Sukuma Sayings

1171. ODIMAGA IKANZA.

Akahayile kenako kalolile munhu uyo oli nikanza lya gujila minzi bhuli lushigu. Umunhu ng’wunuyo, wipunaga diyu aja kumongo gujudaha minzi bhuli lushigu, kunguno osangaga mingi masoga ayo gadayugulilwe na mitugo ahikanza linilo. Uweyi agakumuka nose umuchalo jakwe jinijo kunguno ya wipuni bhokwe bhunubho ubho gujila minzi bhuli lushigu. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “odimaga ikanza.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajilanijaga na likanza umubhutumami bho milimo yakwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agandyaga gulima ulu lyashiga ilikanza ilya jidiku, kunguno ahayile apandike matwajo mingi aha kaya yakwe. Uweyi agapanaga majiliwa mingi aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya gwigulambija gutumama milimo yakwe bho gujilanija ni kanza chiniko, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo wipunaga gujudaha mingi ogapandika minzi masoga bhuli lushigu, kunguno nuweyi agandyaga gulima ahikanza ilya jidiku bho gujilanija ni kanza mpaga opandika sabho ningi, umubhutumami bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “odimaga ikanza.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho bho gujilanija ni kanza bhuli lushigu, kugiki bhadule kupandika sabho ja gubhambilija chiza, umukaya jabho jinijo.

Mhubiri 3:1-8.

Yohana 2:1-5.

Luka 22:14-16.

KISWAHILI: AMESHIKA MUDA.

Msemo huo, huangalia mtu aliyekuwa akienda kuchota maji kila siku. Mtu huyo, alikuwa akijilawa asubuhi na mapema kwenda mtoni kuchota maji kila siku kwa sababu ya kutaka kupata maji safi ambayo hajavurugwa na mifugo wakati huo. Yeye alijulikana sana kwenye kijiji chake kwa sababu ya kutoka kwake asabuhi na mapema kwenda kuchota maji. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “ameshika muda.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huendana na muda katika utekelezaji wa kazi zake, maishani mwake. Mtu huyo, huanza kulima kwa bidii sana wakati wa masika, kwa sababu anapenda kupata mafanikio mengi katika familia yake. Yeye hupata mazao mengi kwenye familia yake hiyo, kwa sababu ya kujibidisha kufanya kazi kwa kuendana na muda hivyo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyejilawa kwenda kuchota maji akayapata yaliyosafi, kwa sababu naye hujibidisha kulima wakati wa masika kwa kuendana na muda mpaga anapata mali nyingi, katika kazi zake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “ameshika muda.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao kwa kuendana na muda kila siku, ili waweze kupata mali za kuwasaidia vizuri, katika familia zao.

Mhubiri 3:1-8.

Yohana 2:1-5.

Luka 22:14-16.

 

ENGLISH: HE IS ON TIME.

This saying looks at the person who went to fetch water every day. Such man used to wake up early in the morning to go to the river for fetching water every day because he wanted to get clean water that was not disturbed by livestock at that time. He was well known in his village because of his going out early in the morning to fetch water. That is why people said about him that, “he is on time.”

This saying is compared to a person who goes with time in implementing his works, in his life. Such person starts farming very hard during the spring, because he likes to get a lot of success in his family. He gets a lot of harvests in his family, because of working according to the required time, in his life.

This person resembles the one who went to fetch water in the morning and found it clean, because he also cultivates during the spring in accordance with the time to the point of getting a lot of wealth, in his works. That is why people say about him that, “he is on time.”

This saying imparts in people an idea of having to do their works in accordance with the time every day, so that they can get enough assets to support them well, in their families.

Ecclesiastes 3:1-8.

John 2:1-5.

Luke 22:14-16.

