heritage

1267. GAGWA MAMOTO

Imbuki ya kahayile kenako ilolile mamoto ga mbula ayo gagatongaga ulu yuluhaya gutula. Amamoto genayo gagagwa hado hado nose gakwila ulu yafugila imbula. Gashinaga lulu amamoto genayo gagabhizaga jimanyikijo ja gwandwa gutula mbula. Hunagwene abhanhu ulu bhagabhona bhagayombaga giki, “gagwa mamoto.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagajaga bhulilila mumakaya ayo gabishaga ijiliwa, umuwikaji bhobho. Abhanhu bhenabho bhagajaga gujulya jiliwa aha kaya iyo bhabhonaga lilizika lyochi bhagalindila mpaga japya, kunguno ya bhugokolo bho gutumama milimo aha kaya jabho. Abhoyi bhagadumaga ugujibheja ikaya jabho kunguno ya bhugokolo bho gutumama milimo bhusanyaga guja bhulilila mumakaya gabhanhu, umukikalile kabho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga na mamoto ga mbula ayo gagakwilaga hado hado nose ya kula mbula, kunguno nabhoyi bhagalilila jiliwa mumakaya mpaga nose bhiguta, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhayombaga giki, “gagwa mamoto.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka ng’hungwa ja bhuliliji bho mumakaya bho gwigulambija gutumama milimo yabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mithali 20:4a.

Mithali 19:24a.

Mithali 26:16a.

KISWAHILI: YAMEANGUKA MATONE.

Chanzo cha msemo huo huangalia matone ya mvua ambayo hutangulia inapotaka kunyesha. Matone hayo, huanguka kidogo kidogo mwishowe yanakuwa mvua kubwa. Kumbe basi, matone hayo huwa ni alama ya kuanza kunyesha mvua. Ndiyo maana watu wakiyaona husema kwamba, “yameanguka matone.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao huenda kula kwenye familia za watu walioivisha chakula, maishani mwao. Watu hao, huenda kula chakula kwenye familia ile wanapoona moshi unatokeza kusubiria chakula hicho mpaka kinaiva, kwa sababu ya uvivu wa kufanya kazi kwenye familia zao. Wao hushindwa kuziendeleza familia zao kwa sababu ya uvivu huo wa kufanya kazi zao, wakitegemea kwenda kula chakula cha wenzao.

Watu hao hufanana na yale matone ya mvua ambayo huongezeka kidogo kidogo mpaka mwishowe yanakuwa mvua, kwa sababu nao huenda kula kwenye familia za watu mpaga mwishowe wanatosheka, katika maisha yao. Ndiyo maana watu huwasema kwamba, “yameanguka matone.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia ya uvivu wa kufanya kazi wakitemea kula kwenye familia za wenzao, kwa kujibidisha kufanya kazi, ili waweze kuziendeza vizuri familia zao, maishani mwao.

Mithali 20:4a.

Mithali 19:24a.

Mithali 26:16a.

ENGLISH: DROPS HAVE FALLEN.

The basis of this saying looks at the raindrops that precede when it wants to rain. These drops fall little by little and finally become heavy rain. However, those drops are signs of rain. That is why when people see them, they say, “drops have fallen.”

This saying is related to people who go to eat in families of others who fed them, in their lives. Those people go to eat food in the family when they see smoke coming out and wait for the food until it is cooked, because of their laziness of working in their families. They fail to support their families because of their laziness of doing their works, by depending on going to eat their friends’ food.

Those people are like the raindrops which increase little by little until they finally become rain, because they also go to eat in the families of people who are finally satisfied, in their lives. That is why people say that, “drops have fallen.”

This saying teaches people about abandoning habit of working lazily while spitting in families of their colleagues, by forcing themselves to work, so that they can manage to run well their families, in their lives.

Proverbs 20:4a.

Proverbs 19:24a.

Proverbs 26:16a.

 

raindrop-

1266. LYALYAGA WAYA.

Akahayile kenako kahoyelile higulya ya bhuli bho waya bho ginhu jilebhe. Ubhuli bhunubho bhuli bhupeja bho mondoka ubho wangu wangu mpaga nose yagaileka inzila. Imondoka yiniyo igapejiwa jigijigi mpaga yugaileka inzila bho guja chawi kunguno ya lugendo lukali lunulo. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “lyalyaga waya.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajitumilaga sagala iginhu mpaga opandika makoye, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo agajitumamilaga isabho jakwe bho sagala chiniko mpaga opandika makoye gagujibhipya, na gwiminya kunguno ya gugaiwa witegeleja umubhutumami bho milimo yakwe yiniyo. Uweyi agajimalaga isabho jakwe mpaga ogayiwa ijiliwa aha kaya yakwe kunguno ya gugayiwa witegeleja umukatumamile ka sabho jakwe jinijo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo oyipejaga jigijigi imondoka mpaga yugaileka inzila bho guja chawi, kunguno nuweyi agajitumilaga sagala isabho jakwe mpaga opandika makoye, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “lyalyaga waya.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujitumamila chiza sabho jabho, kugiki jidule gubhambilija chiza ugujibheja ikaya jabho, umubhulamu bhobho.

