heritage

1216. NHUNGULU NJOBHA IGAPEJAGA MANANA GAYO.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile nhungulu. Inhungulu iniyo ili nonii iyo igapelelaga bho gulala ulu yapyeniwagwa na ng’wichaloyo kugiki idule gwipija guminyiwa nulu gubhulagwa. Iyoyi igagatumilaga amanana gayo genayo bho gwiyinja mumakoye gaguminyiwa nulu gubhulagwa. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki “nhungulu njobha igapejaga manana gayo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agagatumilaga amasala gakwe bho gwiyinja umumakoye, umuwikaji bhokwe. Munhu ng’wunuyo, agagatumalaga amasala gakwe genayo bho gubhalumanya chiza abhanhu bhakwe kunguno atogilwe gwikala bho mholele na bhiye, umuchalo jakwe. Uweyi agayilangaga lilange lya gwikala chiza na bhanhu ikaya yakwe, kunguno ya wikaji bho ubhowiza bhunubho, umuchalo jakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni nhungulu iyo igipijaga gwinga mumakoye bho gugapeja amanana gayo, kunguno nuweyi agagatumilaga amasala gakwe bho gwikala chiza na bhiye umuchalo jakwe jinijo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “nhungulu njobha igapejaga manana gayo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka gwikenya bho gugatumila chiza amasala gabho gwikala na bhanhu, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umukaya jabho.

Mathayo 26:51-52.

Mathayo 2:13-15.

KISWAHILI: KUNGULU MWOGA HURUKA KWA MBAWA ZAKE.

Chanzo cha msemo huo, huangalia kungulu. Kungulu huyo ni ndege ambaye huruka kwa mbawa zake anapozidiwa na mwenzake katika ugonvi ili kujiokoa kutoka kwenye hatari ya kuumizwa au kuuliwa na mwenzako huo. Yeye huzitumia mbawa zake hizo kwa kujiondoa kwenye matatizo ya kuumizwa au kuuliwa. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kungulu mwoga huruka kwa mbawa zake.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutumia akili zake kwa kujiokoa kutoka katika hatari ya kuumizwa au kupoteza maisha yake, katika maisha yake. Mtu huyo, huzitumila vizuri akili zake hizo kwa kuwaunganisha watu wake vizuri kwa sababu ya kupenda watu waishi vizuri na kwa amani, katika maisha  yake. Yeye huwalea vyema watu walioko kwenye familia yake kwa sababu ya malezi yake mema aliyo nayo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule kungulu aliyetumia mbawa zake katika kujiondoa kutoka matatizo ya kuumizwa au kuuliwa, kwa sababu naye hutumia akili zake kwa kuishi vizuri na wenzake maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kungulu mwoga huruka kwa mbawa zake.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha kugombana kwa kuzitumia akili zao vizuri ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, katika familia zao.

Mathayo 26:51-52.

Mathayo 2:13-15.

ENGLISH: A COWARD CROW FLIES WITH ITS WINGS.

This saying looks at a crow. The crow is a bird that flies with its wings when it is overwhelmed by its partner in a fight to save itself from a danger of being hurt or killed by that partner. It uses its wings to get out of a trouble of being hurt or killed. That is why people say that, “a coward crow flies with its wings.”

This saying is equated to a person who uses his mind to save himself from a risk of being hurt or losing his life, in his life. Such person uses his intelligence well to connect his people because he loves them enough to live well and peacefully in his life. He takes good care of the people in his family because of a good upbringing which he has in his life.

This person is similar to the crow which used its wings to escape from problems of being hurt or killed, because he also uses his intelligence for living well with his companions in life. That is why people tell him that, “a coward crow flies with its wings.”

This saying teaches people on how to stop fighting by using their minds well so that they can live in peace with their societal members in their families.

Matthew 26:51-52.

Matthew 2:13-15.

raven-1347374_1280

1215. GULYA GUNONU GULIMAJIDIMU.

Imbuki ya kahayile kenako, ihoyelile higulya ya gulwa jiliwa go ng’wa munhu nnebhe. Ugujilya ijiliwa jinijo ili jinogu noyi kunguno bhulihoyi bhohoji bho chiza chiza niyo unii agikalaga wigashije duhu. Aliyo lulu, ugujilima ijiliwa jinijo guni nimo ndimu niyo gogunoja gete.

