Sukuma Proverbs

978. UGUSANGWA LWELWE UDINASIMIZA.

Ulusumo lunulo, lulolile ng’wana uyo oliodila ugusimiza. Ung’wana ng’wunuyo, wikalaga wagula bho nduhu ugwimila, kunguno ya bhudito bho magulu gakwe. Uweyi agakeleja noyi ugusimiza nose ilwelwe ijo jili noni ja gwiza ulujilingila ijidiku, jigegela gwiza.

Ulujiza inoyi jininijo, abhanhu bhandya gulima kunguno bhagamanaga giki, mumho jashigaga ijidiku. Hunagwene bhagang’wilaga ung’wana ng’wunuyo giki, “ugusangwa lwelwe udinasimiza.”

Ulusumo lununo, lugalenganijiyagwa kuli ng’waniki uyo atali ugutolwa, umukikalile kakwe. Ung’waniki ng’wunuyo, ahayile atolwe aliyo lulu okeleja kunguno ya nhungwa jakwe ijo jidijawiza. Uweyi adalombaga ukuli Mulungu uyo adulile gumpandikala ntoji o wiza, kunguyo ya nhungwa jakwe jinijo, umukikalile kakwe.

Ung’waniki ng’wunuyo, agikolaga nu ng’wana uyo agakeleja ugusimiza, kunguno nu weyi okeleja ugutolwa, umukikalile kakwek kenako. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ugusangwa lwelwe udinasimiza.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhayanda na bhaniki abho bhalihaya gupandika bhichabho bha witoji, higulya ya kusalila gete, kugiki bhadule gubhapandika abhitoji bhenabho abhawiza, umuwikaji bhobho.

2Wakorintho 6:2.

Wabrania 12:14.

Luka 9:59-62.

KISWAHILI: UTAKUTWA LWELWE HUJATEMBEA.

Methali hiyo, huangalia mtoto aliyechelewa kutembea. Mtoto huyo, alikuwa akitambaa kwa muda mrefu bila kusimama kwa sababu ya uzito wa miguu yake. Yeye alichelewa sana kutembea mwishowe muda wa kufika Lwelwe ambao ni ndege wanaofika kipindi cha masika, ulikaribia kufika.

Ndege hao wakifika watu huanza kilima kwa sababu ya kutambua kuwa masika yamefika. Ndiyo maana watu waling’wambia mtoto huyo kwamba, “utakutwa lwelwe hujatembea.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa msichana yule ambaye hajaolewa, katika maisha yake. Msichana huyo, ana wito wa kuolewa lakini amechelewa kwa sababu ya tabia yake kutokuwa nzuri. Yeye huwa hasali kwa Mungu awezaye kumpatia mchumba mwema, kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya, maishani mwake.

Msichana huyo, hufanana na yule mtoto aliyechelewa kutembea, kwa sababu naye amechelewa kuolewa, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwambia, “utakutwa lwelwe hujatembea.”

Methali hiyo, hufundisha wasichana na wavulana wenye wito wa ndoa, juu ya kusali sana ili Mungu awajalie kupata, wachumba wema, maishani mwao.

2Wakorintho 6:2.

Wabrania 12:14.

Luka 9:59-62.

family-

african-baby

ENGLISH: LWELWE (RAIN SEASONAL BIRDS {STORK BIRD}) WILL ARRIVE AND FIND YOU HAVE NOT WALKED.

This proverb looks at a child who is late to walk. This baby was crawling for a long time without standing up because of heavy weight of his legs. He was too late to stand up at last. The time of stork bird to arrive was near.  This a bird that arrives during the rainy season.

When these birds arrive, people start to cultivate because they realize that the rainy season has arrived. That is why people told the child that, “Lwelwe (rain seasonal birds {stork birds}) will arrive and find you have not walked.”

This proverb is compared to the unmarried girl in her life. This girl who has been called to get married but she is late because of her bad behavior. She prays to God who can give her a good bride without being successful because of her such bad behavior in her life.

This girl is like the child who was late to walk, because she is also too late to get married in her life. That is why people tell her that, “Lwelwe (rain seasonal birds {stork bird}) will arrive and find you have not walked.”

This proverb imparts in young girls and boys who are called to live marriage life to behave, enough to carry on praying earnestly for God who can grant them good brides in their lives.

2 Corinthians 6: 2.

Hebrews 12:14.