Wagalatia 1:13.

Wafilipi 1:27.

Wagalatia 5:16-26.

1Thimotheo 4:12.

KISWAHILI: LIMEKULA WAYA.

Msemo huo huongelea juu ya ulaji wa waya wa kitu fulani. Ulaji huo ni uendeshaji wa gari kwa mwendo wa kasi sana mpaka linaacha njia na kwenda porini. Gari hilo liliendeshwa kwa kasi hiyo mpaka likaingia porini kwa sababu ya ukali wa mwenda huo. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “limekula waya.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutuvitumia vitu vyake hovyo mpaga ana pata matatizo, maishani mwake. Mtu huyo, hutuvitumia hovyo mali zake hizo mpaga anapata matatizo kwa sababu ya kukosa umakini katika kazi zako hizo. Yeye huzimaliza mali zake hizo mpaga anafikia hatua ya kukosa chakula katika familia yake kwa sababu ya kukosa umakini katika kazi zake hizo.

Mtu huyo hufanana na yule aliyeendesha gari kwa kasi mpaka likaaga njia na kuingia porini, kwa sababu naye huvitumia mali zake hovyo mpaga anapata matatizo, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “limekula waya.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuzitumia mali zao vizuri, ili ziweze kuwasaidia katika kuziendeleza vyema familia zao, katika maisha yao.

Wagalatia 1:13.

Wafilipi 1:27.

Wagalatia 5:16-26.

1Thimotheo 4:12.

ENGLISH: IT HAS EATEN WIRE.

This saying talks about a wire intake of something. Such consumption is a driving of a car at a very high speed until it leaves the road and goes wild. The driver of that car drove it at that speed until it entered the forest because of an intensity of the movement. That is why people said that, “it has eaten wire.”

This saying is equated to a person who uses his things carelessly to point of having problems in his life. Such person uses his property carelessly until he gets into trouble because of lack of attention in his works. He exhausts his possessions until he reaches the point where there is no food in his family because of his lack of attention in his works.

This person is similar to the one who drove a car at a very high speed until it left the road and entered the forest, because he also spends his wealth carelessly to the point of getting into trouble in his life. That is why people tell him that, “it has eaten wire.”

This saying impart in people an idea of  being careful enough to use their assets well, so that they can help them in developing their families well, in their lives.

Galatians 1:13.

Philippians 1:27.

Galatians 5:16-26.

1 Timothy 4:12.

IMG_20241222_111754_524

IMG_20241222_112049_598

IMG_20241222_111705_872

1265. KAMUSEKA NGALE.

Imbuki ya kahayile kenako, ilolile ng’waniki uyo oling’widohya umuchalo jakwe. Olihoyi ng’waniki uyo oli ng’widohya na ng’wibhembu chiza umuwikaji bhokwe. Ung’waniki ng’wunuyo, wikalaga chiza na bhanhu umuchalo jakwe kunguno ya widohya bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’witana giki “kamuseka ngale.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alini kujo ukubhanhu abho agikalaga nabho, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, abhagambilija abhanhu abha hakaya yakwe kunguno ya nikujo lyakwe linilo, umukikalile kakwe. Uweyi agailelaga chiza ikaya yakwe kunguno ya likujo lyakwe ukubhanhu bhakwe bhenabho.

Uweyi agikolaga nu ng’waniki uyo olina widohya bho gwikala chiza na bhanhu bhakwe, kunguno nuweyi alinikujo lya gwikala na bhanhu bhakwe chiza, umuchalo jakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanana giki, “kamuseka ngale.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza nikujo lya gwikala chiza na bhanhu bhabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umubhulamu bhobho.

Luka 1:26-28.

Mambo ya nyakati 4:9.

Zaburi 8:5-8.

KISWAHILI: MSICHANA MNYENYEKEVU.

