it with his colleagues early, because he also seeks help from his colleagues early whenever he encounters a problem or a huge task that is beyond his ability, in his life. That is why he says, “It has jammed in the liver.”

This saying instills in individuals a clue of seeking support early when they encounter an enormous difficult or a task that is beyond their ability so that they can find a solution early before it is too late, in their lives.

Matthew 18:15-16.

1324. UDIZUDALAHA JITENGILWE UDAMANILE UMO B’ALUHILAGA AB’AZUGI.

Ulusumo lunulo lyandija kuli munhu uyo agadalahija jiliwa ijo oliotengelwa. Umunhu ng’wunuyo agagenia ha kaya ya ng’wa munhu nhebhe. Abhanhu bha ha kaya yiniyo, bhagapemba moto, bhunzugila jiliwa mpaga jupya chiza kunguno ya wizanholo bhobho. Abhanhu bhenabho bhagantengela na kunkaribhusha giki ajilye ijiliwa jinijo.

Aliyo lulu ungeni ng’wunuyo agandya guyujidalahija ijiliwa ijo otengelagwa jinijo kunguno ya libhengwe lyakwe umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’wila giki, “udizidalaha jitengilwe udamanile umo b’ahuhilaga ab’azugi.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu ndoshi uyo agadalahijaga imilimo iyo bhagayitaga abhiye umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agamanaga uyidalahija imilimo iyo bhagayitumamaga abhiye bho guyisondagula sagala kunguno ya libhengwe na bhudoshi bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhagwisha ng’holo abhanhu bha ha kaya yakwe kunguno ya guyidalahija sagala imilimo iyo bhagayitumamaga aha kaya yiniyo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ngeni uyo agajidalaha ijiliwa ijo oliotengelwa na bhanhu abho oliobhageniha, kunguno nuweyi agayidahijaga imilimo iyo bhagayitumamaga ibhiye, aha kaya yakwe yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “udizidalaha jitengilwe udamanile umo b’ahuhilaga ab’azugi.”

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya guleka bhudoshi bho guyidalaha imilimo ya bhichabho kugiki bhadule gubhiza na bhulumbi bho gubhakamya abhichabho gwikomeja gutumama milimo iya gubhapandikila matwajo mingi, umu kaya jabho.

Wagalatia 5:16-26.

Mithali 13:1.

Mithali 29:8.

Mwanzo 21:5.

KISWAHILI: USIDHARAU KILICHOWEKWA MEZANI HUJUI VILE WALIVYOHANGAIKA WAPISHI.

Methali hiyo ilianzia kwa mtu aliyedharau chakula alichowekewa mezani ili akile. Mtu huyo, alienda ugenini kwenye familia ya mtu fulani. Wenyeji wa kwenye familia hiyo walikoka moto, wakampikia chakula mpaga kikaiva vizuri kwa sababu ya ukarimu wao. Watu hao walimuwekea mezani chakula hicho na kumkarisha ili akile.

Lakini mtu huyo, alianza kukidharau chakula hicho alichowekewa mezani kwa sababu ya dharau yake hiyo maishani mwake. Ndiyo maana watu hao, walimwambia kwamba, “usidharau kilichowekwa mezani hujui vile waliyohangaika wapishi.”

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu mwenye majivuno ambaye hudharau kazi wanazofanya wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, huzidharau kazi wanazofanya wenzake kwa kuzikosoa ovyo, kwa sababu ya dharau na majivuno yake hayo, maishani mwake. Yeye huwakatisha tamaa ya kufanya kazi watu wa kwenye familia yake kwa sababu ya kuzidharua hovyo kazi wanazozifanya kwenye familia hiyo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule mgeni aliyekidharau chakula alichokuwa amewekewa mezani ili akile, kwa sababu naye huzidharau kazi walizofanya wenzake kwenye familia yake hiyo. Ndiyo maana watu hao humwambia kwamba, “usidharau kilichowekwa mezani hujui vile waliyohangaika wapishi.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuachana na majivuno ya kudharau kazi za wenzao, ili waweze kuwa na shukrani za kuwatia moyo watu wao, kiasi cha kutosha kujibidisha kufanya kazi za kuwapatia mafanikio mengi, kwenye familia zao.

Wagalatia 5:16-26.

Mithali 13:1.

Mithali 29:8.

Mwanzo 21:5.

 

 

african-4493422_1280

african-food-3957740__480

woman-5975589__480

ENGLISH: NOT DISDAIN WHAT HAS BEEN PLACED ON THE TABLE, YOU DO NOT KNOW WHAT THE COOKS HAVE WORKED HARD FOR.