Oliyohi munhu uyo ojilyaga duhu ijiliwa ijo bhajitumamila abhiye, aliyo ugujilima uweyi ogabhonaga jidimu, kunguno ya guduma gwiyumilija gutumama milimo, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “gulya gunonu gulima jidimu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alingokolo ugutumama imilimo yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga wigashije duhu bho ndugu ugutumama imilimo nulu lyashikagaga ilikanza ilya gulima kunguno ya bhugokolo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agajimalaga gujilya ijikolo jakwe mpaga oyulala nzala akaya yakwe yiniyo, kunguno ya bhugokolo bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo ojilyaga ijiliwa ja bhiye alugujilima nduhu, kunguno nuweyi agajilyaga ijikolo ja bhiye bho nduhu ugutumama imilima aha kaya yakwe, mpaga nose oyulala nzala, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “gulya gunonu gulima jidimu.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwiyumilija gutumama milimo yabho bho wigulambija bhutale umuwkikaji bhobho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umukaya jabho jinijo.

Mithali 12:27.

Mithali 19:15.

KISWAHILI: KULA KUTAMU KULIMA VIGUMU.

Chanzo cha msemo huo, huongelea juu ya kula chakula kwa mtu fulani. Kula chakula ni kutamu sana kwa sababu ya radha nzuri anayoipata mlaji huyo tena hata akiwa amekaa tu. Lakini kukilima chakula hicho ni vigumu kwa sababu kunahitaji uvumilivu wa kupigwa jua na kutoka jabho jingi mpaga anachoka sana mkulima huyo.

Alikuwepo mtu katika kijiji fulani aliyependa kula chakula vizuri, lakini kukilima chakula hicho, aliona kuwa ni vigumu, kwa sababu ya kushindwa kufumilia kazi ngumu katika maisha yake. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “kula kutamu kulima vigumu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mvivu wa kufanya kazi, katika maisha yake. Mtu huyo, hupendelea kukaa tu bila ya kufanya kazi hata wakati wa kulima, kwa sababu ya uvivu wake huo, maishani mwake. Yeye hukimalima kukila chakula walichokifanyia kazi wenzake, mpaga anafikia hatua ya kulala bila kula kwa sababu ya kukosa chakula kwenye familia yake hiyo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekula chakula walichokifanyia kazi wenzake bila yeye kukilima, kwa sababu naye hula mali za wenzake bila ya yeye kuzifanyia kazi, mpaga anafikia hatua ya kukosa chakula katika familia yake. Ndiyo maana watu humwambia kwambia, “kula kutamu kulima vigumu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kujibidisha kufanya kazi vizuri maishani mwao, ili waweze kupata mafaniko mengi zaidi katika familia zao.

Mithali 12:27.

Mithali 19:15.

ENGLISH: EATING IS SWEET TO CULTIVATE IS HARD.

The overhead saying talks about eating food of a certain person. Eating food is very tasty because of a good pleasure that the eater gets again even if he is just sitting. But growing that food is difficult because it requires patience to be exposed to the sun and from a lot of heat until the farmer gets very tired.

There was a man in a certain village who liked to eat good food, but to cultivate that food, he found it difficult, because of his inability to endure hard work in his life. That is why people told him that, “Eating is sweet to cultivate is hard.”

This saying is related to a person who is lazy to work, in his life. Such person prefers to sit idle even when during the farming time, because of his laziness, in his life. He finished to eat the food that his colleagues worked for, until he reaches the stage of sleeping without eating because of the lack of food in his family.

This person is similar to the one who ate the food that his colleagues worked for without him cultivating it, because he also eats the property of his colleagues without him working for it, until he reaches the point of not having food in his family. That is why people tell him that, “Eating is sweet to cultivate is hard.”

This saying imparts in people an idea of having strong patience enough to work hard in their lives, so that they can find more success in their families.

Proverbs 12:27.