Luke 9: 59-62.

977. HAMBO HAMBO GUGALUKA IHANGA GUKILA GUGALUKA NG’HOLO.

Imbuki ya lusumo lunulo, ilolile lihanga na ng’holo ya ng’wa Munhu. Ilihanga linilo, kalikigelele ka ng’wa munhu ako kaliheke ni ng’holo yakwe, kunguno umunhu adulile gubhiza ni hanga lisoga aliyo ing’holo yakwe iliyabhubhi. Ilihanga linilo lidambilija ginhu. Gashinaga lulu mumo ligab’elela ilihanga lwake umunhu ng’wunuyo, ulu ali na ng’holo yabhub’i adulula ugwikala chiza na bhanhu.

Ukulwande ulungi, uong’holo nsoga agikalaga chiza na bhanhu mumo likab’ipila ilihanga lyakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “hambo hambo gugaluka ihanga gukila gugaluka ng’holo.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina ng’holo ya gwikala chiza na bhanhu, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga bho gudimila nhungwa ja guntogwa Mulungu na bhanhu bhakwe, kunguno atogilwe gwikala na ng’oho yawiza. Uweyi agadulaga gwikala na bhanhu bhingi aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya ng’holo yakwe iyo iliyawiza yiniyo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo alina ng’holo yawiza iyo igang’wambilijaga ugwikala na bhanhu chiza, kunguno nuweyi alina ng’holo yawiza iya guntogwa Mulungu na bhanhu bhakwe, umukikalile kakwe. Uweyi agabhalangaga abhanhu nhungwa jawiza ija gubhambilija gubhiza na ng’holo niza, umuwikaji bhobho. Hunagwene agabhawilaga giki, “hambo hambo gugaluka ihanga gukila gugaluka ng’holo.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na ng’holo jawiza ija gubhambilija ugujidimila inhungwa ija guntogwa Mulungu na bhanhu bhakwe, kugiki bhadule gwikala na bhichabho chiza, umubhulamu bhobho.

1Petro 3:8.

1Yohana 4:7.

Waebrania 13:1-2.

1Petro 4:7-11.

KISWAHILI: HERI KUBADILIKA SURA KULIKO KUBADILIKA ROHO.

Chanzo cha methali hiyo, huangalia sura na roho ya mtu. Sura ni muonekano wa nje ambao uko tofauti na roho, kwa sababu mtu anaweza kuwa na sura nzuri lakini roho yake ikawa mbaya. Sura hiyo haimsaidii kitu. Kumbe basi, mtu hata awe na sura nzuri kiasi gani kama roho yake ni mbaya hataweza kuishi vizuri na watu wake.

Kwa upande mwingine, mwenye roho nzuri, huishi vizuri na watu hata kama sura yake ni mbaya. Ndiyo maana watu husema kwamba, “heri kubadilika sura kuliko kubadilika roho.”

Mtu huyo, hufananishwa na mtu mwenye roho nzuri ya kuishi na watu vizuri, maishani mwake. Mtu huyo, huishi kwa kuyashikilia maadili mema ya kumpenda Mungu na watu wake, kwa sababu ataka nao wawe na roho njema. Yeye huweza kuishi na watu wengi vizuri kwa sababu ya roho yake hiyo njema, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na mwenye roho njema inayomwezesha kuishi na watu vizuri, kwa sababu naye ana roho njema ya kumpenda Mungu na watu wake, katika maisha yake. Yeye huwafundisha watu maadili mema ya kuwasaidia kuwa na roho njema, maishani mwao. Ndiyo maana huwaambia watu hao kwamba, “heri kubadilika sura kuliko kubadilika roho.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na roho njema ya kuwasaidia katika kuyashikilia maadili mema ya kumpenda Mungu na watu wake, ili waweze kuishi vizuri na wenzao, maishani mwao.

1Petro 3:8.

1Yohana 4:7.

Waebrania 13:1-2.

1Petro 4:7-11.

african-church-

ENGLISH: IT IS BETTER TO CHANGE SHAPE THAN TO CHANGE SOUL.

The basis of this proverb looks at the shape and soul of a person. A shape is an outward appearance that is different from the soul, because a person may have a good appearance but his/her soul can become horrible. Such appearance does not help him/her at all. However, no matter how good a person may be if his soul is bad, he/she will not be able to live well with people.

