Uncategorized

1076. SANGILA BUGA YA B’ITOJI.

Imbuki ya kahayile kenako, ihoyelile higulya ya libhilinga lya bhabyaji bha bhitoji. Ulimlibhilinga linilo bhaganumanaga abhabyaji abha ku lwande lo ngosha nabha kulwande lo nkima aho bhitolelaga abhana bhabho bhenabho. Abhabyaji bhenabho bhagisumbyaga kugiki bhabhalombele lubhango lo gwikala chiza abhitoji bhenabho. Hunagwene bhagalumanaga ha “hangila buga ya b’itoji.”

Akahayile kenako, kagalengajiyagwa kubhitoji abho bhagikalaga bhadebhile igiki bhali mili gumo, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagikalaga na ng’wigwano go gwishibhila chiza umubhupangi nu mubhutumami bho milimo yabho, kunguno ya witogwi bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagapandikaga mbango ja gubhalela chiza abhana bhabho kunguno ya ng’wigwano gobho gunuyo, umukikalile kabho.

 Abhitoji bhenabho, bhagikolaga na bhabyaji bha bhitoji abho bhagalumana kihamo kubhalombela lubhango lo gwikala chiza abhana bhabho abho bhalibhitola, kunguno nabhoyi bhagikalaga na ng’wigwano go gubhalombela lubhango abhana bhabho, umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagalumanaga ha “sangila buga ya b’itoji.”

Akahayile kenako, kalanga bhitoji higulya ya gubhiza na ng’wigwano go kubhalombela lubhangu abhana bhabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Waefeso 5:6-14.

Marko 10:7-9.

 

KISWAHILI: MUUNGANO WA WANAOOANA.

Chanzo cha msemo huo, chaongelea juu ya mkusanyiko wa wazazi wa watoto wanaooana. Mkusanyiko huo huandaliwa na wazazi wa pande zote mbili yaani wale wa upande wa mwanaume na wale wa upande wa mwanamke.

Wazazi hao hukusanyika ili kuwaombea Baraka za kuishi vizuri watoto wao hao wanaooana. Ndiyo maana husanyika kwenye “muungano wa wanaooana.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa wanandoa wale ambao huishi kwa kuelewa kuwa wao ni mwili mmoja, katika maisha yao. Watu hao huwa na uelewano wa kuheshiana vizuri katika upangaji na utekelezaji wa kazi zao, maishani mwao. Wao huwapatia Baraka watoto wao za kuishi vizuri na watu kwa sababu ya uelewano wao huo, maishani mwao.

Wanandoa hao, hufanana na wale wazazi waliokusanyika kuwaombea Baraka za kuishi vizuri na watu watoto wao hao waliokuwa wanaoana, kwa sababu nao wana muungano wa kuwaombea Baraka za kuishi vizuri watoto wao. Ndiyo maana wao hukusanyika kwenye “muungano wa wanaooana.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na muungano wa kuwaombea Baraka watoto wao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Waefeso 5:6-14.

Marko 10:7-9.

engagement-7129147__480

 

african-couple-7403498__480

bride-5427659__480

 

ENGLISH:  A UNION OF THE MARRIED ONES.

This saying talks about the gathering of parents of children who get married. The gathering is organized by the parents of both sides, that is, those of the male side and those of the female side.

These parents gather to pray for blessings of their children who are getting married. That is why they gather in the “a union of the married ones.”

This saying is compared to those couples who live with the understanding that they are one body, in their lives. Those people have a good mutual understanding in the planning and implementation of their works, in their lives. They give blessings to their children to live well with people because of their understanding, in their lives.

Those couples are similar to those parents who gathered to pray for blessings of their children to live well with people who were getting married, because they also have a union to pray for blessings of their children to live well. That is why they gather in the “a union of the married ones.”

This saying teaches people about having a union to pray for their children’s blessings, so that they can raise their families well, in their lives.

Ephesians 5:6-14.

Mark 10:7-9.

1066. KALAGU – KIZE. LINGONGONGO LILIMUNZILA YALYO – LILELI.

Ikalagu yiniyo, yilolile leli iyo ili nzila ya gubhitila ilingongo linilo. Ileli yiniyo igalilanghanaga lingongono linilo lulu kunguno bhuli bhulitilo moblo ilyoyi. Ligabhizaga guti zipu iyo yigabhitilaga munzila yayo uluilifunga jose jose. Hunagwene abhanhu bhagayomba  giki “lingongongo lilimunzila yalyo – lileli.”

