Sukuma Sayings

1069. MUNHU NTALE NA WITABYA BHOKWE.

Akahayile kenako, kalolile witabya bho ng’wa munhu uyo alintale. Uwitabya bhunubho, bhuli bhubhucha bho miligo ilibhili ukumabhega gakwe umunhu ng’wunuyo. Imiligo yiniyo, igadimilagwa na linti ilo agalizwalaga ukumabheja gakwe bho gukingwa hagati uweyi ni miligo yakwe yiniyo. Iyoyi igabhuchuyagwa na munhu uyo alintale kunguno ili midito. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “munhu ntale na witabya bhokwe.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga utumama milimo mingi umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga atingatilwe na milimo bhuli makanza mpaga agagayiyagwa ni likanza ilyagwifula, kunguno ya bhukamu bhokwe ubho gutumama milimo yakwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe kunguno ya wigulambija bhokwe bhunubho ubho gutumama milimo yakwe, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo oliwitabya miligo ukumabheja gakwe, kunguno nuweyi agikalaga utumama milimo mingi bhuli makanza, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho bho bhukamu bhutale, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Matendo ya Mitume 10:42 – 43.

Mteando ya Mitume 17:25,

1Petro 2:4.

1Thimoteo 3:1-5.

Waefesso 5: 21-23.

KIWAHILI: MTU MKUBWA ANA MIZEGA MIZEGA YAKE.

Msemo huo, huangalia ubebaji wa mizega mizega wa mtu mkubwa. Mizega mizega hiyo, ni ubebaji wa mizigo miwili mabegani mwake mtu huyo. Mizigo hiyo, hushikiriwa na mti ambao huwekwa mabegani mwa mtu hiyo anapoibeba mizigo yake hiyo. Yenyewe hubebwa na mtu mkubwa kwa sababu ya uzito wake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mtu mkubwa ana mizega mizega yake.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi nyingi, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa ametingwa na kazi nyingi kila wakati mpaga hufikia hatua ya kukosa hata muda wa kupumzika, kwa sababu ya juhudi yake hiyo kubwa ya kufanya kazi. Yeye hupata mafanikio mengi kwenye familia yake kwa sababu ya kujibidisha kwake kufanya kazi hizo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa amebeba mizega mizeka mabegani mwake, kwa sababu naye hufanya kazi nyingi kila wakati maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mtu mkubwa ana mizega mizega yake.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao vizuri kwa kuongeza bidii ya utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi zaidi, maishani mwao.

Matendo ya Mitume 10:42 – 43.

Mteando ya Mitume 17:25,

1Petro 2:4.

1Thimoteo 3:1-5.

Waefesso 5: 21-23.

workers-754583__480

IN ENGLISH: AN ADULT HAS LUGGAGE ON HIS/HER SHOULDERS.

This saying looks at the carrying of two luggage on shoulders of the mature man. The two luggage is the carrying of two loads on the person’s shoulders. Those loads are held by a tree which is placed on the person’s shoulders when he carries his loads. They are carried by a mature person because of their weight. That is why people say that, “an adult has luggage on his/her shoulders.”

This saying is equaled to the person who does a lot of works, in his life. This person is always overwhelmed with a lot of works to the point of missing even have time to rest, because of his great effort to work. He gets a lot of success in his family because of his hard working mentality in his life.

This person resembles the one who was carrying the two luggage on his shoulders, because he also does a lot of works every time in his life. That is why people tell him that, “an adult has luggage on his/her shoulders.”

This saying teaches people about forcing themselves to do their jobs well by increasing the effort in fulfilling their responsibilities, so that they can get more success in their lives.

Acts 10:42-43.

Acts 17:25,

1 Peter 2:4.

1067. MUNHU NDUMA ALIYO IKAYA ADINAYO.

Akahayile kenako, kahoyelile munhu ntale uyo adina kaya. Alihoyi munhu umuchalo ja Ng’watuju uyo otumamaga milimo yakwe bhuli makanza kunguno ya bhukamu bho gutumama milimo yakwe yiniyo. Uweyi oliadatolile kunguno ya kutumama milimo yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “Munhu nduma aliyo ikaya adinayo.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo wiyangula guntumamila Mulungu, bho nduhu ugutola umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agifunyaga kuleka wikaji bho witoji bho gulitumila ilikanza lyakwe chiza ijinaguntumamila Sebha, kunguno ya guzunya gokwe gutale ukuli Mulungu, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agabhambilijaga bhanhu bhingi ugulitumila ilikanza lyabho bho gwikala na Mulungu na gunzunilija bhuli ng’wene uguwikalana chiza uwitangwa bhokwe, kunguno ya bhutengeke bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agaleka nzila ya witoji kugiki atumame milimo yakwe chiza, kunguno nuweyi agantumamilaga Sebha bho guleka nzila ya witoji chiniko umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “munhu nduma aliyo adina kaya.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhudebha chiza uwitanwa bhobho na guwikalana chiza, kugiki bhadule gushiga Ng’wigulu, umuwikaji bhobho.

