Sukuma Sayings

1047. BHANDYAGA GWILEBHA MAGANDA.

Akahayile kenako, kahoyelile bhanhu abho bhilebyaga maganda muchalo jilebhe. Bhali hoyi bhanhu bhab’ili abho bhali ng’wichobha. Uumo obho agab’iza na jikolo jingi kunebya ung’wiye kunguno ya bhuguji bho sabho bhokwe ubho gutumila mpango go higulya.

Ung’wiye agabhiza na mpango go aha silili, ub’iza giki olebhiwa amaganda nu ng’wiyile ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “bhandyaga gwilebha maganda.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagajitumilaga inguzu jabho chiza, bho gwikija gutumama milimo, umuwijaji bhobho. Abhanhu bhenabho, bhagipunaga diyu bhaja gujutumama milimo yabho ahikanza lya malima kwa kunguno ya bhukamu bho gutumama milimo bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagapandika sabho ningi noyi bhuli ng’wene kunguno ya wikindi bhobho ubho gutumama milimo yabho bhunubho, umukikalile kabho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga nabho wilebhyaga maganda ga gupandika jikolo bho mpango gohigulya ulu bhaligula ijikolo jinijo, kunguno nabhoyi bhagikindaga ugutumama imilimo yabho bho bhukamu bhutale, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “bhandyaga gwilebha maganda.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwikomeja gutumama milimo yabho bho bhukamu bhutale, kugiki bhadule gupandika sabho ningi ubhutumami bho milimo yabho bhunubho, umuwikaji bhobho.

Luka 16:11-13.

Warumi 13:8-10.

Yakobo 1:9.

Warumi 15:1-2.

KISWAHILI: WAMEANZA KUZIDIANA UWEZO.

Msemo huo, huongelea juu ya watu waliokuwa wakizidiana uwezo wa kupata mali kwenye kijiji fulani. Walikuwepo watu wawili waliokuwa wakitafuta mali. Mmoja wao alipata mali nyingi kumzidi mwenzake kwa sababu ya ununuaji wake wa bei ya juu.

Mwenzake alikuwa akinunua vitu kwa bei ya chini, akawa amezidiwa uwezo na mwenzake huyo. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “wameanza kuzidiana uwezo.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao huzitumia nguvu zao vizuri kwa kushindana kufanya kazi, katika maisha yao. Watu hao, huamuka asubuhi na kuwahi kwenda kufanya kazi zao unapofika wakati wa kilimo kwa sababu ya bidii yao hiyo ya kuyatekeleza vizuri majukumu yao, maishani mwao. Wao hupata mali nyingi sana kila mmoja kwa sababu ya ushindani wao huo wa kufanya kazi kwa namna hiyo, katika maisha yao.

Watu hao, hufanana na wale waliokuwa wakizidiana uwezo wa kupata mali kwa bei ya juu, kwa sababu nao, hushindana katika kufanya kazi zao kwa bidii kubwa, maishani mwao. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “wameanza kuzidiana uwezo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao kwa juhudi kubwa, ili waweze kupata mali nyingi katika utekeleji wa majukumu yao, maishani mwao.

Luka 16:11-13.

Warumi 13:8-10.

Yakobo 1:9.

Warumi 15:1-2.

fight-1564959__480

angolan-509593__480

women-5935801__480

ENGLISH: THEY HAVE BEGUN TO SURPASS EACH OTHER IN TERMS OF WEALTH.

This saying talks about people who were competing with one another to get wealth in a certain village. There were two people who were looking for property. One of them got more wealth than the other because of his high-priced purchases.

His colleague was buying things at a low price, he was overwhelmed by that colleague. That is why people said that, “they have begun to surpass each other in terms of wealth.”

This saying is compared to people who nicely use their energy by competing to work in their lives. These people wake up in the morning and go to do their work when it is time to farm because of their hard working situation which is strong enough to carry out their duties well in their lives. They get a lot of wealth each one of them because of their competition to work in that way in their lives.

These people are similar to those who were competing with each other ing using their abilities to get property at a high price, because they, too, compete in doing their works with great effort, in their lives. That is why people tell them that, “they have begun to surpass each other in terms of wealth.”

This saying teaches people about forcing themselves to do their works with great effort, so that they can get a lot of wealth in fulfilling their responsibilities in their lives.

Luke 16:11-13.

Romans 13:8-10.

James 1:9.

Romans 15:1-2.