 

people-3127600__480

1167. OBHUGOMOLA NG’WILU ONZWILI CHEYO.

Olihoyi nkima uyo ali nfula umukikalile kakwe nabhiye kunguno oliazunije ugutumama milimo kihamo nabho bho gutung’wa nabho. Unkima ng’wunuyo oli wihanga lya wiza na nzwili ndogoleku guti cheo. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “obhugomola ng’wilu onzwili cheo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali na widohya bho gubhagola na gubhalanhana chiza abhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agabhagolaga bho gubhazwika jizwalo ja wiza abhanhu bhakwe na gubhalanhana bho gutumama milimo nabho chiza. Uweyi agafunyaga ilange lya wiza ukubhanhu bhakwe ilo ligabhambilija gutumama milimo bho gwiyambilija na gwilanhana chiza kunguno ya widohya bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nkima unfula uyo obhalanhana chiza abhanhu bhakwe bho gubhagola na gutumama milimo yabho kihamo nabho, kunguno nuweyi agabhalanhanaga abhanhu bhakwe bho gwiyambilija gutumama milimo nabho chiza, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “obhugomola ng’wilu onzwili cheo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na widohya bho gubhalanhana abhichabho bho gubhagola na gutumama milimo bho gwiyambilija chiza, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhokwe.

Wimbo ulio bora 4:1.

Zaburi 45:3-5.

Zaburi 45:9-10.

KISWAHILI: MWENYE KUJIPANBA MAJI YA KUNDE NYWELE UFAGIO.

Alikuwepo mwanamke aliyekuwa mnyenyekevu katika maisha yake kwa sababu alikubali kufanya kazi pamoja na wenzake kwa kukubali kutumwa nao. Mwanamke huyo, alikuwa na sura nzuri na nywele laini kama mfagio. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “mwenye kujipamba maji ya kunde nywele ufagio.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana unyenyekevu wa kuwalinda wenzake kwa kuwakarimu na kufanya kazi pamoja nao, katika maisha yake. Mtu huyo, huwakarimu watu wake hao kwa kuwavika mavazi mazuri na kuwalinda kwa kufanya kazi vizuri pamoja nao. Yeye hutoa malezi mema kwa watu wake yawawezeshayo kufanya kazi kwa kusaidiana na kutunzana vizuri, kwa sababu ya unyenyekevu wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mwanamke mnyenyekevu aliyewalinda watu wake kwa kuwakarimu na kufanya kazi pamoja nao, kwa sababu naye huwalinda watu wake kwa kuwakarimu na kufanya kazi kusaidiana pamoja nao, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mwenye kujipamba maji ya kunde nywele ufagio.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na unyenyekevu wa kuwalinda wenzao kwa kukarimu na kufanya kazi kwa kusaidiana pamoja ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Wimbo ulio bora 4:1.

Zaburi 45:3-5.

Zaburi 45:9-10.

female-4899179__480

1166. NHAB’ALA HU KI?

Aho kale olihoyi munhu uyo oliosata umuchalo ja Ndoleleji. Umunhu ng’wunuyo, ojaga ukositali oginhiwa ubhugota ubho obhutumilaga mpaga bhoshila aliyo ugupila nduhu. Uweyi wiyumilijaga duhu kunguno oliamanile igiki ubhupanga bhokwe bhuli kuli Nsumbi wi Wigulu na Sii. Hunagwene obhujaga giki, “nhab’ala hu ki?”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agiyumilijaga ulu opandikaga makoye bho gung’wisanya Mulungu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adebhilile ugugulanhana chiza umili gokwe bho guja gusitali ulu alisata ukunu aling’wisanya Mulungu kunguno alina guzunya gutali ukuli Weyi. Uweyi agabhambilija bhanhu bhingi abho bhali na makoye ijinagung’wisanya Mulungu kunguno ya wiyumilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo olina sata wiyumilija bho gung’wisanya Mulungu, kunguno nuweyi agapandikaga makoye wiyumilija bho gung’wisanya Mulungu, umukikalile kakwe kenako. Hunagwene agabhujaga giki, “nhab’ala hu ki?”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gub’iza na wiyumilija bho gung’wisanya Mulungu ulu bhapandikaga makoye umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gwikala na mholele, umu kaya jabho jinijo.