Ikalagu yiniyo, igalengajiyagwa kuli munhu uyo agabhudimilaga chiza uwitanwa bhobho, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agagikalanaga chiza amalagilo ga witanwa bhokwe umukikalile gakwe kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho. Uweyi agabhalangaga na bhanhu bhakwe inzila ja gwikala bhabhudimilile ubhunhana kunguno ya bhutengeke bhokwe umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni leli ijo jigalidimilaga ilingongongo lyabhita chiza umunzila yalyo, kunguno nuweyi agagadimilaga amalagilo ga nzila ya nhana, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “lingongongo lilimunzila yalyo – lileli.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gubhiza bhatungilija bho gujikalana chiza inhungwa ijawiza, kugiki bhadule gubhalela chiza abhanhu bhabho umuwikaji bhobho.

Kutoka 28:2 – 5.

Mithali 31:21b – 25.

Marko 1:6-7.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA. GARI MOSHI LIMO RELINI – LELI.

Kitendawili hicho, chaangalia leli ambayo ni njia inamopitia treini hiyo. Leli hiyo, huilinda treini hiyo kwa sababu ndiyo njia yake inayoyashikilia mataili yake hayo ya chuma. Yenyewe huwa kama zipu ambayo hupitia kwenye njia yake wakati wa kufunga kitu chochote kile. Ndiyo maana watu husema kwamba, “gari moshi limo relini – leli.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huishikilia vizuri njia ya kuishi kwenye maadili mema, katika maisha yake. Mtu huyo huyaishi vizuri maadili hayo kwa kufanya kazi vizuri kwa sababu ya uaminifu wake huo. Yeye huwafundisha pia wenzake juu ya kuziendeleza njia hizo njema kwa kuushikiria ukweli katika kazi na katika maisha ya kila siku kwa sababu ya umakini wake huo wa kutunza familia yake.

Mtu huyo hufanana na ile leli inavyoishirikia treini yake mpaka inaweza kupita vizuri kwenye njia yake hiyo, kwa sababu naye huyashikiria vyema maadili hayo mema katika maisha yake.  Ndiyo maana watu humwambia kwamba “gari moshi limo relini – leli.”

Kitendawili hicho hufundisha watu juu ya kuwa waaminifu kwa kuyaishi vyema maadili hayo mema, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Kutoka 28:2 – 5.

Mithali 31:21b – 25.

Marko 1:6-7.

train-60539__480

 

 

ENGLISH:  I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

THE TRAIN IS ON ITS RAILWAY – RAILWAY LINE.

This riddle looks at the path that the train takes. The rail protects the train because it is the way that holds its steel tires. It is like a zipper that goes through its path when closing anything. That is why people say that, “the train is on its railway – railway line.”

This paradox is compared to a person who holds well the way of living on good values, in his life. Such person lives on values ​​well by working well because of his honesty. He also teaches his colleagues to develop those good ways by holding to the truth in works and in everyday life because of his focus on taking care of his family.

This person is similar to the railway that holds the steel tires until the train manages to pass well on its path, because he also holds on good values ​​in his life. That is why people tell him that “the train is on its railway – railway line.”

This riddle imparts in people an idea of being honest by living on values, so that they can raise their families well, in their lives.

Exodus 28:2 – 5.

Proverbs 31:21b – 25.

Mark 1:6-7.

 

 

.

1065. NIJIPOLO NAJO JILIWA.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile jipolo. Ijipolo jinijo jilijiliwa ijo jigaliyagwa na bhanhu bhajisaza ijo jigaliyagwa hangi guti jiliwa ijo jamalagwa guzugwa kunguno najo jilijiliwa guti ni jingi duhu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “nijipolo najo jiliwa.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli namhala uyo agabhalangaga abhanhu kikalile kawiza, umuwikaji bhokwe. Unamhala ng’wunuyo, agapandikaga bhageni bhingi noyi aha kaya yakwe abho agabhalomelaga mihayo ya gutumama milimo na gwikala chiza na bhichabho, kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho. Uweyi agalangaga bhanhu bhingi bhadebha ugwikala chiza na bhichabho kunguno ya kikakilile kakwe akawiza kenako.

Unamhala ng’wunuyo, agikolaga ni jilipolo ijo jigaliwa na bhanhu bhiguta chiza, kunguno nuweyi agabhalangaga abhanhu bhulangwa bho miganiko gabhambilija gutumama milimo na gwikala chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “nijipolo najo jiliwa.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na miganiko ga gwitegeleja bho gutumama milimo na gwikala chiza na bhichabho, kugiki bhadule kupandika mbango ja gubhambilija chiza abhatale bhabho, umuwikaji bhobho.

Mithali 10:1-2.

Kutoka 16:17- 30.

HATA KIPOLO NACHO NI CHAKULA.