1046. ONILOLELAGA MUMINZI.

Akahayile kenako, kalolile bhuloleji bho ng’wa munhu munzi. Bhalihoyi bhanhu bhab’ili abho bhayelaga mulitabha. Aho bhashiga hoyi, umo obho agandya gugulola ung’wengeleji go ng’wiye umuminzi ga litabha linilo kunguno oliadahayile ugumanwa nu ng’wiye igiki aling’wilolela moyi. Kihamo ni yiniyo, ung’wiye agambadija igiki alinhola weyi umuminzi genayo. Hunagwene agang’wila giki, “onilolelaga muminzi.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga abhadalahile abhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adabhadegelekaga abhiye ulu bhaliyomba umumahoya gakwe, kunguno ya libhengwe lwake linilo. Uweyi agikalaga bhung’wene aha kaya yake kunguno ya gwiiganikila giki ayimanile pye imihayo kulebha abhiye, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ung’wunuyo, agikolaga nuyo onholelaga mu ng’wengeleji gokwe ugo muminzi ung’wiye, kunguno nuweyi agikalaga abhadalahile abhiye bho gulema ugubhadegeleka ulu bhaliyomba, umumahoya gakwe. Hunagwene uyo ajimanile ing’hungwa jakwe agang’wilaga giki, “onilolelaga umumingi.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka ng’hungwa ja gubhadalaha abhanhu bho gubhadegelaka chiza ulu bhaliyomba umumahoya gabho, kugiki bhadule gwikala chiza na bhanhu bhabho na bho mholele, umuwikaji bhobho.

Mithali 9:10.

Wagalatia 6:10.

Luka 16:9.

KISWAHILI: UMENIANGALIA KWENYE MAJI.

Msemo huo, huangalia ungaliaji wa mtu kwenye maji. Walikuwepo watu wawili waliokuwa wakitembea pembeni mwa dimbwi. Walipofika hapo, mmoja wao akaanza kumwangalia mwenzake kupitia kivuli kilichomo kwenye maji ya hilo dimbwi kwa sababu hakutaka kugundulika naye kuwa anamtazama. Pamoja na hayo, mwenzake huyo, aligundua kuwa mwenzake amekuwa akimwangalia kwenye maji. Ndiyo maana alimwambia kwamba, “umeniangalia kwenye maji.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwadharau wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa hawasikilizi wenzake wanapoongea katika maongezi yake kwa sababu ya dharau yake hiyo, maishani mwake. Yeye huishi peke yake kwenye familia yake kwa sababu ya kujiona kwamba anafahamu mambo yote kupita wenzake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyemwangalia mwenzake kwenye maji kupitia kivuli chake, kwa sababu naye huwadharau wenzake kwa kutokuwasikiliza wanapoongea katika maongezi yake. Ndiyo maana yule anayeifahamu tabia yake hiyo, humwambia kwamba, “umeniangalia kwenye maji.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuwadharau watu kwa kuwasikiliza vizuri wanapoongea katika maongezi yao, ili waweze kuishi vizuri na kwa amani na watu wao, maishani mwao.

Mithali 9:10.

Wagalatia 6:10.

Luka 16:9.

pool-424194__480

 ENGLISH: YOU LOOKED AT ME IN THE WATER.

This saying looks at a person’s gaze on the water. There were two people who were walking by the pool. When they got there, one of them started looking at the other through the shadow in the water of that pool because he did not like to be found out that he was looking at him. Despite this, the colleague realized that his associate had been watching him in the water. That is why he told him that, “you looked at me in the water.”

This saying is compared to the person who despises his colleagues, in his life. Such person does not listen to his coworkers when they speak in his conversation because of his contempt in his life. He lives alone in his family because of thinking that he knows all things better than his peers, in his life.

This person resembles the one who looked at his fellow in the water through his shadow, because he also despises his fellows by not listening to them when they speak in their conversation. That is why the one who knows his behavior, tells him that, “you looked at me in the water.”

This saying instils in people a clue on stopping belittling people by listening to them well when they speak in their conversations, so that they can live well and in peace with their people, in their lives.

Proverbs 9:10.

Galatians 6:10.

Luke 16:9.