Proverbs 19:15.

african-food-3957740_1280

1213. GWIWILA GULIHO UGWIYIGWA NDUHU.

Bhaliho bhanhu bha ha kaya ndebhe abho bhilomelaga higulya ya kutumama milimo yabho. Aliyo lulu, umuwilomeji bhobho bhunubho abhanhu bhenabho, bhalidiigwagwa chiza, kunguno ya gukija gwidegeleka chiza umumahoya gabho genayo. Abhoyi bhayoganyaga ulu bhaliyomba kunguno ya bhuli ng’wene guhaya adegelekwe wei duhu. Hunagwene bhagayomba giki, “gwiwila guliho ugwiyigwa nduhu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagapangaga chiza imilimo ya gutumama aha kaya yabho, aliyo ugutimija nduhu. Abhanhu bhenabho bhagilomelaga higulya ya kutumama nimo nnebhe bhiyigwa chiza, aliyo lulu ulu lyushiga ilikanza lya gugumama unimo gunuyo, bhuli ng’wene agajaga kunimo gokwe duhu, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagadumaga kujibheja chiza ikaya jabho jinijo, kunguno ya kuleka uguitimija imilimo iyo bhagayipangaga guyitumama, aha kaya jabho jinijo.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga nabho bhahoyaga bhiigwa bho nduhu ugwidegeleka chiza, kunguno nabhoyi bhapangaga milimo yao bho mihayo aliyo uguitimiza nduhu aha kaya yabho yiniyo. Hunagwene bhagayombaga giki, “gwiwila guliho ugwiyigwa nduhu.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na ng’wigwano gogujilanija chiza, umubhupangi bho milimo yabho kihamo na guyitumama chiza, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Luka 11:23.

Luka 11:27-28.

Luka 15:9-10.

Marko 14:17-21.

Yohana 15:1-3.

KISWAHILI: KUAMBIANA KUPO KUELEWANA HAKUNA.

Walikuwepo watu kwenye familia fulani waliokuwa katika maongezi yao juu ya kufanya kazi zao. Lakini katika maongezi hayo watu hao walikuwa hawaelewani vizuri, kwa sababu ya kutosikilizana vizuri katika maongezi hayo. Wao walikuwa wakipiga kelele katika kuongea kwao kwa sababu ya kila mmoja wao kutaka asikilizwe yeye tu. Ndiyo maana walisema kwamba, “kuambiana kupo kuelewana hakuna.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wanaopanga vizuri kazi za kufanya bila kuzitekeleza, kwenye familia yao. Watu hao huongea juu ya kufanya kazi fulani na kuelewana vizuri, lakini ukifika wakati wa kuifanya kazi hiyo, kila mmoja huenda kwenye kazi yake tu, maishani mwao. Wao hushindwa kuziendeleza vizuri familia zao hizo, kwa sababu ya kuacha kuzitekeleza kazi zao walizozipanga, katika familia zao hizo.

Watu hao, hufanana na wale waliopanga kufanya kazi zao vizuri, bila kuzitekeleza, kwa sababu nao hupanga kazi za kufanya vizuri bila kuzitimiza, kwenye familia zao hizo. Ndiyo maana wao husema kwamba, “kuambiana kupo kuelewana hakuna.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uelewano wa kushirikiana vizuri katika kupanga kazi zao na kuzitekeleza kwa pamoja, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Luka 11:23.

Luka 11:27-28.

Luka 15:9-10.

Marko 14:17-21.

Yohana 15:1-3.

ENGLISH: TALKING TO EACH OTHER WHERE THERE IS NO MUTUAL UNDERSTANDING.

There were people in a family who were talking about doing their jobs. But in their conversations, they did not understand each other well, because of not listening well to each other while talking. They were shouting in their speech because each of them wanted to be listened by others. That is why they said that, “talking to each other where there is no mutual understanding.”

This saying is related to people who plan well the tasks to be done without carrying them out, in their family. Those people talk about doing some works and get along well, but when a time of doing them comes, everyone just goes to his/her works, in their lives. They fail to develop their families well, because of stopping to carry out their planned tasks, in their lives.

Those people are similar to those who planned to do their jobs well, without carrying them out, because they also plan jobs to do well without fulfilling them, in their families. That is why they say that, “talking to each other where there is no mutual understanding.”

This saying teaches people about having an understanding that is good enough to cooperate well in planning their works and carrying them out together, so that they can develop their families well, in their lives.

Luke 11:23.

Luke 11:27-28.

Luke 15:9-10.

Mark 14:17-21.