This proverb is originated from a person who disrespected the food that was set on the table for him to eat. Such person went abroad to a certain person’s family. The people of that family turned on the heat, cooked a delicious meal for him because of their hospitality. Those people put the food on the table for him to eat it.

But he began to disrespect such food that was set on the table because of his disrespect in his life. That is why those people told him that, “Do not disdain what has been placed on the table, you do not know what the cooks have worked hard for.”

This proverb is matched to a proud person who disrespects works which his colleagues do in his life. Such person disrespects the works that his colleagues do by criticizing them carelessly, because of his pride, in his life. He discourages his family members from working hard because he so disdains the works which they do in his family.

This person is like the stranger who disdained the food that was placed on the table for him to eat, because he also disdains the works which are done by his family members. That is why those people tell him that, “Do not disdain what has been placed on the table, you do not know what the cooks have worked hard for.”

This proverb teaches people to do away with pride of disdainful work of their colleagues, so that they can be grateful enough to encourage their people to carry on working hard for bringing them much success in their families.

Galatians 5:16-26.

Proverbs 13:1.

Proverbs 29:8.

Genesis 21:5.

1316. ISATA NGESE YA MU MILI.

Ingese gali maswa mingi ayo gali mungunda go ng’wa munhu. Amaswa genayo gagajilemeja ijiliwa ugupya kunguno ya kujimaja aminzi. Ung’winikili ngunda gunuyo agagudilila ungunda gokwe bho guilimila ingese yiniyo kunguno igajizonjaga ijiliwa gitumo gugasongelaga umili go ng’wa munhu uyo alisata. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “isata ngese ya mu muli.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agagudililaga chiza umu mili gokwe ulu alisata, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, aganguhaga kuja kusitali ulu alisata ogaping’wa na gwinhiwa bhugota bho gudula guipija isata yakwe yiniyo, kunguno ya witegeleja bho gugudilila chiza umili gokwe gunuyo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapilaga wangu ulu osata kunguno ya gugudilila chiza chiniko umili gokwe, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agagudilila chiza ungunda gokwe bho guilimila ingese mpaga upandika jiliwa aha kaya yakwe, kunguno nuweyi agagudilila chiza umili gokwe ulu alisata bho guja kusitali ogapandika bhugota bho gudula gumpija wangu, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “isata ngese ya mu muli.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho guidilila chiza imimili yabho ulu bhalisata, kugiki bhadule gupila wangu na gwikala bho bhuyegi umukaya jabho.

Marko 10: 46-49

KISWAHILI: UGONJWA PALIZI YA MWILI.

Palizi ni uwepo wa majani mengi ndani ya shamba la mtu. Majani hayo huyazuia mazao kuzaa kwa sababu ya kuyamalizia maji. Mwenye shamba hilo hujitahidi huyapalilia mazao yake kwa kuyakata majani hayo kwa sababu yenyewe huyasonga mazao yake kama vile ugonjwa unavyoukosesha raha mwili mwa mtu anayeumwa. Ndiyo maana watu husema kwamba, “ugojwa palizi ya mwili.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huujali vizuri mwili wake anapougua, katika maisha yake. Mtu huyo, huwahi kwenda hospitalini kwenda kupata vipimo na dawa za kuweza kumponyesha haraka, kwa sababu ya umakini wake huo wa kuujali vizuri mwili wake, maishani mwake. Yeye hupona haraka anapougua kwa sababu ya kuujali vizuri hivyo mwili wake huo kwa kuuwahisha hospitalini kila anapougua, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyelijali vizuri shamba lake kwa kulipalilia palizi mpaka akapata mazao kwenye familia yake, kwa sababu naye huujali vizuri mwili wake kwa kuuwahisha hospalini anapougua kwenda kupata vipimo na dawa za kumsaidia kupona haraka, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “ugojwa palizi ya mwili.”

Msemo huo, hufundisna watu juu ya kuwa na umakini wa kuijali miili yao kwa kuiwahisha hopitalini kila wanapougua, ili waweze kupona haraka na kuishi kwa furaha maishani mwao.

Marko 10: 46-49.

 

ENGLISH: SICKNESS A WEED OF THE BODY.

Weed is an unwanted leave in a person’s field. This leave prevents crops from producing yields because they drain water. The owner of the field strives to weed his crops by cutting these leaves because they themselves suffocate his crops just as a disease makes the body of a sick person uncomfortable. That is why people say, “Sickness a weed of the body.”