A good person, on the other hand, lives well with people even when he has a bad appearance. That is why people say that, “It is better to change shape than to change soul.”

This proverb is related to a person with a good soul who lives well with people in his life. This person lives by holding to the moral standards of love for God and his people, because he wants them to have a good soul. He can live with many people because of his good deeds to others in his life.

This person resembles the one who has a good soul that enables him to live well with people, because he also has a good soul enough to love God and his people, in his life. He teaches people good manners enough to help them in having a good soul in their lives. That is why he tells them, “It is better to change shape than to change soul.”

This proverb teaches people on how to have a good soul enough to help them in holding to the good values ​​of loving God and his people, so that they can live well with each other in their lives.

1 Peter 3: 8.

1 John 4: 7.

Hebrews 13: 1-2.

1 Peter 4: 7-11.

967. UMUNHU NG’WENUYU ADACHAGULILE NULU ADAYANGULAGWA.

Ulusumo lunulo, luhoyelile Welelo uyo adulile jose. UWelelo ung’wene adachagulaga nulu guyangulwa giki ansole nani, kunguno agamulaga weyi dulu. Uweyi nulu yubhiza nzala agamulaga Weyi duhu igiki mbula yize, kunguno ya bhudula bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhaganyombaga giki, “Umhunhu ng’wenuyu adachagulile nulu adayangulagwa.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo mpaga opandika sabho ja gubhambilija bhanhu bhakwe chiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agigulambijaga gutumama milimo yakwe chiza, kunguno alina bhutogwa bho gubhambilija bhanhu bhingi bho gutumila sabho jakwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi ijo agajitumilaga bho gubhagunana abhanhu bhakwe gitumo atogelilwe weyi, kunguno ya bhutogwa bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu Welelo uyo alina bhudula bho guyangula yose gitumo atogelilwe, kunguno nuweyi alina bhutogwa bho gujitumila isabho jakwe, bho gubhambilija bhanhu bhakwe gitumo atogelilwe weyi, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhaganyilaga giki, “umhunhu ng’wenuyu adachagulile nulu adayangulagwa.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza bhakamu wa kutumama milimo na bhutogwa bho gubhambilija bhichabho bhose abho bhali na makoye, kugiki bhagule kujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Luka 1:35-38.

1Wakorintho 6:14.

Waefeso 2:1, 4-6.

2Wakorintho 5:17-18.

 

KISWAHILI: MTU HUYU HACHAGUI WALA HASHAURIWI.

Methali hiyo, huongelea juu ya Mungu awezaye yote. Mungu Mwenyewe hachagui wala hashauriwi kwamba amchukue nani, kwa sababu yeye huamua lolote atakalo yeye. Yeye hata ikitokea njaa kubwa, Aweza kuamua mvua inyeshe wakati wowote, kwa sababu ya uwezo wake huo mkubwa. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mtu huyu hachagui wala hashauriwi.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi kwa bidii mpaka anapata mali za kumwezesha kuwasaidia watu wengi, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi zake vizuri, kwa sababu ana upendo wa kuwasaidia wengi kwa kutumia mali zake. Yeye hupata mali nyingi ambazo huzitumia katika kuwasaidia watu wake hao, kama atakavyo yeye, kwa sababu ya upendo wake huo kwao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na Mungu atumiaye uwezo wake atakavyo, kwa sababu naye ana upendo wa kutumia mali zake katika kuwasaidia watu wake wote, kama atakavyo yeye, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mtu huyu hachagui wala hashauriwi.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na bidii ya kufanya kazi, wakiwa na upendo wa kuwasaidia wenzao wote, walioko kwenye matatizo, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Luka 1:35-38.

1Wakorintho 6:14.

Waefeso 2:1, 4-6.

2Wakorintho 5:17-18.

 

ethiopia-21

ENGLISH: THIS PERSON DOES NOT HEED TO ADVICE.

This proverb speaks of the almighty God. God Himself does not choose or need an advice from anyone about whom to take, because He decides whatever He wills. Even in the time of a severe famine, He may decide that it will rain at any time, because of His great power. That is why people say that, “This person does not heed to advice.”

This proverb is related to a man who works hard until he finds wealth that will enable him in helping many people in his life. Such person, in turn, strives to do his best, because he loves to help many people by using his resources. He finds numerous treasures that he uses for supporting his people, as he wills, because of his love to them, in life.