John 15:1-3.

women-6886782_1280

1208. ULIGALINZULA YAKI INGOB’O YA NKWILIMA?

Imbuki ya kahayile kenako ilolile Nkwilima na nina bhukwi okwe. Unina bhukwi ng’winuyo, goli ngilo ugwidima ingob’o ya nkwilima okwe. Aliyo lulu umayu ng’wunuyo, agandya guidimagula ingob’o ya nkwilima okwe ng’winuyo. Hunagwene abhanhu bhagamuja giki, “uligalinzula yaki ingob’o ya nkwilima?”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinibhengwe ukubhanhu abho agikalaga nabho, aha kaya yakwe. Umunhu ng’wunuyo, alina bhutoshi bho gubhadalaha abhanhu bhakwe kunguno ya gwibhona giki aliosolobho nhale gukila abhiye, umuwikaji bhokwe. Uweyi agaikenakulaga ikaya yakwe kunguno ya bhudoshi bhokwe bhunubho ubho gubhitila libhengwe abhiye, aha kaya yakwe.

Umunhu ng’wunuyo, akikolaga nu nina bhukwi uyo agaminzila ikujo unkwilima okwe bho guidimagula ingob’o yakwe, kunguno nuweyi agabhabhinzila ikujo abhanhu bhakwe bho gubhitila libhengwe, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagamujaga giki, “uligalinzula yaki ingob’o ya nkwilima?”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhiza ni kujo ukubhichabho bho ndugu ugwisendeja lwande lumo ijinagufunya bhuyanguji, kugiki bhadule kujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

1Petro 2:17a.

1Yohana 3:11.

1Yohana 4:11-12.

KISWAHILI: UNAIPEKUA YA NINI NGUO YA MKWILIMA?

Chanzo cha msemo huo chaangalia Mkwilima na mama mkwe wake. Mama mkwe huyo, ilikuwa ni mwiko kuishika nguo ya mkwilima wake. Lakini mama huyo, alianza kuishikashika nguo hiyo ya mkwilima wake huyo. Ndiyo maana watu walimuuliza kwamba, “unaipekua ya nini nguo ya mkwilima?”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana dharau kwa watu wale anaoishi nao, katika maisha yake. Mtu huyo, ana majivuno ya kuwadharau watu wake hao kwa sababu ya kujiona kuwa yeye ana thamani kubwa zaidi kuliko hao wenzake, maishani mwake. Yeye huivuruga familia yake hiyo kwa sababu ya majivuno yake hayo ya kuwafanyia dharau wenzake, katika familia yake.

Mtu huo, hufanana na yule mama mkwe aliyemvunjia heshima mkwilima wake kwa kuishikashika nguo yake, kwa sababu naye huwavunjia heshiwa watu wake kwa kuwadharau, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuuliza kwamba, “unaipekua ya nini nguo ya mkwilima?”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na heshima kwa watu wote bila ya kuwafanyia dharau kwa kuegemea upande mmoja, katika utoaji wa maamuzi, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

1Petro 2:17a.

1Yohana 3:11.

1Yohana 4:11-12.

 

ENGLISH: WHY ARE YOU SEARCHING THE CLOTHES OF THE SON IN LAW?

The cradle of the above saying is about a mother in law who touched clothes of her son-in-law. The mother-in-law was a taboo to hold clothes of her son in law. But she started holding the clothes of her son in law. That is why people asked her that, “Why are you searching the clothes of the son in law?”

This saying is compared to a person who has contempt for people whom he lives with in his life. Such person is proud enough to look down on his people because he thinks that he has more value than his colleagues in his life. He disturbs his family because of his pride in disrespecting his colleagues.

This person is similar to the mother-in-law who dishonored her son in law by grabbing his clothes, because he also dishonored his people by disrespecting them in his life. That is why people ask him that, “Why are you searching the clothes of the son in law?”

This saying teaches people about having respect for all people without insulting them by leaning on one side, in making decisions, so that they can raise their families well, in their lives.

1 Peter 2:17a.

1 John 3:11.

1 John 4:11-12.

 

man-5966217_1280

1206. KALAGU – KIZE. MUMO UGANENGELA UDUNASA UNG’WANA NG’WUNUYO – BHUNYENYA.

Imbuki ya kalagu yiniyo ililola kabhunyenya ako kali kadoo noyi nulu ugiyina kugalasa udukadula kunguno ya bhudoni bhogo bhunubho. Ubhunyenya bhunubho  bhuli bhudodo aliyo bhukikalaga bhunoyi noyi ugubhulya. Ukwene huguhaya giki, iginhu jigikalaga na solobho yajo mumho jigadohela. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “mumo uganengela udunasa ung’wana ng’wunuyo – kabhunyenya.”