1044. UDIZUKUNG’UNHA JILATU.

Akahayile kenako, kahoyelile higulya ya bhunguji bho jilatu bho ng’wa munhu ngeni ohakaya ndebhe. Ungeni ng’wunuyo, aha oshiga aha kaya iyo alioigeniha, agakungula ijilatu jakwe uhaya gujigung’unha, huna bhunhemeja abhaha kaya yiniyo, kunguno ubhugung’uni bho jilatu bhunubho, bhugolechaga jito ja gubhalekela izumo abhaha kaya yiniyo.  Hunagwene abha hakaya yiniyo, abhang’wila ungeni ng’wunuyo giki, “udizukung’unha jilatu.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo aling’wiza nholo aha kaya yake, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhokelaga chiza abhageni abho bhagajaga gujungeniha, aha ng’wakwe henaho, kunguno ya wiza ng’holo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agapandika mbango ja gwikala chiza na bhanhu na gusabha majikolo mingi, aha ng’wakwe henaho, kunguno ya gubhabokela chiza abhageni bhakwe bhenabho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo aganhemeja ungeni okwe unhekela izumo uyo ahayaga gujikung’unha ijilatu jakwe, kunguno nuweyi agalema ugulekelwa ili zumo linilo bho gubhapokela chiza abhageni bhakwe, na gubhagalila chiza chiniko. Hunagwene agang’wilaga ungeni okwe giki, “udizukung’unha jilatu.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na bhuza ng’holo bho gubhabokela chiza abhageni bhabho, kugiki bhadule gupandika mbango ja gusabha na gwikala chiza na bhanhu bhabho, umuwikaji bhobho.

Marko 6:11 – 12.

Kutoka 3:4 – 5.

Mathayo 10: 14 – 15.

KISWAHILI: USIKUNG’UTE VIATU.

Msemo huo, huongelea juu ya uvuaji wa viatu vya mgeni aliyetembelea familia fulani. Mgeni huyo, alipofika kwenye familia aliyekuwa anaitembelea, alivua viatu vyake akataka kuvikung’uta, wanafamilia hiyo wakamkataza, kwa sababu tendo hilo la kukung’uta viatu huadhiria uachaji wa laana kwenye familia hiyo. Ndiyo maana wanafamilia hao, walimwambia kwamba, “usikung’ute viatu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule aliye na moyo mzuri wa ukarimu katika familia yake, maishani mwake. Mtu huyo, huwakaribisha kwa ukarimu wageni wanamtembelea kwenye familia yake hiyo, kwa sababu ya moyo wake huo wa ukarimu, katika maisha yake. Yeye hufanikiwa kupata Baraka nyingi za kutajirika na kuishi vizuri na watu wake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyemzuia mgeni wake aliyetaka kumuachia laana kwenye familia yake kwa kukung’uta viatu vyake, kwa sababu naye hukataa laana kwa kuwakaribisha kwa ukarimu wageni wanaomtembelea kwenye familia yake hiyo. Ndiyo maana humwambia mgeni wake kwamba, “usikung’ute viatu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwapokea na kuwatunza vizuri wageni wao, ili waweze kupata Baraka za kutajirika na kuishi vizuri na watu, maishani mwao.

Marko 6:11 – 12.

Kutoka 3:4 – 5.

Mathayo 10: 14 – 15.

earth-1280293__480

ENGLISH: DO NOT SHAKE YOUR SHOES.

The above saying talks about shaking shoes of a guest who visited a certain family. This guest took off his shoes and wanted to shake them off after arriving at the family which he visited. The family members forbade him to shake his shoes, because such an act could mean cursing them. That is why they told him that, “do not shake your shoes.”

This saying is compared to a man who has a generous heart in his family life. Such person welcomes guests who visit him in his family, because of his generous heart, in his life. He manages to get many blessings enough to get rich and live well with his people, in his life.

This person is similar to those who stopped their guest who wanted to leave a curse on their family by shaking off his shoes, because he also rejects the curse by welcoming guests who visit him at his family. That is why he tells his guest that, “do not shake your shoes.”

This saying teaches people about being generous enough to receive their guests and take good care of them, so that they can get blessings of getting rich for living well with their societal members in their lives.

Mark 6:11 – 12.

Exodus 3:4 – 5.

Matthew 10: 14 – 15.

1040. ALINA LULIMI GITI LIPANGA.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile ku katumamile ka lulimi lo ng’wa munhu uyo ulutumamilaga guti lipanga. Ilipanga jili ginhu ja gutumamila milimo ya mbika na mbika guti kutema manti ga gezengela, nulu, gufyeka lilale lya gulima, gutemela ginhu kunimo gungi gosegose, na yingi guti yiniyo. Hunagwene umunhu uyo agalutumamilaga chiniko ululimi lokwe agahayiyagwa giki “alina lulimi guti lipanga.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalutumamilaga chiza ululimi lokwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agalutumamilaga ululimi lokwe lunulo bho gubhalumanya chiza abhanhu abho bhidumaga umuchalo kunguno ya wiza bho ng’holo yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agenhaga mholele umumakaya ga bhanhu kunguno ya guhoya chiza na bhanhu bhakwe chiniko, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni panga iyo igatumamilagwa chiza guti gusenga lilale lya gulima, kunguno nuweyi agalutumilaga chiza ululimi lokwe bho gubhalumanya abhanhu abho bhidumaga umuchalo jakwe. Hunagwene abhanhu bhaganhoyelaga giki, “alina lulimi guti lipanga.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gujitumamila chiza indimi jabho umuhoya gabho genayo, kugiki bhadule gwikala bho mholele chiza na bhanhu bhabho, umuwikaji bhobho.