Chanzo cha msemo huo, chaongelea kipolo. Kipolo ni chakula kilichobaki baada ya watu kula ambacho huliwa tena kama chakula cha kawaida kwa sababu nacho huwashibisha wale wakilacho kama chakula kingine cha kawaida. Ndiyo maana watu husema kwamba, “hata kipolo nacho ni chakula.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mzee yule ambaye huwafundisha watu juu ya kupata hekima ya kuishi vizuri, maishani mwake. Mzee huyo, hupata watu wengi kwenye familia yake ambao huwafundisha hekima ya kufanya kazi na kuishi vizuri na watu, kwa sababu ya uaminifu wake huo maishani mwake. Yeye huwawezesha watu wengi kupata hekima ya kuishi kwa amani na wenzao kwa sababu ya maisha yake hayo mema, maimani mwake.

Mzee huyo, hufanana na kipolo kilichowashibisha watu waliokila kama chakula kilichopikwa wakati huo, kwa sababu naye huwapatia watu hekima ya kufanya kazi na kuishi vizuri na wenzao, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “hata kipolo nacho ni chakula.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na hekima ya kufanya kazi na kuishi vizuri na watu, ili waweze kuwasaidia vyema wazee wao, maishani mwao.

Mithali 10:1-2.

Kutoka 16:17- 30.

africa-1238492__480

ENGLISH: THE LEFTOVER IS ALSO FOOD.

This saying speaks about the remaining of food. This remaining food is the left over by the people after eating. This food can be eaten again as normal food because it satiates those who have it like other normal food. That is why people say that, “The leftover is also food.”

This saying is matched to the old man who teaches people about getting wisdom of living well, in his life. This old man finds many people in his family whom he teaches wisdom of working and living well with others, because of his honesty in his life. He enables many people to find wisdom of living in peace with their fellows because of his good conduct in life.

This old man is similar to the leftover food that satisfied the people who ate it as cooked food at that time, because he also gives people the wisdom of working and living well with their societal members, in his life. That is why people tell him that, “the leftover is also food.”

This saying teaches people about having wisdom of working and living well with people, so that they can better help their elders, in their lives.

Proverbs 10:1-2.

Exodus 16:17-30.

1064. UYOGALINDILAGA JAB’IYE ADAKIJAGA UGUGINA.

Akahayile kenako, kahoyelile munhu uyo agaginaga bho gulya jiliwa jabhiye bho nduhu ugutumama uweyi. Umunhu ng’wunuyo, olindilaga jiliwa mu kaya ja bhangi bhuli makanza kunguno ya bhugaiwa bho witegeleja bhokwe. Uweyi agaginaga noyi kunguno ya gwikala agulyaga jiliwa jinijo bho nduhu ugutumama imilimo aha ng’wakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “uyo agalindalaga jabhiye adakijaga ugugina.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adatumamaga imilimo yakwe aha kaya yakwe, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga uyela sagala muma kaya ga bhanhu kugiki apandike jiliwa ja gulya umubhiye munumo. Uweyi agakoyiyagwa na nzala aha ng’wakwe bhuli makanza kunguno ya bhugokolo bho gutumama milimo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agagina bho bhugulindila gulya jiliwa ja bhiye, kunguno nuweyi agagikalaga ulya mumakaya gabhiye bho nduhu ugutumama uweyi imilimo aha kaya yakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “uyo agalindalaga ja bhiye adakijaga ugugina.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guleka bhugokolo bho gutumama milimo yabho chiza, bho gwikala wagwiyambilijaga chiza katumamile kabho, kugiki bhadule gupandika sabho ja gubhambilija chiza, umuwikaji bhobho.

Luka 9:62.

2Wathesalonike 3:10.

Wagalatia 6:9.

KISWAHILI: ANAYESUBIRIA CHA WENGINE HAACHI KUNENEPA.

Msemo huo, huongelea mtu yule ambaye hunenepa kwa kula chakula cha wenzake bila ya yeye kufanya kazi. Mtu huyo, husubiri kula chakula kwenye familia za watu mara nyingi kwa sababu ya kukosa umakini wake huo. Yeye hunenepa sana kwa sababu ya kukaa bila kufanya kazi katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “anayesubiria cha wengine haachi kunenepa.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa hafanyi kwenye familia, katika maisha yake. Mtu huyo, hutembelea familia za watu ili apate kula chakula wanapoivisha kwa sababu ya kutokupenda kazi kwake. Yeye hupata shida ya kukosa chakula mara kwa mara katika familia yake kwa sababu ya uvivu wake huo wa kufanya kazi, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyenenepa kwa kusubiria kula chakula kwenye familia za wengine, kwa sababu naye hupendelea kukaa kwenye familia za wengine ili apate kula chakula huko. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “anayesubiria cha wengine haachi kunenepa.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia ya uvivu kwa kujibidisha kufanya kazi zao vizuri, ili waweze kupata mafanikio ya kuwasaidia vizuri maishani mwao.