Ayubu 6:1-4.

Ayubu 7:4-8.

Mathayo 15:29-31.

Marko 5:25-28.

KISWAHLI: MATESO NI NINI?

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyeugua ugonjwa kwenye kijiji cha Ndoleleji. Mtu huyo, alienda hospitalini akapewa dawa alizozitumia mpaka zikaisha bila kupona ugonjwa wake huo. Yeye alivumilia tu kwa sababu alielewa kwamba uhai wake uko mikononi mwa Muumba wa Mbingu na Nchi. Ndiyo maana aliuza kwamba, “mateso ni nini?”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvumilia matatizo yake kwa kumtegemea Mungu, katika maisha yake. Mtu huyo, anafahamu kuitunza vizuri afya yake kwa kwenda hospitalini anapougua huku akimtumainia Mungu, kwa sababu ya imani yake kuwa kubwa kwa Muumba wake huyo. Yeye huwasaidia watu wengi ambao wana matatizo katika kumtegemea Mungu kwa sababu ya uvumilivu wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeugua ugonjwa akavumilia kwa kumtegemea Mungu, kwa sababu naye huvumilia matatizo yake kwa kumtegemea Mungu, katika maisha yake hayo. Ndiyo maana yeye huuliza kwamba, “mateso ni nini?”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na imani kwa Mungu ya kuwawezesha kuvumilia matatizo yao kwa kumtegemea Yeye maishani mwao, ili waweze kuishi kwa amani katika familia zao hizo.

Ayubu 6:1-4.

Ayubu 7:4-8.

Mathayo 15:29-31.

Marko 5:25-28.

operation-80124__480

1162. ILI NIMO ILI NALEKELE B’IZIMBILI.

Akahayile kenako kahoyelile munhu uyo oli na nimo go gulima maguwa. Umunhu ng’wunuyo agagutumama unimo gokwe gunuyo mpaga unamhala kunguno goli na solobho nhale ukuwikaji bhokwe. Aho onamhala chiniko agandya gubhalanga bhizimbili bhakwe abho obhalekelaka kunguno ya giki nabho gubhambilije chiza umuwikaji bhobho. Hunagwene agayomba giki, “ili nimo ili nalekele b’izimbili.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhalelaga abhanhu bhakwe bho gubhalanga uguitumama imilimo yakwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhalangaga abhanhu bhakwe uguitumama imilimo yakwe yiniyo bho guhoya nabho chiza bhuli lushigu kunguno ahayile giki nabho bhayidebhe chiza uguitumama umuwikaji bhobho. Uweyi agabhambilija abhanhu bhakwe bhenabho ugujibheja chiza ikaya jabho kunguno ya guitumama chiza imilimo iyo agabhalangaga yiniyo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu namhala uyo agabhalekela b’izimbili bhakwe unimo gokwe aho onamhala, kunguno nuweyi agabhalangaga abhanhu bhakwe uguitumama chiza imilimo yakwe yiniyo, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “ili nimo ili nalekele b’izimbili.”

Akahayile kenako, kalanga bhabyaji higulya ya gubhalanga abhanhu bhabho uguitumama chiza imilimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi agagujilanhanile chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Yohana 20:20-23.

Mathayo 10:6-7.

Luka 9:1-2.

KISWAHILI: KAZI HII NIACHIE WAJUKUU ZANGU.