Yohane 7:37-39.

Isaya 30:27.

KISWAHILI: ANA ULIMI KAMA PANGA.

Chanzo cha msemo huo, chatokea kwenye matumizi ya ulimi wa mtu fulani aliyeutumia kama panga. Panga ni zana ya kufanyia kazi za aina mbalimbali kama vile kukata miti ya kujengea nyumba, kufyeka shamba la kulima na kadhalika. Ndiyo maana mtu anayeutumia ulimi wake kwa namna hiyo, huambiwa na watu kwamba, “ana ulimi kama panga.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huutumia ulimi wake vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, huutumia ulimi wake kwa kuwapatanisha watu waliokosana katika jamii kwa sababu ya upendo wake mkubwa alio nao kwa watu wake, maishani mwake. Yeye huleta amani kwa familia yake kwa sababu ya kuongea kwake vizuri na watu, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na lile panga lililotumiwa vizuri kwa kuandaa shamba la kulima, kwa sababu naye huutumia vizuri ulimi wake kwa kuwapatanisha wale waliokosana ndani ya jamii. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “ana ulimi kama Panga.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuzitumia vizuri ndimi zao katika maongezi yao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Yohane 7:37-39.

Isaya 30:27.

woman-5878348__480

africa-5299608__480

smile-5083573__480

1038. NG’WENUYO OKENENWA AMAKINDIKINDI GUPONYIWA UKO.

Imbuki ya kahayile kenako ingilile kubhukeneni bho ginhu jilebhe. Ugukenenha ili gwinja makindikindi ayo galimuminzi bho gusamwa hado hado kugiki gasage minzi masoga nulu jinhu jisoga. Hunagwene abhanhu bhagayombaga ukulimhunhu unsoga giki, “ng’wenuyo okenenwa amakindikindi guponyiwa uko.”

Akahayile kenako kagalenganijiyawga kuli munhu uyo alinihanga lisoga ni ng’holo yakwe nsoga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, olangwa ilange lya wiza na bhatale bhake ilo ligang’wambilijaga ugwikala chiza na bhanhu bhakwe, kunguno ya ng’holo yakwe iya wiza yiniyo. Uweyi agabhitilaga mihayo ya wiza abhanhu bhake kunguno ya ng’hola yakwe ya bhutogwa bhutale ukubhanhu bhakwe yiniyo.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni ginhu ijo jakenenwa mpaga jubhiza jisoga kunguno nuweyi, olangwa nhungwa ja wiza ijo jigang’wambilija ugwikala chiza na bhanhu bhakwe, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhaganhayaga giki, “ng’wenuyo okenenwa amakindikindi guponyiwa uko.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwilanga nhungwa ja wiza bho gwikala chiza na bhichabho, kugiki bhadule gwiyambilija chiza umuwikaji bhobho.

2Timotheo 1:1-7.

1 Timotheo 5:9-10.

1 Samweli 16:11-13.

Luka 1:46-48.

KISWAHILI: HUYO AMECHUJWA NA MAKAPI YAKATUPWA HUKO.

Chanzo cha msemo huo, chatokea kwenye uchujaji wa kitu fulani. Kuchuja ni kuondoa makapi yaliyoko kwenye maji kwa kumimina pole pole kwenye chombo maalumu ili makapi hayo yabaki chini na kupata kitu kizuri. Ndiyo maana watu husema kwa mtu aliye na roho nzuri kwamba, “huyo amechujwa na makapi yakatugwa huko.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule aliye na sura nzuri na moyo mweupe, katika maisha yake. Mtu huyo, alishafundisha malezi mema ambayo humsaidia katika kuishi vizuri na watu wake, kwa sababu ya amani yake na moyo wake huo mzuri, maishani mwake. Yeye huwatendea mema watu wake kwa sababu ya amani na upendo alionao kwao, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na kitu kilichochujwa mpaga kikawa kizuri, kwa sababu naye amefundishwa tabia njema insaidiayo kuishi na watu kwa kusaidiana nao vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwongelea kwamba, “huyo amechujwa na makapi yakatugwa huko.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema kwa kuishi vizuri na wenzao, ili waweze kusaidiana vizuri, maishani mwao.

2Timotheo 1:1-7.

1 Timotheo 5:9-10.

1 Samweli 16:11-13.

Luka 1:46-48.

models-1