Luka 9:62.

2Wathesalonike 3:10.

Wagalatia 6:9.

ENGLISH: HE WHO WAITS FOR OTHERS’ THINGS NEVER STOPS GAINING WEIGHT.

This saying speaks of a man who gets fat by eating food of his colleagues without working. This person, often waits to eat at people’s families because of his lack of attention. He gets very fat because of sitting idle in his life. That is why people tell him that, “he who waits for others’ things never stops gaining weight.”

This saying is compared to a man who does not work at his family in life. Such person visits people’s families so that he can eat food when they eat it because he doesn’t like his job. He experiences problems of lacking food frequently at his family because of his laziness to work in his life.

This person resembles the one who got fat by waiting to eat at other people’s families, because he also prefers to stay at other people’s families so that he can eat there. That is why people tell him that, “he who waits for others’ things never stops gaining weight.”

This saying teaches people about abandoning laziness by forcing themselves to do their jobs well, so that they can find successes that can nicely help them in their lives.

Luke 9:62.

2 Thessalonians 3:10.

Galatians 6:9.

big-1708092__480

1061. ILILYASAGAGA LICHAGI NALYO.

Akahayile kenako kingilile kubhumalija bho gusambula numba. Inumba yiniyo, yaliyagwa lwande yusagila ulwande ulungi. Ung’winikili numba yiniyo agiyangula guyisagambula pye iyose kunguno ni yadula gubhagwila bhanhu. Hunagwene agayomba giki, “ililyasagaga lichag nalyo.”

Akahahile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhuchaga nimo ogudilila mpaga ogumala chiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agayitilaga bhukengeji imilimo yakwe hayo atali uguyandya. Uluidebha chiza agandyaga guitumama bho guidilila chiza mpaga uimala kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umubhutumami bho milimo yakwe. Uweyi agandikaga sabho ningi noyi umubhutumami bhokwe kunguno ya wigulambija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’winuyo, agikolaga nu ng’winikili numba uyo agaimalija guicha inumba yakwe, kunguno nuweyi agabhuchaga milimo oitumama chiza mpaga oimala, umukikalile yakwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “ililyasagaga lichagi nalyo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guidilila bho gutumama chiza imilimo iyo bhayandya umubhutumami bhobho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Luka 14:28-30.

2Timotheo 4:7-8.

KISWAHILI: LILILOBAKI LISHUSHWE NALO.

Msemo huo, ulianzia kwenye umaliziaji wa kuangusha nyumba iliyokuwa imeanguka upande. Nyumba hiyo, ilikuwa imeanguka upande mmoja ikabakia upande mwingine. Mwenye nyumba hiyo, aliamua kuiangusha yote kwa sababu ile iliyobaki ingeweza kuwaangukia watu. Ndiyo maana alisema kwamba “lililobaki lishushwe nalo.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huanzisha kazi na kuzifuatilia vizuri mpaka anazimaliza katika maisha yake. Mtu huyo, huzifanyia utafiti kwanza kazi zake kabla hajaanza kuzitekeleza. Akishaziona kuwa ni mzuri, huanza kuzitekeleza kwa kuzifuatilia vizuri mpaka anazimaliza, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na mwenye nyumba aliyeamua kukiangusha pia kipande kilibakia baada kuanguka upande mwingine, kwa sababu naye huanzisha kazi zake na kuzifuatilia vizuri, mpaga anazimaliza. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “lililobaki lishushwe nalo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya huzifuatilia vizuri kazi walizozianzisha katika utekeleji wa majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio makubwa, maishani mwao.

Luka 14:28-30.

2Timotheo 4:7-8.

house-1744082__480

women-5578067__480

ENGLISH: YOU HAVE TO BRING DOWN EVEN THE REMAINING ONE.

This saying started from knocking down the remaining part of house that had fallen on one side. This house had fallen on one side and remained on the other one. The owner of that house decided to tear it all down because what was left could fall on people. That is why he said to them that “you have to bring down even the remaining one.”

This saying is matched to the person who starts a work and follows it well until he finishes it in his life. Such person first researches his works before he begins to carry them out. Once he sees them as being good, he begins to implement his plans by following them properly until he finishes them, in his life.

This person is resembles to the owner of the house who decided to knock it down even a piece that remained after it fell on the other side, because he also starts his work and follows it properly, to the point of finishing it. That is why he tells people that, “you have to bring down even the remaining one.”

This saying imparts in people an idea of properly monitoring their works which they started in the fulfilling their responsibilities, so that they can achieve great success in their lives.

Luke 14:28-30.

2 Timothy 4:7-8.

old-farm-house-2096642__480