Zaburi 55:22-23.

Mathayo 19:1-12.

KISWAHILI: MTU MKUBWA LAKINI HANA MJI.

Msemo huo, huongelea mtu mkubwa ambaye hana mji. Alikuwepo mtu kwenye kijiji cha Ng’watuju aliyekuwa akifanya kazi zake kila wakati kwa sababu ya bidii yake kuyatekeleza majukumu hayo. Yeye hakuoa kwa sababu ya kazi zake hizo maishani mwake. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “mtu mkubwa lakini hana mji.”

 Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule aliyeamua kumtumikia Mungu kwa kuishi maisha bila ndoa, katika maisha yake. Mtu huyo, hujitolea kwa Mungu kwa kuishi maisha ya kumtumikia Yeye peke yake bila ndoa kwa sababu ya imani yake hiyo kubwa kwa Mungu, maishani mwake. Yeye huwasaidia watu wengi katika kumtumikia Mungu vizuri kwa kunruhusu kila mmoja kufuata wito wake, kwa sababu ya uaminifu wake huo, maishani kwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeacha maisha ya ndoa ili apate nafasi ya kufanya kazi zake vizuri, kwa sababu naye humtumikia Mungu kwa kuacha maisha hayo ya ndoa, katika maisha yake. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “mtu mkubwa lakini hana mji.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuuelewa wito wao na kuuishi vizuri, ili waweze kufika mbinguni, baada ya maisha haya ya hapa duniani.

Zaburi 55:22-23.

Mathayo 19:1-12.

ENGLISH: A BIG MAN BUT HAS NO FAMILY.

This saying speaks of a great man who has no family. There was a man in the village of Ng’watuju who was always doing his daily works because of his diligence in carrying out those duties. He did not marry because of his works in his life. That is why people told him that, “a big man but has no family.”

 This saying is related to man who decided to serve God by living a life without marriage, in his life. This man dedicates himself to God by living a life of serving Him alone without marriage because of his great faith in God, in his life. He helps many people in serving God well by allowing each one to follow his/her calling, because of his faithfulness in life.

This person resembles the one who left the married life so that he could have a chance to do his works well, because he also serves God by leaving that married life, in his life. That is why people told him that, “a big man but has no family.”

This saying teaches people about understanding their calling and living it well, so that they can reach heaven after passing away.

Psalm 55:22-23.

Matthew 19:1-12.

king1

portrait-734904__480

african-man-6777915__480

1064. UYOGALINDILAGA JAB’IYE ADAKIJAGA UGUGINA.

Akahayile kenako, kahoyelile munhu uyo agaginaga bho gulya jiliwa jabhiye bho nduhu ugutumama uweyi. Umunhu ng’wunuyo, olindilaga jiliwa mu kaya ja bhangi bhuli makanza kunguno ya bhugaiwa bho witegeleja bhokwe. Uweyi agaginaga noyi kunguno ya gwikala agulyaga jiliwa jinijo bho nduhu ugutumama imilimo aha ng’wakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “uyo agalindalaga jabhiye adakijaga ugugina.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adatumamaga imilimo yakwe aha kaya yakwe, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga uyela sagala muma kaya ga bhanhu kugiki apandike jiliwa ja gulya umubhiye munumo. Uweyi agakoyiyagwa na nzala aha ng’wakwe bhuli makanza kunguno ya bhugokolo bho gutumama milimo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agagina bho bhugulindila gulya jiliwa ja bhiye, kunguno nuweyi agagikalaga ulya mumakaya gabhiye bho nduhu ugutumama uweyi imilimo aha kaya yakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “uyo agalindalaga ja bhiye adakijaga ugugina.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guleka bhugokolo bho gutumama milimo yabho chiza, bho gwikala wagwiyambilijaga chiza katumamile kabho, kugiki bhadule gupandika sabho ja gubhambilija chiza, umuwikaji bhobho.

Luka 9:62.

2Wathesalonike 3:10.

Wagalatia 6:9.

KISWAHILI: ANAYESUBIRIA CHA WENGINE HAACHI KUNENEPA.