Msemo huo huongelea juu ya mtu aliyekuwa mkulima wa miwa. Mtu huyo aliifanya kazi yake hiyo mpaka akazeeka kwa sababu ilikuwa na faida kubwa katika maisha yake. Alipoona kwamba amezeeka hivyo, alianza kuwafundisha wajukuu zake kazi hiyo kwa sababu alitaka nao iwasaidie vizuri katika maisha yao. Ndiyo maana alisema kwamba, “kazi hii niachie wajukuu zangu.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwalea watoto wake kwa kuwafundisha kuzitekeleza kazi zake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwafundisha watoto wake hao kwa kuongea nao vizuri kila siku kwa sababu anataka wazielewe vizuri kazi hizo, maishani mwao. Yeye huwasaidia watu wake hao kuziendeleza vizuri familia zao kwa sababu ya kuzitekeleza vizuri kazi zake alizowafundisha, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mzee aliyewaachia watoto wake kazi zake alipozeeka, kwa sababu naye huwafundisha watoto wake namna ya kuzitekeleza vizuri kazi zake hizo, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “kazi hii niachie wajukuu zangu.”

Msemo huo, hufundisha wazazi juu ya kuwarithisha watoto wao kazi zao, kwa kuwafundisha vizuri namna ya kuzitekeleza, ili waweze kupata mafanikio ya kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Yohana 20:20-23.

Mathayo 10:6-7.

Luka 9:1-2.

sugarcane-439880__480

1161. YAYA UGUNEKA NG’OCHAGE.

Aho kale ulihoyi munhu uyo agadima noyi nhale iyo adaimanile isolobho yayo. Umunhu ng’wunuyo, agabhabhuja abhatale bhakwe akatumamile ka noni yiniyo kunguno oliadamanile umo agwiyitila. Hunagwene abhatale bhakwe bhenabho bhagang’wila giki “yaya uguneka ng’ochage.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agacholaga wambilijiwa bho gwingila kubhiye uguitumama imilimo iyo ikililile ubhudula bhokwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhilingaga bhanhu bha gung’wambilija ugulima imigunda yakwe chiza kunguno ya gutogwa guimala wangu. Uweyi agabishaga majiliwa mingi noyi umumigunda yakwe yiniyo kunguno ya kulomba wambilijiwa bho gufumila kubhiye uguitumama imilimo uyo ikililile ubhudula bhokwe umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agadima noyi uchola wambilijiwa bho katumamile kayo gufumila gubhatale bhakwe, kunguno nuweyi agacholaga wambilijiwa bho gufumila kubhiye uguitumama wangu imilimo iyo adayidujije, umubhutumami bhokwe. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’wilaga giki, “yaya uguneka ng’ochage.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na widohya bho kugubhuja kubhichabho imilimo iyo bhadayimanile chiza, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umumilimo yabho yiniyo.

1Wakorintho 10: 3-26.

Mwanzo 1:29-31.

KISWAHILI: HAPANA KUMUACHA MCHOME.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyemkamata ndege mkubwa asiyemfahamu faida zake. Mtu huyo, aliwauliza wakubwa wake matumizi ya ndege huyo kwa sababu hakujua la kumfanyia. Ndiyo maana wakubwa wake hao walimwambia kwamba, “hapana kumuacha mchome.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutafuta msaada wa kutoka kwa wenzake wa kuyatekeleza majukumu yale yanayozidi uwezo wake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwaalika watu wa kumsaidia kulima mashamba yake vizuri kwa sababu ya kutaka kuyamaliza haraka. Yeye hupata mafanikio makubwa kwenye mashamba yake hayo kwa sababu ya kuomba msaada wa kuyalima hadi kuyamaliza haraka pale yanapozidi uwezo wake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyemshika ndege akatafuta msaada wa kufahamu matumizi yake kutoka kwa wakubwa wake, kwa sababu naye hutafuta msaada kutoka kwa wenzake wa kuyatekeleza kwa haraka majukumu yale yanayozidi uwezo wake, katika kazi zake. Ndiyo maana watu hao humwambia kwamba “hapana kumuacha mchome.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na unyenyekevu wa kuuliza kutoka kwa wenzao kazi zile ambazo hawazifahamu vizuri, ili waweze kupata mafanikio makubwa katika utekelezaji wa majukumu yao hayo.

1Wakorintho 10: 3-26.

Mwanzo 1:29-31.

ostrich-384157__480

turkey-218742__480

turkey-82924__480