This person resembles to God who uses his power for doing good things, because he loves to use his wealth for supporting all his people, as he wills, in his life. That is why people say to him that, “This person does not heed to advice.”

This proverb teaches people about being hard workers enough to have wealth for supporting all their people who are in trouble, so that they can develop well their families in their lives.

Luke 1: 35-38

1 Corinthians 6:14.

Ephesians 2: 1, 4-6.

2 Corinthians 5: 17-18.

966. B’UDIMU B’O LIGEMBE GULINDILA GU NGESE.

Iligembe jili jitumamilo ja gulimila ukuli nimi. Iligembe linilo, ligamanyikaga ubhudamu bholyo ahikanza ilya gulilimila ingese, kunguno ilidimu lidakolokaga. Aliyo lulu, iligembe ilinegu ligakokolokaga nulu wandya duhu unimi ugulilimila ingese yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “b’udimu b’o ligembe gulindila gu ngese.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agiyitilaga bhukengeji bhutale imilimo na mihayo hayo atali uguyandya nulu uguitumamila, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agitakaga bhukengeji bho kujilola chiza, inhungwa ja bhanhu abho bhali nhomela, kunguno ya gutogwa gubhudebha chiza ubhumhana bho milimo nulu imihayo yiniyo. Uweyi agayombaga mihayo ya nhana na kupatandika matwajo mingi umumilimo yakwe, kunguno ya gutumama milimo iyo wiyitilaga bhukengeji bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni ligembe ili ligikalaga na bhudamu ahikanza ilya gulilimila ingese, kunguno nuweyi agapandikaga matwajo mingi umumilimo yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhalangaga abhanhu bhakwe inzila ja guyidebha chiza imilimo yabho, haho bhatali uguyandya uguitumama. Hunagwene agabhawilaga giki, “b’udimu b’o ligembe gulindila gu ngese.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya guyitila bhukengeji bhutale imilimo yabho haho bhatali uguyandya uguyitumama, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umubhutumami bhobho.

Mathayo 7:15-20.

Mathayo 12:33-37.

KISWAHILLI: UGUMU WA JEMBE KUSUBIRI KWENYE PALIZI.

Jembe ni kitendea kazi cha kulimia kwa mkulima. Jembe hilo, hujulikana ugumu wake wa kulilimia wakati huo wa kulifanyia kazi, kwa sababu lile lililo gumu huwa halikongoloki. Lakini lile lililolegea hukongoloka pale mkulima anapoanza tu kulilimia. Ndiyo maana watu husema kwamba, “ugumu wa jembe kusubiri kwenye palizi.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huzifanyia utafiti mkubwa kazi zote kabla hajaanza kuzifanya, katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya utafiti wa kufahamu tabia za wale anaoongea nao kabla ya kuyapokea maneno yao, kwa sababu ya kutaka kuufahamu ukweli wa kazi hizo na maneno hayo. Yeye huongea ukweli na hupata mafanikio mengi katika utekelezaji wa majukumu yake, kwa sababu ya kufanya kazi njema alizozifanyia utafiki wa kina, kabla ya kuzianza, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na lile jembe lililoendelea kuwa gumu hata wakati wa kulilimia, kwa sababu naye hupata mafanikio mengi katika kazi zake, maishani mwake. Yeye huwafundisha pia watu wake namna ya kuzifanyia utafiti wa kina kazi zao, kabla ya hawajaanza kuzitekeleza. Ndiyo maana huwaambia watu hao kwamba, “ugumu wa jembe kusubiri kwenye palizi.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuzifanyia utafiti wa kina kazi zao, kabla ya kuanza kuzitekeleza, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika utekelezaji wa majukumu yao, maishani mwao.

Mathayo 7:15-20.

Mathayo 12:33-37.

africa-121

black-12

ENGLISH: THE DIFFICULTY OF THE HOE IS TO WAIT FOR WEEDING TIME.

A hoe is a farming tool for the farmer. It is known to have a hard time in cultivating at the time of working, because the hard one does not bend. But the loose ends when the farmer begins to week. That is why people say that, “The difficulty of the hoe is to wait for weeding time.”

This proverb is likened to a man who conducts a thorough study of all the works before he begins to do them, in his life. This person, in turn, conducts research that is good enough to understand the behavior the people to whom he is speaking before accepting their words, out of an aim of understanding the truth of their works and words. He speaks the truth and finds great success in the discharge of his duties, because of the good works that he has done in-depth research, before starting to work them out, in his life.