Msemo huo, huongelea mtu yule ambaye hunenepa kwa kula chakula cha wenzake bila ya yeye kufanya kazi. Mtu huyo, husubiri kula chakula kwenye familia za watu mara nyingi kwa sababu ya kukosa umakini wake huo. Yeye hunenepa sana kwa sababu ya kukaa bila kufanya kazi katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “anayesubiria cha wengine haachi kunenepa.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa hafanyi kwenye familia, katika maisha yake. Mtu huyo, hutembelea familia za watu ili apate kula chakula wanapoivisha kwa sababu ya kutokupenda kazi kwake. Yeye hupata shida ya kukosa chakula mara kwa mara katika familia yake kwa sababu ya uvivu wake huo wa kufanya kazi, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyenenepa kwa kusubiria kula chakula kwenye familia za wengine, kwa sababu naye hupendelea kukaa kwenye familia za wengine ili apate kula chakula huko. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “anayesubiria cha wengine haachi kunenepa.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia ya uvivu kwa kujibidisha kufanya kazi zao vizuri, ili waweze kupata mafanikio ya kuwasaidia vizuri maishani mwao.

Luka 9:62.

2Wathesalonike 3:10.

Wagalatia 6:9.

ENGLISH: HE WHO WAITS FOR OTHERS’ THINGS NEVER STOPS GAINING WEIGHT.

This saying speaks of a man who gets fat by eating food of his colleagues without working. This person, often waits to eat at people’s families because of his lack of attention. He gets very fat because of sitting idle in his life. That is why people tell him that, “he who waits for others’ things never stops gaining weight.”

This saying is compared to a man who does not work at his family in life. Such person visits people’s families so that he can eat food when they eat it because he doesn’t like his job. He experiences problems of lacking food frequently at his family because of his laziness to work in his life.

This person resembles the one who got fat by waiting to eat at other people’s families, because he also prefers to stay at other people’s families so that he can eat there. That is why people tell him that, “he who waits for others’ things never stops gaining weight.”

This saying teaches people about abandoning laziness by forcing themselves to do their jobs well, so that they can find successes that can nicely help them in their lives.

Luke 9:62.

2 Thessalonians 3:10.

Galatians 6:9.

big-1708092__480

1063. NGENI NGOKO YAPE.

Akahayile kenako kaholelile kaya iyo igangalila ngeni oyo chiza. Ikaya yiniyo ikalaga muchalo ja Idisa iyo igagenihwa na ngeni yungalila bho gunsinzila ngoko kugiki alye nyama, kunguno ya gupandika lubhango lo ngeni ng’winuyo. Abhanhu bha ha kaya yiniyo, bhagayega noyi ugugenihwa nu ngeni ng’wunuyo. Hungwene bhagayomba giki, “ngeni ngoko yape.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agapandikaga mbango ja gwikala na bhanhu chiza ahaka yakwe. Umunhu ung’wunuyo, ali ng’wiza ng’holo bho gubhakaribhusha bhanhu bhingi aha ng’wakwe kunguno ya bhufula bhokwe bhunubho. Uweyi agapandikaga matwajo ga gubhiza na sabho ningi aha kaya yakwe, kunguno ya wizanholo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni kaya iyo igangalia chiza ungeni oyo, kunguno nuweyi apandikaga mbango bho gubhakalibhusha bhanhu chiza aha kaya yakwe. Hunagwene agayombaga giki “ngeni ngoko yape.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhiza bhizanholo bho gubhalibhusha chiza abhageni bhabho mukaya jabho, kugiki bhadule gupandika mpango ja kusabha na gwikala chiza na bhanhu, umuwikaji bhobho.

Luka 10:38-42.

Luka 16:9.

KISWAHILI: MGENI KUKU MWEUPE.

Msemo huo huongelea juu ya familia iliyo mkarimu vizuri Mgeni wake. Familia hiyo, ilikuwa inaishi kwenye kijiji cha Idisa, ambayo ilimkarimu mgeni wake kwa kumchinjia kuku ili ale nyama kwa sababu ya kupata Baraka ya mgeni huyo. Watu wa familia hiyo walifurahi sana kwa kutembelewa na mgeni huyo. Ndiyo maana walisema kwamba, “mgeni kuku mweupe.”

Msemo huyo, hulinganishwa na mtu yule ambaye hupata Baraka za kuishi na watu vizuri, katika familia yake. Mtu huyo, ni mkarimu wa kuwapokea watu wengi kwenye familia yake kwa sababu ya ukarimu wake huo. Yeye hupata mafanikio ya kutajirika na kuishi vizuri kwenye familia yake kwa sababu ya ukarimu wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo hufanana na ile familia iliyomkarimu mgeni wake vizuri, kwa sababu naye huwapokea watu wengi kwenye familia yake kwa kuwakarimu. Ndiyo maana husema kwamba, “mgeni kuku mweupe.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwakaribha vizuri wageni wao kwenye familia zao ili waweze kupata Baraka za kutajirika na kuishi vizuri na watu, maishani mwao.

Luka 10:38-42.

Luka 16:9.

white-cock-2709161__480

cock-4964559__480

cock-1819858__480

 ENGLISH: THE GUEST IS WORTHY OF WHITE CHICKEN.