This saying is matched to a person who takes good care of his body when he is sick in life. This person sometimes goes to the hospital for getting medicines which can heal him quickly, because of his courtesy for taking good care of his body in his life. He recovers quickly when he is sick because he takes good care of his body by going to the hospital every time when he is sick in his life.

This person is like the one who took good care of his field by weeding it until it yielded crops for his family, because he also takes good care of his body by going to the hospital when he is sick for geting medicines which can help him to recover quickly in his life. That is why he says that, “Sickness a weed of the body.”

This saying teaches people to be careful enough to take care of their bodies by going to the hospital whenever they are sick, so that they can recover quickly and live happily in their lives.

Mark 10: 46-49.

 

working-4465967_1280

gardening-2518377_1280

sadness-1783794_1280

1297. NGONGOJI AGANIGONGOLA.

Olihoyi ningi uyo wikalaga muchalo jilebhe umubhutemi bho bhuduhe. Uningi ng’wunuyo agitanwa guja gujugongola hawinga bho ng’wa munhu nhebhe. Uweyi agawagongala chiza noyi abhaha kaya yiniyo mpaga noyi ung’winikili kaya yiniyo akamkumilija bho guyomba giki ogongolaga chiza noyi. Hunagwene agayomba giki, “ngongoji aganigongola.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adebhile uguitumama chiza imilimo yakwe, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo agaitumamaga chiza imilimo bho gumisha dilu ogaitumama mpaga uyimala chiza kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi aha kaya yake kunguno ya witegeleja bhokwe ubho gubhalanga abhanhu bhakwe gutumama milimo chiza, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu ningi uyo agatumama chiza unimo gokwe ugogubhagongola abho bhalibhang’witana, kunguno nuweyi agaitumamaga chiza imilimo yakwe mpaga opandika sabho ningi umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ngongoji aganigongola.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gudebha uguitumama chiza imilimo yabho, kugiki bhadule gupandika sabho ningi, umubhutumami bho milimo yabho yiniyo.

Kumbukumbu la Torati 26:19.

1Samweli 18:30.

Zaburi 66:8.

KISWAHILI: MANJU ALINISIFU.

Alikuwepo manju aliyekuwa akiishi kwenye kijiji fulani cha kwenye utawala wa Uduhe. Manju huyo aliitwa kwenda kusifu kwenye harusi ya mtu fulani. Yeye aliwasifu vizuri sana watu wa kwenye familia hiyo mpaga mwenye mji huo akamsifu kwa kusema kwamba amesifu vizuri. Ndiyo maana alisema kwamba, “manju alinisifu.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule anayeelewa kuzifanya kazi zake vizuri, maishani mwake. Mtu huyo, huzifanya kazi zake kwa kuamuka asubuhi na kwenda kuyatakeleza majukumu yake mpaga anayamaliza vizuri kwa sababu ya umakini wake huo, katika maisha yake. Yeye hufanikiwa kupata mali nyingi kwenye familia yake kwa sababu ya umakini wake huo wa kuwafundisha watu wake juu ya kuyatekeleza vizuri majukumu yao, maishani mwao.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeifanya vizuri kazi yake ya kuwasifu wale waliomuita, kwa sababu naye huyatekeleza vizuri majukumu yake mpaga anapata mali nyingi, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “manju alinisifu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuyaelewa vizuri majukumu yao na kuyatekeleza vizuri, ili waweze kupata mali nyingi, katika kazi zao hizo.

Kumbukumbu la Torati 26:19.

1 Samweli 18:30.

Zaburi 66:8.

south-africa-1164007__480

ENGLISH: THE DANCE LEADER PRAISED ME.

There was a man who lived in a certain village in the administration of Uduhe. He was a dance group leader who was called to sing praises at someone’s wedding. He very well praised the people of that family. The owner of the town appreciated him by expressing his joyfulness to him. That is why he said that, “the dance leader praised me.”

This saying is equated to a person who understands how to do his works well in his life. Such person does his works by waking up in the morning and going to fulfill his duties until he finishes them well because of his focus in his life. He manages to get a lot of wealth in his family because of his attention in teaching his people on how to properly perform their duties in their lives.

This person is similar to the one who nicely did his job of praising those who called him, because he also performs his duties well to the point of getting a lot of wealth in his life. That is why people tell him that, “the dance leader praised me.”

This saying imparts in people a clue on being careful enough to understand their responsibilities to the point of performing them well, so that they can get a lot of wealth in their works.