Ikalagu yuniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhadahalaga abhanhu kunguno ya bhudoni bho mimili yabho umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo adaibhonaga isolobho ya bhanhu abho bhali hasilili yakwe, kunguno ya libhengwe yakwe linilo umuwikaji bhokwe. Uweyi agadumaga uguyibheja chiza ikaya yakwe kunguno ya gubhadalaha sagala abhanhu bhakwe bhenabho, aha kaya yakwe yiniyo.

Umunhu ng’wunyo, agikolaga nuyo abhudalaha ubhunyenya bho gulola bhudoni bhobho, kunguno nu weyi agabhadalahaga abhanhu abho bhali hasilili yakwe, umuwikaji bhokwe mpaga oduma uguibhona isolobho yabho, aha kaya yakwe yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “mumo uganengela udunasa ung’wana ng’wunuyo – kabhunyenya.”

Ikalagu yiniyo yalanga bhanhu higulya ya kuleka libhengwe lya gubhadalaha sagala abhanhu abho bhali hasilili yabho, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi umubhutumami bho milimo yabho, umukaya jabho.

Marko 4:30-32.

1Wakorintho 1:27-28.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

HATA UJITAHIDI KUMLENGA KWA MSHALE NAMNA GANI MTOTO HUYO HUTAMPIGA – UFUTA.”

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia ufuta ambao ni mdogo sana. Ufuta hata mtu ajitahidi kuulenga kwa mshale ili aupige hataweza, kwa sababu ya udogo wake huo. Wenyewe ni mdogo lakini ni mtamu kwa kuula. Ndiyo kusema kwamba, kitu hata kikiwa kidogo namna gani, kinafaida yake katika maisha ya mwanadamu. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, “hata ujitahidi kumlenga kwa mshale namna gani mtoto huyo hutampiga – ufuta.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwadharau watu walioko chini yake kwa sababu ya udogo wa miili yao. Mtu huyo, huwa haioni faida ya watu walioko chini yake, kwa sababu ya dharau aliyo nayo kwao, maishani mwake. Yeye hushindwa kuilea vyema familia yake kwa sababu ya kuwadharau hovyo watu waliopo kwenye familiya yake hiyo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliudahau ututa kwa kuangalia udogo wa umbo la zao hilo, hata akashindwa kuona faida yake, kwa sababu naye huwadharau watu walioko chini yake mpaga anashindwa kuona faida yao kwenye familia yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “hata ujitahidi kumlenga kwa mshale namna gani  mtoto huyo hutampiga – ufuta.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuacha kuwadharau hovyo watu walioko chini yao, ili waweze kupata mafanikio mengi katika utekelezaji wa majukuku yao, katika familia zao.

Marko 4:30-32.

1Wakorintho 1:27-28.

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

EVEN IF YOU TRY TO TARGET WITH AN ARROW YOU WILL NOT HIT THAT CHILD – SAMSAM.

The basis of this paradox looks at a very small crop which is known as samsam. Even if someone tries to aim at it with an arrow, he will not be able to hit it, because of its small size. They themselves are small but they are sweet to eat. That is to say that, no matter how small something is, it is useful to human life. That is why people tell each other that, “even if you try to target with an arrow, you will not hit that child – Samsam.”

This puzzle is equated to a person who despises people who are under him because of smallness of their bodies. Such person never sees benefit of people who are under him, because of a contempt that he has to them, in his life. He fails to raise his family well because of his carelessness to his people.

This person relates to the one who underestimated the small size of that small crop, until he failed to see its benefit, because he also despises the people who are under him to the point of failing to see their benefit in his family. That is why people tell him that, “even if you try to target with an arrow, you will not hit that child – Samsam.”

This riddle teaches people about stopping belittling the people who are under them, so that they can achieve a lot of success in raising their children, in their families.

Mark 4:30-32.

1 Corinthians 1:27-28.

family-2563889_1280

mother-and-daughter-668167_1280

woman-1320103_1280