The overhead saying speaks of a family that is kind to its guests. This family lived in the village of Idisa, which welcomed its guests by slaughtering chicken for them to eat because they wanted to receive the blessing of the guests. The people of such family were very happy to be visited by their guests. That is why they said that, “the guest is worthy of white chicken.”

This saying is compared to the person who gets blessings of living with well people, in his family. This person is generous enough to receive many people in his family because of its generosity. He gets success of becoming rich and living well in his family members because of his generosity in life.

This person is like the family that treated its guest well, because he also receives many people in his family by being hospitable. That is why he says that, “the guest is worthy of white chicken.”

This saying instills in people a clue about being generous enough to welcome their guests to their families so that they can get blessings of becoming rich and living well with people, in their lives.

Luke 10:38-42.

Luke 16:9.

1062. ILILI NDUHU UMUMISO UMUNG’HOLO LILIHO.

Akahayile kenako, kahoyelile mihayo ya guwilwa bho nduhu uguyibhona. Imihayo yiniyo, adulile munhu guyigwa na guituula mung’holo yakwe yandya guminya aliyo adaibhonile na adabhumanile chiza ubhunhana bho mihayo yiniyo. Uyo agacholaga bhunhana agaidimilaga umung’holo yakwe imihayo yiniyo iya nhana. Hunagwene agayombaga giki, “ililinduhu umumiso umung’holo liliho.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agaitegelejaga chiza imihayo iyo agaigwaga mpaga obhumana ubhunhana bhoyo na oidimila lulu umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agaitegelejaga imihayo iyo agaigwaga kugiki adule guikomanya iyabhulomolomo ni ya nhana, kunguno adahayile uguikoya ing’holo yakwe bho gudimila mihayo ya bhulomolomo. Uweyi agikalaga chiza na bhanhu bho guyilela chiza ikaya yakwe, kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agatulaga mihayo ya nhana umung’holo yakwe, kunguno nuweyi agaitegelejaga chiza imihayo iya nhana na oikalana lulu, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “ililinduhu umumiso umung’holo liliho.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guitegeleja imihayo iyanhana na guidimila chiza umutumami bho milimo yabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 3: 1-7.

Luka 22:3-6.

 

KISWAHILI: AMBALO HALIPO MACHONI MOYONI LIPO.

Msemo huo, huongelea juu ya maneno ya kuambiwa bila kuyaona. Mtu anaweza kuambiwa maneno na kuyaweka moyoni mwake ambaye baadaye yataanza kumuumiza wakati hatajayaona wala hafahamu vizuri ukweli wake. Yule anayeusikia ukweli na kuuweka moyoni hufaidika maishani mwake, kwa sababu ukweli huo atabaki nao moyoni mwake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “ambalo halipo machoni moyoni lipo.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufikiria kwa makini maneno anayoyasikia mpaga anauhafamu ukweli wake ndipo anayatunza moyoni mwake, katika maisha yake. Mtu huyo, hufayanyia utafiti kwa umakini yale yote anayoyasikia ili aweze kuyachambua yale yaliyo ya kweli na yale yaliyo ya uongo, kwa sababu hapendi kuutesa moyo wake kwa kushikilia maneno ya uongo. Yeye huishi kwa amani na watu wake kwa kuilea vizuri familia yake.

Mtu huyo hufanana na yule aliyeshikiria maneno ya ukweli katika moyo wake, kwa sababu naye huyatafakari vizuri maneno anayosikia ili ayahafamu yaliyo ya kweli na kuyaweka moyoni mwake. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “ambalo halipo machoni moyoni lipo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuyapima kwa umakini maneno ya kweli na kuyatunza vizuri, katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kuzilea vizuri familia zao.

Mwanzo 3: 1-7.

Luka 22:3-6.

black-women-7047086__480

 

ENGLISH: WHAT IS OUT OF EYESIGHT IT IS IN THE HEART.

The above saying talks about words which are said without seeing them. A person can be told words and keep them in his heart, which will later start to hurt him while he does not see them and does not know their truth. The one who hears the truth and keeps it in his heart benefits in his life, because he keeps such truth in his heart. That is why people say that, “what is out of eyesight it is in the heart.”

This saying is related to the person who thinks carefully about the words which he hears by memorizing the truth about them and keeps it in his heart. This person carefully researches everything that he hears so that he can analyze what is true and what is false, because he does not like to torture his heart by holding on to false words. He lives in peace with his people by raising his family well.

This person is similar to the one who holds the words of truth in his heart, because he also ponders the words he hears so that he remembers what is true and keeps it in his heart. That is he tell people that, “what is out of eyesight it is in the heart.”

This saying teaches people on how to carefully measure true words and take good care of them, in fulfilling their duties, so that they can raise well their family members.

Genesis 3:1-7.

Luke 22:3-6.