Chanzo cha msemo huo, huangalia msichana aliyekuwa mnyenyekevu kwenye kijiji chake. Msichana huyo, alikuwa mnyenyekevu na mtulifu katika kuishi na watu. Yeye aliishi vizuri na watu wa kwenye kijiji chake kwa sababu ya unyenyekevu wake huo. Ndiyo maana watu hao walimuita jina la “msichana mnyenyekevu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu aliye na hekima ya kuishi na watu wake vizuri, maishani wake. Mtu huyo, huwasaidia watu anaoishi nao vizuri kwa sababu ya hekima yake hiyo, katika maisha yake. Yeye huilea vyema familia yake kwa sababu ya hekima yake hiyo ya kuishi vizuri wa watu.

Mtu huyo hufanana na yule msichana aliyekuwa na unyenyekevu wa kuishi na watu vizuri, kwa sababu naye ana hekima ya kuishi na watu vizuri katika kijiji chake. Ndiyo maana watu humuita jina la “msichana mnyenyekevu.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na hekima ya kuishi vizuri na watu wao, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Luka 1:26-28.

Mambo ya nyakati 4:9.

Zaburi 8:5-8.

 ENGLISH: A HUMBLE GIRL.

The cradle of this saying looks at a humble girl who live in a village. This girl was humble and active in living peacefully with people. She lived well with the people of her village because of her humility. That is why those people gave to her a name of “a humble girl.”

This saying is compared to a person who has wisdom of living well with people in life. Such person helps people by living well with them because of such wisdom in life. He takes good care of his family members because of his wisdom of relating well with them.

This person resembles the girl who had humility of living well with people in her village, because he also has such wisdom of relating well with people of his village. That is why people call him “a humble girl.”

This saying teaches people about having wisdom of living well with their people, so that they can nicely raise their family members in their lives.

Luke 1:26-28.

Chronicles 4:9.

Psalm 8:5-8.

 

girl-1854096_1280

girl-1139277_1280

african-child-2578559_1280

1264. NG’HOME YA BHUTULUGU.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile higulya ya Ng’ome. Ing’home yiniyo guli nang’ha nguhi uyo gugapunzagwa golekwa guduma ukubhukindilo guti ntwe gwa ng’wa munhu. Unang’ha gunuyo inhangala iningi gugikala na bhanhu abhahulu hulu. Unagwene abhanhu bhagagwitanaga giki, “ng’home ya butululu.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alintululu umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhikoloshaga abhiye kunguno ya bhutululu bhokwe ubho guchola mihayo ukubhiye abho bhagikalaga bhalyehile. Uweyi agayikenagulaga ikaya yakwe kunguno ya bhutululu bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni Ng’home iyo yatumilagwa na bhahulu hulu, kunguno nu weyi alina bhuhulu hulu ubho gubhikolosha abhiye, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu abhang’witanaga giki, “ng’home ya butululu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka bhutulugu bho gwikala chiza na bhichabho, kugiki bhadule gujilanhana chiza, ikaya jabho.

Zaburi 140: 2-4.

Zaburi 140:11.

Zaburi 47:6.

KISWAHILI: RUNGU LA JEURI.

Chanzo cha msemo huo, huongelea juu ya Rungu. Rungu hiyo ni fimbo fupi iliyochongwa vizuri na kuachwa ikiwa kubwa chini kama kichwa cha mtu. Fimbo hiyo, mara nyingi hutumiwa na watu wenye ujeuri. Ndiyo maana watu huiita fimbo hiyo kuwa, “rungu la jeuri.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mjeuri katika maisha yake. Mtu huyo, huishi kwa kuwachokoza wenzake kwa sababu ya ujeuri wake huo wa kutafuta ugomvi kwa wenzake wanaishi kwa utulivu. Yeye huiharibu familia yake kwa sababu ya ujeuri wake huo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na Rungu hilo lililotumiwa na watu wenye ujeuri, kwa sababu naye ana tabia ya ujeuri wa kuchokoza wenzake, katika maisha yake hayo. Ndiyo maana watu humwuita kuwa ni “rungu la jeuri.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia za ujeuri kwa kuishi vizuri na wenzao, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Zaburi 140: 2-4.

Zaburi 140:11.

Zaburi 47:6.

ENGLISH: A STICK OF A VIOLENT ONE

The cradle of this saying talks about a stick. This stick is a short rod that is well carved and left as large at the bottom as a man’s head. Such stick is often used by violent people. That is why people call that stick, “a stick of violent one.”

This saying is compared to a person who is violent in his life. Such person lives by provoking his colleagues because of his audacity to seek quarrels while his colleagues live in peace. He destroys his family because of his arrogance, in his life.