This person is like the hoe that continues to be difficult even when it is weeding, because he also finds great success in his work, in his life. He also teaches his people on how to do their research thoroughly, before they start doing their works. That is why he tells them that, “The difficulty of the hoe is to wait for weeding time.”

This proverb imparts in people a clue on how to do a thorough research on their works, before they start implementing them, so that they can be more successful in fulfilling their responsibilities, in their societies.

Matthew 7: 15-20.

Matthew 12: 33-37.

 

 

 

963. OPALA NVA HANKIMBILI.

Ulusumo lunulo, lulolile bhupaji bho mva hamkimbili bho ng’wa munhu nheb’e. Oliyohi nfugi o mawa aha kaya yakwe, uyo wikalaga mu chalo ja halebhe. Lushigu lumo agayidima inva yakwe wandya guyipala ahamkimbili, mpaga abhanhu bhukumya noyi. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “opala nva hamkimbili.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli ng’waniki uyo obyala ng’wana omumabala, umukikalile kakwe. Ung’waniki ng’wunuyo, adatolilwe aliyo ogetwa nda ya mumabala kunguno ya gulala na bhagosha, aho atali ugutolwa. Uweyi agakoyaga ugutolwa kunguno ulu bhigela abhatoji, bhagawilwa giki, ‘opala nva hamkimbili’, mumho obyalila ng’wana mumabala, umukikalile kakwe.

Ung’waniki ng’wunuyo, agikolaga nu nsugi onva uyo agayipala ahamkimbili inva yakwe, kunguno nuweyi ubyala ng’wana omumabala, haho adinatolwa. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “opala nva hamkimbili.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhaniki higulya ya kubhiza bhib’embu, umukikalile kabho, kugiki bhadule kutolwa wangu haho bhadina byajiwa bhana bha mumabala, umuwikaji bhobho.

Luka 1:46-56.

Mathayo 5:27-30.

KISWAHILI: AMEMPIGA MBWA KIUNONI.

Methali hiyo, huongelea juu ya upigaji wa mbwa kiunoni wa mtu fulani. Alikuwepo mfugaji wa mbwa kwenye familia yake aliyeishi kwenye kijiji fulani. Siku moja alimshika mbwa wake mmoja na kumpiga kiunoni mpaga watu wakashangaa sana. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “amempiga mbwa kiunoni.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa msichana yule aliyezaa mtoto kabla ya kuolewa, katika maisha yake. Msichana huyo, hajaolewa lakini omepata ujauzito kwa sababu ya kulala wa wanaume kabla ya kuolewa. Yeye hupata shida ya kuolewa kwa sababu wale wanaotaka kumuoa huambiwa na watu kwamba, msichana yule ‘amempiga mbwa kiunoni’, katika maisha yake.

Msichana huyo, hufanana na yule mfugaji aliyempiga mbwa wake kiunoni, kwa sababu naye alizaa kabla ya kuolewa, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amempiga mbwa kiunoni.”

Methali hiyo, hufundisha wasichana juu ya kuwa watulivu katika maisha yao, ili waweze kuolewa mapema kabla ya kuzalishwa watoto wa mapolini, maishani mwao.

Luka 1:46-56.

Mathayo 5:27-30.

massai-1

people-11

african-2

ENGLISH: YOU HAVE SLAPPED A DOG ON ITS WAIST.

This proverb speaks about slapping the waist of a dog. There was a dog keeper in her family who lived in a certain village. One day she grabbed one of her dogs and slapped one of the on the waist. The people who saw such event were shocked. That is why they told her that, “You have slapped a dog on its waist.”

This proverb is compared to the girl who gave birth to a child before marriage, in her lifetime. Such girl is unmarried but has become pregnant because of premarital sex. She finds it difficult to get married because those who want to marry her are told by people that the girl has ‘beaten a dog in the waist’, in her lifetime.

This girl is like the dog keeper who slapped her dog on the waist, because she also gave birth before marriage, in her lifetime. That is why people say to her that, “You have slapped a dog on its waist.”

This proverb instills in girls an idea on how to be calm in their lives, so that they can get married early before being impregnated, in their lifetime.

Luke 1: 46-56.

Matthew 5: 27-30.