Deuteronomy 26:19.

1 Samuel 18:30.

Psalm 66:8.

1291. LYATUMUKILA SI KI?

Imbuki ya kahayile kenako ilolile bhasimbi bha ng’ana. Abhanhu bhenabho bhagikalaga bhubhugilija uko jiligele ing’ana jinijo kunguno ya witegeleja bhobho ubho guhaya gumana chiza uko jiligelela kugiki bhaje koyi bhagajisimbe. Hunagwene bhagabhujaga giki, “lyatumikila si ki?”

Akahayile kenako kakagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agagwitilaga bhuengeji bhutale bhuli nimo uyo alihaya gugutumama haho atali ugugwandya umubhutumami bhokwe bhunubho. Umunhu ng’wunuyo agawitaka ubhukengeji bhunubho bho gubhugilija chiza ukubhanhu abho bhagudebhile chiza unimo gunuyo, kugiki nanghwe agudebhe chiza kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga matwajo mingi aha kaya yakwe kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho ubho gugwitila bhukengeji bhuli nimo gwene uyo alihaya gugutumama aho atali ugugwandya, umubhutumami bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nabho bhabhugilijaga chiza uko jigelelaga ing’ana kugiki bhaje bhagajisimbi koyi, kunguno nuweyi agagwitilaga bhukengeji bhuli nimo gwene uyo alihaya gugutumama hayo atali ugugwandya kugiki adebhe chiza isolobho jago na agwandye lulu, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agabhujaga giki, “lyatumukila si ki?”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gugwitila bhukengeji bhuli nimo gwene uyo bhali haya gugutumama haho bhatali ugugwandya, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi umubhutumami bho milimo yabho yiniyo.

Mambo ya walawi 5:4.

Waamuzi 19:30.

KISWAHILI: LIMELIPUKIA ARDHI GANI?

Chanzo cha msemo huo huangalia wachimbaji wa Alimasi. Watu hao huwa wanaulizia mahali ambapo Almasi hizo zimeonekana kwa sababu ya umakini wao wa kutaka kufahamu vizuri kule zilipoonekana ili waende kuzichimba huko. Ndio maana watu hao huwa wanauliza kwamba, “limelipukia Ardhi gani?”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya utafiti mkubwa wa kila kazi anayotaka kuifanya kabla hajaianza kuitekeleza katika kazi zake. Mtu huyo huufanya utafiti huo kwa kuulizia kwa watu wanaoifahamu vizuri kazi hiyo kwa sababu ya umakini wake huo wa kutaka kuifahamu vizuri kazi hiyo kabla ya kuianza, maishani mwake. Yeye hupata mafanikio mengi katika familia yake kwa sababu ya umakini wake huo wa kuifanyia utafiti kila kazi anayotaka kuifanya kabla hajaianza kuitekeleza, katika kazi zake.

Mtu huyo hufanana na wale walioulizia vizuri kule zilipopatikana zile Almasi ili waende kuzichimba huko, kwa sababu naye huifanyia utafiti kila kazi anayotaka kuifanya kabla hajaianza ili afahamu faida zake ndipo aianze kuitekeleza, maishani mwake. Ndiyo maana mtu huyo huuliza kwamba, “limelipukia Ardhi gani?”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuifanyia utafiti kila kazi ile wanayotaka kuifanya kabla hawajaianza kuitekeleza, ili waweze kupata mafanikio mengi katika kazi zao.

Mambo ya walawi 5:4.

Waamuzi 19:30.

ENGLISH: WHICH LAND HAS IT EXPLODED?

The cradle of the above saying looks at the diamond miners. These people always ask where the Diamonds have been seen because of their interest in knowing exactly where they were seen so they can go there and mine them. That is why people always ask, “Which land has it exploded?”

This saying is related to a man who does a lot of researches on every job which he wants to do before implementing it in his work. Such person does research by asking people who know the job well because of his good attention enough to clearly know the job before starting it in his life. He gets a lot of success in his family because of his focus on researching every job which he wants to do before implementing it in his jobs.

This person is similar to those who asked well where the Diamonds were found so they could go there to mine them, because he also researches every job which he wants to do before starting it so as to know its benefits enough to implement it, in his life. That is why he asks that, “Which Land has it exploded?”

This saying teaches people about being careful enough to research every job which they want to sort out before doing it, so that they can get a lot of success in their jobs.

Leviticus 5:4.

Judges 19:30.

 

hand-5443280_1280

caterpillar-4374222_1280

ice-4444860_1280