This person is similar to the Mace used by violent person because he also has a violent habit of provoking his colleagues, in his life. That is why people call him “a stick of a violent one.”

This saying teaches people about abandoning violent behaviors by living well with their peers, so that they can raise their families well, in their lives on the way to the heaven kingdom.

Psalm 140: 2-4.

Psalm 140:11.

Psalm 47:6.

 

 

massai-1116673_1280

massai-278422_1280

stick-fight-412666_1280

1255. UNG’WUNUYU NSEBHEJI DUHU NAWE.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile munhu uyo otumamaga nimo uyo guti gokwe. Umunhu ng’wunuyo, ogutumamaga chiza unimo gunuyo mpaga nose abhanhu bhuyuhaya giki, unimo gunuyo guli gokwe, kunguno ya gugudilila chiza chiniko. Nose nuweyi agaiganika giki unimo gunuyo guli gokwe aho obhigwa bhanhu bhingi bhalihaya chene. Hunagwene abhanhu abho bhabhumanile ubhunhana bho nimo gunuyo, bhagayomba giki, “ung’wunuyu nsebheji duhu nawe.”

Akahayike kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agigimbilaga milimo iyo idiyakwe, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo, agatumamaga jibalubha uyihaya giki alimungunda gokwe kunguno ya wigimbi bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agadumaga uguyibheja chiza ikaya yakwe kunguno ya gutumama mumajipande na wigimbi bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo otumamaga nimo go bhangi uyiganika giki, guligokwe, kunguno nuweyi agatumamaga mujibalubha uyuhaya giki, alimungunda gokwe. Hunagwene abhanhu bhaganhayaga giki, “ung’wunuyu nsebheji duhu nawe.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gutumamila bhutengeke imilimo ya bhanhu, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Zaburi 33:4.

2Samweli 22:7.

Maombolezo 3:23.

Mathayo 25:20-23.

Wagalatia 5:22.

Tito 2:10.

KISWAHILI: HUYU NAYE NI DALALI TU.

Chanzo cha msemo huo, huongelea mtu aliyekuwa akifanya kazi isiyo yake. Mtu huyo, alikuwa akiifanya vizuri kazi hiyo mpaka baadhi ya watu wakaanza kufikiria kwamba, kazi ile ni yake kwa sababu ya kuijali vizuri. Naye aliposikia watu wengi wakimsifia hivyo, alianza kuifikiria kazi hiyo kama ni yake mwenyewe. Ndiyo maana wale walioufahamu ukweli wa kazi hiyo walisema kwamba, “huyu naye ni dalali tu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujivunia kazi isiyo yake, katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya kazi kwenye kibarua na kusema kwamba, anafanya kazi kwenye shamba lake, kwa sababu ya majivuno yake hao, maishani mwake. Yeye hushindwa kuiendeleza vizuri familia yake kwa sababu ya kufanya kazi kwenye vibarua vya mashamba ya watu na majivuno yake hayo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyefanya kazi ya mtu mwingine, akafikiria kuwa ni yake, kwa sababu naye hufanya kazi kwenye vibarua na kusema kwamba, anafanya kazi kwenye Shamba lake. Ndiyo maana watu husema juu yake kwamba, “huyu naye ni dalali tu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kufanya kazi za watu kwa uaminifu na unyofu wa kweli, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Zaburi 33:4.

2Samweli 22:7.

Maombolezo 3:23.

Mathayo 25:20-23.

Wagalatia 5:22.

Tito 2:10.

ENGLISH: THIS ONE IS JUST A BROKER.

The source of this saying speaks of a person who was doing a job that did not belong to him. That person was doing the job well until some people started thinking that the job was his because he cared about it well. And when he heard many people praising him like that, he began to think of the work as his own. That is why those who knew the truth of such work said that, “this one is just a broker.”

This saying is equated to a person who is proud of a job that is not his, in his life. Such man works as a laborer and says that he works on his farm, because of his pride, in his life. He fails to develop his family properly because of working in the fields of people and his pride in his life.

This person is similar to the one who did someone else’s work, and thought it was his, because he also works on the laborers and said that, he is working on his Farm. That is why people say about him that, “this one is just a broker.”

This saying teaches people about doing people’s work with honesty and sincerity, so that they can raise their families well in their life.

Psalm 33:4.

2 Samuel 22:7.

Lamentations 3:23.

Matthew 25:20-23.

Galatians 5:22.

Titus 2:10.

hiring-2402042__480